Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Pamoja na kukwepa kujibu maswali yangu....si neno sana.....anyway tuendelee unavyotaka wewe.....unayejua "Kidhungu"

..........Labda uniambie hiyo MoU is between...."HEWA"........kwenye MoU kunakuwepo na sides.........na unachosema Bilateral negotiation is nothing less.....bali ni maelewano yanayofuata a leading "silabi".......bi......upo hapo Mkuu wangu........sasa wewe unayejua "Kidhungu".....nafikri unaelewa zaidi maana ya "bi..."

nilitegemea wewe unayejua "Kidhungu"....ungenielimisha matumizi ya neno "Shall"......halfu ndio useme............


Check tena hiyo article na uone neno "shall"........ unielimishe lina maana gani.........


There is no binding issue here. It is not a covalent agreement that the Gov shall donor at any and all times when Christian run societies are in need, the paragraph does neither says nor claims that. The paragraph is very clear, that the Gov will donor after negotiating. When you are in the negotiantion, it is either you will get what you ask or not. It is simple and clear. It was not said that the Gov shall give monies to the Christian run sociaties, but it rather said that it shall donor after bilateral negotiation.

What is a donor? When do someone becomes a donor?
 
Kaazi kweli kweli when an atheist anaporudi kwao.

5niwpt.jpg
 
You discovered that your best isn't enough, now you are running away from darwin. lol

Kaazi kweli kweli.

Haya lete khabari ya donor, bana.
 
It is shame for muhammadans to behave the way they do and continue to show inferiority kwa wakristo. This memo is not applied mathematics kiasi cha kushindwa kusoma na kuelewa, labda Madrasa inaendelea kufanya kazi mbaya ndani ya hawa Muhammadans.

Mlengwa katika hii memo of understanding ni Mtanzania na sio Mkristo wa Tanzania. Atakaye faidika na hii memo ni Mtanzania na sio Mkristo au Kanisa ndani ya Tanzania, zaidi ya Kanisa kuwa kijakazi.

Waislam hawana jipya zaidi ya kuendelea kuonyesha ni jinsi gani Uislam unavyo penda kurudisha nyuma maendelea katia jamii. I don't see any biase here than clear and open thoughts zinazo taka kumsaidia Mtanzania na jamii nzima ya Tanzania kwa ujumla.

Hakuna kipengele hata kimoja katika hii memo of understanding inayo mlenga au faidisha Mkristo pekee zaidi ya kuonyesha kwa uwazi kuwa mlengwa ni jamii nzima ya Tanzania.

Hakuna hata sehemu moja katika hii memo of understanding inayosema au mtenga Muislam katika mapokeo ya huduma inayoendeshwa na hiki kitengo/wakristo katika hii memo ya understanding.

Makanisa yamejenga mashule, maospitali, vyuo vikuu kibao ambavyo hata kimoja hakijamtenga au mkataa kumuhudumia muislam.

Wherefore, there is no issue here to complain than to thank the Christian community kwa kazi nzuri wanayo fanya kwenye jamii yote ya Tanzania na dunia nzima.

It is shame and sad to be islamized.


Bravooooooo mkulu.
 
Bravooooooo mkulu.
Kwanini MoU inawasaidia wakristo?
a) Umefanyika kwa siri siri kwa kuwa ni hila unlike muslims request is opne to discussion ujue mnachukua pesa kwenye mfuko wa pamoja??
b) Serikali ina Account vipi kwamba pesa actually zimenunuliwa
c) Hivi watu serikalini (wafanyakazi) wanafikiria dini zao au Taifa??? kwanini isiwe open (MoU) to all religius group to access fund??
d) Ebu fafanua kivipi pesa za kanisa (kutoka serikalini) zinanisaidia mimi tumain muislamu mtanzania?? kwanini uchukue pesa kutoka hazina kwa mgongo wa kanisa???
 
Kwanini MoU inawasaidia wakristo?
a) Umefanyika kwa siri siri kwa kuwa ni hila unlike muslims request is opne to discussion ujue mnachukua pesa kwenye mfuko wa pamoja??
b) Serikali ina Account vipi kwamba pesa actually zimenunuliwa
c) Hivi watu serikalini (wafanyakazi) wanafikiria dini zao au Taifa??? kwanini isiwe open (MoU) to all religius group to access fund??
d) Ebu fafanua kivipi pesa za kanisa (kutoka serikalini) zinanisaidia mimi tumain muislamu mtanzania?? kwanini uchukue pesa kutoka hazina kwa mgongo wa kanisa???

