Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Moja ya mafunzo ya uislamu ni kuamini kuwa mkamilifu ni Allah peke yake.Hivyo hatuwezi kuamini hivyo.Jambo jengine ni kuwa waislamu hawatakiwi kudhulumu wala kukubali kudhulumiwa.
Achana na mambo ya Allah . U knw what? Mm na ww tunaomba misaada uko nje. Mm namwomba mzungu aniwezeshe nijenge SHULE na HOSPITALS ila wew kwasababu ni dhaifu kama ulivyoambiwa unaomba ujengewe Madrasa na misikiti 😂😂😂.
 
Na Ukweli ingekuta hiz hospital za kcmc na bugando ni zenu aseee kwa ninavyowajua mgeweka MASHARTI makali sana! Kuanzia wagonjwa mpaka wanaowapeleka. Lakin wakatolik na walutheri maskin hawana noma kabsa wala ukuda ukuda
Hawana noma,wakati wanalipia,sio matibabu ya bure.Sema waislamu hawana noma,hawakuzihomea hizi hospital,juu ya kuwa zina majina ya kikristo na kuzungukwa na misalaba.
 
Ndugu zangu tutulie.
PPW ndio kampuni pekee tutakayo fanya kazi nayo kwa uaminifu.

Wazungu wametupiga sana sana sana sana.
Na hawana maajabu. Dubai ni kama ndugu zetu. Wanatupenda sana. Na wamesema.

Hayo makubaliano waliyapendekeza wao kwa kuhofia kupoteza mtaji wao.

Kama wataleta mitambo yao ya ghalama sana ya kushusha makontena kwa haraka.
Sasa tutawaondowaje kwa ghafla? Ghalama Atalipa nani?
Huu ndio ukweli
 
Na wao waislam wangejenga Hosp hizo kubwa kisha wawambie serikali kama watakataa halafu unazani kanisa huwa linawaita? Bali serikali hujipeleka yenyewe kama kondoo, halafu ukifuatilia kwa makini Hosp hizi za zamani ambazo zipo karibu na makanisa ya Katoliki zilikuwa za kanisa baada ya Uhuru Mwl alizitaifisha, na wao hawakuweka mikono kichwani bali walisongambele na kujenga nyingine .
Hospital za waislamu zipo nyingi tu.Na zina madaktari Bingwa.Istiqama wanazo hospital,Agha Khani wanazo hospital.
 
Hizo ni historia za kitoto sana.Wewe hujui kuliko wazunguj wenyewe waliokiri na hata mfalme wako Charles amesema hivyo hivyo na anaheshimu uvumbuzi wa waislamu.Wanachofanya wazungu wako sasa ni kuendeleza tu uvumbuzi wa waislamu.Niambie umesoma fani geni wewe nikutajia gwiji la kiislamu aliyevumbua hayo unayofeli kupata cheti.
Sawa mm nimesoma Aviation, sijaona takataka yeyote ya wavaa kobaz popote kwenye materials zangu. Aya niletee mvaa kobaz ambae ana mchango wowt uku
 
Na kwa nini ziwe hospital za kikatoliki,wakristo wengine hawana hospital?
Hili suala msilichukulie kijuujuu. Pateni facts zote. KCMC ina mkataba na ni ya Lutheran, Ikonda Hospital na Mbozi Missio zina mkataba lakini ni za Moravian.

Muheza DDH ina mkataba ila ya Anglican.

Wakati Serikali inaingia mikataba hii Waislamu hawakuwa na Hospitali zinazotibu wananchi. Je wangeingia mikataba na misikiti yao?
 
Hospitali sio matofali. Yani kama ungejua hospitali za binafsi zinavyokula gharama kubwa sana kwenye vifaa na miundombinu yake, sasa za serikali ndio zinaongezeka gharama zaidi.

Ukitaka majengo tu labda iwe godowns. Labda ulitaja majengo ya hospitali ila sio hospitali yenyewe
Hutibiwi bure,unalipia.
 
