Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mimi nasema hv, hata waislam wakijenga vyuo, mahospitali, zahanati na shule, watasaini tu MoU. Na mimi sioni tatizo hapo kama huduma hzo zitanufaisha jamii nzima ya watanzania. Sasa waislam mnataka MoU wkt shule zenu ndo zile za mwisho kwny matokeo, chuo kikuu mnacho kimoja tena cha kupewa na serikali? Kuweni serious basi muone km serikali itakaa kimya. Mnakua km mtu anayekula dagaa halafu anaona wivu jirani yake anakula nyama. Unatakiwa na wewe ujitahidi upate hela ya nyama.


Je waijua MoU hiyo na kanisa linakwapua kiasi gani kwa mwaka toka JMTz
MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Fisadi EL. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000= Trilioni 1.17 or Trilioni 1.2. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.

Huo ni wizi na ufisadi . Mtuambie pesa za waislamu ziko wapi zirudishwe serikalini. Ufisadi huu ni mkubwa kuliko EPA.



 
Je waijua MoU hiyo na kanisa linakwapua kiasi gani kwa mwaka toka JMTz
MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Fisadi EL. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000= Trilioni 1.17 or Trilioni 1.2. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.

Huo ni wizi na ufisadi . Mtuambie pesa za waislamu ziko wapi zirudishwe serikalini. Ufisadi huu ni mkubwa kuliko EPA.



wewe ni msomi mzuri tu, ila kuwaza kwako du!!!!!!!!!
 
wewe ni msomi mzuri tu, ila kuwaza kwako du!!!!!!!!!

Je unajuwa thamani ya Bilioni 91?.

Zinaweza kujenga hospitali za wilaya 6 (gharama ya hospital moja ya wilaya ni bilioni 15 ) hiyo ni pamoja na vifaa vyote na nyumba za nne za waganga .

 
Jengeni shule na hospitali ili nanyi mnaoona wivu mfaidike. Najua kabisa waislam wengine wala hawana tatizo na hii MOU kwa sababu wanaelewa. Sasa kwa wale wanaoona wanaonewa wajaribu kurekebisha kwa kujenga shule na hospitali tena ziwe nyingi kiasi kwamba watawazidi wakristo kwa hiyo watapewa fedha nyingi tu za kuwapatia maendeleo ambayo wanadai wakristo wanayapata kupitia fedha zinazotolewa na serikali. Kulalamika kunasaidia nini kama hufanyi chochote cha kukuwezesha kulalamika?
 
aaah,tunaibiwa bana hivi mkaguzi wa hesabu huwa anapita taasisi hizi za dini zinazopata hio ruzuku.na kwanini inafanywa siri.kama lowasa ndo alisaini hii kitu na hivi sasa amebase kwenye makanisa hivi akiwa rais si ndo watatubatiza kwa nguvu
 
Hapa ubishi hakuna taasisi za kanisa zinatumia kodi yetu kwa maendeleo yao. Hili nalo jambo!

haswaa afu wanajisifu tumewekeza kwenye elimu kumbe pesa za walipa kodi na si sadaka.HUU NI UTAPELI
 
Hapa ubishi hakuna taasisi za kanisa zinatumia kodi yetu kwa maendeleo yao. Hili nalo jambo!

haswaa afu wanajisifu tumewekeza kwenye elimu kumbe pesa za walipa kodi na si sadaka.HUU NI UTAPELI
 
Sidhani kama nimechelewa sana kutoa maoni yangu juu ya hili. Mtoa mada angetoa changamoto nzuri zaidi kama angalau angetaja waraka wa maombi ya taasisi nyingine zilizoomba kuingia "mkataba" kama wa Taasisi za Kikristo aliouweka hapa (I doubt kama ndo wenyewe), na Serikali "IKAUTOSA"! Kama hawakuomba watapewaje? Angalau chanzo cha makubaliano ya Makanisa na Serikali yaliyozaa makubaliano haya hata sisi wagaagaa tunayafahamu yalianzia Bungeni. Hawajachelewa kama wanatoa huduma zinazofanana na zile zilizoainishwa katika mkataba uliowekwa hapa, basi waombe kukaa na serikali na kuandika kitu kinacholingana na hicho. Ikiwa Serikali "ITAWATOLEA NJE" basi tunayo hata haki ya kuwaunga mkono watakaotaka kuandamana kwa ajili ya kushinikiza! :
 
