Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Hizo pesa wanazopewa,ni kodi za waislamu pia zimo.Wataka wajenge mara ngapi.Halafu waislamu ni watu wakimya sana.Huu mkataba upo miaka,hawajapiga kelele,na hawatibiwi bure,wanalipia matibabu.
Ivi bro huo mkataba ulisainiwa chini ya Rais Naniii?? Na alikuwa wa dini ipi??? Je hakuona umuhimu wa dini zingne kushirikishwa???
 
Nyinyi ni wajanja sana kama makupe.Ilikuwa nyinyi mjenge zenu kwanza badala kujificha ndani ya serikali.Zaidi ni kuwa masuala ya kujenga hospitali wala hamukuanza nyinyi.kihistoria huu ni ubunifu wa waislamu na waislamu ndio watu walioifunza Ulaya udaktari.
Tatizo lenu mkishakujipenyeza pahala mnajifanya wajanja na hamtaki na wenzenu wafike hapo.Tukijenga hospitali au mashule yetu mnavifanyia fitna vifeli kujiendesha.
Mbona hospital za Agha khan na Istiqama ni za waislamu na zipo
 
Kuna mkataba ambao mimi binafsi sijawahi kuuona isipokuwa nasikia hauna ukomo na badala ya kuingiza chochote katika mfuko wa taifa huwa unakula tu na kudhoofisha wananchi kiuchumi na hata kiimani.

Mkataba huo ni ule kati ya kanisa katoliki na serikali ya Tanzania ambapo kwa mujibu wa mmoja wa masheikh anasema kama hivi:
Hizi Hosp zinawatibu nani?
Kuna mtu akienda anaulizwa wewe ni dini gani?
Si huwa zinakaguliwa na Serikali (CAG)
tena huduma zake ni bora na uhakika kuliko sehemu yoyote!
Je Serikali ikiacha kutoa ruzuku unafikiri hosp za serikali zinatosha?
Tuache kuwaza kwa kutumia eneo la "back side" enyi viumbe dhaifu!
 
Ww ni mpumbavu kwahiyo mtu akisema waisilam basi akili yako inakutuma kwa waarabu moja kwa moja kana kwamba waarabu ndo jamii yenye waisilam pekee?

Ngoja nikuelimishe waarabu ni sehemu ndogo sana ndani ya waisilam yaani waarabu wanawakilisha asilimia 20 tu ya waisilam duniani kwa hiyo mtu akisema waisilam basi jua kagusa kila asili ya watu hapa duniani.
Alafu kingine waarabu unawadharau bure kwasababu hata hiyo lugha uliyo itumia hapa kuwaponda asilimia 60 ya maneno yake yamebuniwa na hao hao waarabu.

Hizo namba ulizo tumia kusoma hesabu kuanzia chekechea mpaka ulipo ishia kusoma na yaani 0 mpaka 9 ni ubunifu wa waarabu kwahiyo usiwachukulie

Ww ni mpumbavu kwahiyo mtu akisema waisilam basi akili yako inakutuma kwa waarabu moja kwa moja kana kwamba waarabu ndo jamii yenye waisilam pekee?

Ngoja nikuelimishe waarabu ni sehemu ndogo sana ndani ya waisilam yaani waarabu wanawakilisha asilimia 20 tu ya waisilam duniani kwa hiyo mtu akisema waisilam basi jua kagusa kila asili ya watu hapa duniani.
Alafu kingine waarabu unawadharau bure kwasababu hata hiyo lugha uliyo itumia hapa kuwaponda asilimia 60 ya maneno yake yamebuniwa na hao hao waarabu.

Hizo namba ulizo tumia kusoma hesabu kuanzia chekechea mpaka ulipo ishia kusoma na yaani 0 mpaka 9 ni ubunifu wa waarabu kwahiyo usiwachukulie poa.
Mpumbavu ni wew unaelialia na Mou iliyopitishwa na ndugu yenu katika imani
 
Hizi Hosp zinawatibu nani?
Kuna mtu akienda anaulizwa wewe ni dini gani?
Si huwa zinakaguliwa na Serikali (CAG)
tena huduma zake ni bora na uhakika kuliko sehemu yoyote!
Je Serikali ikiacha kutoa ruzuku unafikiri hosp za serikali zinatosha?
Tuache kuwaza kwa kutumia eneo la "back side" enyi viumbe dhaifu!
Hutibiwi bure.
 
