Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Sijui kwa nini hawa wakina Ritz , FaizaFoxy na wenzao wanapenda kulia lia.
Yaani wao wanapenda waonekane kama ni kundi maalumu sawa na walemavu, albino au wenye mtindio wa ubongo!

Mnapenda sana kulia lia kuwa mnaonewa,mnataka muwekwe kundi maalumu na mpate upendeleo kama wanawake wanavyofanyiwa.

Elimu
Elimu
Elimu
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Mkataba ufutwe haraka sana na wote waliohusika na mkataba huu wapandishwe mahakamani
 
Umesoma kilichoandikwa kwanza au unaropoka tu.

Na wewe muulize huyo mwenzako alisoma MOU vizuri kati ya serikali na TEC? Kama mnaona TEC inafahidi waambie BAKATWA wajenge hospital ili hizo 36B mchukue nyinyi.

Halafu Chuo cha Morogoro mkirudishe serikalini.
 
Mkataba ufutwe haraka sana na wote waliohusika na mkataba huu wapandishwe mahakamani
Kila Taasis ya Kidin ijiendeshe yenyewe, Serikali inyang'anye vyote vilivyotoa kwa Hizi Taasis km vyuo mfano MUM, na Serikali pia irudishe vilivyopora kwenye Taasis hizi za kidin zikiwemo shule, vyuo n.k.

Then, Serikali ijiendeshe na hizi taasisi za Kidin ziachwe zijiendeshe
 
Na wewe muulize huyo mwenzako alisoma MOU vizuri kati ya serikali na TEC? Kama mnaona TEC inafahidi waambie BAKATWA wajenge hospital ili hizo 36B mchukue nyinyi.

Halafu Chuo cha Morogoro mkirudishe serikalini.
Unadhani maandazi hayo sio?
Wagalatia mkiona mtu anataja hela mnazokula bila kuulizwa mnakuwa wakali sana.
Paroko zimeiba sana na hakuna mwananchi yyt anaefaidika zaidi ya hao wanaotapeli watu kuwa wanasamehe dhambi.
Mzalendo gani atakubali billion 36 zitolewe bila kuona zinaenda wapi?

Hivi wagalatia wanadhani hawatokufa kisha wakasimamishwa mbele ya mahkama ya Mungu?
 
Number 1 ameamua kuvujisha hako kanyaraka ili ajiponye na zimwi la DPW?

Mwambie asishupaze shingo litavunjika. Lisipo vunjika litavunjaa na likigoma kuvunjika hata baada ya kuvunjwa (nitakuja kumalizia baadae)
Waislamu wengi sana hupata huduma za Kanisa bila ya Ubaguzi unajua kwa mfano Waislamu wangapi hutibiwa KCMC au Bugando? Na hiyo ni mifano midogo tu kuna Wilaya kubwa Tanzania huduma pekee ni ya Kanisa na kila mtu hutibiwa au unafikiri hakuna Muislamu anasoma SAUT ?

Serikali siyo wajinga wanachangia kwa sababu haina uwezo wa kufikia kila Mtanzania kwa huduma za Matibabu na hata elimu, hivyo labda haujui unachokihoji.

Shida kubwa ya Uislamu ni dini inayonyanyapaa na kukanyaga masikini na watu wa chini wasio na mtetezi, Waislamu maelite hawajali Waislamu wa chini ndiyo maana Uislamu hautoi huduma kwa jamii hata tu watoto yatima hakuna ndiyo maana wewe unahoji Kanisa kupata fedha ktk Serikalini kwa sababu kwako masikini na watu chini siyo kitu.

Viingozi wa Kiislamu wenye uwezo sijawahi kusikia hata siku moja wakianzisha foundation kama Mkapa foundation kusaidia watu, wao kazi yao starehe na kupiga picha social media tu …
Nafikiri hapa hujajibu hoja ila umeuvamia UISLAM.
Kuna uislam na muislam/waislam.
Hata DPW wakipewa bandari watatoa huduma kwa kila mteja.
KAMA MKATAKA UPO NA SISI WALIPA KODI TUNAUCHANGIA SIYO MBAYA UKIWEKWA WAZI.
 