Sidhani kama nimechelewa sana kutoa maoni yangu juu ya hili. Mtoa mada angetoa changamoto nzuri zaidi kama angalau angetaja waraka wa maombi ya taasisi nyingine zilizoomba kuingia "mkataba" kama wa Taasisi za Kikristo aliouweka hapa (I doubt kama ndo wenyewe), na Serikali "IKAUTOSA"! Kama hawakuomba watapewaje? Angalau chanzo cha makubaliano ya Makanisa na Serikali yaliyozaa makubaliano haya hata sisi wagaagaa tunayafahamu yalianzia Bungeni. Hawajachelewa kama wanatoa huduma zinazofanana na zile zilizoainishwa katika mkataba uliowekwa hapa, basi waombe kukaa na serikali na kuandika kitu kinacholingana na hicho. Ikiwa Serikali "ITAWATOLEA NJE" basi tunayo hata haki ya kuwaunga mkono watakaotaka kuandamana kwa ajili ya kushinikiza! :

yaani wewe unataka watu washirikiane kuiibia serikali yenu.

makubwa hayo.

 
Je waijua MoU hiyo na kanisa linakwapua kiasi gani kwa mwaka toka JMTz
MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Fisadi EL. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000= Trilioni 1.17 or Trilioni 1.2. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.

Huo ni wizi na ufisadi . Mtuambie pesa za waislamu ziko wapi zirudishwe serikalini. Ufisadi huu ni mkubwa kuliko EPA.


Asante sana kwa data, Mkuu!
 
Je waijua MoU hiyo na kanisa linakwapua kiasi gani kwa mwaka toka JMTz MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Fisadi EL. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) . Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000= Trilioni 1.17 or Trilioni 1.2. Kutoka katika kodi za WATANZANIA. Huo ni wizi na ufisadi . Mtuambie pesa za waislamu ziko wapi zirudishwe serikalini. Ufisadi huu ni mkubwa kuliko EPA.
Source?????? Kwenye kijiwe cha ghahawa na kashata kama sio vijiwe vya kutafuna pweza.... Na nyie ingieni MoU si mna madrassa kila kona na msikiti huko uswahilini....
 
Source?????? Kwenye kijiwe cha ghahawa na kashata kama sio vijiwe vya kutafuna pweza.... Na nyie ingieni MoU si mna madrassa kila kona na msikiti huko uswahilini....

Funguka kiakili na ipende nchi yako katika kuiondoa katika umasikini na kuwa ombaomba na kutegemea visivyo vyake.

Najua mengi hujui ila unazungumzia ushabiki tu.

Kumbuka kuwa Billioni 91 makanisa yanayopewa kila mwaka ni kwa ajili ya admin cost na sio operational cost. Hao madaktari unaosikia hivi sasa wanagoma huko Bugando na KCMC ni waganga wa Serikali na wanalipwa stahiki zao zote na serikali yako na sio kanisa linalomiliki hizo hospitali.

Kumbuka kuwa Bilioni 91 kwa mwaka , serikali yako ingeweza kujenga hospital tatu za ngazi ya wilaya, moja ya hadhi ya mkoa na chuo kimoja kila mwaka. Je tokea 1992 mpaka leo 2012 kungekuwa na hospital 60 za serikali na 20 za mikoa na vyuo 20.

Na kwa kuwa waganga inao basi ingeondokana na kuzitegemea hospital za kanisa.

