Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Wapewe na wao mabilioni kama wanavyopewa kanisa halafu tuone kama hawatajenga,

Jibuni hoja msihamishe magoli, kwanini muendelee kupewa hizi hela? Serikali isimamishe fasta
Amekalia kiti mtu wa oman ni raihisi wakati huu kufuta huo.utaratibu
 
Kundi hatari sana Tanzania.
TEC wanamiliki Armed Forces Commision kinyume na katiba
na Padri Slaa aliwahi kutamka kuwa kuna silaha zinapitia TEC
Hawa wana achiwa sana. Msisahau walichofanya Rwanda
Kwi Kwi Kwi , Pole mkuu , tulikuonya lakini ukaota mapembe , Uhaini umeyeyuka !
 
Hivi watanzania mna matatizo gani kichwani!?.. can you really compare kati ya MOU ya Mashirika ya Dini na G.O.T?
Nyinyi ndio wale ndugu mkiachiwa nyumba moja ya urithi uishia kuiuza ili mgawane vijisenti ata kama mko 100...

Kama bado kuna mtanzania hajui kwamba Elimu na Afya hapa Duniani ni ghali sana, na inabidi serikali nyingi na kama sio zote kutoa ruzuku ili watu wake wapate nafuu, huyo Mtanzania inabidi ahamie Burundi kama alivyoshauri Waziri wa Fedha
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Hii hoja haijawahi kuacha kuwa dhaifu.
 
Waislamu wengi sana hupata huduma za Kanisa bila ya Ubaguzi unajua kwa mfano Waislamu wangapi hutibiwa KCMC au Bugando? Na hiyo ni mifano midogo tu kuna Wilaya kubwa Tanzania huduma pekee ni ya Kanisa na kila mtu hutibiwa au unafikiri hakuna Muislamu anasoma SAUT ?

Serikali siyo wajinga wanachangia kwa sababu haina uwezo wa kufikia kila Mtanzania kwa huduma za Matibabu na hata elimu, hivyo labda haujui unachokihoji.

Shida kubwa ya Uislamu ni dini inayonyanyapaa na kukanyaga masikini na watu wa chini wasio na mtetezi, Waislamu maelite hawajali Waislamu wa chini ndiyo maana Uislamu hautoi huduma kwa jamii hata tu watoto yatima hakuna ndiyo maana wewe unahoji Kanisa kupata fedha ktk Serikalini kwa sababu kwako masikini na watu chini siyo kitu.

Viingozi wa Kiislamu wenye uwezo sijawahi kusikia hata siku moja wakianzisha foundation kama Mkapa foundation kusaidia watu, wao kazi yao starehe na kupiga picha social media tu …
Je hao waislam wanatibiwa bure, je huko SAUTI wanasoma bure?
Tuachane na waislam haileti taswira nzuri(udini)

Je hizo taasisi zinatoa huduma bure,jibu ni hapana
Sasa hizo bilioni 36 za nini?
 
Weka ushahidi hapa wa TEC kupewa bilioni 36 kila mwezi na serikali, badala ya kulia lia kama kitoto kichanga.
Unadhani kitenge wa Maulid huwa analopokaga akiwa na ushahidi?

Hana ushahidi wowote so mhurumie tu maana waarabu walishanwekea chapa ni mtu wao.
 
Huu mkataba upo siku nyingi, tuzuie dp world kwanza kisha turudi mezani tujadili huu mkataba.

Watu hawana shida nadp world, changamoto mkataba kuna dalili za ujanja ujanja mwingi mnooo
 
Je hao waislam wanatibiwa bure, je huko SAUTI wanasoma bure?
Tuachane na waislam haileti taswira nzuri(udini)

Je hizo taasisi zinatoa huduma bure,jibu ni hapana
Sasa hizo bilioni 36 za nini?

Kulipia mishahara ya Wafanyakazi kama Madaktari Serikali inalipa isitoshe watoe huduma bure unafahamu gharama za huduma ya afya? Au wewe uko tayari kufanya kazi bila ya mshahara? Maji, umeme, vifaa vya tiba matengenezo nani analipia?
 
