Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Fedha ya watazania kutumika kwa watanzania kuna ubaya gani? Je, waislam na dini nyingine na hata wasio na dini waliomba kufanya mikataba kama hii wakakataliwa? Hamuoni kuwa mnapofananisha suala la huu mkataba mbovu wa waarabu kuwa hiyo MOA ya wakristo inaonyesha kabisa DP world ilikuwa inakuja kwa sababu za kidini?
Lini Wananchi walishirikishwa kwenye huu mkataba?
 
Chuo cha Morogoro Mkapa aliwapa bure,
Tatizo la suruali fupi na ndevu ngumu mna akili fupi na vichwa vigumu kama zilivyo akili na suruali zenu

Tuanze na Chuo Kikuukuu chenu Morogoro pamoja na hela za kwenda kuhiji Mecca....

Unadhani bila hela za serikali dini yenu mufilisi ingesimama?
 
Kanisa Katoliki ni tasisi ni lijitu kubwa mno usilifananishe na vitaasisi kama Vya kwenu
Litaasisi kubwa lakini kupitia kondoo limefanya manuva lipitishe vitu bila ushuru bandarini,lipewe ruzuku kwenye taasisi zake...bila serikali Hilo kanisa ni hakuna kitu,litakufa kibudu
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Kwa nini Rais Mwinyi alikubali huo mkataba usainiwe? Hela zinazotolewa hawapewi kanisa. Zinalipa mishahara ya watumishi wa hizo hospital wakiwemo Waislam ambao wameajiriwa kwenye hizo taasisi
 
Hivi hii account ya Ritz imebinafsishwa kwa mtu mwingine tofauti na aliyeianzisha?

Maana naamini aliyeianzisha atakuwa na madaraka muhimu nchini(ameweza kupata nakala ya mkataba wa TEC na Serikali). Sasa kama kweli ni yeye halafu anawaza namna hii, basi tuna janga kubwa kama Taifa!
Sasa tuambie lini Wananchi walishirikishwa kwenye mkataba?
 
TAASISI ZOTE ZA KIDINI TANZANIA,
AGAKHAN
HINDUMANDAL
SUNNI
SHIA
HINDU
ROMA
PROTESTANT
BANIANI
#TAASISI ZA KIHUDUMA ZILIZOPO CHINI YA TAASISI HIZI ZILISTAHILI KUPATA RUZUKU,NA HUO NDIO USAWA,TAIFA HII NI YA WATU JAMII YOTE BANA,PENDELEO SIO KITU ZULI KABISA BANA.
 
Mkuu Ritz , mkataba wote uko wapi ili tuone hayo makubaliano ya kimalipo? Halafu, hapo kwenye kusaini, umeiona TEC tu? Au kwakuwa TEC wametoa msimamo wao juu ya mkataba wa bandari jana? Hata hapa utashindwa na waliokutuma

Si ndio mkataba uwekwe wazi , Hii TEC mbona haituwekei sisi Wananchi tukauona ? au Wananchi gani walishirikishwa kwenye huu mkataba?
 
Walichoshindwa kufanya wakati wa Ukoloni wamefanikiwa kwa urahisi sana kwenye Ukoloni Mamboleo...; Watu mnagombana kwa Imani zenu zilizokuja na Merikebu; Hamuangalii ni nini kinafanyika bali ni nani au kwa mkono wa nani anakifanya !!!

Kweli Divide and Rule.....
Ukweli mtupu, waginga wengi sana wamebebwa na mkumbo wa udini, na hao huko walikoanzisha hizi dini Wana roho kuuawana sana. Hizi dini ni chimbuko la vitega uchumi tu, sioni tofauti na wauza mafuta, maji, ramli, chumvi, sabuni nk wa leo

Mfano hili la kuhiji mtu aliwaza kiweka kivutio Cha utalii Kwa mgongo wa dini, wakijua kila mwaka Taifa litapata wageni wengi watakao leta pesa na mali.

Mwisho hii MOU ya TEC siyo Siri ilishawekwa hadharani kitambo sana
kwenye magazeti, inawezekana nyakati hizi social media haikuwepo kama Sasa kuwapa watu nafasi ya kushutumu.
 
JE,VIONGOZI WA TEC WALISHINDWA KWENDA KUMUONA RAIS,MPAKA KUTOA AZIMIO?,MAANA KUTOA AZIMIO HUFUATA BAADA HEKIMA ZA MAJADILIANO YA FARAGHA YA KUTAMBUA UKWELI KUSHINDIKANA;-
TUNAUPUNGUFU WA HEKIMA KULINGANISHA NA WAZEE WETU,
-ABRAHAM
-HARUNI
-MUSA.
 
Litaasisi kubwa lakini kupitia kondoo limefanya manuva lipitishe vitu bila ushuru bandarini,lipewe ruzuku kwenye taasisi zake...bila serikali Hilo kanisa ni hakuna kitu,litakufa kibudu
 
Roma ni kubwa kuliko SERKALI YOYOTE DUNIANI

 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Kwani Wewe ni Muislamu?!
 
Number 1 ameamua kuvujisha hako kanyaraka ili ajiponye na zimwi la DPW?

Mwambie asishupaze shingo litavunjika. Lisipo vunjika litavunjaa na likigoma kuvunjika hata baada ya kuvunjwa (nitakuja kumalizia baadae)
Jikite kwenye mada
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Jengeni shule na hospitals sio misikiti, halafu mnalalamika
 
Back
Top Bottom