Unadhani maandazi hayo sio?
Wagalatia mkiona mtu anataja hela mnazokula bila kuulizwa mnakuwa wakali sana.
Paroko zimeiba sana na hakuna mwananchi yyt anaefaidika zaidi ya hao wanaotapeli watu kuwa wanasamehe dhambi.
Mzalendo gani atakubali billion 36 zitolewe bila kuona zinaenda wapi?

Hivi wagalatia wanadhani hawatokufa kisha wakasimamishwa mbele ya mahkama ya Mungu?

Kwani hizo 36B wanapewa bure? Soma MOU vizuri ,wakati wakristo wanajenga Shule ,Hospitali nyinyi mlikuwa mnaomba misada kwa waarabu wawachimbie visima na kujenga mdrasa tu ,serikali ikawa haina hospital ndipo MOU ikaingia hapo na kama mnaona wivu waambie serikali wavunje mkataba huo mpewe nyinyi kina BAKWATA.
 
Baada ya kuja na ule ushahidi wako wa kutengeneza studio ukabuma, sasa umeona ukatafute hako ka mkataba ili uje kumtengenezea mamako kichaka cha kujifichia..

Hicho kichaka nacho tunachoma moto, iko hivi;

Huo mkataba kama hamuutaki uvunjeni sasa hivi, wakatoliki walijichanga wakajenga hospitali kwa pesa zao, bila kujali kama serikali ingejitokeza kuchangia gharama ili kuwahudumia wananchi, hivyo utambue pia, hawawezi kushindwa kupata pesa za kuziendesha.

- Hawa sio watu wa kukaa kwenye mikeka na kupiga umbea, wakitafuna kahawa na kashata, ni watu wa kazi kwa vitendo.

Hivi kwanza, hizo bilioni 36 umezitoa wapi tuambie? sio unakuja na maneno yako ya uongo kama ulivyozoea ilimradi uandike tu hapa JF, hii sio JF ile ya wajinga mliyoizoea miaka iliyopita, njoo na ushahidi wa kusapoti haya madai yako, usituletee mipasho yenu uliyoizoea huko Pwani.

Tuwekee check au risiti kuthibitisha madai yako, bil. 36 kwa mwezi hii serikali inaweza kuzitoa wapi kila mwezi? tena kwa miaka yote hiyo? hizo pesa kama serikali inazo kwanini wasijenge hospitali zao mikoa yote Tanganyika? kwanza una hakika serikali hutoa hizo pesa kila mwezi, au unaimba tu kama kasuku?

Wewe mswahili unaonekana hauna hata common sense, upo static kama jiwe, linalosubiri mpaka lipigwe teke ndio lisogee!.
ALETE USHAHIDI, UKIKAMILIKA TUTAITAKA SERIKALI ITOE UFAFANUZI WA MABILIONI YETU HAYA.
 
Inaonekana ulivyo na akili na upeo mdogo. Huelewi kabisa maana ya secular state. Unasikia kwa kuokoteza maneno na kukariri bila kujua maana ya maneno unayoyasikia.

Kremu na hii ikusaidie:
Secular state ni nchi ambayo katiba na sheria zake hazitegemei sheria za dini.

Kinyume chake ni Serikali zinazotumia msahafu kama sheria za nchi. Mfano mzuri ni yale mataifa yanayotumia sharia law.

Tanzania ni secular state kwa sababu sheria zetu tumezitengeneza wenyewe, siyo amri kumi za Mungu au Sharia law ili inayotaka wazinzi mpigwe mawe mpaka mfe, na wevi mkatwe mikono.
Kwahio kuchangia bila kufokea wenzio umeshindwa??
 
Lakini when it comes to Serikali kuoffset overhead expenses katika hospital kubwa binafsi ambapo inatoa huduma kwa wananchi ambapo ni jukumu ya Serikali kuwatibu bado mnaona nongwa?

Ndiyo maana tunawaambia hawa Mvaa Kobazi Riz ,Kahatan ,The Small Show ,Jimmy Foxy wawashawishi BAKATWA wajenge hospital nyingi ili 36 B wapewe wao.
 
Back
Top Bottom