Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Sio habari mpya hii, imesemwa sana mpaka watu kama watakuwa wanaongea watakuwa wanarudiarudia!
 
Unajua inategemea glasi unaiangalia vipi. Half full or half empty. Mkataba huu hauna tatizo lolote, kwani kanisa lilitaka uhakikisho kuwa serikali haitawageuka tena na kutaifisha institute zao pia unaweka bayana kuwa institute hizo ziwe ni kwa ajili ya jamii nzima bila kubagua dini na ndivyo ilivyo. Sasa kama sisi Waislamu tulitaka tusaini MoU kama hiyo na serikali ilibidi tufanye due deligence, wenzetu wameanza je na wamefanikiwaje na sio kusema kwa sababu umesaini na fulani saini na mimi labda ilikuwa na kasoro na hawakutaka kubadilisha kwa ajili ya ubishi wa wachache. Tunapenda sana kulalamika bila kufanya yatupasaya. Nadhani huyu raia mwema anataka tu ku speed up chokochoko za kidini kwani hapo hajaandika kwa sababu ya Waislam bali kuonyesha serikali inapendelea dini fulani kitu ambaccho siyo kweli. Serikali itashirikiana na wadau wa maendeleo wakati wote.
 
hakuna SHULE HATA MOJA INAYOPOKEA PESA TOKA KWENYE SELIKALI.kama ipo semeni. humu ndani kuna wakurugenzi wa shule wengi watawaambia. na kama huo mkataba mnaona unawadhuru waislam, upigeni chini, hata sisis wakristo hatuutaki. tunataka kuchangia sisi wenyewe kwenye mashule yetu, tujenge mashule yetu nk. hatutaki waislam watujengee shule, kwasababu hawawezi, uwezo huo hawana hata zao hawajaweza.

kuhusu chama cha kisiasa pale magomeni kichangani kwenye msikiti, hilo halitutii shaka wakristo, ila watz wote ndo liwatie shaka. kwasababu the more you people mnajitenga, the more mtatengeka kikwelikweli katika shule, huspitali na maendeleo mengine. mtabakiwa tu na maendeleo ya kununua mabasi ya kwenda mkoani peke yake. shule hamtaenda, na hospitali mtanyanyapaliwa. ni bora muache tu huo mpango wenu wa kuingiza vyama vya kigaidi tz. HAMNTISHI MTU KWA TAARIFA YENU, NDO MAANA TOKA AWALI WAKRISTO HAWAOGOPI. hawatishiki, ni tishio la watz wote sio wa dini moja tu.

Duuh!
Je,Tutafika?
 
Duh…! Mambo hayo. Lakini nataka tu kuelimishwa iwapo kiko kipengele katika Katiba yetu kinachoruhusu serikali kuingiliana mikataba na taasisi za dini.

Kama kipo, ni kweli kipengele hicho kinaruhusu tu mikataba ya kutoa misaada ya kipesa kwa taasisi za dini fulani tu na kuzibagua zingine?

Nadhani tunapoteza mwelekeo kabisa. Serikali inaweza kuingia mkataba au MoU na taasisi yeyote kama inaona ina manufaa. NGOs ni mojawapo ya taasisi kama makanisa n.k. Hii haina maana ya kuingilia mambo ya dini. Kwa mfano leo hii BAKWATA ikitaka kuuda Mahakama ya Kadhi bila kutaka kugharimiwa na Serikali hakuna tatizo. Mara moja Serikali na BAKWATA zinaweza zikaingia MoU ya kukubaliana kuhusu uwanzishwaji huu na sidhani utasikia kelele tena. It is that simple.
 
Sio habari mpya hii, imesemwa sana mpaka watu kama watakuwa wanaongea watakuwa wanarudiarudia!

Naam, siyo mpya hii habari. Lakini mjadala umekuja tena wakati muafaka – suala la Kadhi na OIC katika maudhui mazima ya kuangalia iwapo sasa serikali inataka kuvunja Katiba kwa kutaka kuipendelea dini fulani, au iwapo tayari ilishavunja hiyo hiyo Katiba kwa kuipendelea dini fulani nyingine. Ni mambo ya kujadili tu.
 
Nadhani tunapoteza mwelekeo kabisa. Serikali inaweza kuingia mkataba au MoU na taasisi yeyote kama inaona ina manufaa. NGOs ni mojawapo ya taasisi kama makanisa n.k. Hii haina maana ya kuingilia mambo ya dini. Kwa mfano leo hii BAKWATA ikitaka kuuda Mahakama ya Kadhi bila kutaka kugharimiwa na Serikali hakuna tatizo. Mara moja Serikali na BAKWATA zinaweza zikaingia MoU ya kukubaliana kuhusu uwanzishwaji huu na sidhani utasikia kelele tena. It is that simple.

