Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi, pale Chang'ombe.Kwani umekatazwa kwenda hospital za Bakwata?
Mkuu mbona unanitag kwa fujo😳Mwambie rafiki yako Mvaa Kobazi Ritz kama anaona wivu awashawishi BAKATWA wajenge hospitali nyingi nao wapewe 36B.
Wagalatia bana upo radhi useme uongo alimradi unatetea maparoko.
Ebu tupe ripoti ya CAG ya mwaka wowote inayoelezea pesa wanazipewa Kanisa na Serikali ukileta najitoa JF.
Nipo pale nimejibanza nasubiri huku nakunywa kahawa na kashata na juice ya tende.
Wewe jamaa itakua una shida mahali mbona unani-tag kwenye content nisizochangamana nazo😳Ndiyo maana tunawaambia hawa Mvaa Kobazi Riz ,Kahatan ,The Small Show ,Jimmy Foxy wawashawishi BAKATWA wajenge hospital nyingi ili 36 B wapewe wao.
TuliaNdoto za Ali Nacha hizo
Kile chuo kikuu cha kiislamu kilichopo Morogoro, lini wananchi walishirikishwa hadi wakapewa waislamu?Wanaukumbi.
Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Hospital za kigalatia ni nuksi tupu.Mwambie rafiki yako Mvaa Kobazi Ritz kama anaona wivu awashawishi BAKATWA wajenge hospitali nyingi nao wapewe 36B.
Kinachonifurahisha, hukuyasema haya kabla ya TAMKO. Hii maana yake, tamko limewashika pabaya.. !! Haya MKAFUNGUE KESI YA UHAINIMkataba au Memorandum of Understanding kati ya TEC na Serikali unawapa TEC 36 Billion kila mwezi. Nusu ya pesa hizi zinatumika kulipia mishahara na starehe za hawa Ma padre kuji mwambafai.
Tatizo lipo wapi? Weka ushahidi wa unayoyasema..!! By the way, jengeni hospitali zenu nanyi muingie MOU na serikali..!! Mmekaa kuuza maeneo yenu kwa wahindi na waislamu wenzenu, badala ya maeneo hayo kuyatumia kujenga mashule na mahospitali (eg Kibasila), nyie mnapiga hela tuHospital za kigalatia ni nuksi tupu.
Ubaguzi waziwazi.
Wakiona hijab au ndevu km za Simba utaona sura zao wanavyonuna km nyani kaonja ukwaju.
Hapa lzm serikali ikate hilo fungu kwa institution ambayo itaonyesha matumizi yake wazi.
Sio kufaidisha paka wa paroko tu.
Sasa kumbe ulikuwa hujui kuwa hizo billion 36 hazijawahi kutolewa maelezo ya kina hata siku moja?Acha wivu ,hivi kuna fedha ya serikali inayotolewa bila kufanyiwa ukaguzi? kama unaona TEC wanafahidi waambie BAKATWA wapeleke hospital zao wachukue wao hizo 36B.
"Hospitali nyingi nzuri ni za Misheni" - Wagosi wa Kaya - Wauguzi
Hela gani waislamu wanapiga? Taja fungu moja tu.Tatizo lipo wapi? Weka ushahidi wa unayoyasema..!! By the way, jengeni hospitali zenu nanyi muingie MOU na serikali..!! Mmekaa kuuza maeneo yenu kwa wahindi na waislamu wenzenu, badala ya maeneo hayo kuyatumia kujenga mashule na mahospitali (eg Kibasila), nyie mnapiga hela tu
Sasa kumbe ulikuwa hujui kuwa hizo billion 36 hazijawahi kutolewa maelezo ya kina hata siku moja?
Kumbe una bwabwaja tu bila kujua tunacho jailing hapa.
Samaki wahedi
Hospital za kigalatia ni nuksi tupu.
Ubaguzi waziwazi.
Wakiona hijab au ndevu km za Simba utaona sura zao wanavyonuna km nyani kaonja ukwaju.
Hapa lzm serikali ikate hilo fungu kwa institution ambayo itaonyesha matumizi yake wazi.
Sio kufaidisha paka wa paroko tu.