Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Hivi unadhani Roman Catholic ni masikini. Hapo unajidanganya kabisa. Hiyo hela Kwa Roma Catholic ni ndogo sana tena sana ukilinganisha na huduma wanazotoa. Leo Roman Catholic wakiamua kusitisha huduma za kijamii nchi nzima utagundua umuhimu wao. Fikiri kwanza kabla ya kuichafua TEC.
 
Eti nini?
Mnajidai mmesoma sana kumbe ndio hivi?
Mnajitahidi kuhamisha mada ila wapi, unafkiri zile mbinu za kujidai kutaifisha hazijulikani? Tunauliza mabilioni mnayopewa na serikali kila mwaka ni ya nini? Na je mkataba huo mlimshirikisha nani?
Msihamishe magoli jibuni hoja

I chi hii lazima twende sawa tena kwa haki, na wakati ni sasa, asante sana mama, asante sana dp
QUOTE "I chi hii lazima twende sawa tena kwa haki, na wakati ni sasa, asante sana mama, asante sana dp"

Abdallah, Abdallah, naona umechafukwa.
Let say una dai la msingi,so, malipo ya makosa hayo unayoyahisi ni kumpa Mwarabu Bandali bure ili kuwakomoa wakristo😂😂?


Thanks Quote Reply
 
Hospital za kigalatia ni nuksi tupu.
Ubaguzi waziwazi.
Wakiona hijab au ndevu km za Simba utaona sura zao wanavyonuna km nyani kaonja ukwaju.

Hapa lzm serikali ikate hilo fungu kwa institution ambayo itaonyesha matumizi yake wazi.
Sio kufaidisha paka wa paroko tu.
Kuna madaktari na manesi wengi sana waislamu.Uzuri wakatoliki huwa wanaangalia uwezo na si itikadi.Hata kwenye seminari zao kuna.walimu wengi sana waislamu
 
Kundi hatari sana Tanzania.
TEC wanamiliki Armed Forces Commision kinyume na katiba
na Padri Slaa aliwahi kutamka kuwa kuna silaha zinapitia TEC
Hawa wana achiwa sana. Msisahau walichofanya Rwanda
Unaonaje nchi igawanywe kama India na Pakistan?
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Migambo wenzako humu wameanza kuruka na kukanyagana tang jana baada ya tamko la Tec!! Na bado wengi watatoka mapangoni san, achana na hao jamaa wa Tec dunia nzima hakuna wa kuwafanya chochote!!
 
Kuna madaktari na manesi wengi sana waislamu.Uzuri wakatoliki huwa wanaangalia uwezo na si itikadi.Hata kwenye seminari zao kuna.walimu wengi sana waislamu
Hilo sio kweli kabisa.
Bahati mbaya na mimi niko kwenye hio hio septa ya afya.
Ubaguzi uliomo kwenye Christian institutions ni hatari kabisa. Ubaguzi wa wazi kabisa ktk kila nyanja.

Hilo huna haja ya kuhangaika kulitambua.
Nenda hospital yyt ilioko chini ya Kanisa kisha angalia unachodai hapo juu utaona wazi kabisa.
 
Na Kanisa kuibia serikali toka nchi hii ipate uhuru ndio uzalendo?
Padri au askofu a a mshahara gani wa kumuwezesha kumiliki gari ya milioni 400?
Na bado kenge huyo huyo anadai Ana uwezo wa kusamehe wana kondoo dhambi.

Huo ndio uzalendo?
Wakatoliki wanawategemeza mapadri na maaskofu.Isitoshe kanisa lina vitega uchumi vingi kutokana na viongozi wake kuwa na elimu dunia.Limewekeza kuwajengea uwezo mapadre kila sehemu.Nenda udsm,udom,sua.na saut utakuta mapadri na masista wanasoma ama bachelor,masters au PhD.Taasisi ya watu wa namna hiyo haihitaji huruma ya serikali kusurvive.Kile kitendo cha wao kuingia MoU na serikali.kinatanabaisha umahili.wao katika elimu dunia.Usiwaone mapadre wako kimya,they are smartest people I know
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Jamaa wanadekezwa sana wanafadhiliwa sana lakn hawanagashukran dawa Yao ni kukata mirija Yao
 
Hizo hospitali na makanisa yanahudumia watu wa Taifa lipi?...na wafaidika sio Watanzania?!
Mbona gharama zake ziko juu sana hata hao waumini maskini hawawezi mudu matibabu wanakimbilia Serikalin
 
QUOTE "I chi hii lazima twende sawa tena kwa haki, na wakati ni sasa, asante sana mama, asante sana dp"

Abdallah, Abdallah, naona umechafukwa.
Let say una dai la msingi,so, malipo ya makosa hayo unayoyahisi ni kumpa Mwarabu Bandali bure ili kuwakomoa wakristo😂😂?