Not that simple! Moja ya sababu ya kukataliwa Mahakama ya Kadhi ni kwamba itagharamiwa na serikali ambayo haina dini Kikatiba. sasa hiyo hiyo serikali inaingiliana mkataba na Kanisa kugharamia huduma sa afya na elimu. Huoni kuna kitu hakikai sawa hapa mkulu?
 
Game Theory aliuweka hapa na Raia Mwema wamekopi hapa na kuwa story.
Mara mbili lowassa kwa kutumia pesa za serikali alikwenda Marekani kuchukua pesa za Hospital ya Bugando mwaka 2006.
Sumaye alitumia milioni mia tano kwenda Marekani kwenye kuchukua pesa za kanisa kupitia MOU kati ya kanisa na serikali.
shule ya sekondari Forodhani hivi sasa waislam wamefukuzwa wanasoma wakristu pekee yao ni kazi ya MOU.
 
Raia Mwema said:
Kwa upande wake, Askofu Dk. Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, ameliambia Raia Mwema kwamba MoU hiyo hailengi kusaidia dini moja na kwamba hadi sasa imekuwa ikitumika kwa hospitali teule pekee zilizoombwa na serikali.
"Mpaka sasa kipengele cha mashule hakijatekelezwa na hakuna shule hata moja ya kanisa inayopokea misaada toka serikalini. Lakini hata kama itatekelezwa ilikuwa kwa mashule yote bila kujali dini zao, ni kwa madhehebu yote na hadi sasa haijatekelezwa, kama na ndugu zetu nao (Waislamu) wana mashule inawahusu," alisema.
Dk. Bagonza ambaye amekuwa na msimamo wa kati katika mambo mengi ya msingi ya kijamii na mwenye mahusiano ya karibu na madhehebu yote, alisema serikali ndiyo inayoomba kutumia hospitali teule maeneo ambayo hakuna huduma hiyo.
"Kuhusu hospitali teule, Kanisa huwa haliombi serikali bali serikali kama haina hospitali mahali inaliomba kanisa kuomba kutumia facilities kwa kuchangia gharama ili wananchi wake wapate huduma. Na huduma pale huwa hazibagui mtu yeyote kwa dini yake," alisema

wandugu,

..binafsi nadhani kuna watu hawasomi makala nzima na kuielewa kabla haja-respond.

..mwishoni mwa makala ya Raia Mwema kuna maoni ya Askofu Bagonza kuhusu manufaa kwa jamii nzima yanayotokana na MOU/ mkataba kati ya serikali na kanisa.

..vilevile kuna malalamiko ambayo yanapaswa kufanyiwa kazi hapa. kuna madai kwenye gazeti la raia mwema kwamba Waislamu nao walijaribu kutengeneza MOU inayofanana na hiyo ya Kanisa na serikali ikakataa kusaini. serikali inapaswa kurekebisha suala hilo.
 
hakuna SHULE HATA MOJA INAYOPOKEA PESA TOKA KWENYE SELIKALI.kama ipo semeni. humu ndani kuna wakurugenzi wa shule wengi watawaambia. na kama huo mkataba mnaona unawadhuru waislam, upigeni chini, hata sisis wakristo hatuutaki. tunataka kuchangia sisi wenyewe kwenye mashule yetu, tujenge mashule yetu nk. hatutaki waislam watujengee shule, kwasababu hawawezi, uwezo huo hawana hata zao hawajaweza.

kuhusu chama cha kisiasa pale magomeni kichangani kwenye msikiti, hilo halitutii shaka wakristo, ila watz wote ndo liwatie shaka. kwasababu the more you people mnajitenga, the more mtatengeka kikwelikweli katika shule, huspitali na maendeleo mengine. mtabakiwa tu na maendeleo ya kununua mabasi ya kwenda mkoani peke yake. shule hamtaenda, na hospitali mtanyanyapaliwa. ni bora muache tu huo mpango wenu wa kuingiza vyama vya kigaidi tz. HAMNTISHI MTU KWA TAARIFA YENU, NDO MAANA TOKA AWALI WAKRISTO HAWAOGOPI. hawatishiki, ni tishio la watz wote sio wa dini moja tu.

Mkulu, nadhani sasa kwa mbali naiona truce ya malumbano haya. waambie maaskofu waufute huo mkataba ili pande zote mbili ziwe katika equal footing.

