Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mimi labda sijaelewa Slaa anatolea ufafanuzi kama msemaji wa kanisa au kiongozi wa chadema.Babu mbona unatuchanganya uko upande upi
na ni kweli hujaelewa....nikusaidie ili uelewe ni hivi ndg.Dr. Slaa ametoa ufanunuzi wa MOU kama JF Senior Expert Member-Verified User.pitia JF a/c yake kwa uthibitisho zaidi mkuu.
verified.png
 
Nina mashaka kama Waziri Mkuu bungeni atakuja na majibu tofauti na ya Rais. Haya chini. kumbuka kauli ya Rais ni kauli ya serikali ingawa inaweza kutolewa ufafanuzi zaidi kama inaleta mkanganyiko kwa jamii. hata hivyo, kwa kundi la Waislamu pengine wanahitaji maelezo zaidi ingawa maelezo ya rais yanaonyesha Bakwata wamepeleka maombi ya MOU.

Mheshimiwa Mufti;


Serikali ina msimamo huo kwa sababu tunatambua na kuthamini sana nafasi na mchango wa dini na mashirika ya dini katika maendeleo na ustawi wa jamii na nchi yetu kwa ujumla. Serikali inaunga mkono mashirika ya dini katika shughuli zao kwa sababu ya manufaa ya dhahiri ya shughuli hizo kwa taifa letu. Mashirika ya dini yamekuwa mstari wa mbele kushirikiana na Serikali kuwapatia wananchi wa Tanzania huduma muhimu za elimu, afya, maji n.k. Bila ya ushirikiano, upatikanaji wa huduma hizo kwa baadhi ya maeneo ungekuwa tofauti sana. Serikali kwa upande wake imekuwa inafanya kazi ya kusaidia mashirika ya dini yaweze kutoa huduma hizo kwa wananchi.

Napenda kuwahakikishia kuwa hakuna kitu cho chote ambacho Serikali itatoa kwa dini moja ambacho dini nyingine itanyimwa. Kwa kweli mbele ya Serikali dini zote zina haki sawa. Kama hujaomba usimlaumu aliyeomba akapewa au aliyempa . Kama yupo anayeamini anazo sifa kama mwenzake aliyepewa aombe naamini atapewa. Iwapo itafanyika vinginevyo dai haki yako kwa mamlaka zinazohusika.
Mheshimiwa Mufti, Ndugu Zangu Waislamu;


Maelezo yangu haya yanafanana na hoja zenu katika Risala yenu kuhusu Itifaki ya Maridhiano ya 1992 baina ya Serikali na TEC na CCT. Nafurahi kwamba na nyie mmeamua kuleta maombi, yaleteni yatashughulikiwa ipasavyo.

Hotuba yote imenukuliwa hapa: HOTUBA YA MH. JAKAYA MRISHO KIKWETE BARAZA LA EID-EL-FITR, DODOMA AGOSTI 2011 - Global Publishers
Kwa hiyo hauna imani na serikali?
 
wakati wenzenu wanakazana na elimu dunia nyie mnakazana na elimu ahera...subirini na nyie mkaitawale ahera. Ila hapa duniani elimu dunia ndio kila kitu.!
 
Well done.

Tatizo kuna baadhi ya watu wako too "isms" hapa. Lakini kama wote tungetumia bongo zetu kidogo tu tena kwa uhuru basi haya malalamiko na purukushani zote zingeshakwisha.

Sadly, the seed of hatred has been sowed already. The imprint of Nape, Mwigulu & CCM and it will certainly cost this nation something valuable.
..

hapo red kaka, i wish ingelikuwa hivyo. tatizo ni kuwa suala hili ni la kidini na dini ni IMANI si maarifa wala ujuz. kinachohitajika ili uhalalishe kuwaua wengine wote ni ile tu kuamini kuwa kuna Mungu na Mungu huyo ni yule aliyesemwa na, mathalan, Mohammed. Yeyote atakayemsema au kumfuata MUNGU MWINGINE tofauti na Mungu wa Mohammed bas huyo ni kuchinja. Hiyo inaweza kuwa vise verse pia, tofaut ni extent of extrimism TU.

