Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Kwa hiyo dr slaa, ukipata urais utazirudisha shule hizi kwa kanisa? Au utachukua maamuzi gani

Mhh! Akichukua nchi huyo? Wailam si ndio tuta koma! Bora hawa hawa nzi wa kijani, maana washaanza kuiona haki,
 
Hapa huwezi kumuona Mohamedi Mtoi, akichangia chochote kwenye huu uzi.
 
Last edited by a moderator:

lakini mantiki ya MOU si umeipata mkuu?
 
Candid Scope,
Hapo kwenye bold, ukweli ni kuwa wakristo na watu wengine ambao hawajalevya dini kwenye akili zao wanawatizama waislamu kwa hamasa, mikiki, hasira zao na mambo mengine ya ajabu wanayofanya na kuwanyamazia kama mtu mwerevu anavompita kichaa kimya ili asimwanzishie mikiki yake lakini ukweli wanajua hawa wenzetu wanamatatizo ambayo hawawezi kuyatambua. Basi dunia inapowanyamazia na kuwaachia njia zao zisizoelewaka wao wanafikiri watu wanawaogopa au wanaheshimu hizo taratibu zao za ajabu. Lakini kama kusema nisije kuwa kichaa kama yeye. Ukweli ndio huo.
 
Hapo ina onesha bakwata walijitoa, pengine tujiulize kwa nini walijitoa!

 

1.Serikali haikusomesha Wakristo wakristo walijisomesha wenyewe kwenye shule zao walizojenga wakati nyie mpo busy kujenga Madrasa Serikali iliwasomesha nyie baada ya kuzipora shule za kikristo ili mpate nafasi ya kusoma lakini bado mnazichukia hizo shule

2. Kanisa halikutaka watu waende kusomea ualimu kwasababu tu ni Wakristo bali vigezo vilizingatiwa na walitaka kuziendeleza hizo shule ambazo hata nyie mlisoma

3. Hapo ndo kuna shida tu eti wafaidike waislamu tu? Tunataka program ambazo kila mtu bila kujali dini yake atafaidika
 
Usiwe na akili fupi kama maisha ya funza, wewe unaupenda Uislam?
nimekuuiza serikali ya ccm/kikwete wanatetea maslahi ya kanisa? kutoupenda kwangu uislam ni sawasawa na kama yule ambaye labda hapendi kuvaa nguo ya dhambarau lakini akiona mwenzake amevaa nguo ya rangi hiyo anakuwa hana tatizo...nina maana mimi binafsi uislam haunivutii lakini sina shida na muislam ...nijibu swali langu hapo juu...
 

I hope hii MOU ni Ya ukweli, sio chapisha chapisha, I question as to why the copy was never accesable to the HON DR SLAA, ikabidi iwekwe hapa na mtu mwengine, and than we suddenly see the HON Dr coming up with these full length explanations. I also wonder if the HON DR will he ever make an Impartial Leader who shall never succumb in Religion Favourism and total Nepotism like the claims of Wana CDM kuwa The First Lady to be runs the show at the CDM HQ. Lets be very coutious NDUGU WATANZANIA
 

nimekupata, majadiriano hayakuwahusu? Swali ni kwanini? kama nitakuwa tofauti basi bado nahitaji kujuzwa zaidi: kwamba hadi utaifishaji unafanyika inadhanika kuwa hakukuwa na taasisi yoyote ya kiislamu iliyokuwepo isipokuwa shule moja tu (nimeisahau jina ila ipo Siha Kilimanjaro (nadhani kibohehe), kwa hio waliona watapoteza muda kujadiri just one asset wakati wenzao wanalundo la madai.
 

Kwa mara ya kwanza umeongea sense. Keep it up!
 

Mkuu heshima kwako pamoja na maelezo haya ya kina na kitaalamu lakini ndugu yetu kwa makusudi hatakujibu ataenda kumuuliza mtu mwingine kashapewa sana hayo majibu na bado anauliza.huyu mtu anataka kueneza tu chuki ya Kidini
 

Hizo ni documents za kiofisi, ukienda TEC utaweza kupata copy yake, Slaa hakuhama na documents za TEC, na wala asingeweza kuwa na copy za office kwa vile hazimhusu ila zinaihusu taasisi.
 
Hapo mwanzo nilijua kuwa serikali haitoi fedha taslimu bali inatoa ruzuku kwa huduma za kijamii zinazotolewa na kanisa lakini sasa kuna suala la makanisa ya ujerumani limeingia ndani ya hoja hii. Inachanganya kidogo.

Simply put madam, any subsidy eventually has to have a value.
 
hatimaye ukweli umepatikana wenye kuelewa wameelewa ila wabishi wataendelea kutunga uongo.
 


Mkuu, leta hapa thread yangu au post yoyote inayoonyesha nashabikia ukanda kwa ajili ya kuigawa nchi yetu vipande vipande. Sijakosa hoja za kukabiliana na CDM au CCM hadi nikatumia ngao ya ukanda.
 

kasome kwanza maelezo ya Dr. Slaa ni kwanini palikuwepo na hiyo MOU, halafu uje uzisome vizuri hizo clauses hapo juu...

HATA WEWE AKILI HUNA...UNASUMBULIWA NA NENO "CHURCH" EHHEEE JARIBU KUTAFSIRI SENTENSI NZIMA SIYO NENO MOJA MOJA.
 
Hii ni sehemu ya website ya shirika hilo lililopelekea serikali ikaweka makubaliano na makanisa.

 

Natumia ubongo kufikiria situmii dini kufikiria...... taifa letu mbele.

Nitapinga udini kwa nguvu zote na nitawapinga wote wanatumia dini kufikiri badala ya ubongo wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…