Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Waislam ni watu wa kulialia na njaa sana ndio maana mafanikio kwenu ni ndoto za alinacha wakati wenzenu wakristo wao ni kazi na sala na Mungu wao anawasaidia ,wana Mabenk, big hospitals,colleges,schools,nk nyie kazi ni kugonga vichwa kwenye ardi na hakuna kitu huyo Allah wenu ni mchovu sana anawaacha mnaoonewa ninyi tu ,kweki bora uwemganga wa kienyeji kuliko mfuasi wa muhammadans.
 
Waislam ni watu wa kulialia na njaa sana ndio maana mafanikio kwenu ni ndoto za alinacha wakati wenzenu wakristo wao ni kazi na sala na Mungu wao anawasaidia ,wana Mabenk, big hospitals,colleges,schools,nk nyie kazi ni kugonga vichwa kwenye ardi na hakuna kitu huyo Allah wenu ni mchovu sana anawaacha mnaoonewa ninyi tu ,kweki bora uwemganga wa kienyeji kuliko mfuasi wa muhammadans.

Kashfa za dini hapa hapakufai nenda kwenye jukwaa la dini..ok

Waislamu pia tumejenga shule, hospitals and colleges kwa nguvu zetu wenyewe..ok

Hapa hakuna anayelia ila tunakemea hela za umma kupelekwa kanisani

Kama hiyo ni kulia tutalia sana mpaka hali hiyo dhulma itakwisha kwa heri au kwa shari
 
Waislam ni watu wa kulialia na njaa sana ndio maana mafanikio kwenu ni ndoto za alinacha wakati wenzenu wakristo wao ni kazi na sala na Mungu wao anawasaidia ,wana Mabenk, big hospitals,colleges,schools,nk nyie kazi ni kugonga vichwa kwenye ardi na hakuna kitu huyo Allah wenu ni mchovu sana anawaacha mnaoonewa ninyi tu ,kweki bora uwemganga wa kienyeji kuliko mfuasi wa muhammadans.

nimewaambiwa wakatoliki wamefungua vyuo vikuu vipya songea na kagera. Ms na wasomi wenzake wanazunguka na mapepa yao kueneza uhuru wa uwongo kwa wazungu wanawaacha ndugu zao kwenye lindi la umaskini na ujinga
 
ndo muandae hiyo mou muipeleke serikalini

Kwa sasa sisi hatuna haja ya MoU tunataka fedha zetu zinazopelekwa makanisani zisipelekwe na badala yake zipelekwe shule za kata na hospital za serikali.
 
nimewaambiwa wakatoliki wamefungua vyuo vikuu vipya songea na kagera. Ms na wasomi wenzake wanazunguka na mapepa yao kueneza uhuru wa uwongo kwa wazungu wanawaacha ndugu zao kwenye lindi la umaskini na ujinga

Wakatoliki si wameiba kutoka kwenye serikali hela zetu..mwizi akikujengea nyumba anakuwa si mwizi?
 
Mohammed Hospital- Arusha (kubwa kuliko kaloleni hospital ya wilaya)

African Muslim Hospital -Tanga (kubwa kuliko hospitali ya mkoa)

Wal-Ul-Asr Hospital -Kibaha (kubwa kuliko hospitali ya mkoa wa pwani)

List goes on, tumejenga kwa nguvu zetu hatukuiba wala hatukuchukua hela za umma

Nyinyi either msaidiwe (mpendelewa) au muibe mkiambiwa mnaiba mnasema tunalalamika guys kuweni wakubwa sasa acheni uwizi wa hela za umma

hiyo ya kibaha kubwa kuliko ya mkoa du kimajengo au kihuduma maana ndo naisikia kwako ukizungumzia hospital kubwa kihuduma morogoro road ni Tumbi then muhimbili labda hiyo inahudumia mashehe na maustadh tu
 
Kwa sasa sisi hatuna haja ya MoU tunataka fedha zetu zinazopelekwa makanisani zisipelekwe na badala yake zipelekwe shule za kata na hospital za serikali.

kwa hiyo hizo pesa zenu mtazipata hapa jf?
 
hiyo ya kibaha kubwa kuliko ya mkoa du kimajengo au kihuduma maana ndo naisikia kwako ukizungumzia hospital kubwa kihuduma morogoro road ni Tumbi then muhimbili labda hiyo inahudumia mashehe na maustadh tu

Wewe tatizo lako umekariri..

