Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Wewe punguani kweli yaaani mapadreFedha ya watazania kutumika kwa watanzania kuna ubaya gani? Je, waislam na dini nyingine na hata wasio na dini waliomba kufanya mikataba kama hii wakakataliwa? Hamuoni kuwa mnapofananisha suala la huu mkataba mbovu wa waarabu kuwa hiyo MOA ya wakristo inaonyesha kabisa DP world ilikuwa inakuja kwa sababu za kidini?
Hawa wote wanalipwa mishahara kutoka kodi za Watanzania na sio sadaka.
Mkataba au Memorandum of Understanding kati ya TEC na Serikali unawapa TEC 36 Billion kila mwez
Huu mkataba hauna kikomo unaona sawa una akili kweli wewe?