Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

a) Kinachoongelewa hapa si sera za chama fulani, ukumbuke kuwa "mfumo" wa serikali si sera ya chama. Leo hata ukiweke chama kingine chochote madarakani hakiwezi kuja na mfumo mpya, kitakuja na sera tu mpya, uliwahi kusikia chama kipi kikasema kitakuja na mfumo mpya? Uliwahi kuisikia Chadema ikiuliza hata siku moja kwanini Serikali inapeleka fedha hizo zote kanisani? sijasikia hata siku moja na wala sitegemei kusikia. Na unajuwa kwanini, usitake kuuhamisha huu mjadala huko na kuifanya hii ni sera ya CCM. Chanzo chake ni Nyerere na ndio sababu ya kupewa uwenye "heri" kuelekea Utakatifu. Sidanganyiki.

b) Soma a).

c) Soma a)

d) Soma a)

Unafanya kila njia kuupeleka mjadala huu kuwa wa CCM, nakuuliza hao waliotokea vyama vingine si walitokea hukohuko, kuna mmoja wao umeshamsikia akipinga mfumo unaoongelewa?

Sisi hatuongelei chama hapa, tunataka fedha hizo zilizochotwa ki wizi na kifisadi zirudishwe kwa wanachi haraka iwezekenavyo.
LA!!!!! nimekushangaa FF, hivi Mwl. Nyerere kakukosea nini? kakuchukulia mumeo au? mbona unamchukia sana hivyo. Mkataba (MoU) umesainiwa wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi ww lawama unapeleka kwa Mwl.Nyerere (BABA WA TAIFA) du. kweli kufikiri kwakpo kuko ndani ya box ssiku ukitoka humo tutakuona
 
LA!!!!! nimekushangaa FF, hivi Mwl. Nyerere kakukosea nini? kakuchukulia mumeo au? mbona unamchukia sana hivyo. Mkataba (MoU) umesainiwa wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi ww lawama unapeleka kwa Mwl.Nyerere (BABA WA TAIFA) du. kweli kufikiri kwakpo kuko ndani ya box ssiku ukitoka humo tutakuona

Hapo ndipo unapokosea sana, soma kitabu cha Sivalon, cha Aboud Jumbe cha Hamza Njozi cha Mohamed Said cha Bergen cha Illife na wengineo, utaujuwa huu mfumo kristo umeanzia wapi. Ukisikia watu wanausema usifikiri wanakurupuka.

Nyerere ndio chanzo cha yote au hujui kwanini Rais wa nchi anapewa uwenye "heri'? heri ipi aliyoifanyia hii nchi? Kang'atuka katuwacha Tanzania ni nchi ya mwisho duniani kwa umaskini, kuna heri hapo?

Nadhani unaelewa kisa cha Mwinyi kuzabwa kofi na kijana wa Kiislaam, kwa fikra zako kuongolea kondom tu ndio kulikopelekea kuzabwa Mwinyi kibao? la hasha, ni unafik wake.
 
Topical,

..mimi nadhani una chuki na Ukristo, na mou ni "kichaka" tu kutolea chuki zako.

..kama mou ni wizi na ufisadi, je Muslim Dev Fund kupewa yale majengo nayo ni wizi na ufisadi?

..unadai mou lazima iwe audited, I am OK with it, na hakuna uhakika kama hilo halifanyiki, lakini ni lini Bakwata, Shura ya Maimamu, Muslim Dev Fund, zimekuwa audited?Hata kama hawapokei funds zozote zile toka serikalini je vyombo hivyo havistahili kuwa audited?

..personally, sidhani kama Waislamu wa aina yako wanaweza "kuridhika" kwasababu tatizo lao siyo haki, bali ni chuki dhidi ya imani nyingine, particularly Ukristo.

..mnadai kuna "mfumo Kristo" mbona Wahindi na Waarabu wanapeta nchi hii, na wana hali nzuri kuliko majority ya Wakristo???

.."mfumo Kristo" gani huo unaoruhusu Raisi, Makamu, Jaji Mkuu, Jaji Kiongozi, Mkuu wa Polisi, Mkuu wa usalama wa Taifa,Waziri wa Fedha, Waziri wa Elimu, Waziri wa Afya, ...wote hao wakawa Waislamu???!!