Hiyo iko karibu na mezani na inatibu jamii yote uliyo karibu na hapo..

Tumbi ni hospitali inamilikiwa na Shirika la Elimu kibaha..

Nasikia wanataka kuifanya ya mkoa sasa..

Hospitali ya mkoa iko karibu na ofisi ya mkuu wa mkoa ni ndogo kuliko Wal-Ul-Asr hospital..

Kama siyo mambo ya udini (mfumo kristo) wangewapa hizo fedha umma ili iwe ya mkoa lakini tutafika tu.
 
Wewe tatizo lako umekariri..

Hiyo iko karibu na mezani na inatibu jamii yote uliyo karibu na hapo..

Tumbi ni hospitali inamilikiwa na Shirika la Elimu kibaha..

Nasikia wanataka kuifanya ya mkoa sasa..

Hospitali ya mkoa iko karibu na ofisi ya mkuu wa mkoa ni ndogo kuliko Wal-Ul-Asr hospital..

Kama siyo mambo ya udini (mfumo kristo) wangewapa hizo fedha umma ili iwe ya mkoa lakini tutafika tu.

Wal-Ul-Asr watakuambia ile ni hospitali ya kidini walivyo na akili finyu but target ni kuendeleza hospitali zao ili wapeane ajira na kuzidi kulitajirisha kanisa. Watu hawadanganyiki siku hizi mlizoea kudanganya utopians followers but dot com era kila mmoja mjanja tutafika tu.
 
Wewe tatizo lako umekariri..

Hiyo iko karibu na mezani na inatibu jamii yote uliyo karibu na hapo..

Tumbi ni hospitali inamilikiwa na Shirika la Elimu kibaha..

Nasikia wanataka kuifanya ya mkoa sasa..

Hospitali ya mkoa iko karibu na ofisi ya mkuu wa mkoa ni ndogo kuliko Wal-Ul-Asr hospital..

Kama siyo mambo ya udini (mfumo kristo) wangewapa hizo fedha umma ili iwe ya mkoa lakini tutafika tu.

ile nilifikiri ni dispensary kwa ajili ya wanachuo na wakufunzi wanaokaa pale
 
Wanadai ati kuna kodi za wakristo humo wamesahau wao wanapokea kodi za waislamu kila mwaka kupitia MoU unafiki mtupu! 0.01 ya kila kodi ya mtanzania inaenda kuchangia katika zile Tshs Bilioni 91 wanazopewa kanisa kila mwaka. Hembu jiulizeni waislamu kila mwaka mnalipa bei gani ya kodi yenu kwenye MoU? Mie nachangia kila mwaka Tshs 360,000 ya kodi ninayolipa serikali kila mwaka kwenye MoU. Bakhressa anatoa karibu Bilioni 1.54 kila mwaka katika Bilioni 91. Huu sio unafiki???

Mkuu makelele yote haya na obsession zote hizi kumbe unalipa kodi kidogo namna hiyo, yaani in a tune of Tshs 30,000 a month? Halafu hiyo hoja yako kuhusu Bakhressa ni upotoshaji kwa sababu wafanyabiashara technically hawalipi kodi bali wanaisaidia serikali kukusanya kodi same hata kwa waajiri mnanegotiate mshahara say $50,000.00 a year. Deal done kila mwisho wa mwezi yeye muajiri anamsaidia serikali kukusanya kodi yake kutoka huo mshahara wako. Sasa unapokuja na hiyo fihure kuhusu Bakhressa weka ikiwa imechambuliwa VAT ngapi? Capital gains Tax ngapi? Income tax, import taxes whateva kiasi gani?

Besides mwaka wa fedha 2009/2010 wafanyakazi wa Barrick pekee walichangia kodi in a tune of Tshs 2.6 Billion kutoka Pay as you earn (PAYE), almost mara mbili ya hiyo Bakhressa aliyoisaidia serikali kukusanya. Na hiyo ni direct kutoka mishahara yao.