...Religion, particularly religion by the colonizers of Africans, be it Arabs or Europeans, is an opium of the people
 
Kimsingi mleta mada amekosea sana kuchukua bandiko la Dr Slaa alilochangia kwenye uzi mwingine na kulianzishia uzi mpya kama TAMKO LA DR SLAA KUHUSU MOU kusapori uwepo wa MOU

Dr Slaa aliandika bandiko hili kutokana na trend ya uzi ule hivyo kulifanya ndio tamko kuu lake kuu kuhusu MOU kunaacha gap kubwa sana

Ukiangalia kimantiki Dr Slaa katika bandiko lake amejaribu tu kuelezea historia ya MOU na si kujikita na contents za MOU ambazo ndio msingi mkuu wa wanaolalamikia MOU kama inapendelea upande fulani
Na ukienda mbali zaidi Dr Slaa anonyesha mshangao wa kwa mara ya kwanza ndio anauona mkataba huo wa MOU hapa JF maana hata yeye hajawahi kuwanao
Kwa mantiki hii ya kuuona hapa kwa mara ya kwanza kunatuambia kwamba hata yeye alikuwa hajui kinagaubaga cintents za MOU hii inayopigiwa kelele

Binafsi sina tatizo kabisa na Dr Slaa kwa bandiko lake kwenye uzi mwingine maana aliliweka kulingana na flow ya uzi ule lakini kulichukua bandiko hilo na kulifanya ndio uamuzi na tamko la mwisho la Dr Slaa si sahihi kabisa maana tamko hili halijajibu chochote kuhusu kilichomo ndani ya MOU zaidi ya historia ya MOU. Kinacho watatiza watu wengi si kwanini GVT imeingia MOU na makanisa isipokuwa ni MOU yenyewe ilivyokaa

Kwa mtazamo wangu labda DR aje hapa kutoa ufafanuzi zaidi juu ya "tamko" lake na kujazia yale ya msingi yanayodaiwa kupotoshwa ndani ya MOU.
Vinginevyo tuheshimu tu huu ni mchango wake kwenye uzi flani na si kuufanya ndio tamko lake kama mleta maada alivyofanya akisaidiwa na MOd
 
Shule hizo ni zipi kwa majina?hebu nitajie...ili nikujibu
It doesnt mattaer kinachotakiwa ni kuwa na taifa lenye usawa sio kupendelea kundi fulani na kiliacha kundi jingine huku mkidai kuwa hawataki kusoma.

Ondoeni huu ufisadi wenu, hamna hata haya. Halafu kiongozi mkubwa kama Dr Slaa anatetea MoU!

Hizo kodi zinazosomeshewa walimu wa shule za kanisa (kwa mujibu wa article ya xi ya MoU) zinatunzwa kwa kodi za wakristo peke yao?
 
Mimi nimekulia katika familia za theists wa kikristu, lakini si wakristu tu bali wakristu wakatoliki(ni lazima uwe specific kwa sababu huyu Mungu/Miungu-koloni ya theists ni shagrabagra, haieleweki kama Mungu ni mmoja au ni wengi). Kwa SABABU tu ya mimi kuzaliwa na kukulia huko, nAsikitika sana kutambua kuwa mtu kama mzee wangu Mohammed Said haiwezekani aweze kunitizama moja kwa moja kama mjukuu wake, mtanzania na tena mwafrika mwenzake bali atanitizama kama mjukuu wake sawa, lakin zaid atanitizama kama mjukuu wake mwenye doa la Mungu wa Wakristu. Kwake yeye mimi ni mjukuu ambaye kwa sababu tu ya doa hilo, ni mjukuu kharamu na ambaye pengine hatosita hata kusitisha uhai wangu kama atapata nafas murua. ni aibu ya kipekee na fedhaha na uduni mkubwa kwa mwafrika kwamba, kwa zaidi ya nusu karne sasa, tangu mwafrika ajikomboe, japo kibendera, kutoka mikono ya wakoloni wa ulaya na uarabuni, bado mwafrika huyu ameendelea kutawaliwa na fikra zilizopandikizwa na mkoloni yule yule kwa gharama ya fikra stahiki za wana wa afrika. Kama zipo dhahama alizootuletea mkoloni mzungu na mwarabu hakuna iliyo mbaya kama dhahama hii ya uwepo wa kitu kiitwacho Mungu Yesu kwa upande mmoja na Mungu Mohammed kwa upande mwingine. wakoloni hawa wakatufundisha kuwa huyu ni mungu mmoja lakini pia si mungu mmoja, kwamba hagawanyiki lakini pia anagawanyika. Mungu huyu amegeuka chanzo cha chuki, fitna, mauaji baina ya wana wa afrika. Mungu huyu ni Mungu wa visasi, ni mungu wa kujitoa Mhanga, ni mungu wa kulipua majumba kwa madege, ni mungu wa kuchoma makanisa, ni mungu wa jihadi, ni mungu wa vita vya msalaba, naam...ni mungu ambaye ndo kiini, sababu na chanzo cha kumfanya babu yangu kabisa, mwafrika mwenzangu kabisa, mtanzania mwenzangu kabisa, msomi wa ilmu ya Mungu wa kiislamu, mzee Mohammed Said anichukie, na pengine ahalalishe kunicharanga jambia analoletewa na mkoloni yule yule aliyemtawala, kupitia imani hiyo hiyo, mimi mjukuu wake kisa tu mimi ni wa mbari ya yule Mungu wa kikristu na kwa sababu siitwi Mohammed kama yeye bali naitwa John. Ewe Mwana wa Afrika...FUNGUKA. Hii ni karne ya 21.
 
