Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkuu kwa kuwa unaushahidi wa hili (japo hujaweka hapa), ila naomba nikukumbushe japo unalijua hili:

Watu wengi tu kama wewe wanajaribu ku ignore ukweli ulio dhahiri. Jamani, hiki kitu kinachoitwa kanisa/ukristo mara yingi kinachukuliwa kijuu juu tu japo ukweli upo wazi. Hawa watu si wamoja. Wewe ni shahidi no.1 kwa kwamba ukihudhuria ktk mikutano yao au makanisa yao utaliona hilo, halijajificha kabisa.

Angalia, Wasabato kivyao, wakatoliki kivyao, walokole(nao wana varieties zao) kvyao. Kila kikundi kiaangalia maslahi yake kivyake. Kuna wakati wanalalamikiana, kutukanana nahata kutishia kufikishana mahakamani. Hawa watu wanafahamika kwa ubinafsi wao(kiroho) kila kikundi kinajiona ndicho chenye kuhubiri ukristo wa kweli na kwamba vingine ni usanii tu. Hawa wakristo si wamoja jamani, tuwe wakweli kama ulivyosema wewe.

Mimi nilitegemea useme kanisa gani hasa linamwangwangusha mheshimiwa(utoe na ushahidi). Tumekuwa mstari wa mbele kuhubiri udini, hata pale ambapo failure reasons ziko wazi. Najua hoja hii itajadiliwa hapa kwa kuzingatia dini ya kila mtu, lakini pia ningependa nione mmoja wetu akituthibitishia kuwa dini yake inafundisha watu kula rushwa, kupendelea, uzembe na uchafu wote tunaojua kwa maana bila kujali dini ya mtu tunaona waumini wa dini mbalimbali wakituhumiwa kuiba, kufanya zinaa na hata ukiangalia ktk sakata la Dowans wahusika ni waumini wa dini mbalimbali tofauti. Je, tuseme hii nayo ni issue ya kidini? La hasha, dini itabaki kuwa dini na usafi wake kwa kuzingatia nguzo zake. Waumini wanaokengeuka wahukumiwe wao kama wao, sio kujumuisha waumini wote ambao kiukweli wengi wao ni wahanga wa huo uchafu unaofanywa na waumini wanzao.

Mimi nadhani kifike kipindi turuhusu ubongo wetu kutimiza wajibu wake wa kufikiria kiuhalisia. Hebu tuanche uvivu wa kufikiri. Udini sio suluhu ya matatizo ya watanzania, tukatae mpumbavu yeyote anayetaka kutuaminisha kuwa tumefikia hapa tulipo kwa sababu ya udini. Nionavyo mimi ni kuwa, hawa watawala wametafuta kitu ambacho kinagusa hisia za kila mtu wametutupia ili tubaki tukibishana kijinga tu, huku wakituibia na kutufanya wanavyotaka wao. Na sisi kweli kwa ujinga wetu tumebaki tukipiga kelele na kutupiana lawama(kama wakristo wanavyofanya). Ujinga mtupu. Tukumbuke, ubishi wa kidini hata kama ni kijiweni huwa hauna hitimisho. Hivi ni kwanini hatufunguki macho jamani?

Mimi nadhani umefika wakati, watu wazima tuwe wazima kweli, wanasiasa wafanye siasa ya kweli wasomi wawe wasomi kweli na watu wa Mungu wawe wa Mungu kweli. Hii Tanzania ni yetu sote na jambo baya lolote litakaolotokea hapa litatupata sote tana ni zaidi kwetu sisi tuliotupiwa mzoga wa hili dudu linaloitwa udini tumeachiwa tukinyang'anyana na kukimbizana kama manyang'au.

