NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Unazungumzia bakwata hii mnaoipinga kila siku? By the, hivi BAKWATA nayo ni hospitali hadi watoe huko? Halafu watoe huko kwa mwongozo au moi ipi?Kuweni makini, mishahara, oc na deve funds serikali inatoa kwa kanisa kila mwezi. Bugando, kcmc, peramio, ifakara, bwagala nk. Lakini bado tunalipia huduma. Mbona haitoi kwa bakwata? Ushaidi ni mimi na vitabu vya bajeti
Inaitwa pedo au pekosiHuo upande wa pili wa kuvaa sijui suruakli fupi au kaptula ndefu, haaata muwaeleze vip hawataelewa.. washakula yamini!
Mimi nina ushahidi pia Muhimbili wanapata hizo OC, mishara na deve funds - nenda kapate huduma za bure pale.Kuweni makini, mishahara, oc na deve funds serikali inatoa kwa kanisa kila mwezi. Bugando, kcmc, peramio, ifakara, bwagala nk. Lakini bado tunalipia huduma. Mbona haitoi kwa bakwata? Ushaidi ni mimi na vitabu vya bajeti
Mkuu wanakuja baadae muda huu wapo vibarazani Wanakunywa gahawa
Tulipeka copy ya hiii yenu wakatutolea nje
ndo maana tumerudi tena kulalamika
Mimi labda sijaelewa Slaa anatolea ufafanuzi kama msemaji wa kanisa au kiongozi wa chadema.Babu mbona unatuchanganya uko upande upi
Kuweni makini, mishahara, oc na deve funds serikali inatoa kwa kanisa kila mwezi. Bugando, kcmc, peramio, ifakara, bwagala nk. Lakini bado tunalipia huduma. Mbona haitoi kwa bakwata? Ushaidi ni mimi na vitabu vya bajeti
Sasa Bakwata wataweza vipi kuwa na MOU na Serikali wakati hata hicho chuo kikuu cha Morogoro wamepewa na Mkapa? au kuna MoU ya kuchoma makanisa?Ahsante Dr.W.Slaa kwa maelezo mazuri na ya kina ya ufafanuzi.
Mi nadhani kwa wale wanaoilalamikia MoU ni vizuri wakajitazama upya na kujiuliza ni kitu gani kimewakwamisha na wao kuwa na MoU na serikali badala ya kutupa lawama kwa wakristo.
Mkuu inawezekana unalolisema ni kweli, labda walitaka mashirika ya kikatoliki yawasidie maana huko kwenye mashirika yao wanasaidiana namna ya kujilipua au kuutokomeza ukristu. Wanasahua kuwa kumwondoa anayeshikilia njia kuu za uchumi au huduma za kijamii ni ngumu. Kwa mfano leo hii ukiwaambia wakristu wafunge hospitali zao zote nchini, patachimbika. Hadi hao wanaouchukia ukristu wataathirika. Kwenye mashule na vyuo hayohayoMkuu,
Waislamu nao walitaka Shirika la Wakatoliki la Ujerumani liwasaidie kukarabati shule zao? Au hiyo copy n paste unamaanisha nini hasa?
Duh!
Ama kweli ****** mna mambo!
Hamlali?
sasa kuna watu wanataka kubadilisha maneno mara ohh Ujerumani mara ohhh sijui nini
waislam walipopeleka MoU yao ambayo ilikuwa ilikuwa sawa na hii wakaambiwa ohhh fanyeni Subra kwanza kuja kushtuka too late.
Mimi naona badala ya kubishana kila mmoja apige madili kivyake au mnasemaje maana hapa ni ngumu kutaka FAIR PLAY wakati the entire game is UNFAIR
Sasa Bakwata wataweza vipi kuwa na MOU na Serikali wakati hata hicho chuo kikuu cha Morogoro wamepewa na Mkapa? au kuna MoU ya kuchoma makanisa?
Mimi nadhani Waislamu wa kujadili nao Maendeleo ni hawa Ismailia kina Agha Khan na sio hawa wafuga madevu na kuvaa vipedo na ndala, ambao wao wanaamini wana uwezo wa kumlinda Mungu wakati Mungu ndio kila kitu atakalo lolote lawa.
Mkuu hata nini huyu ndugu yangu nimeshindwa kumuelewaMkuu,
Waislamu nao walitaka Shirika la Wakatoliki la Ujerumani liwasaidie kukarabati shule zao? Au hiyo copy n paste unamaanisha nini hasa?
Kuweni makini, mishahara, oc na deve funds serikali inatoa kwa kanisa kila mwezi. Bugando, kcmc, peramio, ifakara, bwagala nk. Lakini bado tunalipia huduma. Mbona haitoi kwa bakwata? Ushaidi ni mimi na vitabu vya bajeti
Du!!! Kumbe MOU maana yake ni makubaliano ya kimaendeleo baina ya Wakristo wa Tanzania na Ujerumani!!??? Kumbe serikali ya Tanzania iliridhia tu kama observer!!! Kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa giza! Sasa maskini kelele nyingi kuhusu MOU ni za nini???
Waliwakataliwa kwa sababu mlicopy na kupest, hata hizo shule na hospitali zilizotaifishwa hamkuwa nazo. Unaonaje hapo?Tulipeka copy ya hiii yenu wakatutolea nje
ndo maana tumerudi tena kulalamika
Hospitali hiyo ya Bakwata iko wapi? Au unataka ruzuku ya ujenzi wa hospitali mpya, au wakununulie hata kiwanja!Mimi nina ushahidi pia
Muhimbili wanapata hizo OC, mishara na deve funds - nenda kapate huduma
za bure pale.