Mteteeni Ustadhati wenuuu mkuu mambo magumuuHalafu wanaposema wao kama baraza la maaskofu hawaungi mkono mkataba wa bandari , kwani lini wao ni sehemu ya mamlaka za kisheria na za nchi kwenye kuunga mkono mambo ya nchi?
TEC mnataka kutuaminisha kuwa kwa DP World kuoewa mkataba wa kuendesha bandari basi nchi itaingia kwenye machafuko?Tutawajengea na nyie hospital zenuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]wabarakatuuu
Tunajua mlivyofaidika na uwepo wa TICTS na Kakoko pale bandarini na jinsi gani mmepitisha mashehena ya mnayoita misaada yakiwemo magari ya kifahari ya mapadre wenu bila kulipa ushuru.Mteteeni Ustadhati wenuuu mkuu mambo magumuu
Sasa unaona ulivyo punguani. Waliopewa hizo pesa ni waTanzania halafu ni ndugu zako. Lazima kuna dada, kaka, binanmu, mjomba, shangazi, au hata rafiki yako direct au indirect anapata huduma.Wanaukumbi.
Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Sasa hivi mtakaa kwenye matari na kulipa ushuru pale panapostahili na tutajipanga sana kupigana na huu ujinga mnaotaka kupandikiza kwenye hili taifa.Hivi unadhani Roman Catholic ni masikini. Hapo unajidanganya kabisa. Hiyo hela Kwa Roma Catholic ni ndogo sana tena sana ukilinganisha na huduma wanazotoa. Leo Roman Catholic wakiamua kusitisha huduma za kijamii nchi nzima utagundua umuhimu wao. Fikiri kwanza kabla ya kuichafua TEC.
Sasa hiyo hospitali si ya kwenu? Ihudumieni kwa pesa wanazotozwa wagonjwaWaislamu mmejenga hospitali gani yenye hadhi ya bugando..?
Punguani kweli wewe hizo huduma napata bure? Yaani natoa pesa yangu halafu kodi yangu wanalipwa wagalatia?Sasa unaona ulivyo punguani. Waliopewa hizo pesa ni waTanzania halafu ni ndugu zako. Lazima kuna dada, kaka, binanmu, mjomba, shangazi, au hata rafiki yako direct au indirect anapata huduma.
Nyie mna tabia mbaya sana, mnaona kama waarabu ndiyo ndugu zenu kuliko hapa kwetu. Utalinganishaje hivi vitu viwili tofauti kabisa. Waarabu wale siyo waTanzania lakini wewe unaona ati wakatoliki kwa sababu tu waarabu ni waislamu basi thamani ya utu wako wote umepeleka huko.
Ritz wewe ni mswahili tu kama mimi, hebu fanga googling (google.com), uliza Tunisian President condemns Africans that they want to change Tunisian Demography. Hapo ndiyo utajua wewe ingawa ni muislam lakini kwao ni nyani.
That is the fact, sijawahi kuona hata siku moja mwarabu anamuheshimu muafrika. Wewe ni mtumwa.
Nenda Syria, Plalestina, Egypt kote huko. Morocco hata kwenye kombe la dunia ingawa ni Africa wana ji-identify Kama Arabs, si uliona wakati ule kila wakishinda mechi wanajiridhisha na bendera ya Palestina ? Yaani wao ni waarabu.
You guys are real “useful idiots” low IQ, cretins!!!
Hao waislamu wenzako wanao tukana watu wengine ndio wenye nidhamu sioHalafu ukute wewe ni mke au mume wa padri au mchungaji lkn una mdomo mchafu kuliko wa mlevi.
Wakristo nidhamu imekuwa ni changamoto kabisa
Umeandika upupu tu, hizo huduma waislam wanapata bure huko bugando na kcmc? Mbona Agha khan hawapewi ruzuku? Pili kwanini hakuna ukomo wa MoU?Waislamu wengi sana hupata huduma za Kanisa bila ya Ubaguzi unajua kwa mfano Waislamu wangapi hutibiwa KCMC au Bugando? Na hiyo ni mifano midogo tu kuna Wilaya kubwa Tanzania huduma pekee ni ya Kanisa na kila mtu hutibiwa au unafikiri hakuna Muislamu anasoma SAUT ?