Mungu ibariki Tanzania.
 
a. Afadhali ume-admitt kwamba ni mdini so lazima utatetea as long fedha umma zitafaidisha miradi ya kanisa ..kama wadini wengine wengi walivyofanya kwenye mambo mengine na au wataendelea kufanya ufisadi huo huku wakifikiri ni jambo jema kwa dini yao kufaidi mali za umma
SIja admit kuwa mimi ni mdini wewe umesema kama ambvayo Mmeampachika Nyerere alikuwa mdini. Kama amabvyo Mwinyi hakuwa mdini lakini akarudisha hospitali zote huku seriali iiwa haina contigency plan. Kingine Mimi sitetei mimi najua kuna tatiz a. Ttunapotafautana ni kujaribu kudeal a chanzo halisi cha tatizo. Tunapotofautiaana kwenye approach ya kudeal na problem. Wewe ni mmoja wa ambao tatizo kwenu ni vague statemnet ya "mfumo kristo"

Ndio maana ktk maswali nimeuliza kwa nn tunadhani Kikwete anashindwa kufuta Hii MoU. Kama Kura kashapata. Kama urais muda wake huu ni wa mwisho. Kwa nini asifnye "maamuzi sahihi " ya kuifuta. MoU Is not legal bining document.

topica said:
b. Kwanini zote ulizouliza jibu lake ni kwamba wanatumikia mfumo kristo ..of course kila fisadi anatumia ujanja mwingi ukiwemo ku-lobby political decisions..kama ambavyo wamefanya kina RA na EL hivyo hivyo wamefanya maaskofu na watetezi wao wamewaweka kila kona knowingly or unknowingly wanatetea mafisdi ..kwahiyo kanisa limelobby kufisadi mali ya umma billions @ year..unaudited- zinakuwa audited Sio kweli haziwi Audited. Unless serikali yeyewe inavunja sheria zake

c. oh gosh kumbe bado unafikiri kila juma ni muislam na kila john ni mkristo na kwamba mafisadi wanampango wa kuwafaidisha either of them ..kwa ufupi hao wanaochukua hizo pesa si kwamba wanataka sana kuwafaidisha wakristo..kama ingekuwa hivyo wala isingekuwa ingekuwa open MoU to any institution or religious kupata fursa from very begining na ingekuwa pia open to audit hiyo mimi naitazama kama kichaka cha kufanya uchafu kama ule unaofanywa na epa/richmond in the name of church services..

d. Kwanini JK hafuti unasahau kuwa JK ni mwanasiasa na mwanasiasa anahitaji madaraka na hicho kinaweza kuwa kichaka chake cha kuvuta pesa za umma..kama ambavyo ameshindwa kufuta epa/doawans hizo weakenesses anazo bado..na ataandelea kuwa nazo..kwakuwa naona kama loophole ya kufanya ufisadi unaudited..na watu kama nyinyi mmeshakubali hali hiyo kwa hiyo kwakuwa unaamini maaskofu ni mungu fulani au dini yako ni muhimu sana (udini) wanakula kwa raha zao..

e. Hawaanzishi hospitali kwasababu ya kutumikia mfumo kristo..mkuu niliwahi kusema hapa kuwa hela za umma zinazoenda kwa mfano hospitali Muheza DDH zingetosha kujenga hospitali ya hadhi ya wilaya muheza bila kufanya utaratibu huu wa kibaguzi na kifisadi..kwanini hawafanyi wanaogopa christian lobbyist group iliyoko serikalini ambayo inafanya kazi ya kusaidia kanisa badala ya taifa.. hakuna logic yeyote ile ya ku-finance mradi wa kanisa na kuacha kujenga na ku-finance miradi ya serikali zaidi ya ufisadi na christian lobbyist for state cake..

Zing bado sana hujaweza kutoka kwenye box la udini ..safari ndefu sana..kw ataifa hili kupata watumishi wanaotumikia taifa na siyo kanisa..kwasababu hilo likitokea hiyo paradox ni very simple ku-i-ondosha..

Tatizo Topical ni kwamba na wewe ni sehemu ya tatizo kubwa bila kujijua huku ukidahni una dai haki. Kama amabvyo unadhani mimi ni tatizo basi elewa nawe pia ni tatizo.

Kwa nini na wewe topical ni sehemu ya tatizo la huo so called "mfumo kristo"?