..Mashekhe wame-create adui wa kufikirika "mfumo Kristo" ili kuwalaghai the innocent and naive Muslims waendelee kuwaweka ktk nafasi za uongozi.

Sina chuki na ukristo kwasababu ukristo siyo tatizo hilo sina haja ya ku-prove kwako maisha yangu yana prove hivyo kwasababu nimesomesha na ninaishi na wakristo wengi na huu msimamo wangu namwambia mkristo face to face ..tunaendelea na maisha

wewe ndio una chuki na uislamu na waislamu na unaona kupendelewa kanisa ni sawa irrespective kuwa hiyo ni haki au siyo haki pamoja na kwamba kila mwenye akili anaona kabisa hiyo MoU ni uwizi wa mali ya umma lakini wewe na wengine of course motivated by udini ..mnaona ni sawa..

Nina uhakika hakuna taasisi ya kiislamu inayopokea bilions kila mwaka kutoka serikalini NONE?? kungekuwa na kelele ya kufa mtu hapa.. sasa majengo wameshapewa unafanye auditing ya nini?..wakati hujapewa ruzuku ya kufanya repair none..

Mengine unayoyasema unataka ku-divert mada..waarabu na wahindi wanafaidi wengine jasho wengine kwa ufisadi na wanaandikwa sana ..

Wakristo hawafaidi oh yes hawafaidi kwasababu Maaskofu wanakula hizo hela za umma ...without auditing wataendelea kuitafuna taifa hili kupita mikataba ya epa/richmond etc na kwakuwa watu kama nyinyi mmeelemea kutetea kanisa (udini) by any cost..wataendelea kula tu..

Mkuu haturisishani hapa ila tunasimamia ukweli, haki na usawa wa ugawaji wa national cake period..

Sasa kama hiyo ni chuki well let iti be..kama ambavyo tunawachukia mafisadi wengine pia..
 
Katika watu waliobahatika kupata machache ya Mwinyi baraka, nnashukuru kusema na mimi japo nimo.

Nilisema humu kuna Anti yangu alikuwa ni jirani na Maalim Bi Sakina (Mtaa wa Pemba), basi hapo kwa Anti yangu na baadae kwa Maalim Sakina, kulikuwa kuna darsa kila siku, likitolewa na Al Marhum Al Faqir Ahmed Sheikh Mohamed maarufu kama Sheikh Ahmed Polisi, huyu alikuwa ni kitu katika vitu na ni mwanafunzi wa Mwinyi Baraka na Mwinyi Baraka kila akija Dar basi hatukosi darsa ya Mwinyi Baraka. AlhamduliLlah. Nashkuru kuwa mmoja wa wanafunzi wa hawa Wazee waliotutangulia.

Licha ya hayo, Binti wa Mwinyi Baraka (na yeye Mwenyeezi mungu Amrehem) alikuwa ni shoga yangu mkubwa na kuna wakati akiishi na Babaake, kumuuguza, nami nilikuwa karibu sana na wao na kila mara tukienda kupata Darsa za mwinyi baraka na Maradhi yake lakini alikuwa akikaa juu ya kochi akitupa darsa, na tulikuwa hatuishi maswali na MashaAllah mwinyi baraka kama hajatuona humuuliza Binti yake wako wapi leo hawa? Nae hututafuta kwa simu (siku hizo hakuna mobile).

Aaah, leo mmenipeleka mbali sana. Mwenyeezi mungu Awarehem na kuwasameh wote waliotutangulia na sisi aturehem na kutusameh kwa kila mmoja wetu, atuongoze njia njema, atupe kauli thabit, atujaze katika dunia hasanatan na atujaze katika akhera hasanatan na atuepushe na adhabu ya moto. Eeeh Allah tuzidishie Ilm.
nadhani alikuwa mhubiri wa dini, hatuna 7bu ya kujua habari zake. Napenda kumsikiliza Prof. Safari hasa ktk maada zake za sheria. Ninyi mnaopinga MoU mnafahamu kuwa taasisi za kanisa zikijitoa kutoa huduma za jamii nchi hii itapata kiharusi?????? Tembea nchi hii uone, wengi mnaopinga ,mambo haya mmekulia DSM ambako karanga zinachumwa kwenye miti, angalieni bw.
 