Sasa nakushangaa sana wewe unaye endekeza na kusisitiza Serikali yako kuendelea kukodi na sio kujenga cha kwake.

nakupa pole sana. Na nakushauri jikomboe katika utumwa wa akili.

 
Funguka kiakili na ipende nchi yako katika kuiondoa katika umasikini na kuwa ombaomba na kutegemea visivyo vyake. Najua mengi hujui ila unazungumzia ushabiki tu. Kumbuka kuwa Billioni 91 makanisa yanayopewa kila mwaka ni kwa ajili ya admin cost na sio operational cost. Hao madaktari unaosikia hivi sasa wanagoma huko Bugando na KCMC ni waganga wa Serikali na wanalipwa stahiki zao zote na serikali yako na sio kanisa linalomiliki hizo hospitali. Kumbuka kuwa Bilioni 91 kwa mwaka , serikali yako ingeweza kujenga hospital tatu za ngazi ya wilaya, moja ya hadhi ya mkoa na chuo kimoja kila mwaka. Je tokea 1992 mpaka leo 2012 kungekuwa na hospital 60 za serikali na 20 za mikoa na vyuo 20. Na kwa kuwa waganga inao basi ingeondokana na kuzitegemea hospital za kanisa. Sasa nakushangaa sana wewe unaye endekeza na kusisitiza Serikali yako kuendelea kukodi na sio kujenga cha kwake. nakupa pole sana. Na nakushauri jikomboe katika utumwa wa akili.
Jibu hoja acha matusi kwasababu na mimi nikiamua ni mtaalamu sana katika hizo anga.....Kwa akili za haraka haraka hata kama huo uzushi wako ungekuwa kweli wewe unadhani jengo kama la KCMC au Bugando limegharimu kiasi gani kujengwa?? Na je kulimainntain peke yake ni kiasi gani?? na je kumbe wanaotibiwa kule ni wakristu tu?? Think loud and be objective men....na je kutoa huduma za afya na elimu katika nchi kimsingi ni kazi ya nani??
 
Jibu hoja acha matusi kwasababu na mimi nikiamua ni mtaalamu sana katika hizo anga.....Kwa akili za haraka haraka hata kama huo uzushi wako ungekuwa kweli wewe unadhani jengo kama la KCMC au Bugando limegharimu kiasi gani kujengwa?? Na je kulimainntain peke yake ni kiasi gani?? na je kumbe wanaotibiwa kule ni wakristu tu?? Think loud and be objective men....na je kutoa huduma za afya na elimu katika nchi kimsingi ni kazi ya nani??


Mkirua,

ndugu yangu acha ushabiki kwa hili.

Kwa bahati nzuri nimekaa mwanza kwa miaka minne kama RDD , mtu wa pili kimadaraka kutoka RC. na naijua vizuri sana bajeti ya Bugando.

Narudia tena kama Hizo Bilioni 91 wanazopata kanisa kila mwaka kama admin cost ondoa ushuru wanaosamehewa kwenye vitu wanavyoagiza nje. Tokea 1992 mpaka sasa mngekuwa na hospital 20 kama Bugando nchi nzima na nyingine 60 za hadhi ya wilaya kama ile ya Amana nchi nzima.

Sasa kwanini serikali isifikirie hilo na kujikita kuzitajilisha na kuziimarisha hospitali za kanisa? Je wewe unafurahia kanisa kutajilika kwa pesa za Serikali yako masikini?

Kuhusu kutibiwa hiyo sio issue. Mbona agakhan na hindu mandal ipo? nao Bugando au KCMC zitakuwa kama Aga Khan tu na madaktari wote wa Serikali wanarudi kutibia kwenye hospital za serikali na kutumia resource za Serikali.

Kumbuka ma kanisa limeweza kujenga hospitali kubwa sidhani kama zitashindwa kuziendesha tena kibiashara na sio kunyonya pesa za serikali masikini.

naomba ujifunze kufikiria kiuchumi zaidi na sio kisiasa. Watu wa nje tunaona wewe je wa ndani ulioni hilo?
 