Hilo haliwezekani kwa sababu walioko huo kwenye sehemu za kufanya hivyo ni wakristo ndio maana wametake advantage ya weakness ya Lowassa

Imagine hili lingefanywa na waislam halafu PM akawa anaitwa Mohammed Said (kwa mfano) ungesikia balaa lake
 
Kwanini MoU inawasaidia wakristo?
a) Umefanyika kwa siri siri kwa kuwa ni hila unlike muslims request is opne to discussion ujue mnachukua pesa kwenye mfuko wa pamoja??
b) Serikali ina Account vipi kwamba pesa actually zimenunuliwa
c) Hivi watu serikalini (wafanyakazi) wanafikiria dini zao au Taifa??? kwanini isiwe open (MoU) to all religius group to access fund??
d) Ebu fafanua kivipi pesa za kanisa (kutoka serikalini) zinanisaidia mimi tumain muislamu mtanzania?? kwanini uchukue pesa kutoka hazina kwa mgongo wa kanisa???

a)MoU haijafanywa kwa siri. Siyo kila makubaliana yanawekwa wazi. Wewe unajua MoU zote ambazo serikali inasign? Hizi ziko open kwa yoyote anayetaka kufuatilia ndiyo maana hata huyo Game Theory kaweza kuipata.

b)Sijakuelewa hapa. Kununuliwa kivip?

c)Hiyo MoU ni kwa ajili ya afya na elimu. Vituo vya afya na shule za kanisa ziko open tu any one kwa hiyo hata wewe Tumain una access nazo. Sehemu zingine vituo vya afya vya kanisa ndiyo the only ones available. Shule za kanisa Tanzania ndiyo zinaongoza kwa kufaulisha Tanzania ni mifano michache ni St. Francis na St. Marion zinazo shika nafasi za kwanza na pili kitaifa karibia kila mwaka. Hizi shule hata wewe Tumain unaweza ukasoma au mtoto wako akasoma na akapata elimu bora. Hapo hauja nufaika?
 
Hilo haliwezekani kwa sababu walioko huo kwenye sehemu za kufanya hivyo ni wakristo ndio maana wametake advantage ya weakness ya Lowassa

Imagine hili lingefanywa na waislam halafu PM akawa anaitwa Mohammed Said (kwa mfano) ungesikia balaa lake

Nani angeleta balaa? Acha kuongea kwa nadharia just prove your point. Kila mtu ana lalamika na ndiyo maana hata waislamu hii MoU wameilalamikia. Je na wao tuseme wanailalamikia kwa sababu PM alikua Mkristo? Je hiyo MoU inge kuwa signed wakati kuna PM Muislamu?
 
bado waislam sasa na MoU zao

then tusikie kelele za wakristo
 
This is what we call "PUMBA".......kwa sababu unaongowa na jazba...naona "Roho wako Mtakatifu" katimka leo......kwi kwi kwi

Sasa naona upumbavu umeanza humu jamvini..Sasa kama tunaweka ustaarabu pembeni na kuanza kutukanana kuhusu Mungu tunayemuabudu tuwekane bayana ili tufungulie sewer system rasmi humu...
 
Ndio maana Mahalu alikuwa akijiamini sana kwamba hatafanywa lolote? Ndio maana hadi leo Lowassa anajiamini atakuwa Rais wa nchi hii tena hata 2010? hebu tuelimisheni.

Hizi ni pumba ambazo sikuzitegemea kutoka kwa mtu niliyekuwa nikimdhania kuwa ni benchmark kwa namna fulani humu jamvini..

Mijadala kama hii inayohusisha dini ndio hutoa picha halisi ya intelligence ya mtu.

Hivi wewe halisi unadhani MoU huwa inatengezwa na Waziri? Hivi vitu mazee vinakwenda kwa madokezo na vikao huko Wizarani na mpaka kufikia ngazi za Baraza la Mawaziri..Kwa kifupi inahusisha mchakato wa watu kibwena na wala sio kwamba Lowasa alijichimbia mafichoni na Mahalu kusaini hio MoU.