Hapo ndipo unapokosea sana, soma kitabu cha Sivalon, cha Aboud Jumbe cha Hamza Njozi cha Mohamed Said cha Bergen cha Illife na wengineo, utaujuwa huu mfumo kristo umeanzia wapi. Ukisikia watu wanausema usifikiri wanakurupuka.

Nyerere ndio chanzo cha yote au hujui kwanini Rais wa nchi anapewa uwenye "heri'? heri ipi aliyoifanyia hii nchi? Kang'atuka katuwacha Tanzania ni nchi ya mwisho duniani kwa umaskini, kuna heri hapo?

Nadhani unaelewa kisa cha Mwinyi kuzabwa kofi na kijana wa Kiislaam, kwa fikra zako kuongolea kondom tu ndio kulikopelekea kuzabwa Mwinyi kibao? la hasha, ni unafik wake.
Hapo kwenye Red, tukio hilo nililiona kwenye TBC 1 nikiwa Arusha, Mwilim wote ulilowa, nafsi yangu ilihuzunika kupita kiasi kwa udhalilishaji ule kwa Rais Mstaafu.Ila nilikuwa sijui kumbe wewe FF ulifurahia tendo lile, La!!!!!!!! anyway yote maisha, umenikumbusha jambo la huzuni sana, Nampenda na kumheshimu Mzee Ruksa kama kiongozi wa Taifa. Hivi ulishangilia sn tendo lile mpaka unalitolea mfano du we mkali, mligngeana hata glass kwa udhalilishaji ule. Mpaka una mwita Mnafiki du, siku ukitoka kwenye box nitakuona
 
nadhani alikuwa mhubiri wa dini, hatuna 7bu ya kujua habari zake. Napenda kumsikiliza Prof. Safari hasa ktk maada zake za sheria. Ninyi mnaopinga MoU mnafahamu kuwa taasisi za kanisa zikijitoa kutoa huduma za jamii nchi hii itapata kiharusi?????? Tembea nchi hii uone, wengi mnaopinga ,mambo haya mmekulia DSM ambako karanga zinachumwa kwenye miti, angalieni bw.

Wala si uongo itapata kiharusi, na hicho hakina tatizo ikipata kimsiba ndio ingekuwa tatizo.
 
Hapo kwenye Red, tukio hilo nililiona kwenye TBC 1 nikiwa Arusha, Mwilim wote ulilowa, nafsi yangu ilihuzunika kupita kiasi kwa udhalilishaji ule kwa Rais Mstaafu.Ila nilikuwa sijui kumbe wewe FF ulifurahia tendo lile, La!!!!!!!! anyway yote maisha, umenikumbusha jambo la huzuni sana, Nampenda na kumheshimu Mzee Ruksa kama kiongozi wa Taifa. Hivi ulishangilia sn tendo lile mpaka unalitolea mfano du we mkali, mligngeana hata glass kwa udhalilishaji ule. Mpaka una mwita Mnafiki du, siku ukitoka kwenye box nitakuona

Usemayo sema wewe, mimi nnasema ni mnafik na ndio maana akazabwa kibao.
 
Nauliza tena hili kama kuna mwawahseria atupe jibu
  • Is a MoU a legal binding document like a contract .?

Na hii tafsiri ya wkipedia kama iko sahihi inaweza kutupa mwanga gani juu ya hii Mou ili ifutiliwe mbali

A memorandum of understanding (MOU) is a document describing a bilateral or multilateral agreement between parties. It expresses a convergence of will between the parties, indicating an intended common line of action. It is often used in cases where parties either do not imply a legal commitment or in situations where the parties cannot create a legally enforceable agreement. It is a more formal alternative to a gentlemen's agreement.
In some cases depending on the exact wording, MOUs can have the binding power of a contract; as a matter of law, contracts do not need to be labeled as such to be legally binding.[SUP][citation needed][/SUP] Whether or not a document constitutes a binding contract depends only on the presence or absence of well-defined legal elements in the text proper of the document (the so-called "four corners"). This can include express disclaimers of legal effect, or failure of the MOU to fulfill the elements required for a valid contract (such as lack of consideration in common law jurisdictions).
 