Lakini bado litakuwapo suala la serikali kuwekeana mkataba na Kanisa Katoliki kuweka ubalozi wao hapa. Kama kwa sababu moja au nyingine Waisilamu nao hawawezi kufanya au kufanyiwa hivyo, basi huo ubalozi wa kiroho nao ufungwe.

Hayo yakifanyika Waisilamu hawatakuwa na madai yao dhidi ya Serikali -- hususan kuhusu Kadhi na OIC.
 
Tunataka soft copy ya mkataba huo kabla hatujaendelea kujadili tetesi
 
Game Theory aliuweka hapa na Raia Mwema wamekopi hapa na kuwa story.
Mara mbili lowassa kwa kutumia pesa za serikali alikwenda Marekani kuchukua pesa za Hospital ya Bugando mwaka 2006.
Sumaye alitumia milioni mia tano kwenda Marekani kwenye kuchukua pesa za kanisa kupitia MOU kati ya kanisa na serikali.
shule ya sekondari Forodhani hivi sasa waislam wamefukuzwa wanasoma wakristu pekee yao ni kazi ya MOU.
ukiweka kila kitu kati dhana hiyo , basi taifa letu litakuwa kama lebanon, kwa mfano, Je mkuu wa Nchi akienda Saudi arabia au Iran , na katika mazungumzo yao licha ya masuala ya kitaifa, akakutana na Jumuia/taasisi/waziri anayeshughulikia uendelezo wa utamaduni wa kiislamu, atakuwa amefanya kosa? kama atakuwa amekosa basi nayenyewe ungeiweka hapa zote kwa pamoja ya huyo sumaye/lowasa na kupokea hizo fedha kwa ajili ya taasisi za kikristo na za wengine kwenda saudia/iran etc na katika ya mazungumzo au misaada ikawa kwa minajili hiyo. hapo utakuwa umejitendea haki na kwa wengine pia, badala ya kuwa umeegemea upande moja. hivyo ndivyo mstaarabu anavyotakiwa kuwa. na wewe najua ni mstaarabu.
 
Tunahitaji kusoma MoU hiyo tuisome kabla ya ku-coment on it!
 
Raia Mwema haliwezi kuandika tetesi.vipi habari za bukoba mheshimiwa?
Nzuri kafu na sisi maf wamefulia mkuu

Wewe unaaminije gazeti ambalo halijatupa evidence? Si mara nyingi tu hawa nao wamesema uongo na mara nyingi huwa hata wao wana pick hizo tetesi hapa na kuzibandika kwao?
Najua na wao nimemba hapa wambie walete soft copy kabla hatujaanza mijadala ya huo mkataba.
Inawezekana ni mkataba clean kama vile ilani ambayo mmeipigia kelele mwisho imebainika haikuwa mbaya! Hata Makamba kathibitisha hilo.
🙂
 
Kazi kweli kweli

sasa kunamwingine huo ambao najua ukitoka kwenye public domai lazima watu waingie mtaani
 
Kazi kweli kweli

sasa kunamwingine huo ambao najua ukitoka kwenye public domai lazima watu waingie mtaani

Wewe ulete tu hapa ili machafuko yaanze maana hiyo ndiyo nia yako. Ila jambo moja nakuhakikishia kuwa, huko mtaani mwende mmejiandaa maana kipindi hiki kipigo kitatoka kwa MPs wa jeshi na sio FFU pekee.
 
Wewe ulete tu hapa ili machafuko yaanze maana hiyo ndiyo nia yako. Ila jambo moja nakuhakikishia kuwa, huko mtaani mwende mmejiandaa maana kipindi hiki kipigo kitatoka kwa MP wa kijeshi na sio FFU pekee.


saa zingine hebu fikiria kabla ya kupost

watu wameweka mikataba yenye kuonyesha ma trilioni yalivyoibiwa na hakuna aliyeingia mitaani
ndio itakuwa hii mikataba ya kidini?

surely akili yako itaweza kufikiria zaidi ya hayo uliyoaandika
 
saa zingine hebu fikiria kabla ya kupost

watu wameweka mikataba yenye kuonyesha ma trilioni yalivyoibiwa na hakuna aliyeingia mitaani
ndio itakuwa hii mikataba ya kidini?

surely akili yako itaweza kufikiria zaidi ya hayo uliyoaandika

Well,

Haya ndiyo umeeandika kwenye post yako juu

Game Theory said:
Kazi kweli kweli

sasa kunamwingine huo ambao najua ukitoka kwenye public domai lazima watu waingie mtaani
 
Back
Top Bottom