Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Wapewe na wao mabilioni kama wanavyopewa kanisa halafu tuone kama hawatajenga,

Jibuni hoja msihamishe magoli, kwanini muendelee kupewa hizi hela? Serikali isimamishe fasta
Amekalia kiti mtu wa oman ni raihisi wakati huu kufuta huo.utaratibu
 
Kundi hatari sana Tanzania.
TEC wanamiliki Armed Forces Commision kinyume na katiba
na Padri Slaa aliwahi kutamka kuwa kuna silaha zinapitia TEC
Hawa wana achiwa sana. Msisahau walichofanya Rwanda
Kwi Kwi Kwi , Pole mkuu , tulikuonya lakini ukaota mapembe , Uhaini umeyeyuka !
 
Hivi watanzania mna matatizo gani kichwani!?.. can you really compare kati ya MOU ya Mashirika ya Dini na G.O.T?
Nyinyi ndio wale ndugu mkiachiwa nyumba moja ya urithi uishia kuiuza ili mgawane vijisenti ata kama mko 100...

Kama bado kuna mtanzania hajui kwamba Elimu na Afya hapa Duniani ni ghali sana, na inabidi serikali nyingi na kama sio zote kutoa ruzuku ili watu wake wapate nafuu, huyo Mtanzania inabidi ahamie Burundi kama alivyoshauri Waziri wa Fedha
 
Hii hoja haijawahi kuacha kuwa dhaifu.
 
Je hao waislam wanatibiwa bure, je huko SAUTI wanasoma bure?
Tuachane na waislam haileti taswira nzuri(udini)

Je hizo taasisi zinatoa huduma bure,jibu ni hapana
Sasa hizo bilioni 36 za nini?
 
Weka ushahidi hapa wa TEC kupewa bilioni 36 kila mwezi na serikali, badala ya kulia lia kama kitoto kichanga.
Unadhani kitenge wa Maulid huwa analopokaga akiwa na ushahidi?

Hana ushahidi wowote so mhurumie tu maana waarabu walishanwekea chapa ni mtu wao.
 
Huu mkataba upo siku nyingi, tuzuie dp world kwanza kisha turudi mezani tujadili huu mkataba.

Watu hawana shida nadp world, changamoto mkataba kuna dalili za ujanja ujanja mwingi mnooo
 
Je hao waislam wanatibiwa bure, je huko SAUTI wanasoma bure?
Tuachane na waislam haileti taswira nzuri(udini)

Je hizo taasisi zinatoa huduma bure,jibu ni hapana
Sasa hizo bilioni 36 za nini?

Kulipia mishahara ya Wafanyakazi kama Madaktari Serikali inalipa isitoshe watoe huduma bure unafahamu gharama za huduma ya afya? Au wewe uko tayari kufanya kazi bila ya mshahara? Maji, umeme, vifaa vya tiba matengenezo nani analipia?
 
Kundi hatari sana Tanzania.
TEC wanamiliki Armed Forces Commision kinyume na katiba
na Padri Slaa aliwahi kutamka kuwa kuna silaha zinapitia TEC
Hawa wana achiwa sana. Msisahau walichofanya Rwanda
Alisema lini na hizo silaha zi wap kwa sasa?hivi Djibouti mna TEC kule? Je walipoupinga mkataba wa DP word kulikuwa na askofu nyuma yao? Ritz wewe ni mkongwe humu don’t fall for cheap politics…. DP word inapingwa kwa masharti mabaya ya mkataba na sio utu wao au dini yao.
 
Nyinyi tunawajua ni SUNNI ndyo wenye Roho mbaya. Hata muwe peke yenu na Mashia, Ismaili na Kadiyani bado mtawanyanyasa tu. Kule Nigeria na hata Pakistani Mnaua Wakiristo, Shia na Kadiyani.
Sasa suala la MoU hiyo unaihushishaje wakati huu wa DP world. Hilo ni suala letu la ndani, wewe unaliamusha ati kwa sababu muarabu anapingwa kupewa mkataba wa milele. Nyinyi mliishupalia Serikali watoto wenu wavae hijabu Si mfanye hivyo hivyo na MoU? Tatizo lenu mpaka Serikali inashindwa kufanya ushirikiano kwa Huduma za kwa watanzania wote ni ubinafsi uliowajaa na usiri. Mnataka chenu kiwe chenu tu.
Ona sasa mmechoma makanisa huko Pakistan tarehe 15 Agosti, 2023 ati mmesikia mkiristo alichana Quran🥱

View: https://youtu.be/XwMKVO5-psI
 
Tatizo la suruali fupi na ndevu ngumu mna akili fupi na vichwa vigumu kama zilivyo akili na suruali zenu

Tuanze na Chuo Kikuukuu chenu Morogoro pamoja na hela za kwenda kuhiji Mecca....

Unadhani bila hela za serikali dini yenu mufilisi ingesimama?
 
Kulipia mishahara ya Wafanyakazi kama Madaktari Serikali inalipa isitoshe watoe huduma bure unafahamu gharama za huduma ya afya? Au wewe uko tayari kufanya kazi bila ya mshahara? Maji, umeme, vifaa vya tiba matengenezo nani analipia?
Je madaktari katika hospitali binafsi wanalipwa na serikali?
Serikali inalipa wafanyakazi wa hospitali binafsi?
Jibu hapana, sasa kwanini walipiwe wao tu.

Swali la pili, je wanatoa huduma kwa bei nafuu, kwamba ukitibiwa huku na kule tofauti, je madawa wanauza kwa bei ya chini?
Jibu pia ni hapana.

Hizo hospital zinafanya kazi kibiashara, na zinapaswa zijiendeshe, tusikumbatie vitu kwa mahaba ya udini.
Nyeusi sema nyeusi, sio unaipamba pamba, ohh, nyeusi hii inaenda kama damu ya mzee, ina weupe weupe kwa mbaali🤣
Sema tu nyeusi
 
Serikali huu mkataba ufutwe.
Hivi hii account ya Ritz imebinafsishwa kwa mtu mwingine tofauti na aliyeianzisha?

Maana naamini aliyeianzisha atakuwa na madaraka muhimu nchini(ameweza kupata nakala ya mkataba wa TEC na Serikali). Sasa kama kweli ni yeye halafu anawaza namna hii, basi tuna janga kubwa kama Taifa!
 
Serikali isitishe utaratibu wa kutoa mitaji ya kuendesha hospital za kanisa,mbona agha Khan hospital haipewi hizo pesa!?
Agha Khan ni hospitali ya taasisi au ya waislamu au Bakwata? Au na hospitali ya Dr. JJ Mwaka nayo ipewe ruzuku?
 
Agha Khan ni NGO?Ila vijana wa MUM mmemezeshwa chuki dhidi ya Kanisa hadi raha.Nenda kashike mtutu Kibiti mwamba
Kwani kigezo ni kuwa NGO!?..agha Khan hospital inatoa huduma kama hizo hospital za kanisa,ni hospital binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…