Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Kwahiyo dini ya haki ni dhaifu na Allah ameshindwa kuwapigania mpk wapigwe na makafikiri?
Mafundisho yenu yana umuhimu gani kuwajenga kiroho mpk kafiri aje awachonganishe mpigane?
Wapi nimetaja habari ya Dini? Au na wewe ni wale wale?
 
Chawa hata kuandika tu kiswahili kwako tabu, alafu muda unataka upambane na wasomi washam baba askofu aaah🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Upo sawa Hawa tunaowaita ndugu zetu sio kabisa hawajawahi kuwa na jema,ni malalamiko na kushindia draft na bao.Bure kabisa
Ukikejeli waislaam unakuwa hukitendei haki,maana wana muogopa Mungu na wanaamini siku wakifa wataulizwa,ndio Maana Mwislaam kama Prof Assad huwezi kukuta kajilimbikizia mali au anafanya kazi kwa kuonea watu.

Kila mtu huwa anatamani hii nchi watawale waislaam maana hawana roho mbaya,huwa wanatoa afueni ya maisha kwa wananchi wa Chini

Ipo hivyo,watumishi Enzi za Kikwete aliwapa hazi zao kila mwaka,lakini wakati wa Mkono wa chuma waliambukia matusi tu.

Huo nduo wislaam unaofundisha uadilifu na kutidhulumu haki ya mtu.

Ndio maana Rais Samia alipoingia tu,alipandisha watumishi wote waliokaa miaka 7 bila vyeo.

Akafungua acvount zote zilizofungwa kwa dhulma,akawarudishia hela zao watu waliokuwa wameporwa.

Yote haya nikwasababu ya malezi na kuamini kuna siku atakufa na atulizwa
 
Hawa wote wanalipwa mishahara kutoka kodi za


Watanzania na sio sadaka.


Mkataba au Memorandum of Understanding kati ya TEC na Serikali unawapa TEC 36


Billion kila mwezi.
Huu ndio ushahidi wako wa hizo bil. 36 serikali inazolipa kila mwezi?

Wewe jamaa ni mjinga sana.
 
Baada ya dawa kuwaingia mnaanza kurusharusha miguu, tulien mpone
 
Sasa kuna Mkataba usio na Mwisho?
Huo mkataba wa TEC na Serikali utaisha lini.

Tuanzie hapo usije kuwa mkataba wa Milele.
 
Kama umesomeshwa na Serikali Basi wewe ni hasara kabisa.
Inawaza kwa kutumia MATAKO.

Jaribu kufikiria,Serikali yako ya KIJANI inamiliki hospitali ngapi kubwa na zenye hadhi katika kuhakikisha wananchi wanapata matibabu.

Hujui lolote,acha siasa za kijinga,afu mnapanic hiyo faida ambayo mnahisi DP WORLD anatuletea si mmwache abaki nayo.mbona mnatumia nguvu kubwa kiasi HICHO!.
Nyie ni ziro kabisa,wabunge wote was CCMC Hamnazo,kazi kushabikia ujinga.
Mtaumbuka mwaka huu.
 
Takbiiiiiiiiiiiiiiirrrrrrrrrrrr!!!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ninyi endeleeni kuuza dawa za Kisuna kwenye nyumba zenu za ibada badala ya kujenga hospitali
 
Wewe ndio pimbi, Ritz anachotaka kujua ikiwa kama kulikuwa na ushirikishwaji wa wananchi kwa MoU ya TEC na Serikali ambapo pesa za umma zinaenda kwa mapadre halafu hii wanaisumbua Serikali.
Solution ni rahisi, waende mahakamani kishitaki. Katiba yetu inakataza upendeleo wa dini au kabila.
 
Post kama hizi ndo zinamuharibia kabisa mama, Kwa Sababu hata wale chawa wachache waliobaki, wanahisi hili ni jambo la udini hivyo wanaamua kuchagua upande
 
Padre Kitina alinyamazishwa wakati wa JPM awamu hii kakutana na mama kutoka kizimkazi ndio ameamka.

DPW imepita bungeni na kupata baraka za wawakilishi wetu, na muda huu mikataba ya kazi inaandaliwa huko ughaibuni.
 
Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.
Vipi mkataba kati ya Vatican na Muddy (SAW) kuhusu kuanzisha dini ya mwezi mchanga, mbona na sisi waja wa 'Mnyaazi' Mungu hatukushirikishwa. Au wewe mwenzetu ulishirikishwa?
 
Mkataba au Memorandum of Understanding kati ya TEC na Serikali unawapa TEC 36 Billion kila mwezi. Nusu ya pesa hizi zinatumika kulipia mishahara na starehe za hawa Ma padre kuji mwambafai.
Rtz akili hauna braza, kanisa katoliki inamiliki vitu vyingi sana hapa nchini, wanazo shule, zahanati, HCs, Hospitals, Referral Hsp, ok

Kanisa linajitosheleza braza, serikali hata zahanati tu baadhi ya maeneo nchini ndo leo wanaanza kujenga, machawa acheni ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…