Nilikuwa sijataka kukujibu ila nimeona ni vema nikujibu ili uzidi kufahamu vizuri. Kwa mujibu wa rekodi ninazozifahamu. Kulikuwa na mabadiliko ya baadhi ya vipengele vya katiba mwaka 1984 (Fifth Amendment of the Constitution). Mabadiliko hayo yalizalisha kipengele hichi cha katiba ya mwaka 1995. Nanukuu:-


[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TD]11. (1) The state authority shall make appropriate[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]provisions for the realisation of a person’s right to work, to self[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]education and social welfare at times of old age, sickness or[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]disability and in other cases of incapacity, without prejudice to[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]those rights, the state authority shall make provisions to ensure[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]that every person earns his[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]livelihood.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD](2) Every person has the right to self education, and every[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]citizen shall be free to pursue education in a field of his choice[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]up to the highest level according to his merits and ability.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD](3) The Government shall endeavor to ensure that there are[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]equal and adequate opportunities to all persons to enable them[/TD]
[/TR]
[/TABLE]






Mapendekezo ya tume ya kurekebisha sheria na katiba iliyoundwa na serikali baada ya mapendekezo ya tume ya Nyalali mwaka 1992. Tume hiyo iliyoundwa na magwiji wa sheria kutoka sehemu mbali mbali ilifanya utafiti na kukabidhi mapendekezo ya awali ambayo yalikuwa yanasema hivi kuhusu elimu:-

The Government in collaboration with other players e.g. NGOs carry out programmes of continued education in use of available resources and opportunities

Vile vile Law Reform Commission ilipendekeza kuwa sheria ya Human Resource Deployment Act ya 1983 iwe retained ambayo ndani yake ilikuwa inasema hivi katika elimu:-

The Government in collaboration with other players. E.g. NGOs should carry out programmes of continued education in the use of available resources and opportunities.


Hivyo mkuu utaona kipengele number 11 ya katiba kimekuwa amended mwaka 1984 kuweza kuwezesha serikali kwa kushirikiana na NGO kutoa huduma ya elimu kwa jamii. Kwa hiyo Nyambala narudi tena siamini kama Akina Professor Mahalu walikosa umakini wa kuandika MoU wakapitisha na vile vile Lowassa akubali kusign bila ya kuangalia sheria zinasemaje? Na hakuna sheria katika nchi yeyote inaweza kubadilishwa bila ya kwanza kuangaliwa katiba inasemaje? Kwasababu wakitokea watu na kuchallenge hiyo sheria mahakama kuu basi serikali inaweza kuishia kulipa fidia kubwa.

C'moon dude kwa nini unapenda sana dilly dallying? Yaani mabadiliko ya katiba 1984 yalifanywa ili ku - accomodate MoU in 1992, 8 years later? Kumbuka ulichotuhumu kwamba katiba ilibadilishwa ili ku-accomodate MoU kitu ambacho ni uongo, baadae ukaja na act ammendment kama proof nikakwambia kubadilisha act si kubadili katiba. Ukaendelea kukomaa na uongo huo. Sasa umen'gamua kwamba ulikuwa unaongea uongo ambao unataka kuuhalalisha kupitia mabadiliko ya katiba in 1984. Mkuu unafaidika nini na uongo? Kwa nini usijadili hoja kwa facts?

Kwa mtindo huu anaweza akatokea mpumbavu mwingine akasema yeah katiba ilibadilishwa wakati ule kwa maandalizi ya MoU wakati Nyerere akiwa raisi - mkristo, ikaviziwa aje raisi muislam, Mwinyi ili kuipa uhalali zaidi na kuifanya isitiliwe mashaka.

Unachozungumza ni sawa na kusema atokee mwanasiasa mwenye charisma ya hali ya juu, mjenga hoja mzuri na anayependwa sana na watu aamue kugombea uraisi lakini anakumbana na kisiki cha mgombea uraisi lazima awe na digrii. Mwanasiasa wetu huyu anaenda majukwaani na kuwaambia wananchi mnaona hata katiba ilibadilishwa ili mimi nisigombee uraisi.


Naakurudisha tena kwenye maandishi yako.