Serikali siyo wajinga wanachangia kwa sababu haina uwezo wa kufikia kila Mtanzania kwa huduma za Matibabu na hata elimu, hivyo labda haujui unachokihoji.
Shida kubwa ya Uislamu ni dini inayonyanyapaa na kukanyaga masikini na watu wa chini wasio na mtetezi, Waislamu maelite hawajali Waislamu wa chini ndiyo maana Uislamu hautoi huduma kwa jamii hata tu watoto yatima hakuna ndiyo maana wewe unahoji Kanisa kupata fedha ktk Serikalini kwa sababu kwako masikini na watu chini siyo kitu.
Viingozi wa Kiislamu wenye uwezo sijawahi kusikia hata siku moja wakianzisha foundation kama Mkapa foundation kusaidia watu, wao kazi yao starehe na kupiga picha social media tu …
Si ajabu hata shule aliyosoma mtoa mada ilikuwa ni ya kanisa.Uwe na akili kidogo. Shule nyingi sana kongwe za sekondari Tanzania bara zilikuwa ni Mali ya hao Wakatoliki. Nyerere alizitaifisha na kuzifanya za umma. Watoto wengi wakiwamo waislamu waliata elimu zao kupitia shule hizi. Wakatoliki wakidai warudishiwe shule zao na kuzichukua serikali itabaki na shule za kata tu.
TEC wanatumia Uozo bandarini kufanya biashara haramu ya silaha.Waislamu mmejenga hospitali gani yenye hadhi ya bugando..?
Kwanini mkataba unakataza Serikali isijenge Hospitali eneo ambalo Kanisa linamiliki Hospitali na Serikali ikijenga maaskofu wanatokwa mapovu?hizo pesa kama serikali inazo kwanini wasijenge hospitali zao mikoa yote Tanganyika? .
Hizo hospital unazozungumzia zimeokoa maisha ya watanzania wangapi kabla serikali haijahengaKwa kweli, baada ya hili suala la DPW, tunataka na Mkataba usio na Kikomo kati ya Serikali na Kanisa uwekwe hadharani nao tuujadili na tukubaliane juu ya vifungu vyake kama bado kwa zama hizi tunautaka ama tuachane nao. MOU kati ya Kanisa na Serikali, pia hatuutaki kwa sababu serikali ndio inawajibu wa kutoa huduma za jamii kwa watu wake ikiwemo afya na elimu. Hatuwezi kukubali kuendelea kutoa bilions of Shilings kwa kanisa endlessly wakati kila siku serikali imekuwa ikijenga hosp na vituo vya afya kote nchini. Je hizo zinazolipiwa kanisani ni kwa nini? Mikataba yote ya janja janja ipigwe chini.
Si mvunje huo mkatabaLini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.
Nijukumu la Serikali hilo baada ya kupokea kodi za wananchi.Hivi BAKWATA ina hospital yoyote yenye hadhi hata ya hospital ya wilaya au kituo cha afya?
Kanisa haliwezi kushindwa kuendesha hospitals zake hata bila ruzuku,waziondoe tu.
Kwani vyuo vikuu vya kanisa nako kuna ruzuku?
Madhehebu ya kilokole kama FPCT wana hospital ya rufaa pale Nkinga-Tabora na sina hakika kama pana ruzuku pale.
Nyie mmekalia majungu tu
Wewe lazima hata shule hujaenda ulivyojibu hapo ki”madrassa”.Punguani kweli wewe hizo huduma napata bure? Yaani natoa pesa yangu halafu kodi yangu wanalipwa wagalatia?
TEC mnataka kutuaminisha kuwa kwa DP World kuoewa mkataba wa kuendesha bandari basi nchi itaingia kwenye machafuko?
Mikataba ile wanayosaini wazungu na wakristo wenzenu kwenye madini hiyo haivunji amani?
Jibu swali wananchi walishikirikishwa?
Koma wewe.Kundi hatari sana Tanzania.
TEC wanamiliki Armed Forces Commision kinyume na katiba
na Padri Slaa aliwahi kutamka kuwa kuna silaha zinapitia TEC
Hawa wana achiwa sana. Msisahau walichofanya Rwanda
Ndio nyie mnapotezeaga muda wenzenu darasani, yaani Ili mradi tu uulize swali!Wanaukumbi.
Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.