Sasa kama zipo si na wao watafute fursa kama zina faida kuliko kulalamika? Mie hapo ni Agha Khan hizo nyingine sizifahau sijui zipo wapiHospital za waislamu zipo nyingi tu.Na zina madaktari Bingwa.Istiqama wanazo hospital,Agha Khani wanazo hospital.
Baada ya kuvumbua imekuwaje, Tanzanite mvumbuzi wake yupo wapi, yeye kavumbua basi utaalamu wake ukaishia hapo wenzie wakashika usukani1.
Bila Algebra mzungu asimgeona ndani.
Mpaka leo mzungu anatumia namba za kiarabu 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9,hana namba zake.
2.Mpaka leo mpaka leo mzungu anatumia neno alphabet(la kiarabu na la waislamu)
3.Mpaka leo mzungu hana alphabet zake,anatumia za kilatini,wakati muarabu ana alphabet zake.
Dini imekukolea naona, blind faithHata chuo kikuu cha kwanza Afrika,alianzisha mwanamke wa kiislamu MoroccoView attachment 2698806
Inaonekana kile kitu nilinchokupa hukutarajia kabisa kutokana na ushamba wako katika masuala ya kielimu.Sasa unahangaika kutafuta vitu vya kujifariji na huwezi kupata kwani historia ya kweli haibadiliki.Hilo bandiko lako linakazia ile ile historia niliyokupa ambayo ndiyo historia halisi wanayoikubali wazungu.Kwamba mtu wa mwanzo kuunda dude lililoruka angani ni Ibn Firnas.Mambo ya vishada hata watoto wa leo wanavichezea na havilingani urukaji wake na hizo boeng na bombardier.Endelea kudanganywa na walimu wako wa mdrasa. Kula chuma hicho mpumbavu ww. Kama hujui hyo lugha sema fasta tukusaidie tukutoe ujinga kichwani
Unachozungumzia sio madhumuni ya mjadala. Hata Tanzanite ikitumika namna gani,.Aliyeigundua mara ya mwanzo hawezi kupuuzwa kwa vile hakuendeleza matumizi yake.Baada ya kubumbua imekuwaje, Tanzanite mvumbuzi wake yupo wapi, yeye kavumbua basi utaalamu wake ukaishia hapo wenzie wakashika usukani
Agha khan ni foreign private HospMbona zipo nyingi tu,hospital za waislamu,lakini hazipati,kama Istiqama wanazo hospital,na zna madaktari Bingwa.Agha Khan pia wanazo hospital
Ah napoteza nguvu na mtu asielewa. Poa Firnas ndio baba na mwanzilish wa aviation. Pia ndege za mwanzo kabsa kuruka zilianzia kwa wavaa kubaz. Lakin pia wao mpaka sasa ivi ndio wataalam haswa wa kuzalisha ndege za kisasa za abiria na za kijeshi. Makampuni makubwa duniani ya utengenezaji ndege yaan Boeing, Airbus, Bombadier, Gstrms zote ni za wavaa kubaz. OvaInaonekana kile kitu nilinchokupa hukutarajia kabisa kutokana na ushamba wako katika masuala ya kielimu.Sasa unahangaika kutafuta vitu vya kujifariji na huwezi kupata kwani historia ya kweli haibadiliki.Hilo bandiko lako linakazia ile ile historia niliyokupa ambayo ndiyo historia halisi wanayoikubali wazungu.Kwamba mtu wa mwanzo kuunda dude lililoruka angani ni Ibn Firnas.Mambo ya vishada hata watoto wa leo wanavichezea na havilingani urukaji wake na hizo boeng na bombardier.
Ibn Firnas lazima awe wa kuaminika zaidi kwani ni mtu wa madrasa na kwenye madras ndiko zinakopatika habari za upepo uliomrusha nabii Suleiman na ndio chanzo kikuu cha nguvu za ndege kuruka,kupaa na kujisawazisha angani.
,وَلِسُلَيْمَانَ الرِّيحَ عَاصِفَةً تَجْرِي بِأَمْرِهِ إِلَى الْأَرْضِ الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۚ وَكُنَّا بِكُلِّ شَيْءٍ عَالِمِينَ
Na tukamsahilishia Suleiman upepo wa kimbunga wendao kwa amri yake kwenye ardhi tuliyo ibarikia. Na Sisi ndio tunao jua kila kitu. qur 2:81
Mvaa kamba ya mbuzi shingoni,nenda nchi za kiarabu ukatembee,ukaone.Nenda Dubai,Nenda Kuwait,nenda Bahrain,Nenda Qatar,!nenda Oman ,nenda Saudia,nk,ukaone jinsi technology inavyofanya kazi,na ni wao wenyewe.Swali la msingi bado hujajibu unazunguka tuuu. WHEN EN WHERE DID THE KUBAZ WEARING RED SKIN DROUGHT LIVING PEOPLE CONVERT THEIR SO CALLED FINDINGS TO CONQUER THE WESTERN TECH??