Ndio maana nikasema Bilioni 30 ya mwaka wa 1 ijenge hospitali, bilioni 30 ya mwaka wa pili inunue vifaa tiba.. na mwaka wa 3 iajiri wafanyakazi.. hiyo miaka 3 wananchi watatibiwa kwenye hospitali za umma ambapo hakuna mkataba.

Ninaamini kabisa tukiweka complications pembeni, tunajenga hospitali kila wilaya
Huu ndio ukweli.
 
Povu loote Hilo Ni kwasababu hakuna signature ya mwakilishi wa BAKWATA au BALUKTA.
Sasa Kaka yangu Shee ponda, BAKWATA Wana siptali?
Jengeni siptali na nyie mpige hela.
FaizaFoxy
Hospital za Agha Khan na Istiqama ni za waislamu,wataka wajenge nini tena.
 
Hata kama zinatibu watanzania wasichukue pesa kutoka serikalini.Wachangishane wenyewe.

Alafu wakisha changishana wenyewe? Waanze kuwatibu wakristo wawaache waislam? Acheni udini mkuu.... kwanini mnaisi raisi anayo fanya anapingwa kwasababu ni muislam?

Hivi bandari niya wakristo au yawa tanzania? Tukubali mikataba mibovu kwasababu raisi ninmuislam? Raisi anahudumia watz wote,

Achane hizi mambo za waislam na wakristo tunajipoteza wenyewe
 
Kwaio hapa tunajadili mkataba au sahihi?nlidhani ungewekwa mkataba tuujadili...tutajuaje km hizo sahihi ni za mkataba husika?
 
Huu udini udini unatutafuna taratibu.
Dinu zote hizi ni Kafir kwetu Watanzania na Waafrica kwa ujumla yani huwa nakereka sana kuona watu au kusikia watu wakitumia hoja za kidini dini.
Nasemaje, kama unadhani wewe ni Mwarabu, hamia kwa waarabu Uarabuni, na kama Unadhani wewe ni Mzungu hamia Uzunguni huko Ulaya zaidi ya hapo shut t#3 faau¢k hap.
Na wewe kama huna dini hamia Australia,kwa wasio na dini.
 
Inakuwaje serikali kuna sehemu isiwepo lakini kanisa lipo.Kwani hii ni nchi ya kanisa.Au kuna njama gani serikali iachie maeneo kwa kanisa kwa kutumia pesa za waislamu pia.
Huu ni kweli,kodi za waislamu ziweje ziingizwe kwa wasio waislamu.
 
Et wavaa kobaz waarabu waliwafundisha wazungu udaktar [emoji23][emoji23][emoji23].Kama hujui ata ile mashine ya kuchapa hicho kitabu chenu ni Mzungu, kile kipaza saut cha adhan ni mzungu, hyo cm unayoitumia ni mzungu, wavaa kobaz kutoka Africa na kwngneko kwenda kweny lile jiwe mnapanda ndege sio? Huyo ni mzungu, Magari yale ya kifaahari kule arabun ni mzungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] . Haya wew tuambie wavaa kobaz waarabu wamefanya kipi ndo ntajua kweli they are superior
Ww ni mpumbavu kwahiyo mtu akisema waisilam basi akili yako inakutuma kwa waarabu moja kwa moja kana kwamba waarabu ndo jamii yenye waisilam pekee?

Ngoja nikuelimishe waarabu ni sehemu ndogo sana ndani ya waisilam yaani waarabu wanawakilisha asilimia 20 tu ya waisilam duniani kwa hiyo mtu akisema waisilam basi jua kagusa kila asili ya watu hapa duniani.
Alafu kingine waarabu unawadharau bure kwasababu hata hiyo lugha uliyo itumia hapa kuwaponda asilimia 60 ya maneno yake yamebuniwa na hao hao waarabu.

Hizo namba ulizo tumia kusoma hesabu kuanzia chekechea mpaka ulipo ishia kusoma na yaani 0 mpaka 9 ni ubunifu wa waarabu kwahiyo usiwachukulie poa.
 
Back
Top Bottom