Swala siyo kuepuka tu halafu yakaisha. Kwa kuwa tayari CCT na TEC wamekwishafaidika na kusomesha wafuasi wao (naamini CCT & TEC) hawakuwasomesha waislamu au wakirsto wasio wao, then they have been using government income generated by all of us to to benefit some only. Huu ni ubaguzi wa mchana kweupe na udharirishaji wa dini nyingine kama waislam. Kwani wao hawana uwezo wa kusaidiwa na kutoa huduma hizo huku wakijijenga kwenye taasisi zao? Au wenye haki ni CCT & TEC tu. kwa lipi maana walilonalo? Ili kuepuka migongano na misigano ya kiitikadi (kidini) ni bora waislamu nao wapewa kiasi sawa na amba cho CCT&TEC wamekwisha pewa halafu mtindo ufe au uanze kwa uwazi kwa pande zote. Vinginevyo-tujiandae kwa mpasuko na uhasama na chuki miongoni mwetu
 
Swala siyo kuepuka tu halafu yakaisha. Kwa kuwa tayari CCT na TEC wamekwishafaidika na kusomesha wafuasi wao (naamini CCT & TEC) hawakuwasomesha waislamu au wakirsto wasio wao, then they have been using government income generated by all of us to to benefit some only. Huu ni ubaguzi wa mchana kweupe na udharirishaji wa dini nyingine kama waislam. Kwani wao hawana uwezo wa kusaidiwa na kutoa huduma hizo huku wakijijenga kwenye taasisi zao? Au wenye haki ni CCT & TEC tu. kwa lipi maana walilonalo? Ili kuepuka migongano na misigano ya kiitikadi (kidini) ni bora waislamu nao wapewa kiasi sawa na amba cho CCT&TEC wamekwisha pewa halafu mtindo ufe au uanze kwa uwazi kwa pande zote. Vinginevyo-tujiandae kwa mpasuko na uhasama na chuki miongoni mwetu

Nikusaidie tokea
MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Kila mwaka makanisa yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2012 ni miaka 20= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000 x 2= Trilioni 1.8. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.


 
Nikusaidie tokea
MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Kila mwaka makanisa yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2012 ni miaka 20= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000 x 2= Trilioni 1.8. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.


Iliwezekaneje Waziri akam-by-pass Rais hadi ku-sign hyo MOU ambayo hivi sasa ni Mkombozi wa wananchi wa dini zote?
 
Je waijua MoU hiyo na kanisa linakwapua kiasi gani kwa mwaka toka JMTz
MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Fisadi EL. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000= Trilioni 1.17 or Trilioni 1.2. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.

Huo ni wizi na ufisadi . Mtuambie
pesa za waislamu ziko wapi zirudishwe serikalini. Ufisadi huu ni mkubwa kuliko EPA.



Pesa za waislamu? Sijui kwa nini hii mada imedumu kiasi hiki. Suala rahisi sana la kuelewa hapa ni kuwa pesa ya Serikali (hata kama ni ruzuku - subsidy) haitolewi bila malengo maalum na mchanganuo rasmi wa matumizi (bajeti) unaozingatia kanuni za fedha na sera ya taifa katika eneo husika. Na pia ni lazima matumizi yake yakaguliwe na kutolewa taarifa rasmi. Sasa kama hayo hayafanyiki ipasavyo basi ndio masuala ya kujadili. Kama yanafanyika na ubadhirifu/ufisadi umethibitika bila hatua muafaka kuchukuliwa basi nayo ni hoja nyingine nzito ya kujadilika. Vinginevyo ni bla bla za kishabiki tu. Natumaini kuna weledi waliotoa michango yenye mantiki huko nyuma. Binafsi sioni tija ya kuendeleza mada ya aina hii kishabiki hasa katika kipindi hiki ambapo watawala wetu wameamua kujiimarisha kwa gia nzito ya udini.
 