Kundi hatari sana Tanzania.
TEC wanamiliki Armed Forces Commision kinyume na katiba
na Padri Slaa aliwahi kutamka kuwa kuna silaha zinapitia TEC
Hawa wana achiwa sana. Msisahau walichofanya Rwanda
Alisema lini na hizo silaha zi wap kwa sasa?hivi Djibouti mna TEC kule? Je walipoupinga mkataba wa DP word kulikuwa na askofu nyuma yao? Ritz wewe ni mkongwe humu don’t fall for cheap politics…. DP word inapingwa kwa masharti mabaya ya mkataba na sio utu wao au dini yao.
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Nyinyi tunawajua ni SUNNI ndyo wenye Roho mbaya. Hata muwe peke yenu na Mashia, Ismaili na Kadiyani bado mtawanyanyasa tu. Kule Nigeria na hata Pakistani Mnaua Wakiristo, Shia na Kadiyani.
Sasa suala la MoU hiyo unaihushishaje wakati huu wa DP world. Hilo ni suala letu la ndani, wewe unaliamusha ati kwa sababu muarabu anapingwa kupewa mkataba wa milele. Nyinyi mliishupalia Serikali watoto wenu wavae hijabu Si mfanye hivyo hivyo na MoU? Tatizo lenu mpaka Serikali inashindwa kufanya ushirikiano kwa Huduma za kwa watanzania wote ni ubinafsi uliowajaa na usiri. Mnataka chenu kiwe chenu tu.
Ona sasa mmechoma makanisa huko Pakistan tarehe 15 Agosti, 2023 ati mmesikia mkiristo alichana Quran🥱

View: https://youtu.be/XwMKVO5-psI
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Tatizo la suruali fupi na ndevu ngumu mna akili fupi na vichwa vigumu kama zilivyo akili na suruali zenu

Tuanze na Chuo Kikuukuu chenu Morogoro pamoja na hela za kwenda kuhiji Mecca....

Unadhani bila hela za serikali dini yenu mufilisi ingesimama?
 
Kulipia mishahara ya Wafanyakazi kama Madaktari Serikali inalipa isitoshe watoe huduma bure unafahamu gharama za huduma ya afya? Au wewe uko tayari kufanya kazi bila ya mshahara? Maji, umeme, vifaa vya tiba matengenezo nani analipia?
Je madaktari katika hospitali binafsi wanalipwa na serikali?
Serikali inalipa wafanyakazi wa hospitali binafsi?
Jibu hapana, sasa kwanini walipiwe wao tu.

Swali la pili, je wanatoa huduma kwa bei nafuu, kwamba ukitibiwa huku na kule tofauti, je madawa wanauza kwa bei ya chini?
Jibu pia ni hapana.

Hizo hospital zinafanya kazi kibiashara, na zinapaswa zijiendeshe, tusikumbatie vitu kwa mahaba ya udini.
Nyeusi sema nyeusi, sio unaipamba pamba, ohh, nyeusi hii inaenda kama damu ya mzee, ina weupe weupe kwa mbaali🤣
Sema tu nyeusi
 
Serikali huu mkataba ufutwe.
Hivi hii account ya Ritz imebinafsishwa kwa mtu mwingine tofauti na aliyeianzisha?

Maana naamini aliyeianzisha atakuwa na madaraka muhimu nchini(ameweza kupata nakala ya mkataba wa TEC na Serikali). Sasa kama kweli ni yeye halafu anawaza namna hii, basi tuna janga kubwa kama Taifa!
 
Serikali isitishe utaratibu wa kutoa mitaji ya kuendesha hospital za kanisa,mbona agha Khan hospital haipewi hizo pesa!?
Agha Khan ni hospitali ya taasisi au ya waislamu au Bakwata? Au na hospitali ya Dr. JJ Mwaka nayo ipewe ruzuku?
 
Agha Khan ni NGO?Ila vijana wa MUM mmemezeshwa chuki dhidi ya Kanisa hadi raha.Nenda kashike mtutu Kibiti mwamba
Kwani kigezo ni kuwa NGO!?..agha Khan hospital inatoa huduma kama hizo hospital za kanisa,ni hospital binafsi
 
Back
Top Bottom