wewe huna akili kabisa MOU imeisoma vizuri? pesa inatoka serikali ya ujerumani unyonyesha ni wapi serikali yetu ya tanzania ilikubali kutoa pesa.
Ukurasa wa nje wa MoU una maneno yafuatayo:
MEMORANDUM OF UNDERSTANDING
BETWEEN
CHRISTIAN COUNCIL OF TANZANIA AND TANZANIA EPISCOL CONFERENCE
AND
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA(sio Serikali ya Ujerumani).

Drawn by Prof.C R Mahalu.
Kilichozisimamisha nywele za kichwani mwangu ni Mahalu huyohuyo ambaye alikuja kuwa balozi wa Tanzania Rome (kitovu cha ukatoliki) na kukumbwa na kesi ya ufisadi!...ufisadi juu ya ufisadi.

Vilevile hotuba ya Rais Dodoma anaelezea kuwa Serikali ilitiliana saini na Kanisa (si Ujerumani), nikinuuu:

"baada ya Serikali kutiliana saini Itifaki ya Makubaliano (MoU) na TEC na CCT mwaka 1992, kasi ya kurejesha shule ilikuwa ndogo sana na baadae ikasimama kabisa".
 
Kimsingi mleta mada amekosea sana kuchukua bandiko la Dr Slaa alilochangia kwenye uzi mwingine na kulianzishia uzi mpya kama TAMKO LA DR SLAA KUHUSU MOU kusapori uwepo wa MOU

Dr Slaa aliandika bandiko hili kutokana na trend ya uzi ule hivyo kulifanya ndio tamko kuu lake kuu kuhusu MOU kunaacha gap kubwa sana

Ukiangalia kimantiki Dr Slaa katika bandiko lake amejaribu tu kuelezea historia ya MOU na si kujikita na contents za MOU ambazo ndio msingi mkuu wa wanaolalamikia MOU kama inapendelea upande fulani
Na ukienda mbali zaidi Dr Slaa anonyesha mshangao wa kwa mara ya kwanza ndio anauona mkataba huo wa MOU hapa JF maana hata yeye hajawahi kuwanao
Kwa mantiki hii ya kuuona hapa kwa mara ya kwanza kunatuambia kwamba hata yeye alikuwa hajui kinagaubaga cintents za MOU hii inayopigiwa kelele

Binafsi sina tatizo kabisa na Dr Slaa kwa bandiko lake kwenye uzi mwingine maana aliliweka kulingana na flow ya uzi ule lakini kulichukua bandiko hilo na kulifanya ndio uamuzi na tamko la mwisho la Dr Slaa si sahihi kabisa maana tamko hili halijajibu chochote kuhusu kilichomo ndani ya MOU zaidi ya historia ya MOU. Kinacho watatiza watu wengi si kwanini GVT imeingia MOU na makanisa isipokuwa ni MOU yenyewe ilivyokaa