Et wavaa kobaz waarabu waliwafundisha wazungu udaktar [emoji23][emoji23][emoji23].Kama hujui ata ile mashine ya kuchapa hicho kitabu chenu ni Mzungu, kile kipaza saut cha adhan ni mzungu, hyo cm unayoitumia ni mzungu, wavaa kobaz kutoka Africa na kwngneko kwenda kweny lile jiwe mnapanda ndege sio? Huyo ni mzungu, Magari yale ya kifaahari kule arabun ni mzungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] . Haya wew tuambie wavaa kobaz waarabu wamefanya kipi ndo ntajua kweli they are superior
Kila unachokiona katika Information Technology,-kinatokana na Mtu anayeitwa Al gebra,na ni muarabu,muislamu,bila yeye kugundua Algebra na kuitwa kwa jina lake,kusingekuwepo na Computer,vifaa tiba,vinavyotumia IT.Algebra ndio baba wa vifaa vyote vya IT.Hata hii Internet unayotumia,ni kupitia Algebra.Hiyo Algebra awe muislamu,mkristo,asiye na dini,lazima aitumie kila siku.
 
Ww ni mpumbavu kwahiyo mtu akisema waisilam basi akili yako inakutuma kwa waarabu moja kwa moja kana kwamba waarabu ndo jamii yenye waisilam pekee?

Ngoja nikuelimishe waarabu ni sehemu ndogo sana ndani ya waisilam yaani waarabu wanawakilisha asilimia 20 tu ya waisilam duniani kwa hiyo mtu akisema waisilam basi jua kagusa kila asili ya watu hapa duniani.
Alafu kingine waarabu unawadharau bure kwasababu hata hiyo lugha uliyo itumia hapa kuwaponda asilimia 60 ya maneno yake yamebuniwa na hao hao waarabu.

Hizo namba ulizo tumia kusoma hesabu kuanzia chekechea mpaka ulipo ishia kusoma na yaani 0 mpaka 9 ni ubunifu wa waarabu kwahiyo usiwachukulie poa.

Moja ya mafunzo ya uislamu ni kuamini kuwa mkamilifu ni Allah peke yake.Hivyo hatuwezi kuamini hivyo.Jambo jengine ni kuwa waislamu hawatakiwi kudhulumu wala kukubali kudhulumiwa.
Simple logic tu, Inakuaje Allah MKAMILIFU aumbe kitu Kidhaifu??? Yan how comes a well fixed modern machine produces low quality products?
 
Duh mbonq umemkanyaga sana mtu wa watu asee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nijuavyo mwarabu katumia vizuri resource zake ila hana jipya ililovumbua hata mafuta walikua nayo ila yalichimbwa na mzungu
Bila Algebra(muarabu muislamu),dunia ingekuwa gizani.Algebra ndio inayotumika jwenye IT,Information technology.Kila kifaa unachokiona kinatumia Algebra(jina la muarabu muislamu).Hata Internet unayotumia ni Algebra,simu unayotumia ni Algebra,vifaa tiba,ni Algebra,magari unayopanda ni Algebra,shule pia lazima kufundishwa Algebra.Muislamu hakwepeki.
 
Nimekosa cha Ku comment hapa maana Udini umetawala mno kwenye kila Uzi humu JF
Kwani Hospital za dini zinawatibu watu wa madhehebu yapi? Ifike mahali tujue sote tunamwamini Mungu mmoja tuu aliyetafsiriwa Kwa Lugha na majina tofauti tuu
Dini ni Imani tuu ya kutufikisha kwake mengine ni ya hapa duniani na tuamini tunalumbana Ila sote tunamwamini Mungu mmoja tuu!
Hutibiwi bure,unalipia
 
Uhusiano wa Kanisa Katoliki na Serikali ni mkubwa mno hauwezi kuvunjwa kirahisi hivyo, RC waliombwa na Serikali kafanya huo ubia ila wanaweza kujiendesha wenyewe na pia wanampango kazi wa miaka elfu moja ijayo hata Serikali yetu haina hiyo kitu.
 