Pesa za waislamu? Sijui kwa nini hii mada imedumu kiasi hiki. Suala rahisi sana la kuelewa hapa ni kuwa pesa ya Serikali (hata kama ni ruzuku - subsidy) haitolewi bila malengo maalum na mchanganuo rasmi wa matumizi (bajeti) unaozingatia kanuni za fedha na sera ya taifa katika eneo husika. Na pia ni lazima matumizi yake yakaguliwe na kutolewa taarifa rasmi. Sasa kama hayo hayafanyiki ipasavyo basi ndio masuala ya kujadili. Kama yanafanyika na ubadhirifu/ufisadi umethibitika bila hatua muafaka kuchukuliwa basi nayo ni hoja nyingine nzito ya kujadilika. Vinginevyo ni bla bla za kishabiki tu. Natumaini kuna weledi waliotoa michango yenye mantiki huko nyuma. Binafsi sioni tija ya kuendeleza mada ya aina hii kishabiki hasa katika kipindi hiki ambapo watawala wetu wameamua kujiimarisha kwa gia nzito ya udini.

Ina maana CAG wa Tz anakagua hizo Bilioni 91 wanazopewa kanisa?

Mbona kwenye ripoti yake mimi sijawahi kuiona?

Au tupambanulie ni page gani na sisi tudurusu?


 
Ina maana CAG wa Tz anakagua hizo Bilioni 91 wanazopewa kanisa?

Mbona kwenye ripoti yake mimi sijawahi kuiona?

Au tupambanulie ni page gani na sisi tudurusu?


Mbona kule agah khan hausemi pia huko kuna hiyo MoU,
lkn MKUU WA NCHI aliliweka sawa hili jambo BARUBARU,

anyway Let us assume kuwa leo hii inatokea tunakuwa na Rais kichaa (ALIYEPO SASA SIO KICHAA) anafanya maamuzi ya kiuendawazimu kwa kufuta hiyo ruzuku ktk taasisi hizo, jiulize mwenyewe hali yake itakuwaje? The answer is simple nchi itapata kiharusi. Huwa nashindwa kuelewa hivi BARUBARU ile MoU ingesainiwa wakati RAIS akiwa mkristo sijui ungesema nini, in my view ungetoa laana zote za dini yako kumlaani huyo Rais.
Lkn kwa kuwa ni wa upande wako unakimbilia neno la kipuuzi la ~mfumo kristo~ ndiyo msemo wa siku hizi wa walioshindwa hoja.

Ok, haya yamekuja kisa taasisi za Kiislam hazina hata hospital moja, na kama zipo basi nitajie moja tu inayastahili, jibu unalo ni Hakuna, au hata Chuo Kikuu ambacho kimejengwa kwa nguvu za Muslims tu hapa Bongo yenye kiwango cha kupata ruzuku. JIBU NI HAKUNA. Sisi tunaoishi huku vijijini hizi hospital za dini za kikristo ndizo zinazotusaidia kupata tiba tena kwa gharama nafuu, tunawashukuru waliojenga miradi hii.

Leohii makanisa yameanza kufua umeme, nadhani utakuwa umesoma magazetini au kuangalia miradi hiyo ikifunguliwa na wenye nchi ktk TV, sasa jiulize maswali magumu siyo mepesi WAISLAM WASOMI MKO WAPI KUSAIDIA, sana sana tunaona wengine mnawashawishi wasifanye mitihani, mara kanisa linatuonea, ukiulizwa kwa lipi, eti mtu zima na ndevu zake anasema MoU, ndiyo tatizo, no, no think twice!!!!!!!!!!!!!!DR.


Please, BARUBARU ondoka kwenye hicho kichaka kitakuwakia moto, acha kufikiri hovyo hovyo
 
Back
Top Bottom