  • Hauko consistent kujua unasiamia msingi gani. One thread unamuttack Nyerere na sera zake ambazo kwa mujibu wa hii thread zinaonekana zilikuwa sahihi. Another thread unamteteta JK kwa badhi ya sera mbovu ambazo ni wazi. Another thred unashindwa kumteteta Mkapa kwa unavoyfanya kwa kumtetea JK kwa sera zile zile mbovu. In short comment zako mbali mbali huu jamvini zinakufny na wewe kuwa mwanasiasa kama JK na Mkapa
  • Katika thread hii unaonekana unakaribia kuwa na busra. Llakini search comments zako juu ya mambo mbali mbali unachangia humu uone unavyojicontradict. Dr Slaa ambaye naye anaonekana ni sehemu ya so called "mfumo kristo" alitaja list of shame. Dr slaaa na wanasiasa wengine wakimbana J.Kikwete kuushughuliia ufisadi baadhi na wewe ukiweo mnachoona ni kuwa anashambuliwa JK Muislam na sio zinshambuliwa sera za JK na CCM. Mwisho wa siku u will fight the right war against the wrong enemy. Yaani ni kama Jeshi kubwa la adui liko mpakani mwa kigoma wewe Amiri jeshi mkuu unaagiza vfaru vyote vipelekwe mpaka wa zambia. ambapo kama kuna aduii basi ni mmja sio jeshi. So Thinkwice and be consistent in you comments. Kama unatetea dini tu tetea dini kama untetea haki tetea haki tetea haki.
  • Nimefurahi sasa unamuona JK kama mwanasiasa kama wanasiasa wengine ukiendelea kuwa na logical reasoning hivyo kwenye comments zako unapoona Jina la JK, Mkapa, Mwinyi, Nyerere sehemu mbali mbali matatizo kam ya MoU yanaweza kujadilika bila jazba. elewa hii MoU na mimi naiona tatiz lakini chanazo hasa ni nini. tatizo hasa ni nini ? litatuliweje . Nani afanye nini .Tujiuze tutafute majibu.
  • kuhusu kila Juma kuwa muislam na ila john kuwa mkritu nimetaja sababu ya michango yako mbali mbali kwenye thread mbali mbali kwenye jukwaa hili. Nakuomba uendelee kuwa na consistency kama unavyoonekana wenye uzi huu. Sio tu tunamkosoa nyeree wakati mpaka hapa tunaona sera alizoacha nyerere za afya na elimu ndizo zinauwa refered kam zilikuwa sahihi. Sijui unaseaje uhusu hilo? mohamed said yeye amemkosoa Nyerere kwa wizara ya elimu uongozwa na wakristu. Mohamed saidi akamsifia Mwinyi na Kigoma Malima(Kidini) sababu walau kwenye wizara ya elimu alikuwepo "Juma".Lakini sera gani zilifanyika. But tukirudi wenye Hoja ya msingi tunona MoU ni Zao na tunda la serikali gani. So tuache ushabiki. Tujaii matatizo as matatizo.Kama ni inequalities tujadili chanzo. Mambo ya "mfumo kristo" sijui Kigoma "malima Muislam" Siijui mchungaji fulani Mkristu ni kutapatapa
 
SIja admit kuwa mimi ni mdini wewe umesema kama ambvayo Mmeampachika Nyerere alikuwa mdini. Kama amabvyo Mwinyi hakuwa mdini lakini akarudisha hospitali zote huku seriali iiwa haina contigency plan. Kingine Mimi sitetei mimi najua kuna tatiz a. Ttunapotafautana ni kujaribu kudeal a chanzo halisi cha tatizo. Tunapotofautiaana kwenye approach ya kudeal na problem. Wewe ni mmoja wa ambao tatizo kwenu ni vague statemnet ya "mfumo kristo"

Ndio maana ktk maswali nimeuliza kwa nn tunadhani Kikwete anashindwa kufuta Hii MoU. Kama Kura kashapata. Kama urais muda wake huu ni wa mwisho. Kwa nini asifnye "maamuzi sahihi " ya kuifuta. MoU Is not legal bining document.



