Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Hizi dini za wazungu na waarabu hizi!

Wazungu waliigawa Burundi, Rwanda, kwa misingi ya Ukabila wa kiupendeleo kazini, elimu, kazi nk. Sasa hizi issue kama hizi za MOU na Kanisa zinatakiwa zipatiwe ufumbuzi ili nchi yetu iendelee kuwa na umoja na mshikamano ktk dini zote. Is all about Equality.
 
Serikali kutegemea Taasisi ya kidini kutoa huduma ni hoja dhaifu, infact serikali haitakiwi kuvunja katiba inapofanya mambo yake!


mimi ninadhani kitendo cha kutoa Majengo ya serikali kule Morogoro ilikuwa ni CALCULATED MOVE YA KUWANYAMAZISHA WAISLAMU!, ili Waislamu wakipiga kelele kuhusiana na Mou waambiwe mbona na nyinyi mlipewa Majengo ya Tanesco?.

Kiufupi ukilinganisha Mou ile na majengo ni sawa na kulinganisha ALMASI kwa PIPI!.

tulikataa kujiunga na OIC kwa sababu ya kulinda katiba, na tunafahamu ndani ya OIC tungepata manufaa kibao ya kiuchumi kupitia opportunities za kibiashara, kidiplomasia, Elimu, Mikopo, Misaada, Afya n.k. lakini tuliamua KULINDA KATIBA JUU YA MANUFAA HAYA YOTE. sasa swali linakuja je ilikuwaje Serikali ikavunja katiba kwa Kusaini Mou inayodelegate Serikali kuingia bileteral negotiations kwa manufaa ya kanisa(rejea kipengele kwenye ile Mou cha serikali kuliombea kanisa misaada nje ya nchi hususana nchi ya Ujerumani)
 
Umejipachika ID jina la Kiislaam uonekane Muislaam. Janja yake panya...
Sawa.Sitashangaa utaniambia sababu ya kufeli kwa shule zetu kuwa tunaonewa na NECTA kuna wakristo wengi, basi na sisi tuunde baraza letu la mitihani ambalo litahihisha mitihani ya Waislam tu ili kuwepo na uwiano sawa.
 
Unajua tatizo lipo kubwa sana kwa viongozi wetu ambao hawajui sheria za nchi. Wanavunja Katiba ya nchi kwa ujinga wao.

Ww unataka tumlaumu aliyeweka sahihi (Lowassa), hapa ndio penye tatizo. Tuilaumu serikali yote(balaza la mawaziri) ikiongozwa na rais Mwinyi kwa kuridhia hili jambo. Kama ilivyo kwenye Mwembechai Killings, analaumiwa Mkapa na sio waziri wa mambo ya ndani(muislam) aliyetoa amri. Analalamikiwa Nyerere na vijiji vya ujamaa na sio Kawawa aliyesimamia utekelezaji. Hii double standards ndo inaleta nongwa. Rais hata leo ana mamlaka ya kuifuta MoU hiyo, mbona haifuti?
 
mimi ninadhani kitendo cha kutoa Majengo ya serikali kule Morogoro ilikuwa ni CALCULATED MOVE YA KUWANYAMAZISHA WAISLAMU!, ili Waislamu wakipiga kelele kuhusiana na Mou waambiwe mbona na nyinyi mlipewa Majengo ya Tanesco?.
Sasa mpaka nacheka hapa! hivi ingekuwaje kama yale majengo wangepewa wakristo? waislamu tungesemaje?
 
...

..mimi ninadhani kitendo cha kutoa Majengo ya serikali kule Morogoro ilikuwa ni CALCULATED MOVE YA KUWANYAMAZISHA WAISLAMU!, ili Waislamu wakipiga kelele kuhusiana na Mou waambiwe mbona na nyinyi mlipewa Majengo ya Tanesco?.

Well, by the same token, hata hii ya kuilalamikia hiyo MoU inaweza kuwa ni WELL CALCULATED MOVE ya kupata majengo mengine!
 
Reactions: LAT
mbona juzi tu mwezi wa sita kule dodoma wakati wa kumsimika askofu wa jimbo la dodoma serikali ilitangaza kupitia JK Kwamba itatoa incentives worth 70 billions kwa catholic church kama msaada wa kusaidia kanisa katika shughuli inazoziendesha za huduma ya afya na elimu

sasa sioni cha ajabu katika hiyo ya MOU
 

Usitake kucheza na maneno kama kawaida yako kwenye ile id yako maarufu, MoU inayokubali kuwa zzitatoka fedha za serikali kuwapa kanisa ahalafu unauliza? una vituko sana wewe na ni hodari wa kubadili maneno.
 
Unakubaliana na mimi Serikali imevunja katiba kwa kutoa majengo ya kwa ajili ya chuo chetu Morogoro?

Unajitahid kutaka kujifanya Muislaam, kumbe tusha kustukia. Hakuna Muislaam anaeongea hivyo, hapo ndipo unapokosea.
 
Sasa mpaka nacheka hapa! hivi ingekuwaje kama yale majengo wangepewa wakristo? waislamu tungesemaje?

Tumesha kuambia achana na kujidai Muislaam. Hiyo game unayocheza inaonesha jinsi ulivyo mnafik. Muislaam hana lugha ya mimi, sisi, tufanyeje waislaam? uongo mtupu.
 
nimekupata mkuu, ni kweli kwamba kipindi hicho rais alikua muislam na ndio sababu kanisa likaona nivyema kusign MoA ili kujihakikisha taasisi zake zinaendelea kupata ruzuku toka serikalini. Hapa ina mana kipindi cha nyerere walikua wanajichotea tu. Ukweli ndio huo.
 
Jibu kama serikali ilivunja katiba, mbona wazunguka?
 
Waislaam wayatowe wapi wakati wao hawana MoU na serikali?
MoU muwe nayo kwa madrasa mnayofundisha watoto wenu kuwa bitter? Makanisa yalikuwa na mahospitali na mashule yasiyo ya kibaguzi ndio maana kukawa na ulazima wa MOU, n mark u; afya na elimu dunia ni wajibu wa serikali kuprovide kwa wananchi wake, kama makanisa yanasaidia lazima kuwe na understanding ili kulinda haki za pande mbili, pia majukumu ya kila pande yaainishwe!Sasa ukitaka kupima kweli serikali inapendelea makanisa, nyie waislamu anzisheni vyuo na mahospitali visiwe vya kibaguzi muone kama serikali haitawapa shavu. Ila sidhani kwa visadaka vyenu vya sh 50 mtaweza! MOU ni kiuendeshaji si uanzishaji wa projects!
 
Watanzania wana matatizo mengi sana , sasa tumeacha kujadili maendeleo ya Tanzania tuna tafuta kuivunja Tanzania .Kweli huu mjadala una tija baada ya kufikia mwisho au ni kupotezeana muda na kuleta chuki za kipuuzi .Haya Makanisa mbona yana ongoza kwa kuwasaidia kila mtu bila kujali dhehebu lake ? Hosp ipi Tanzania inawatibu wakristo pekee ? Ujinga mwingine bwana .Wacha niendelee mie
 
Sheikh FaizaFoxy historia inasema nini kuhusu mchango wa Waislamu kwenye sekta ya Elimu na Afya kwa Taifa.Kwa Wanaotoka mikoani wanajua kuwa pia kuna Hospital za Bakwata na Dispensary zake!!!!!.Zina mchango gani kwenye jamii ya Watanzania?Naomba Msaada wako Sheikheeeeeeeeee!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…