Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Hizo pesa wanazopewa,ni kodi za waislamu pia zimo.Wataka wajenge mara ngapi.Halafu waislamu ni watu wakimya sana.Huu mkataba upo miaka,hawajapiga kelele,na hawatibiwi bure,wanalipia matibabu.
Ivi bro huo mkataba ulisainiwa chini ya Rais Naniii?? Na alikuwa wa dini ipi??? Je hakuona umuhimu wa dini zingne kushirikishwa???
 
Mbona hospital za Agha khan na Istiqama ni za waislamu na zipo
 
Hizi Hosp zinawatibu nani?
Kuna mtu akienda anaulizwa wewe ni dini gani?
Si huwa zinakaguliwa na Serikali (CAG)
tena huduma zake ni bora na uhakika kuliko sehemu yoyote!
Je Serikali ikiacha kutoa ruzuku unafikiri hosp za serikali zinatosha?
Tuache kuwaza kwa kutumia eneo la "back side" enyi viumbe dhaifu!
 

Mpumbavu ni wew unaelialia na Mou iliyopitishwa na ndugu yenu katika imani
 
Hutibiwi bure.
 
Kila unachokiona katika Information Technology,-kinatokana na Mtu anayeitwa Al gebra,na ni muarabu,muislamu,bila yeye kugundua Algebra na kuitwa kwa jina lake,kusingekuwepo na Computer,vifaa tiba,vinavyotumia IT.Algebra ndio baba wa vifaa vyote vya IT.Hata hii Internet unayotumia,ni kupitia Algebra.Hiyo Algebra awe muislamu,mkristo,asiye na dini,lazima aitumie kila siku.
 

Moja ya mafunzo ya uislamu ni kuamini kuwa mkamilifu ni Allah peke yake.Hivyo hatuwezi kuamini hivyo.Jambo jengine ni kuwa waislamu hawatakiwi kudhulumu wala kukubali kudhulumiwa.
Simple logic tu, Inakuaje Allah MKAMILIFU aumbe kitu Kidhaifu??? Yan how comes a well fixed modern machine produces low quality products?
 
Duh mbonq umemkanyaga sana mtu wa watu asee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nijuavyo mwarabu katumia vizuri resource zake ila hana jipya ililovumbua hata mafuta walikua nayo ila yalichimbwa na mzungu
Bila Algebra(muarabu muislamu),dunia ingekuwa gizani.Algebra ndio inayotumika jwenye IT,Information technology.Kila kifaa unachokiona kinatumia Algebra(jina la muarabu muislamu).Hata Internet unayotumia ni Algebra,simu unayotumia ni Algebra,vifaa tiba,ni Algebra,magari unayopanda ni Algebra,shule pia lazima kufundishwa Algebra.Muislamu hakwepeki.
 
Hutibiwi bure,unalipia
 
Uhusiano wa Kanisa Katoliki na Serikali ni mkubwa mno hauwezi kuvunjwa kirahisi hivyo, RC waliombwa na Serikali kafanya huo ubia ila wanaweza kujiendesha wenyewe na pia wanampango kazi wa miaka elfu moja ijayo hata Serikali yetu haina hiyo kitu.
 
U know what? Mara nyingi mjinga hufuatana na wajinga wenzie sasa Arabs are inferior to white people na ww uko upande wa hao inferiors so na ww bila shaka ni inferior
Bila algebra(muarabu muislamu)!ndio imgekuwa gizani.IT yote inatumia Algebra(jina la muarabu muislamu)aligundua algebra.Kila unachokiona duniani bila algebra kisingetengenezwa.Hii Internet unayotumia ni Algebra,vifaa tiba ni algebra,magari ni algebra.
 

Acha ubwege, toka hyo algebra agundue hyo mliitumiaje kuimodify vip ili iwe useful?? (ndio shida yangu) ni sawa sawa na mtu anaekuambia this is a way lakn yeye anapotea πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜
ni,lazima aitumie kila siku.
 
Ukiwa unaabudu kwa kugonga kuchwa kwenye sakafu huwezi kuwa na akili. Yaani Sheikh Ponda alipaswa aaangalie Takwimu za Watanzania waliohudumiwa kwenye hosipitali hizo na kulinganisha kuwa ingekuwaje kama zisingekuwapo!!
Yesu pia alikuwa akihonga kichwa kwenye ardhi.Bila algebra (jina la muarabu,muislamu,kudingekuwa na IT.Kila unachokiona ni algebra,bila algebra ,dunia imgekuwa gizani.Internet unayotumia ni muarabu,muislamu anayeitwa algebra.
 
Hyo IT unayoisema ni Mzungu bro amekuwa mtaalamu wa kitumia findings kutengeneza useful technology. inventions zipo nyingi tu tatizo kuzifanya ziwe useful ndio msala, apa mzungu ameweza sana kuliko wavaa kobaz wa masharik ya kati sijui mbal πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Achana na mambo ya Allah . U knw what? Mm na ww tunaomba misaada uko nje. Mm namwomba mzungu aniwezeshe nijenge SHULE na HOSPITALS ila wew kwasababu ni dhaifu kama ulivyoambiwa unaomba ujengewe Madrasa na misikiti [emoji23][emoji23][emoji23].
Hospital za kiislamu nyingi tu.Agha Khan na Istiqama wana mahospial,mashule,mpaka vyuo vikuu duniani.
 
Tatizo kubwa ni serikali kuingia ubia na Taasisi binafsi nakufanya za kwao. Solution ni serikali kujenga hospital kubwa za rufaa kila wilaya na mikoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…