U know what? Mara nyingi mjinga hufuatana na wajinga wenzie sasa Arabs are inferior to white people na ww uko upande wa hao inferiors so na ww bila shaka ni inferior
Bila algebra(muarabu muislamu)!ndio imgekuwa gizani.IT yote inatumia Algebra(jina la muarabu muislamu)aligundua algebra.Kila unachokiona duniani bila algebra kisingetengenezwa.Hii Internet unayotumia ni Algebra,vifaa tiba ni algebra,magari ni algebra.
 
Kila unachokiona katika Information Technology,-kinatokana na Mtu anayeitwa Al gebra,na ni muarabu,muislamu,bila yeye kugundua Algebra na kuitwa kwa jina lake,kusingekuwepo na Computer,vifaa tiba,vinavyotumia IT.Algebra ndio baba wa vifaa vyote vya IT.Hata hii Internet unayotumia,ni kupitia Algebra.Hiyo Algebra awe muislamu,mkristo,asiye na dini,lazima aitumie kila siku.

Kila unachokiona katika Information Technology,-kinatokana na Mtu anayeitwa Al gebra,na ni muarabu,muislamu,bila yeye kugundua Algebra na kuitwa kwa jina lake,kusingekuwepo na Computer,vifaa tiba,vinavyotumia IT.Algebra ndio baba wa vifaa vyote vya IT.Hata hii Internet unayotumia,ni kupitia Algebra.Hiyo Algebra awe muislamu,mkristo,asiye na di
Acha ubwege, toka hyo algebra agundue hyo mliitumiaje kuimodify vip ili iwe useful?? (ndio shida yangu) ni sawa sawa na mtu anaekuambia this is a way lakn yeye anapotea 😂😂😁
ni,lazima aitumie kila siku.
 
Ukiwa unaabudu kwa kugonga kuchwa kwenye sakafu huwezi kuwa na akili. Yaani Sheikh Ponda alipaswa aaangalie Takwimu za Watanzania waliohudumiwa kwenye hosipitali hizo na kulinganisha kuwa ingekuwaje kama zisingekuwapo!!
Yesu pia alikuwa akihonga kichwa kwenye ardhi.Bila algebra (jina la muarabu,muislamu,kudingekuwa na IT.Kila unachokiona ni algebra,bila algebra ,dunia imgekuwa gizani.Internet unayotumia ni muarabu,muislamu anayeitwa algebra.
 
Bila Algebra(muarabu muislamu),dunia ingekuwa gizani.Algebra ndio inayotumika jwenye IT,Information technology.Kila kifaa unachokiona kinatumia Algebra(jina la muarabu muislamu).Hata Internet unayotumia ni Algebra,simu unayotumia ni Algebra,vifaa tiba,ni Algebra,magari unayopanda ni Algebra,shule pia lazima kufundishwa Algebra.Muislamu hakwepeki.
Hyo IT unayoisema ni Mzungu bro amekuwa mtaalamu wa kitumia findings kutengeneza useful technology. inventions zipo nyingi tu tatizo kuzifanya ziwe useful ndio msala, apa mzungu ameweza sana kuliko wavaa kobaz wa masharik ya kati sijui mbal 😂😂
 
Achana na mambo ya Allah . U knw what? Mm na ww tunaomba misaada uko nje. Mm namwomba mzungu aniwezeshe nijenge SHULE na HOSPITALS ila wew kwasababu ni dhaifu kama ulivyoambiwa unaomba ujengewe Madrasa na misikiti [emoji23][emoji23][emoji23].
Hospital za kiislamu nyingi tu.Agha Khan na Istiqama wana mahospial,mashule,mpaka vyuo vikuu duniani.
 
Kuna mkataba ambao mimi binafsi sijawahi kuuona isipokuwa nasikia hauna ukomo na badala ya kuingiza chochote katika mfuko wa taifa huwa unakula tu na kudhoofisha wananchi kiuchumi na hata kiimani.

Mkataba huo ni ule kati ya kanisa katoliki na serikali ya Tanzania ambapo kwa mujibu wa mmoja wa masheikh anasema kama hivi:

Tatizo kubwa ni serikali kuingia ubia na Taasisi binafsi nakufanya za kwao. Solution ni serikali kujenga hospital kubwa za rufaa kila wilaya na mikoa
 
Back
Top Bottom