Umeongelea sana MoU kwa hamaki, mihemko na hamasa lakini umeishia kuzungumzia ooh kanisa linapewa Bil. 91 kwa mwezi as if kuna mgao say katoliki bilioni 5. KKKT Bil.2., Angican bilion 1 etc. Go find the details kabla ya kutuhumu. Na ukitumia theorem ya 80/20 % u can easily find where does most of the moneys go?????????? Otherwise utaendelea kurukaruka humu JF weeeeeee bila kusaidia kuondoa the so called dhuluma unayoihubiri kila siku. Devil is in the details go get them.
 
Before 1992 MoU nitajie chuo kikuu kimoja cha kikristo Tanzania?

Before 1992 MoU nitajie hospitali moja ya kikristo Tanzania? usinitajie Bugando, wala KCMC kwasababu zote zilijengwa na serikali ya mkoloni, unajua serikali maana yake ni kodi za watanzania wote..

Acha hizo nyie mkiiba seriaklini si juhudi hiyo hakuna tofauti na RA na EL

Moravian Theological College, Mbeya, Tanzania - Siku hivi inaitwa Theofil Kisanji University. Hawa walikuwa wanatoa diploma na degree za theology. Ikumbukwe kwamba kabla ya hiyo MoU vyuo vikuu binafsi vilikuwa haviruhusiwi, magazeti binafsi, redio binafsi zote marufuku. Ndio maana hao jamaa wakajikita kwenye kufundisha masula ya theologia.
 
Moravian Theological College, Mbeya, Tanzania - Siku hivi inaitwa Theofil Kisanji University. Hawa walikuwa wanatoa diploma na degree za theology. Ikumbukwe kwamba kabla ya hiyo MoU vyuo vikuu binafsi vilikuwa haviruhusiwi, magazeti binafsi, redio binafsi zote marufuku. Ndio maana hao jamaa wakajikita kwenye kufundisha masula ya theologia.

Kwahiyo ili wapate fedha za kujenga vyuo ilibidi waingie MoU na serikali..waibe fedha za umma..

Look here serikali iliruhusu watu binafsi kujenga shule na vyuo toka 1986 (ERP) economic recovery programme

Kanisa halikuweza hadi walipofanya hila za kutuibia fedha za umma..

Wakafanya siri (mfumo kristo) hadi 2005 ilipofumuka kwenye mitandao ya jamii..

Serikali inatakiwa iwajibu waislamu na walipa kodi nchi kwanini waliamu kuwapa wakristo (taasisi) zao tu na si wengine?
 
Moravian Theological College, Mbeya, Tanzania - Siku hivi inaitwa Theofil Kisanji University. Hawa walikuwa wanatoa diploma na degree za theology. Ikumbukwe kwamba kabla ya hiyo MoU vyuo vikuu binafsi vilikuwa haviruhusiwi, magazeti binafsi, redio binafsi zote marufuku. Ndio maana hao jamaa wakajikita kwenye kufundisha masula ya theologia.

makumira kkkt nao walikuwa wanatoa diploma na degree ya theolojia
 
makumira kkkt nao walikuwa wanatoa diploma na degree ya theolojia

Wakuu sasa mmeishiwa na hoja..

Vyuo vinavyotoa diploma na cheti waislamu viko vingi sana ...

Tunaongelea vyuo mushrooms after 1992 MoU mlipopata pesa za umma na kodi zetu..
 
Kwahiyo ili wapate fedha za kujenga vyuo ilibidi waingie MoU na serikali..waibe fedha za umma..

Look here serikali iliruhusu watu binafsi kujenga shule na vyuo toka 1986 (ERP) economic recovery programme

Kanisa halikuweza hadi walipofanya hila za kutuibia fedha za umma..

Wakafanya siri (mfumo kristo) hadi 2005 ilipofumuka kwenye mitandao ya jamii..

Serikali inatakiwa iwajibu waislamu na walipa kodi nchi kwanini waliamu kuwapa wakristo (taasisi) zao tu na si wengine?

Na ndiyo maana Mbeya kulikuwa na shule binafsi nyingi zaidi ya mara mbili ya Dar in 1988.
 