Silencer,

Niliiona comment yako asubuhi ila naona umeiondoa. Ulikuwa unauliza kwanini waislamu hawaendi mahakamani. Kama umesoma alichokuwa anaandika Game Theory hii memorandum ingelikuwa illegal kama wasingelibadilisha vipengele vya katiba na baadhi ya vipengele vya sheria ya elimu. Amendements hizo zilifanywa kulegalise MoU (refer to Mohamed Said Books). Kutokana na hilo basi ndugu yangu moderator suala la kwenda mahakamani ni kujisumbua kwasababu kwa mujibu wa kisheria walichokifanya maaskofu ni legal in the eyes of the justice system but illegal in the eyes of the society.

Ukitaka waislamu waende mahakamani kwanza lazima vipengele vile vya katiba vifutwe na sheria zilizobadilishwa kuruhusu biashara hii ya kugaiana hela za walipa kodi ziondolewe zirudishwe either zilikuwapo zamani au zitungwe upya kuondoa masuala haya ya kupeana hela za wavuja jasho nchini.Waislamu watapiga kelele hadi hili suala liondolewe na kufutwa kabisa au kuwepo na uwiano sawa. Binafsi yangu ningelipendelea hili jambo lifutwe hela za walipa kodi ziende kwa shughuli za serikali, shule za serikali na hospitali za serikali. Serikali inatoa Bilioni 91 wakati wagonjwa Muhimbili wanalala chini!!!!! Wagonjwa hospitali ya temeke au magomeni wanalala kitanda watu wanne??? Shule za serikali wanafunzi wanafanya mitihani katika uwanja wa wazi wa mpira.

This morally wrong and socially illegal.
 
Nyambala,

Nafikiri nimekuachia uprove wrong kama mie nachokisema ni uongo lakini umeshindwa. Umetaka Act iliyolegalise MoU nimekupatia reference ya section 30. Education Act No 25 ya 1978 (Refer to what Sheikh Mohamed Said mentioned in his paper). Ukahamia kuwa kuuliza je Act ndio constitution nikakuambia sheria yeyote nchini haiwezi kubadilishwa bila ya kwanza katiba kubadilishwa au kuangaliwa. Nimekupatia kipengele cha katiba section 11 of the constitution ambayo imefanyiwa amendment mwaka 1984. Vile vile nimekupa Law reform commission recomendations zilizofanyika baada ya tume ya nyalali na vipengele vya elimu vilivyokuwa recommended.

Hebu nikuulize wewe sasa hebu niprove me wrong katika maswali yafuatayo:-

a. Section 30-31 ya Education Act No 25 ya 1978 ilibadilishwa au haikubadilishwa? Je umesoma Education Cap 353 inasemaje section 22 inayozungumzia kuhusu private schools and non-governmental schools? Je vilikuwapo vipengele vile katika Act ya mwaka 1978?

b. Katiba ya Tanzania 1977 inasemaje kuhusu right of education na Katiba ya 1997 pia inazungumzaje kuhusu right of education to citizen?

c. Kwanini MoU iliandaliwa na kusigniwa na Waziri Mkuu and First vice president Edward Lowassa instead of waziri wa afya na waziri wa elimu?

Kama huwezi kuyajibu maswali haya labda nikuulize jengine who is dilly dallying baina yangu mie na wewe? Maana naona hutaki kufahamishwa wewe.
 
Nyambala,

Nafikiri nimekuachia uprove wrong kama mie nachokisema ni uongo lakini umeshindwa. Umetaka Act iliyolegalise MoU nimekupatia reference ya section 30. Education Act No 25 ya 1978 (Refer to what Sheikh Mohamed Said mentioned in his paper). Ukahamia kuwa kuuliza je Act ndio constitution nikakuambia sheria yeyote nchini haiwezi kubadilishwa bila ya kwanza katiba kubadilishwa au kuangaliwa. Nimekupatia kipengele cha katiba section 11 of the constitution ambayo imefanyiwa amendment mwaka 1984. Vile vile nimekupa Law reform commission recomendations zilizofanyika baada ya tume ya nyalali na vipengele vya elimu vilivyokuwa recommended.

Hebu nikuulize wewe sasa hebu niprove me wrong katika maswali yafuatayo:-

a. Section 30-31 ya Education Act No 25 ya 1978 ilibadilishwa au haikubadilishwa? Je umesoma Education Cap 353 inasemaje section 22 inayozungumzia kuhusu private schools and non-governmental schools? Je vilikuwapo vipengele vile katika Act ya mwaka 1978?

b. Katiba ya Tanzania 1977 inasemaje kuhusu right of education na Katiba ya 1997 pia inazungumzaje kuhusu right of education to citizen?

c. Kwanini MoU iliandaliwa na kusigniwa na Waziri Mkuu and First vice president Edward Lowassa instead of waziri wa afya na waziri wa elimu?

