Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Serikali isiwe tegemezi kwa taasisi za dini... Warejeshe kwa taasisi hizo Mali zote walizotaifisha.. ..!! Mashule na mahospitali
safi sana, kila mmoja aondoke na chake. Serikali haina dini.
 
Hamna kusaidiawa watu wanatibiwa kwa pesa zao. Unaandika gazeti lote la nini hojo ni hii jibu.

Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.?
Sema waislamu hawakushirikishwa,sio useme wananchi, sasa mlitaka mshirikishwe wakati mlikuwa hamna chochote!? Mlitaka wakati mlikuwa hamna chochote Cha Cha kchangia? Serikali ndio ilizifuata hizo tasisi za kikristo na hata nyinyi msome na kutibiwa mshukuru sana wakristo.
 
Mapadre wa katoliki huko Rwanda walihusika kwenye mauaji ya kimbari na watu zaidi ya milioni moja waliuwawa kwa msaada wa mapadre hawa. Kanisa katoliki Rwanda lilihusika na mapadre wa aina ya Kitima na TEC ndiyo walikuwa vinara wa mauaji hayo ya mwaka 1994.
 
Nimesoma nikaona 'reli' inajengwa angani !!
TEC wamedhamiria kutumbukiza taifa hili kwenye machafuko na watatumia mbinu ya wenzao wa Rwanda na hili la kutaka waraka usomwe makanisani kesho ni mwanzo tu wa kuanza kuchochea mambo kama waliyoyafanya Rwanda mwaka 1994.
 
Tunazungumzia bandari zetu... Sio Ruanda.
 
Kama wanyo MoU ifutwe hata leo. Soma kichwa cha habari.

Hakuna kuendelea kunyonyeshwa. Taasisi za kidini zote zijitegemee zenyewe.

Hayo mengine ni porojo zako tu.
Mimi si Mtu wa porojo na unajua vizuri uzito wa hoja zangu maana hii si mara ya Kwanza.
Nimesema naunga mkono hoja yako nzuri kabisa tena ina maslahi mapana Kwa nchi.
Naunga mkono hoja yako uliyoweka kwenye bandiko lingine inayohusu Taasisi za dini kuwa na maeneo Makubwa ya ardhi.
Kwa kuziunganisha hoja hizo mbili ndo nasisitiza Chuo kikuu cha Morogoro (Tanesco) kirudishwe serikalini mara moja sambamba na kufutwa Kwa MoU ya Hospitali Teule.
 
Wakristo ni wabia wa serikali katika kuchangia huduma za Afya,Elimu nk ndio maana wanatoa waraka,sasa mnatoa waraka mnachangia Nini na serikali? Kwanza huo waraka utakuwa huna nguvu Wala mashiko.🚮
 
Wagalatia bana huko shule uwa mnaenda kusoma ujinga?

Mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC hizi pesa za wananchi wanatakiwa kushiriikishwa punguani kweli weww Watanzania wana mahitaji mengi kujenga nchi yao siyo pesa wapewe maparoko.
 
Dhulma yoyote dhidi ya mtanzania si sawa na haikubaliki.
Wageni wote (wachina, wazungu, wahindi,....) wanatakiwa wadhibitiwe ili mwisho wa siku wawe wanainufaisha Tanzania zaidi au wafunge virago badala ya watanzania kufanyiwa dhulma.
Hili linawezekana tu tukiwa na watunga sera na taasisi zenye watumishi wengi wenye upeo na akili nzuri, hasa hasa viongozi na TISS.
Ili taifa liendelee lazima lifanye hivyo.
Siyo kwa kupiga kelele kama awamu ya tano bali kimya kimya kama wawindaji.
Kinachokiona sasa hivi, hasa katika mjadala wa mkataba wa bandari ni fikra za kitumwa za kuchagua mabwana dhidi ya ukweli na uhuru.
Pamoja na dini tulizonazo sasa hivi, dini ya kweli ni ukweli wenyewe, na uhusiano wetu na Mungu ni wa moja kwa moja , hayatakiwi upitie kwa yeyote.
Kuhusu kanisa kupewa billion hizo, kwa kuwa sina uhakika wake na pia matumizi yake, nitakuwa naikosea nafasi yangu nikikubaliana au kupinga moja kwa moja.
 
Ndio nataka unijibu hao wananchi ni kina Nan? Waislamu au wakristo?
 
Wakristo ni wabia wa serikali katika kuchangia huduma za Afya,Elimu nk ndio maana wanatoa waraka,sasa mnatoa waraka mnachangia Nini na serikali? Kwanza huo waraka utakuwa huna nguvu Wala mashiko.🚮
Wadanganye Bavicha wenzako wala ufahamu mkataba Serikali na Kanisa. Eti wabia punguani kweli wewe.
 
Kumbe ni kwaajili ya kuendeleza miradi ya elimu na afya ambayo hata nyie waislamu mnanufaika nayo maana hamkatazwi kwenda kutibiwa hospital za kanisa wala kusoma shule za kanisa. Ingekua hizo hela ni kwaajili ya kuendeleza maisha ya wachungaji na mapadre ulikua na point ila kwa sasa unaongea pumba tu.
 
Wadanganye Bavicha wenzako wala ufahamu mkataba Serikali na Kanisa. Eti wabia punguani kweli wewe.
Mimi toka nianze kujibizana na ww sijakutukana,ila ww kila bandiko kwangu linaambatana na tusi,hiyo inaonesha ukweli nao kwambia,na sitakutukana maana najiamini nachosema ni kweli hata ww huko mtaani unaona ukweli ulivyo.
 
Punguza makasiriko wambie mashekhe wajenge hospitali kamani rahisi. Mnachoweza ni ugaidi na kulawiti watoto wa madrsa
 
Nyie mashekhe wenu wasiokula sadaka hyo 5000 mmetoa? 😀

Acheni makasiriko jengeni hospitali zenu kama ni rahisi
 
Bahati mbaya sana hiyo BAKWATA haina mashehe wenye hiyo elimu na uwezo wa kuchambua mambo nyeti kama mkataba wa bandari!!
 
Kodi zikawa kwa raia wote wanufaike wachache na mkataba usio na ukomo ,si sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…