Lini Wananchi walishirikishwa kwenye huu mkataba?Fedha ya watazania kutumika kwa watanzania kuna ubaya gani? Je, waislam na dini nyingine na hata wasio na dini waliomba kufanya mikataba kama hii wakakataliwa? Hamuoni kuwa mnapofananisha suala la huu mkataba mbovu wa waarabu kuwa hiyo MOA ya wakristo inaonyesha kabisa DP world ilikuwa inakuja kwa sababu za kidini?
Tatizo la suruali fupi na ndevu ngumu mna akili fupi na vichwa vigumu kama zilivyo akili na suruali zenu
Tuanze na Chuo Kikuukuu chenu Morogoro pamoja na hela za kwenda kuhiji Mecca....
Unadhani bila hela za serikali dini yenu mufilisi ingesimama?
Litaasisi kubwa lakini kupitia kondoo limefanya manuva lipitishe vitu bila ushuru bandarini,lipewe ruzuku kwenye taasisi zake...bila serikali Hilo kanisa ni hakuna kitu,litakufa kibuduKanisa Katoliki ni tasisi ni lijitu kubwa mno usilifananishe na vitaasisi kama Vya kwenu
Hili ndiyo swali la msingi kwa fikra za padre kitima wa TECLini Wananchi walishirikishwa kwenye huu mkataba?
Hiyo ndiyo siku ,Wananchi walishirikishwa kwenye mkataba?Kavae mabomu ujilipue uwahi kugegeda wanawali 70. Unachelewa, utakuta wameisha ohooo...
Siku hiyo ndiyo wananchi walishirikishwa kwenye mkataba?Amekalia kiti mtu wa oman ni raihisi wakati huu kufuta huo.utaratibu
Kwa nini Rais Mwinyi alikubali huo mkataba usainiwe? Hela zinazotolewa hawapewi kanisa. Zinalipa mishahara ya watumishi wa hizo hospital wakiwemo Waislam ambao wameajiriwa kwenye hizo taasisiWanaukumbi.
Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Sasa tuambie lini Wananchi walishirikishwa kwenye mkataba?Hivi hii account ya Ritz imebinafsishwa kwa mtu mwingine tofauti na aliyeianzisha?
Maana naamini aliyeianzisha atakuwa na madaraka muhimu nchini(ameweza kupata nakala ya mkataba wa TEC na Serikali). Sasa kama kweli ni yeye halafu anawaza namna hii, basi tuna janga kubwa kama Taifa!
Mkuu Ritz , mkataba wote uko wapi ili tuone hayo makubaliano ya kimalipo? Halafu, hapo kwenye kusaini, umeiona TEC tu? Au kwakuwa TEC wametoa msimamo wao juu ya mkataba wa bandari jana? Hata hapa utashindwa na waliokutuma
Ukweli mtupu, waginga wengi sana wamebebwa na mkumbo wa udini, na hao huko walikoanzisha hizi dini Wana roho kuuawana sana. Hizi dini ni chimbuko la vitega uchumi tu, sioni tofauti na wauza mafuta, maji, ramli, chumvi, sabuni nk wa leoWalichoshindwa kufanya wakati wa Ukoloni wamefanikiwa kwa urahisi sana kwenye Ukoloni Mamboleo...; Watu mnagombana kwa Imani zenu zilizokuja na Merikebu; Hamuangalii ni nini kinafanyika bali ni nani au kwa mkono wa nani anakifanya !!!
Kweli Divide and Rule.....
Litaasisi kubwa lakini kupitia kondoo limefanya manuva lipitishe vitu bila ushuru bandarini,lipewe ruzuku kwenye taasisi zake...bila serikali Hilo kanisa ni hakuna kitu,litakufa kibudu
Kwani Wewe ni Muislamu?!Wanaukumbi.
Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Jikite kwenye madaWaislamu mmejenga hospitali gani yenye hadhi ya bugando..?
Jikite kwenye madaNumber 1 ameamua kuvujisha hako kanyaraka ili ajiponye na zimwi la DPW?
Mwambie asishupaze shingo litavunjika. Lisipo vunjika litavunjaa na likigoma kuvunjika hata baada ya kuvunjwa (nitakuja kumalizia baadae)
Jengeni shule na hospitals sio misikiti, halafu mnalalamikaWanaukumbi.
Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
OkJikite kwenye mada