Faiza Fox said:Wanauondoa mjadaala kutoka MoU ya kanisa na Serikali, ambao ni wizi mtupu, kuelekea kwenye usomi wa watu.
Four walls of a class room does not make a person learned, it is rather a solitary confinement of someones greater potentials.
FF,
..wengine tumekuwepo kwenye mada hii kwa muda mrefu. Mdondoaji atanisaidia hapa.
..basically ni kama tume-exhaust kila hoja tuliyonayo na ndiyo maana unaona tunatoka nje ya mada kidogo.
..sasa wakija wachangiaji wapya, wakaleta hoja mpya, bila shaka tutarudi kwenye mstari.