Tatizo Topical ni kwamba na wewe ni sehemu ya tatizo kubwa bila kujijua huku ukidahni una dai haki. Kama amabvyo unadhani mimi ni tatizo basi elewa nawe pia ni tatizo.

Kwa nini na wewe topical ni sehemu ya tatizo la huo so called "mfumo kristo"?

  • Hauko consistent kujua unasiamia msingi gani. One thread unamuttack Nyerere na sera zake ambazo kwa mujibu wa hii thread zinaonekana zilikuwa sahihi. Another thread unamteteta JK kwa badhi ya sera mbovu ambazo ni wazi. Another thred unashindwa kumteteta Mkapa kwa unavoyfanya kwa kumtetea JK kwa sera zile zile mbovu. In short comment zako mbali mbali huu jamvini zinakufny na wewe kuwa mwanasiasa kama JK na Mkapa
  • Katika thread hii unaonekana unakaribia kuwa na busra. Llakini search comments zako juu ya mambo mbali mbali unachangia humu uone unavyojicontradict. Dr Slaa ambaye naye anaonekana ni sehemu ya so called "mfumo kristo" alitaja list of shame. Dr slaaa na wanasiasa wengine wakimbana J.Kikwete kuushughuliia ufisadi baadhi na wewe ukiweo mnachoona ni kuwa anashambuliwa JK Muislam na sio zinshambuliwa sera za JK na CCM. Mwisho wa siku u will fight the right war against the wrong enemy. Yaani ni kama Jeshi kubwa la adui liko mpakani mwa kigoma wewe Amiri jeshi mkuu unaagiza vfaru vyote vipelekwe mpaka wa zambia. ambapo kama kuna aduii basi ni mmja sio jeshi. So Thinkwice and be consistent in you comments. Kama unatetea dini tu tetea dini kama untetea haki tetea haki tetea haki.
  • Nimefurahi sasa unamuona JK kama mwanasiasa kama wanasiasa wengine ukiendelea kuwa na logical reasoning hivyo kwenye comments zako unapoona Jina la JK, Mkapa, Mwinyi, Nyerere sehemu mbali mbali matatizo kam ya MoU yanaweza kujadilika bila jazba. elewa hii MoU na mimi naiona tatiz lakini chanazo hasa ni nini. tatizo hasa ni nini ? litatuliweje . Nani afanye nini .Tujiuze tutafute majibu.
  • kuhusu kila Juma kuwa muislam na ila john kuwa mkritu nimetaja sababu ya michango yako mbali mbali kwenye thread mbali mbali kwenye jukwaa hili. Nakuomba uendelee kuwa na consistency kama unavyoonekana wenye uzi huu. Sio tu tunamkosoa nyeree wakati mpaka hapa tunaona sera alizoacha nyerere za afya na elimu ndizo zinauwa refered kam zilikuwa sahihi. Sijui unaseaje uhusu hilo? mohamed said yeye amemkosoa Nyerere kwa wizara ya elimu uongozwa na wakristu. Mohamed saidi akamsifia Mwinyi na Kigoma Malima(Kidini) sababu walau kwenye wizara ya elimu alikuwepo "Juma".Lakini sera gani zilifanyika. But tukirudi wenye Hoja ya msingi tunona MoU ni Zao na tunda la serikali gani. So tuache ushabiki. Tujaii matatizo as matatizo.Kama ni inequalities tujadili chanzo. Mambo ya "mfumo kristo" sijui Kigoma "malima Muislam" Siijui mchungaji fulani Mkristu ni kutapatapa

Mkuu nimesoma hizo comments zako zote zimebeba maudhui mawili tu..sijui kama kuna zaidi..