Kwa mtazamo wangu labda DR aje hapa kutoa ufafanuzi zaidi juu ya "tamko" lake na kujazia yale ya msingi yanayodaiwa kupotoshwa ndani ya MOU.
Vinginevyo tuheshimu tu huu ni mchango wake kwenye uzi flani na si kuufanya ndio tamko lake kama mleta maada alivyofanya akisaidiwa na MOd

sawa kaka, iwe iwavyo, nachelea tunaanzia kufikiria kuanzia katikati badala ya kuanzia mwanzo. tutafute backgroud information ya MoU kwanza. Kama ilivyo kwenye maandishi ya Dr Slaa, haidhuru kama ni ufafanuzi au ni tamko, cha msingi ni elimu, au hata ukipenda ilmu aliyotoa. tujiulize kwanza, kwa mfano:
  • MoU ni nini?
  • Nini kilisababisha iwepo?
  • Je hizo sababu sababishi zina ukhalali, kisheria, kimantiki na morally?
  • Je uwepo wa MoU umekuwa kwa faida ya nani? yaan MoU hiyo imekuwa ikihudumia kina nan? ikiwezekana hapa tupewe data kwa majina na kila jina gharama ilizofaida kama matokeo ya uwepo wa MoU.
  • Je kama MoU imeondokea kuwa na faida kwa watanzania, je kumekuwepo/kupo uwezekano wa makundi mengine nayo kuwa na kitu kama hicho? kama ni ndiyo hayo makundi mengine yaliwahi kuomba kuwa na kitu kama hicho? kama ni ndiyo walikubaliwa? kama ni hapana. je kwa nini walikataliwa? Je sababu za kukataliwa zina ukhalili kisheria, morally au vinginevyo? Kama hazina ukhalali ina maana kuna mtu alikosea, kama ndivyo jee kosa linaweza kurekebishwa sasa kwa makundi mengine nayo kuwa na MoU? Je ni sifa gani zitakiwazo kundi liwe nazo ili kwazo listahiki kuwa na MoU? (tukumbuke hata majangili mawili yakiunda umoja nayo yatakuwa ni kundi)
 
kwamba wengi wa waamini wa kiislamu wapo nyuma kimaendeleo kuliko waamini mungu wa kikristu(hapa zingatia wote, waislamu na wakristu, wanasemaga Mungu ni mmoja tu lakini hapo hapo kila kundi lina Mungu wake mwenye utaratibu na maamrisho tofauti na kundi jingine, na kwamba kuna makundi na ndani ya kundi kuna makundi na ndani ya hayo makundi kuna makundi, kuna makundi , kuna makundi, kuna makundi ....na kuna makundi......na kila kundi lina mungu anayeamrisha/elekeza tofauti na mungu wa kundi jingine na kila Mungu wa kundi moja na Khasimu mkubwa wa kundi jingine....lakini usisahau kuwa kila kundi linasisitiza mungu ni mmoja tu, hagawanyiki na tena ni Mungu wa upendo!!!!!!!!!) hilo halina ubishi. ubishi ni pale wamini Mungu mmoja wanataka kuchinjana kwa sababu muamini mungu mmoja kati ya hao wawili analalamika kuwa mmungu wa yule muamini mungu yule yule mmoja ambaye hagawanyiki ndo sababu ya huyu muamini mungu mlalamishi kuwa nyuma kimaendeleo. hawa waamini mungu mmoja wana miungu miwili tofauti ambaye kila mungu wa upande mmoja ana taratibu , miongozo, sheria, kanunu na sera ambazo ni tafauti za za huyo mungu mwingine kama vile mbingu na jua. taratibu, kanuni, sheria, sera na itifaki vya mungu wa kila kundi ndivyo vinavyotawala na hivyo kuamua destiny ya kila kundi. mfano mdogo tu Mungu wa kundi Moja ana kitu kinaitwa elimu lakini ukija kwa Mungu wa kundi jingine ana kitu hiko hiko kimegawanyika katika elimu na ilmu na kila sehemu yapaswa kuwa na msistitzo tofauti. ujuzi wa hawa makundi unakuwa tofauti khalafu kwa nini kundi moja linalalamika wakati sera ni tofauti? wapo nyuma sawa wailsmu lakini kiini cha matatizo yao ni hiyo hiyo imani yao kihisotria, kiutawala na kimenejimenti. ukipanda nanas usitegemee kuvuna nyanya...

