Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mwenye jina kama mitishambaWaislamu mmejenga hospitali gani yenye hadhi ya bugando..?
Umesoma kilichoandikwa kwanza au unaropoka tu.Usijitoe ufahamu wewe,serikali ikivunja mkataba wataumia wananchi ,waambie BAKATWA wajenge hospitali hizo bilioni 36 mchukue nyinyi.
Kwanin wemepewa Wakristo na sio nyie Waislam?Nyie nguruwe jibuni hoja, lini mlishirikisha wananchi kupewa hela zote hizo?
Msihamishe magoli jibuni hoja
Mkataba ufutwe haraka sana na wote waliohusika na mkataba huu wapandishwe mahakamaniWanaukumbi.
Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Umesoma kilichoandikwa kwanza au unaropoka tu.
Kila Taasis ya Kidin ijiendeshe yenyewe, Serikali inyang'anye vyote vilivyotoa kwa Hizi Taasis km vyuo mfano MUM, na Serikali pia irudishe vilivyopora kwenye Taasis hizi za kidin zikiwemo shule, vyuo n.k.Mkataba ufutwe haraka sana na wote waliohusika na mkataba huu wapandishwe mahakamani
Umesoma kilichoandikwa kwanza au unaropoka tu.
Unadhani maandazi hayo sio?Na wewe muulize huyo mwenzako alisoma MOU vizuri kati ya serikali na TEC? Kama mnaona TEC inafahidi waambie BAKATWA wajenge hospital ili hizo 36B mchukue nyinyi.
Halafu Chuo cha Morogoro mkirudishe serikalini.
Number 1 ameamua kuvujisha hako kanyaraka ili ajiponye na zimwi la DPW?
Mwambie asishupaze shingo litavunjika. Lisipo vunjika litavunjaa na likigoma kuvunjika hata baada ya kuvunjwa (nitakuja kumalizia baadae)
Nafikiri hapa hujajibu hoja ila umeuvamia UISLAM.Waislamu wengi sana hupata huduma za Kanisa bila ya Ubaguzi unajua kwa mfano Waislamu wangapi hutibiwa KCMC au Bugando? Na hiyo ni mifano midogo tu kuna Wilaya kubwa Tanzania huduma pekee ni ya Kanisa na kila mtu hutibiwa au unafikiri hakuna Muislamu anasoma SAUT ?
Serikali siyo wajinga wanachangia kwa sababu haina uwezo wa kufikia kila Mtanzania kwa huduma za Matibabu na hata elimu, hivyo labda haujui unachokihoji.
Shida kubwa ya Uislamu ni dini inayonyanyapaa na kukanyaga masikini na watu wa chini wasio na mtetezi, Waislamu maelite hawajali Waislamu wa chini ndiyo maana Uislamu hautoi huduma kwa jamii hata tu watoto yatima hakuna ndiyo maana wewe unahoji Kanisa kupata fedha ktk Serikalini kwa sababu kwako masikini na watu chini siyo kitu.
Viingozi wa Kiislamu wenye uwezo sijawahi kusikia hata siku moja wakianzisha foundation kama Mkapa foundation kusaidia watu, wao kazi yao starehe na kupiga picha social media tu …
Mmeshikwa pabaya,aahaaaaaUlivyokuwa na akili ya kushikiwa unadhani serikali inaendeshwa na mapadre wa Chadema?
Unadhani maandazi hayo sio?
Wagalatia mkiona mtu anataja hela mnazokula bila kuulizwa mnakuwa wakali sana.
Paroko zimeiba sana na hakuna mwananchi yyt anaefaidika zaidi ya hao wanaotapeli watu kuwa wanasamehe dhambi.
Mzalendo gani atakubali billion 36 zitolewe bila kuona zinaenda wapi?
Hivi wagalatia wanadhani hawatokufa kisha wakasimamishwa mbele ya mahkama ya Mungu?
ALETE USHAHIDI, UKIKAMILIKA TUTAITAKA SERIKALI ITOE UFAFANUZI WA MABILIONI YETU HAYA.Baada ya kuja na ule ushahidi wako wa kutengeneza studio ukabuma, sasa umeona ukatafute hako ka mkataba ili uje kumtengenezea mamako kichaka cha kujifichia..
Hicho kichaka nacho tunachoma moto, iko hivi;
Huo mkataba kama hamuutaki uvunjeni sasa hivi, wakatoliki walijichanga wakajenga hospitali kwa pesa zao, bila kujali kama serikali ingejitokeza kuchangia gharama ili kuwahudumia wananchi, hivyo utambue pia, hawawezi kushindwa kupata pesa za kuziendesha.
- Hawa sio watu wa kukaa kwenye mikeka na kupiga umbea, wakitafuna kahawa na kashata, ni watu wa kazi kwa vitendo.
Hivi kwanza, hizo bilioni 36 umezitoa wapi tuambie? sio unakuja na maneno yako ya uongo kama ulivyozoea ilimradi uandike tu hapa JF, hii sio JF ile ya wajinga mliyoizoea miaka iliyopita, njoo na ushahidi wa kusapoti haya madai yako, usituletee mipasho yenu uliyoizoea huko Pwani.
Tuwekee check au risiti kuthibitisha madai yako, bil. 36 kwa mwezi hii serikali inaweza kuzitoa wapi kila mwezi? tena kwa miaka yote hiyo? hizo pesa kama serikali inazo kwanini wasijenge hospitali zao mikoa yote Tanganyika? kwanza una hakika serikali hutoa hizo pesa kila mwezi, au unaimba tu kama kasuku?
Wewe mswahili unaonekana hauna hata common sense, upo static kama jiwe, linalosubiri mpaka lipigwe teke ndio lisogee!.
Nenda kafungue kesi kupinga kama huo mkataba unakuumaMkataba au Memorandum of Understanding kati ya TEC na Serikali unawapa TEC 36 Billion kila mwezi. Nusu ya pesa hizi zinatumika kulipia mishahara na starehe za hawa Ma padre kuji mwambafai.
Kwahio kuchangia bila kufokea wenzio umeshindwa??Inaonekana ulivyo na akili na upeo mdogo. Huelewi kabisa maana ya secular state. Unasikia kwa kuokoteza maneno na kukariri bila kujua maana ya maneno unayoyasikia.
Kremu na hii ikusaidie:
Secular state ni nchi ambayo katiba na sheria zake hazitegemei sheria za dini.
Kinyume chake ni Serikali zinazotumia msahafu kama sheria za nchi. Mfano mzuri ni yale mataifa yanayotumia sharia law.
Tanzania ni secular state kwa sababu sheria zetu tumezitengeneza wenyewe, siyo amri kumi za Mungu au Sharia law ili inayotaka wazinzi mpigwe mawe mpaka mfe, na wevi mkatwe mikono.
Lakini when it comes to Serikali kuoffset overhead expenses katika hospital kubwa binafsi ambapo inatoa huduma kwa wananchi ambapo ni jukumu ya Serikali kuwatibu bado mnaona nongwa?
Wafute vyoteTunazungumza mengi lakini hakuna serikali inaweza kufanya kazi bila TEC na BAKWATA