Sasa huo ukosefu wa weledi uliouonesha hapo juu itabidi nianze ku-review kwa makini sana michango yako yote niliyowahi kuipa thanks huko siku za nyuma, na kuondoa thanks pale itakapobidi.
 
Jamani eeeh maneno mengi ya nini!..
Mnajaribu kusema kitu gani hapa ikiwa mtu anaweza kwenda UK akaweka mkataba hotelini na rais akajibu kuwa waziri wake anaifanya hiyo kazi kwa niaba yake hana haja wala sababu ya kujua kilichokubalika maanake anamwamini..Bunge letu lote hawakujua issue za IPTL, Richmond, Barricks na kadhalika zote tuliambiwa ni siri na kwa usalama wa taifa leo hii mambo yanabadilika inapofikia issue kama hizi wakubwa..Nambieni issue hata moja ambayo baraza la Mawaziri liliunganishwa kama sii yale mabo ya kawaida tu.

Mimi binafsi sioni ubaya wowote kwa serikali kuweka mkataba na kanisa Katoliki maadam wana nia nzuri kwa jamii ila hunishinda kuelewa tu pale Saudia wanapotaka kuja kulima mchele inakuwa issue ya Waislaam sii WaSaudia tena... Msaiudia mfanya biashara inakuwaje awe addressed kama Muislaam anaingia nchini kuingiza Uislaam..Iran na misaada yake ni Uislaam basi ili mradi inachusha kusikiza wala kusoma. Mijitu imesoma na Phd zao lakini inapofikia maswala kama haya basi huwa wadogo kama watoto wa Kinder.

Mahakama ya kadhi inakuwa issue, Nyerere alivaa kibaraghashia issue nyingine, Mrema kaonekana msikiti basi hafai tena kuongoiza. Hivi vitu tunavipata wapi jamani.. uchawi huu wadini za kufungashiwa unatoka wapi.. Hivi kweli nyie mna imani ya dini au mna imani na Taasisi za kidini.
 
MOUs ni kitu cha kawaida kwa yeyote anayetaka kuwekeza katika sekta ili kulinda pesa yake. Nadhani itakuwa vema pia imani nyingine ziwekeze na kuingia MOU na siyo kutoa
 
Hizi ni pumba ambazo sikuzitegemea kutoka kwa mtu niliyekuwa nikimdhania kuwa ni benchmark kwa namna fulani humu jamvini..

Mijadala kama hii inayohusisha dini ndio hutoa picha halisi ya intelligence ya mtu.

Hivi wewe halisi unadhani MoU huwa inatengezwa na Waziri? Hivi vitu mazee vinakwenda kwa madokezo na vikao huko Wizarani na mpaka kufikia ngazi za Baraza la Mawaziri..Kwa kifupi inahusisha mchakato wa watu kibwena na wala sio kwamba Lowasa alijichimbia mafichoni na Mahalu kusaini hio MoU.

Sasa huo ukosefu wa weledi uliouonesha hapo juu itabidi nianze ku-review kwa makini sana michango yako yote niliyowahi kuipa thanks huko siku za nyuma, na kuondoa thanks pale itakapobidi.

duh! kwa sababu Halisi kpoint out ukweli kwenye hili keshakuwa hafai...kazi kweli kweli

Imagine angisifu hii MoU mngemuona ana maana sana siyo?
 
Hii topic in-suck. Sawa na kubishana siku nzima kuwa kesho ni Jumanne na jamaa anasema hapa, si kweli. Mwisho wa siku jamaa anakuambia kuwa kesho ni TAREHE 07/07/2009...............
 
Kuna baadhi ya watu humu wako so indulged into religious differences than facts.
Kuna IDs ambazo nikiziona tu basi wao ni mambo ya mafarakano ya dini.
Mimi sijui wenzangu kama mmesha kuwa na diversity na mambo mbalimbali kama dini, nchi, makabila. Nadhani ni vizuri ukajichanganya ktk dini au imani mbalimbali ndipo utaweza kua-apreciate the difference. Haya malumbano ya utofauti wa kidini to me ni non sence. I believe kila mtu katika dini yake akiwa muadilifu na mwema atakwenda mbinguni if at all kuna mbinguni.

So chill out guys acheni mambo inginge ya ku-argue vitu ambavyo sometimes havijengi. Lets discuss about the issue lakini tusiingie kwenye kuingilia uhuru wa imani za watu wengine. It is all about respect.
 
Back
Top Bottom