Kasome post #1.Kanisa gani unamaanisha sasa? Maana makanisa yote makubwa yana hospital na shule au ni RC tu Ndo wafutiwe hiyo Mou? Nazani ni muda sasa sheikh ubwabwa mwaipopo atangaze waislam wote wasitibiwe na madoctor wakristo na kwenye hospital za kanisa maana sio sawa kwa muislam kutibiwa na kafir na hospital za kafir
Wewe mvyaa kamba ya mbuzi,juzi tu hapa wamekuja Muhimbili,madaktari kutoka Misri,kuwafundisha madaktari wa Muhimbili jinsi ya kufanya upasuaji bila kupasua sehemu kubwa.Hizi ni hadithi mm sina shida nazo kaka, mm nataka uniambie CURRENTLY the kubaz wearing people wanaongoza kwenye sector ya afya kwa techonologia ya juu kuliko west na utoe na relevant examples sio kuniambia sijui quran sijui hadith [emoji23][emoji23]. Au thibitisha kwamba kobaz wameinvent technologia ya juu kuliko wazungu over
Wewe mvyaa kamba ya mbuzi shingoni.Tembea acha kukaa chumbani.Juzi tu wamekuja madaktari kutoka Misri,Muhimbili.kuja kuwafundisha madaktari,-kufanya upasuaji bila kupasua sehemu kubwa .Nisome vizur hapa. After finding those algebras u have been claiming here, What did they do with them to CONQUER AND LEAD the westerners in the world of modern technology? Yaani onesha relevant examples across the world if possible ambavyo hawa kubaz wametengeneza kupitia hyo ALGEBRA kuwa outshine wazungu!! Jibu hapa kama kweli wew kidume. Full stop
Ilikuwa na wao wajumuishwe,sio watengwe.Hata Direct aid(zamani African Muslim Agency)wanazo hospital pia.Sasa kama zipo si na wao watafute fursa kama zina faida kuliko kulalamika? Mie hapo ni Agha Khan hizo nyingine sizifahau sijui zipo wapi
Wewe mvyaa kwmba ya mbuzi shingoni,tembea wacha kujikalia chumbani.Kuna mpuuzi mmoja mwongo mwongo kama fisi anasema mtu wa kwanza kuinvent gliders alikuwa KUBAZ [emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Mpaka kesho hawa watu,wana technologia zao.Tembea mvaa lamba ya mbuzi shingoniBaada ya kubumbua imekuwaje, Tanzanite mvumbuzi wake yupo wapi, yeye kavumbua basi utaalamu wake ukaishia hapo wenzie wakashika usukani
Huna hoja.Dini imekukolea naona, blind faith
Hiyo kwa sasa haina sababu, kwa kuwa hakuna Hospitali ya bure.Waislamu wajenge hospitali zao nao waingie MoU na Serikali
Huo hana hoja.Huwa wanadanganyana kwenye vInaonekana kile kitu nilinchokupa hukutarajia kabisa kutokana na ushamba wako katika masuala ya kielimu.Sasa unahangaika kutafuta vitu vya kujifariji na huwezi kupata kwani historia ya kweli haibadiliki.Hilo bandiko lako linakazia ile ile historia niliyokupa ambayo ndiyo historia halisi wanayoikubali wazungu.Kwamba mtu wa mwanzo kuunda dude lililoruka angani ni Ibn Firnas.Mambo ya vishada hata watoto wa leo wanavichezea na havilingani urukaji wake na hizo boeng na bombardier.
Ibn Firnas lazima awe wa kuaminika zaidi kwani ni mtu wa madrasa na kwenye madras ndiko zinakopatika habari za upepo uliomrusha nabii Suleiman na ndio chanzo kikuu cha nguvu za ndege kuruka,kupaa na kujisawazisha angani.
,وَلِسُلَيْمَانَ الرِّيحَ عَاصِفَةً تَجْرِي بِأَمْرِهِ إِلَى الْأَرْضِ الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۚ وَكُنَّا بِكُلِّ شَيْءٍ عَالِمِينَ
Na tukamsahilishia Suleiman upepo wa kimbunga wendao kwa amri yake kwenye ardhi tuliyo ibarikia. Na Sisi ndio tunao jua kila kitu. qur 2:81
Ameshaelewa,ila anajifanya hajaelewa.Bila namba 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9,dunia ingekuwaje,bila Algebra,dunia ingekuwa gizaniUnachozungumzia sio madhumuni ya mjadala. Hata Tanzanite ikitumika namna gani,.Aliyeigundua mara ya mwanzo hawezi kupuuzwa kwa vile hakuendeleza matumizi yake.
Heshima itabaki wa waislamu milele kwa kuanzisha mfumo wote wa kuhesabu 0,1,2...........................na -1,-2......0.1.0.3.................. unaotumika kwenye teknolojia zote sasa. Namba tunazotumia na mahesabau mengine makubwa yanayotumika viwandani kama calculus na binomials zote ni uvumbuzi wa waislamu.Gwiji moja wapo ni Alkaraaj ambaye ndiye baba wa hydrolojy.