1. Kwanini mimi namuona nyerere mbaya wakati huo huo simwone JK mbaya..hapo ndio unakosea nyerere kwangu hasafishiki kwa sifa zake na mambo aliyoyafanya kwa miaka 24 kwa nchi kiuchumi na kijamii. Nyerere hatua zake za kiuchumi zimeathiri watu wengi moja moja na hata taifa..kwa hiyo tukubaliane tu kwamba nyerere hana nafasi kwa mtazamo wangu wa kupata grade c sana sana nitampa D nikimpendelea sanaa unlike nyie ambao mko kutumikia mfumo mnawavyo weza kumpa A

2. Consistency yangu:- Hilo mkuu inatagemea mjadala hapa JF kuna mijadala ya kishenzi na kejeli kwahiyo huwezi kupima kiwango cha mchango wa JF kuna mijitu hapa bila kuwaambia waislam hawajasoma na kejeli zingine hawawezi kutosheka mimi na deal nao accordingly.. Lakini kuhusu Mkapa mtazamo wangu nitafauti sana kama wewe unavyofikiri..(note si kwasabab katoa Muslim University NO hiyo mimi naona ni COVER UP) baada ya kuidhinisha mabilioni kanisani kwake)..lakini kwa mambo makubwa aliyoifanyia taifa..

3. Nakubaliana na wewe kwamba MoU ni tatizo na ni ajabu kwanini watu serikali hawataki kuliona kabla halijaharibu hali ya umoja wa kitaifa..
 
Can you also say 'serikali iepuke kusaidiwa na taasisi za kidini?' Lets be constructive guys, huu si mkataba wa kuipendelea dini fulani, ni mkataba wa kuisaidia dini fulani ktk kuendesha majukumu iliyoamua kuyabeba ktk kuendesha shughuli za kijamii. Katika hizo articles sijaona sehemu iliyoandikwa tax reductions for bibles and church benches. Kwote ni education, health n.k ambazo ni huduma kwa jamii.

Sidhani km serikali yoyote yenye ugumu wa kuwapatia wananchi wake huduma hizi itakataa kusign the same MoU with other religious missions if they are not churches, or may be I don't understand ni nini manung'uniko hapa. Tutumie akili zetu kiutulivu ndio tutaelewa nani ni mnufaikaji wa hii MoU, KANISA, SERIKALI au WANANCHI.

Tofauti ya MoU ya Kanisa na EPA ni nini? wote ni uwizi wa mali ya umma unaofanywa na kikundi fulani cha watu katika jamii..period
 
Kwa jumla wanaolalamika wanasema hawaoni tatizo na MoU hizi ila kwa ni kwamadhehebu ya wakristo tu? Maoni yangu mimi pia sioni tatizo hapa isipokuwa ni pale analalamika atakapotoa ushahidi wa dhehebu lake kunyimwa na serikali fursa hii kwa malengo yanayofanana na MoU anazolalamikia. Wote tujuavyo kwa hili itawatekelezea maana serikali ya Mhe Dr. Kikwete ni sikilivu. Wivu mzuri na wa maendeleo ni ukiona mwenzio kajenga nyumba nzuri na unaitamani hapa wivu mzuri ni wewe kutaka kujua mbinu alizotumia mwenzio ili ujenge yako. Ni wivu mbaya na usio wa maendeleo kutaka abomolewe nyumba yake unayoitamani isipokuwa kama mbinu na malengo kwako yana harufu ya dhambi.
 
Can you also say 'serikali iepuke kusaidiwa na taasisi za kidini?' Lets be constructive guys, huu si mkataba wa kuipendelea dini fulani, ni mkataba wa kuisaidia dini fulani ktk kuendesha majukumu iliyoamua kuyabeba ktk kuendesha shughuli za kijamii. Katika hizo articles sijaona sehemu iliyoandikwa tax reductions for bibles and church benches. Kwote ni education, health n.k ambazo ni huduma kwa jamii.

Sidhani km serikali yoyote yenye ugumu wa kuwapatia wananchi wake huduma hizi itakataa kusign the same MoU with other religious missions if they are not churches, or may be I don't understand ni nini manung'uniko hapa. Tutumie akili zetu kiutulivu ndio tutaelewa nani ni mnufaikaji wa hii MoU, KANISA, SERIKALI au WANANCHI.

hata mimi nina mtazamo huohuo kama wako. Labda kama kuna mwenye reference mpya zaidi ya hii MoU . Sijawahi kusikiliza lakini waumini fulani wa dini ya Kiislamu pale Manzese wana kanda zao na ushahidi wa kuthibitisha hicho kiitwacho mfumo Kristo. Ila silipendi jukwaa lao. Vitu kama vile mvilete humu JF.
 