Thanks Quote Reply
Hakomolewi mtu yaheeee, ni haki tu tunaitaka baada ya kuikosa mda mrefuuuu
Na mjue kila lenye mwanzo lina mwisho
 
Eti nini?
Mnajidai mmesoma sana kumbe ndio hivi?
Mnajitahidi kuhamisha mada ila wapi, unafkiri zile mbinu za kujidai kutaifisha hazijulikani? Tunauliza mabilioni mnayopewa na serikali kila mwaka ni ya nini? Na je mkataba huo mlimshirikisha nani?
Msihamishe magoli jibuni hoja

I chi hii lazima twende sawa tena kwa haki, na wakati ni sasa, asante sana mama, asante sana dp
Kuna shule nyingi sana za kata na zimetapakaa nchi nzima lakini nawajua waislamu wengi waliokataa kupeleka watoto wao shule hizo wakawapeleka shule.za kanisa na nasema waislamu wengi.Siku serikali ikivunja hiyo MoU naamini huduma ya hizo hospitali itakuwa bora zaidi na waislamu hawa hawa hawataenda Sekou toure wala Amana watazikimbilia hizo hospitali.Msidanganywe
 
Hilo sio kweli kabisa.
Bahati mbaya na mimi niko kwenye hio hio septa ya afya.
Ubaguzi uliomo kwenye Christian institutions ni hatari kabisa. Ubaguzi wa wazi kabisa ktk kila nyanja.

Hilo huna haja ya kuhangaika kulitambua.
Nenda hospital yyt ilioko chini ya Kanisa kisha angalia unachodai hapo juu utaona wazi kabisa.
Nimeenda Bugando nimekuta madaktari wengi waislam wanafanya kazi na vijana wengi wa kiislamu wanasoma udaktari.Mimi pia niko kwenye sekta ya afya.Tembelea hospitali ya Mtakatifu Gasper Itigi uone waislamu wanavyohudumiwa
 
Wakatoliki wanawategemeza mapadri na maaskofu.Isitoshe kanisa lina vitega uchumi vingi kutokana na viongozi wake kuwa na elimu dunia.Limewekeza kuwajengea uwezo mapadre kila sehemu.Nenda udsm,udom,sua.na saut utakuta mapadri na masista wanasoma ama bachelor,masters au PhD.Taasisi ya watu wa namna hiyo haihitaji huruma ya serikali kusurvive.Kile kitendo cha wao kuingia MoU na serikali.kinatanabaisha umahili.wao katika elimu dunia.Usiwaone mapadre wako kimya,they are smartest people I know
Bro unaongea nini?
Utaacha kuwekeza kila sehemu wakati UNAIBA BILLIONS kila mwaka bila kuulizwa maswali?

Wapi MAKANISA yamepata pesa za kuwekeza billion lila kona ya nchi?
Utanambia sadaka la fungu la 10.?

Toka wakati wa Nyerere MAKANISA tanaingiza mali BINAFSI kila siku bila kulipa kodi hata senti 1.
Wataacha kuwekeza?
Do you need to be educated to do that?
Have a bit of shame to claim those thief's are educated.
Those are money grabbing monsters.
Wako tayari mtu yyt afe Lao liendelee.
SIKU ZAO ZA WIZI ZIMEFIKA
 
Nimeenda Bugando nimekuta madaktari wengi waislam wanafanya kazi na vijana wengi wa kiislamu wanasoma udaktari.Mimi pia niko kwenye sekta ya afya.Tembelea hospitali ya Mtakatifu Gasper Itigi uone waislamu wanavyohudumiwa
Ntahulillah wanafunzi wa kiislamu kwenye fans ya medicine kweli ni wengi.
Hapa naongelea senior Doctors or management and decision makers.
Hakuna muislamu hata mmoja. Na ukikuta muislamu mmoja basi wakristo wapo 20.

Hilo sio siri ndugu.
Mimi nina vijana wangu madaktari pale Muhimbili na Bugando
 
Yaani wao wasipounga mkono wana athari gani ? Wasipounga mkono wao kwani tatizo ni nini? Yaani TEC huu ukuu wa kujifanya wanaweza kuamua mambo kwa ajili ya taifa hili aliwapa nani?
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Tutawajengea na nyie hospital zenuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]wabarakatuuu
 
Back
Top Bottom