Kama huwezi kuyajibu maswali haya labda nikuulize jengine who is dilly dallying baina yangu mie na wewe? Maana naona hutaki kufahamishwa wewe.

Haya mkuu inatosha maana ukiangalia toka mwanzo hujibu maswali yangu, ni kuongeza miparagraph na maswali mengine wakati yale yangu hukujibu sasa mijadala ya namna hii ni kupotezeana muda jibu sswali uliza swali si swali juu ya swali. Na kwa sababu I know who exactly I am talking to wala sishangai.
 
@Mdondoaji
Je hizo act unazorefer za mwaka 1978( zilizoachwa na Nyerere) hazina tatizo? Maana unapoteza consistency. umeshamponda sana za huyu mzee bila hat kuumpa 2% yacredit

kwa hiyo kuwa consistency bora Uponde act ya mwaka 1978 na uponde hata ya mwaka 1995 . Alafu ulete yako.

But atleast nimekusoma kumbe kuwa siyo yote yaliyofanyika chini ya nyerere yalikuwa mabaya kwa "watanzania"na "waislam"
 
Hapo ndipo unapokosea sana, soma kitabu cha Sivalon, cha Aboud Jumbe cha Hamza Njozi cha Mohamed Said cha Bergen cha Illife na wengineo, utaujuwa huu mfumo kristo umeanzia wapi. Ukisikia watu wanausema usifikiri wanakurupuka.

Nyerere ndio chanzo cha yote au hujui kwanini Rais wa nchi anapewa uwenye "heri'? heri ipi aliyoifanyia hii nchi? Kang'atuka katuwacha Tanzania ni nchi ya mwisho duniani kwa umaskini, kuna heri hapo?

Nadhani unaelewa kisa cha Mwinyi kuzabwa kofi na kijana wa Kiislaam, kwa fikra zako kuongolea kondom tu ndio kulikopelekea kuzabwa Mwinyi kibao? la hasha, ni unafik wake.
Ina maana wewe hutumii condom unapokutana na wanaume?
 
Sweke,

Kuna mwengine anaitwa Sayyid Omar Abdallah bin Sheikh (Mwinyibaraka) alipata B Phil (Bachelors of Philosophy) - Oxford University mwaka 1963 . (B Phil hiyo sasa inaitwa Mphil or stage 2 PhD). Huyu hadi Nyerere alikuwa akimuogopa sana Sheikh Mohamed Said anamjua vizuri zaidi.

Mufti Harith bin Khelef - graduated (Al-Azhar University).

Sheikh Yahya bin Hussein - graduated (Al-Azhar University).

Sheikh Hassan bin Ameir - nominated as a distinguished professor (Al-Azhar University).


Na wengineo wengi tosheka na hao ukitaka zaidi nitakupa.

Hadithi nyengine zinafurahisha sana. Kila anapotajwa ''msomi'' wa kiislamu lazima atajwe na Nyerere, kwamba alikuwa akimuogopa sana.
Sijui kama ni kusudi ama ni bahati mbaya mnasahau kwamba Nyerere naye alikuwa msomi, alikuwa na uwezo wa kujenga hoja dhidi ya wasomi na wasio wasomi na akaeleweka vizuri sana.
 
Tatizo lilopo hapa ni kwanini Serikali ya Tanganyika inatoa ruzuku kwa mali za kanisa. Kumbuka kuwa kama Kanisa limeweza kujenga hayyo mashule/mahospital na vyuo hivyo kwanini ishindwe kuviendesha mpaka itake pesa za walipa kodi wa Tanganyika.

Serikali ilikuwa na wajibu wa kujenga vyake kwa pesa hizo.

Na kwa kukujuza kidogo kuwa Tokea mwaka 1992 makanisa yanapata ruzuku ya Bilioni 60. Na sasa hivi bilioni 91.

Total pesa wanazochukua kanisa kutoka serikalini tokea mwanzo wa MoU ni Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000= Trilioni 1.17 or Trilioni 1.2. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.