Yataka moyo lakini inapolazimika hakuna budi ila kupasua ukweli. Ni kanisa
ndilo ambalo linahusika na utendaji mbovu wa serikali ya muheshimiwa
Jakaya Mrisho Kikwete. Yawezekana ana mapungufu yake katika utendaji
lakini kuna watu wamekaa katika ofisi za serikali kwa manufaa ya kanisa hivyo
wako tayari kuvuruga mambo ili utendaji wa Kikwete uonekane mbovu na si
Kikwete tu hili ni kwa mtawala yeyote ambaye ataonekana kuwa na angalau
kaharufu ka - uislamu.

Kwa maslahi ya kanisa hilohilo hata waandishi wa habari nao wamekuwa mstari
wa mbele kumchafua Kikwete. Na hii ndiyo maana pamoja na utendaji mbovu
kabisa wa B.W Mkapa bado mapungufu yake hayaonekani na amekuwa akibeba
sifa kubwa sana za kukuza uchumi huku ufisani uliofanyika kipindi chake ukifumbiwa
macho. Ni kanisa hilo hilo ambalo limehusika na kushusha hadhi ya
Rais wa awamu ya pili ndugu A.H. Mwinyi.

SULUHISHO.Kanisa liache kufanya mambo nyuma ya pazia!
Kiukweli nimeisoma kidogo historia ya Katoliki huko Vatican. Mapapa walikuwa miungu watu, wauaji,wakishirikiana na makundi ya Mafia. Labda iliathiri hadi nchi za kiafrika,sijui..ila mambo yamebadilika ulimwenguni,hiyo mifumo imelegea kama sio kufa.Nchini mwetu tuna changamoto nyingi. Tukiamua kupambanua mambo kwa hisia za kidini,hatutafika popote, zaidi ya kuchanganyana vichwa. Tujadili kushindwa ama kuweza kwa mtu kusimamia, kuelekeza,na kufanya mambo ama majukumu yake. Je mwafahamu kwamba maeneo ya kusini mwa nchi hii bila kujali dini zao na makabila hawaoni chochote kibaya kwa Ben Mkapa? Wanaamini kila mwenye kupata nafasi ile kula kula lazima. Na ni kweli kuwa Ben kwa kile alichoamini alikisimamia na kuhakikisha kinatekelezeka. Malengo aliyokuwa nayo alihakikisha yanafikiwa. Na Urais ulikuwa na heshima yake.Tofauti na sasa. Huyu anaagiza mawaziri wafanye kazi, baadae anawaambia punguzeni ubabe.Refer Magufuli..,sakata la Jairo,Luhanjo,Pinda. Nadhani naeleweka.
 
Acheni unsupported statements. Statements tupu hazituambii chochote. Come up with facts toa reference hai na kama unafikiri ziliishazungumzwa tunazijua basi huna jipya la kutueleza ni heri hata usingeandika kitu.
 
Sidhani km serikali yoyote yenye ugumu wa kuwapatia wananchi wake huduma hizi itakataa kusign the same MoU with other religious missions if they are not churches, or may be I don't understand ni nini manung'uniko hapa. Tutumie akili zetu kiutulivu ndio tutaelewa nani ni mnufaikaji wa hii MoU, KANISA, SERIKALI au WANANCHI.
Sijasoma post zote kwenye hii thread lakini nina uhakika imeshajibiwa,na mimi wacha nirudie ili kutoa msisitizo.
Ni hivi!,hivi taasisi za kidini za kikristo zinaisaidiaje Serikali kutoa huduma wakati pesa yenyewe haitoki mikononi mwao,bali inatoka hazina kwenda kanisani.Huu si msaada bali dhulma kwa watu wa dini nyengine hasa waislamu,dhulma inayosimamiwa na serikali katika utaratibu wa
mfumo kristo.
 