Mkuu makelele yote haya na obsession zote hizi kumbe unalipa kodi kidogo namna hiyo, yaani in a tune of Tshs 30,000 a month? Halafu hiyo hoja yako kuhusu Bakhressa ni upotoshaji kwa sababu wafanyabiashara technically hawalipi kodi bali wanaisaidia serikali kukusanya kodi same hata kwa waajiri mnanegotiate mshahara say $50,000.00 a year. Deal done kila mwisho wa mwezi yeye muajiri anamsaidia serikali kukusanya kodi yake kutoka huo mshahara wako. Sasa unapokuja na hiyo fihure kuhusu Bakhressa weka ikiwa imechambuliwa VAT ngapi? Capital gains Tax ngapi? Income tax, import taxes whateva kiasi gani?

Besides mwaka wa fedha 2009/2010 wafanyakazi wa Barrick pekee walichangia kodi in a tune of Tshs 2.6 Billion kutoka Pay as you earn (PAYE), almost mara mbili ya hiyo Bakhressa aliyoisaidia serikali kukusanya. Na hiyo ni direct kutoka mishahara yao.

Umeongelea sana MoU kwa hamaki, mihemko na hamasa lakini umeishia kuzungumzia ooh kanisa linapewa Bil. 91 kwa mwezi as if kuna mgao say katoliki bilioni 5. KKKT Bil.2., Angican bilion 1 etc. Go find the details kabla ya kutuhumu. Na ukitumia theorem ya 80/20 % u can easily find where does most of the moneys go?????????? Otherwise utaendelea kurukaruka humu JF weeeeeee bila kusaidia kuondoa the so called dhuluma unayoihubiri kila siku. Devil is in the details go get them.

Kati yangu mie na wewe nani amekuja kwa hamaki hapa? Umesoma vizuri nilichokiandika au umekuja humu jamvini na mahasira? Nimesema kama ulivyoniquote hapo juu kanisa linapata kila mwaka Bilioni 91. NARUDIA TENA KILA MWAKA BILIONI 91 kama macho yako yana makengeza. Mchango wangu wa 0.01 katika kodi ya jumla ninayokatwa na serikali kwenda kwenye hizo bilioni 91 ni Tshs 360,000. Sio kidogo hizo zinamfaa mtanzania maskini kijijini kama mnaziona kidogo nirudishieni nikasaidie maskini waislamu wasiopata MoU kama nyie mnavyopata. Mie kila mwezi serikali inanikata katika mapato yangu kodi ya Tshs 3,000,000. Katika kodi hiyo asilimia 0.01 ya kodi hiyo inayoenda kanisani ni Tshs 30,000 kila mwezi.

Pili Bakhressa ndugu ni number 1 tax payer hicho unachokisema hakina proof zaidi ya hearsay tu. Data zinaonyesha annual turnover ya bakhressa ni $300 Million kila mwaka. Inamaana kwa mwaka Bakhressa corporation tax yake TRA ni TSHS BILIONI 166!!!!! Sio Barrick, wala TBL wanaweza kugusa ubavu wa Bakhressa ndugu na ndio sababu Zitto alihoji list ya Waziri Mkuu imetokea wapi wakati kuna akina Bakhressa wanalipa kodi zaidi ya TBL.

Punguza hasira kwanza utafakari na sio kuja kama umetoka kukabwa na samaki huko ulikotoka.

Mchango wa Bakhressa katika Bilioni 91 wanazopewa kanisa ni Bilioni 1.6 peke yake. Kodi ya Bakhressa serikalini Tshs Billioni 166.6
 
Wakuu sasa mmeishiwa na hoja..

Vyuo vinavyotoa diploma na cheti waislamu viko vingi sana ...

Tunaongelea vyuo mushrooms after 1992 MoU mlipopata pesa za umma na kodi zetu..
Viweke hapa. Siyo kubwabwaja tu kwamba viko vingi sana. Vitaje basi!
 
Na ndiyo maana Mbeya kulikuwa na shule binafsi nyingi zaidi ya mara mbili ya Dar in 1988.

Mkuu wewe una rafiki hata moja muislam? just curious

Unajisikiaje kuchukua kodi yake kupelekwa kanisani in the name of social services (unaudited)??

Hata kama mbeya ilikuwa na shule nyingi ndio iwe halali kuchukua kodi za umma kupelekea kwenye vyuo na hospitali ya kanisa wakati kuna shule kibao za kata za serikali zinahitaji walimu na madarasa mazuri..
 
Back
Top Bottom