Sasa hii si zaidi ya EPA?

Plus Compounding Interest Rate itafikia zaidi ya 20 Trillion. WOW!!
 
Ulitaka serikali ikawashike mkono waislam na wahindu iwaambie njooni tuweke makubaliano ya maridhiano? Cha msingi hizo taasisi za kikristo hazifunngwi kuingia makubaliano na serikali pia kadhalika hawanyimwi.Na makubaliano sio kurudisha shule maana hata wakristo shule zao nyingi bado hazijarudishwa.

Wakristo wameendelea kuwa agressive kwa kwenda maporini kuchukua maeneo makubwa na kuweka taasisi zao huko.Waislam wanaitaji kuiga hili
 
Hapo ndipo unapokosea sana, soma kitabu cha Sivalon, cha Aboud Jumbe cha Hamza Njozi cha Mohamed Said cha Bergen cha Illife na wengineo, utaujuwa huu mfumo kristo umeanzia wapi. Ukisikia watu wanausema usifikiri wanakurupuka.

Nyerere ndio chanzo cha yote au hujui kwanini Rais wa nchi anapewa uwenye "heri'? heri ipi aliyoifanyia hii nchi? Kang'atuka katuwacha Tanzania ni nchi ya mwisho duniani kwa umaskini, kuna heri hapo?

Nadhani unaelewa kisa cha Mwinyi kuzabwa kofi na kijana wa Kiislaam, kwa fikra zako kuongolea kondom tu ndio kulikopelekea kuzabwa Mwinyi kibao? la hasha, ni unafik wake.

Crap!!!!
 
Ulitaka serikali ikawashike mkono waislam na wahindu iwaambie njooni tuweke makubaliano ya maridhiano? Cha msingi hizo taasisi za kikristo hazifunngwi kuingia makubaliano na serikali pia kadhalika hawanyimwi.Na makubaliano sio kurudisha shule maana hata wakristo shule zao nyingi bado hazijarudishwa.

Wakristo wameendelea kuwa agressive kwa kwenda maporini kuchukua maeneo makubwa na kuweka taasisi zao huko.Waislam wanaitaji kuiga hili

Ina maana wewe unakubaliana na wizi huo unafanya na haya makanisa kwa Serikali yenu?
 
@Mdondoaji
Je hizo act unazorefer za mwaka 1978( zilizoachwa na Nyerere) hazina tatizo? Maana unapoteza consistency. umeshamponda sana za huyu mzee bila hat kuumpa 2% yacredit

kwa hiyo kuwa consistency bora Uponde act ya mwaka 1978 na uponde hata ya mwaka 1995 . Alafu ulete yako.

But atleast nimekusoma kumbe kuwa siyo yote yaliyofanyika chini ya nyerere yalikuwa mabaya kwa "watanzania"na "waislam"

Zing,

Nitake radhi baba wa taifa ana mazuri mengi ila sio mkamilifu kama mnavyotaka kumfanya awe. Mazuri ya Nyerere ni mengi siwezi kuyataja yote ila nitakupa list yake:-
a. Ameleta umoja even though with sacrifices but ni umoja uliodumu hadi sasa.

b. Ameleta national identity nayo ni kiswahili.

c. Ameanzisha misingi imara ya uwajibikaji na uadilifu kazini.

d. Ameleta ukakamavu katika taifa

e. Ana mchango mkubwa katika kupatikana kwa uhuru wa nchi hii hata hivyo hayuko peke yake.

Na mengineyo mengi.

Ila kuna mabaya pia anayo ambayo ndio tunayazungumzia.
 
Mdondoaji,

..Mwalimu hakuleta kiswahili nchi hii.

..hata wakati wa harakati za uhuru inasemekana ni mara 2[akiwa mbulu, na mwanza(??)] tu alilazimika kuzungumza kupitia mkalimani.

..kwa upande wangu nadhani ilikuwa ni makosa makubwa kukifanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia ktk shule za msingi.

..kwa kweli mfumo wetu wa elimu ulivyoparaganyika, na hili zimwi la EAST AFRICA FEDERATION linavyotunyemelea, at least wangetuachia Kiingereza wanetu wangeweza kufurukuta ndani ya federation.
 
Back
Top Bottom