Nimaumivu makali sn kuendelea kuisoma paper hii why us Tanzania and not other? bac mnataka nchi iwe ya dini na udini...... 2fikiemahali 2naposema 2nauchungu na taifa iwe kwel kutoka nyon mwe2 naco kuwa ndan ye2 2nauchungu na kanisa le2 hatuwezifika namna hyo nakujenga Tanzania mpya yenye usawa na haki kwa kila moja wetu.
 
Kumbe Serikali inapeleka fedha nyingi zaidi kwenye hospitali za kanisa kuliko inavyopeleka kwenye hospitali zake.Sasa hapa serikali imesaidia kanisa au kanisa inasaidia serikali.Mwenye macho haambiwi tazama.
 
jamani..naomba kama kuna mtu yeyote aliyepata athari ya moja kwa moja na mfumo unaoitwa kristo atujulishe. Kama ni yeye au mwanaye,mkewe,mumewe,ama wazazi wake.Ilikuwakuwaje. Na kama kuna aliyefaidika na mfumo huo OVU aseme alipendelewaje ama alinusurika vp kunyanyasika na mfumo huo. Mi kimsingi nimekuwa naona watu wakilalamikia ugumu wa maisha,huduma za afya, maji,shule kutokuwa na maabara na walimu. Habari ya udini ni mpaka mtu awe fed. Anafundishwa,anakariri, na inamwingia anakuwa charismatic,anajaa jazba. Yaani kitu ulichozaliwa na unachoelezwa baada ya kukua,ni tofauti na lazima ushangae! Inatokea unaamini,unaanza kulalama na kueneza habari hizo. Baada ya hapo,kila jambo unaloliona na kusikia la kisiasa na kijamii, saa nyingine hata la michezo, unaliangalia kidini kwanza. Kisha ndiyo ulichambue.
 
Sijasoma post zote kwenye hii thread lakini nina uhakika imeshajibiwa,na mimi wacha nirudie ili kutoa msisitizo.
Ni hivi!,hivi taasisi za kidini za kikristo zinaisaidiaje Serikali kutoa huduma wakati pesa yenyewe haitoki mikononi mwao,bali inatoka hazina kwenda kanisani.Huu si msaada bali dhulma kwa watu wa dini nyengine hasa waislamu,dhulma inayosimamiwa na serikali katika utaratibu wa
mfumo kristo.
Nimesoma michango mingi hapa kuhusu hii hoja lakini sijaona kama kuna mtu yeyote anayeelewa kazi zinazofanywa na Christian Social Service Commission (CSSC) ambayo ndiyo taasisi iliyozaliwa kutokana na MoU hii. Hakuna pesa yoyote inayotoka hazina kwenda makanisani bali mchango wa serikali kwa ajili ya huduma za kijamii zinazoendeshwa na CSSC zinakwenda moja kwa moja kwenye hospitali na shule husika. Kwa taarifa yenu mchangiaji mkubwa wa fedha kwa CSSC ni taasisi moja ya kijerumani ya maendeleo ambayo kwa kifupi inaitwa KfW. Serikali inajazia tu. Kwa wale ambao waliishapata huduma za matibabu katika hospitali hizi watuambie kama kuna ubaguzi wa kutoa huduma kwa watu kwa misingi ya dini: Turiani (Morogoro), Kolandoto (Shinyanga), Makiungu (singida), Kasulu (Kigoma), Bukumbi (Mwanza), Shirati (Tarime/Rorya), St. Magret (Arusha), Selian (Arusha), Ipamba (mbeya), Ilembual Iringa) na nyingnezo. Zinatoa huduma sehemu ambazo serikali haijaeneza huduma hizo. Sasa kwa wenye mitazamo ya kidini, ni heri watu waendelee kukosa huduma kwa sababu za kuogopa label ya 'mfumo kristo'? Huo ni ufinyu wa mawazo. Je, kuna dini nyingine yenye uwezo wa kutoa huduma kama hizo ambayo ilipendekeza MoU yake ikakataliwa na serikali?
 
Kumbe Serikali inapeleka fedha nyingi zaidi kwenye hospitali za kanisa kuliko inavyopeleka kwenye hospitali zake.Sasa hapa serikali imesaidia kanisa au kanisa inasaidia serikali.Mwenye macho haambiwi tazama.
Pesa nyingi kama kiasi gani.Toa takwimu!
 
Leo nimevaa kibandiko na kanzu na kwa bahati nina ndevu nyingi na nimenyoa kipara. Sijanyimwa huduma yeyote popote na zaidi sijauziwa sukari kwa bei elekezi ya serikali. Dini ni kitu chakusadikika zaid kuliko uhalisia wa maisha. Ili uweze kuwatawala na kuwaibia watu wagawe kwanza. Na hili ndilo linalofanyika na viongozi wetu wa leo. Wajinga watasema udini wapumbavu watagombana nahata kupigana. Leo hii nigeria hapakaliki kwa upuuzi kama huu huku wajanja wakivuna mafuta. Tukumbuke mniheria hawez kupokelew tz kwa ukristo au uislam wake!! Namaanisha ipo mipaka ya nchi ambayo huwez vuka bila vibali ikiwamo ukimbizi! Tuongelee vitu vyenye mashiko.
 
GT,

..at first nilibabaika na nikaona serikali inajitumbukiza ktk masuala ya kidini.

..lakini baada ya kutulia na kutafakari nadhani hii MOU haina matatizo.

..hata mataifa makubwa kama MAREKANI yana ushirikiano kati ya SERIKALI na FAITH BASED organisations.

..sidhani kama hiyo MOU inaelekeza serikali ktk kusaidia Kanisa ktk shughuli zake za kiroho.

..kwa mazingira yetu Tanzania serikali inapaswa kushirikiana na mashirika ya kidini ktk urahisishaji wa utoaji wa huduma za kijamii kama elimu, afya, maji,mazingira etc.

..kama taasisi ya kidini imejenga hospitali na inatoa madawa na chakula sioni ubaya wa serikali kuwasaidia ktk kutoa waganga na wauguzi na kuwalipa mishahara. ushirikiano wa minajili hiyo nadhani ndiyo unaoelekezwa na MOU hiyo.

..pia tangu kusainiwa kwa MOU hiyo sijaona dalili zozote zile za serikali kuipendelea dini moja dhidi ya nyingine.

..tumeshuhudia serikali ikifadhili mkutano wa Bakwata, ikitoa majengo kwa chuo cha Kiislamu, na kusaidia kutatua ile sakata ya mahujaji kukwama kwenda hijja. pia tumeona serikali ikirudisha shule za kanisa zilizokuwa zimetaifishwa, tumeona viongozi wakuu wakishiriki fundraising za ujenzi wa shule za kanisa etc etc. vilevile kiongozi wa mabohora ametembelea nchini na kupokewa kwa heshima zinazostahili.

..badala ya kukaa pembeni na kulalamika labda madhehebu mengine nayo yachukue initiative na kusaini MOU na serikali kama ambavyo makanisa yamefanya. lakini with or without MOU sidhani kama serikali ina nia ya kubagua madhehebu yoyote ya dini.

Dah una akili sana wewe, una PhD nn? Waislamu wanadhani serikali inalisaidia kanisa kueneza ukristo Tanzania.
 
Mimi nasema hv, hata waislam wakijenga vyuo, mahospitali, zahanati na shule, watasaini tu MoU. Na mimi sioni tatizo hapo kama huduma hzo zitanufaisha jamii nzima ya watanzania. Sasa waislam mnataka MoU wkt shule zenu ndo zile za mwisho kwny matokeo, chuo kikuu mnacho kimoja tena cha kupewa na serikali? Kuweni serious basi muone km serikali itakaa kimya. Mnakua km mtu anayekula dagaa halafu anaona wivu jirani yake anakula nyama. Unatakiwa na wewe ujitahidi upate hela ya nyama.
 
Hapa ubishi hakuna taasisi za kanisa zinatumia kodi yetu kwa maendeleo yao. Hili nalo jambo!
 
Back
Top Bottom