hata hivyo, mwisho wa siku, Region is an opium of the people
 
sawa kaka, iwe iwavyo, nachelea tunaanzia kufikiria kuanzia katikati badala ya kuanzia mwanzo. tutafute backgroud information ya MoU kwanza. Kama ilivyo kwenye maandishi ya Dr Slaa, haidhuru kama ni ufafanuzi au ni tamko, cha msingi ni elimu, au hata ukipenda ilmu aliyotoa. tujiulize kwanza, kwa mfano:
  • MoU ni nini?
  • Nini kilisababisha iwepo?
  • Je hizo sababu sababishi zina ukhalali, kisheria, kimantiki na morally?
  • Je uwepo wa MoU umekuwa kwa faida ya nani? yaan MoU hiyo imekuwa ikihudumia kina nan? ikiwezekana hapa tupewe data kwa majina na kila jina gharama ilizofaida kama matokeo ya uwepo wa MoU.
  • Je kama MoU imeondokea kuwa na faida kwa watanzania, je kumekuwepo/kupo uwezekano wa makundi mengine nayo kuwa na kitu kama hicho? kama ni ndiyo hayo makundi mengine yaliwahi kuomba kuwa na kitu kama hicho? kama ni ndiyo walikubaliwa? kama ni hapana. je kwa nini walikataliwa? Je sababu za kukataliwa zina ukhalili kisheria, morally au vinginevyo? Kama hazina ukhalali ina maana kuna mtu alikosea, kama ndivyo jee kosa linaweza kurekebishwa sasa kwa makundi mengine nayo kuwa na MoU? Je ni sifa gani zitakiwazo kundi liwe nazo ili kwazo listahiki kuwa na MoU? (tukumbuke hata majangili mawili yakiunda umoja nayo yatakuwa ni kundi)
hutajibiwa! MoU ilifungwa kiusiri na kila kinachoizunguka MoU ni usiri tu!
 
sawa kaka, iwe iwavyo, nachelea tunaanzia kufikiria kuanzia katikati badala ya kuanzia mwanzo. tutafute backgroud information ya MoU kwanza. Kama ilivyo kwenye maandishi ya Dr Slaa, haidhuru kama ni ufafanuzi au ni tamko, cha msingi ni elimu, au hata ukipenda ilmu aliyotoa. tujiulize kwanza, kwa mfano:
  • MoU ni nini?
  • Nini kilisababisha iwepo?
  • Je hizo sababu sababishi zina ukhalali, kisheria, kimantiki na morally?
  • Je uwepo wa MoU umekuwa kwa faida ya nani? yaan MoU hiyo imekuwa ikihudumia kina nan? ikiwezekana hapa tupewe data kwa majina na kila jina gharama ilizofaida kama matokeo ya uwepo wa MoU.
  • Je kama MoU imeondokea kuwa na faida kwa watanzania, je kumekuwepo/kupo uwezekano wa makundi mengine nayo kuwa na kitu kama hicho? kama ni ndiyo hayo makundi mengine yaliwahi kuomba kuwa na kitu kama hicho? kama ni ndiyo walikubaliwa? kama ni hapana. je kwa nini walikataliwa? Je sababu za kukataliwa zina ukhalili kisheria, morally au vinginevyo? Kama hazina ukhalali ina maana kuna mtu alikosea, kama ndivyo jee kosa linaweza kurekebishwa sasa kwa makundi mengine nayo kuwa na MoU? Je ni sifa gani zitakiwazo kundi liwe nazo ili kwazo listahiki kuwa na MoU? (tukumbuke hata majangili mawili yakiunda umoja nayo yatakuwa ni kundi)

Mkuu moshdar tupo pamoja ingawa kwa mtazamo tofauti,
MoU ni nini na nini kilisababisha iwepo ni jambo ambalo hakuna anayelilalamikia mkuu, na ndio maana hata kwenye maelezo ya ''tamko'' la Dr Slaa ameeleza kwamba utaifishaji ulihusu dini zote na kwenye mchakato mzima wa mwazo Dr ametaja BAKWATA iliwakilishwa na Waislam ingawa sijaelewa vizuri mwishoni wakaja kuwa makanisa pekee.
Sasa kwenye Red ndipo ninaposema labda Dr Slaa arudi kutoa ufafanuzi kukamilisha tamko lake.
hapo kwenye red ndipo kwenye contents za MoU yenyewe kunakoleta malalamiko yote maana sababu zilikuwa zile zile kwa waislam na wakristo na dini zingine
 
Mkuu, leta hapa thread yangu au post yoyote inayoonyesha nashabikia ukanda kwa ajili ya kuigawa nchi yetu vipande vipande. Sijakosa hoja za kukabiliana na CDM au CCM hadi nikatumia ngao ya ukanda.

Mkuu kwa sasa sina muda wa kurejea kwenye Archives za JF. Lakini tuombe uzima nitaleta thread yako inayoonyesha ushabiki wa Ukanda kwa ajili ya kuigawa nchi siku za usoni. I reserve this post and thread!
 
Kuweni makini, mishahara, oc na deve funds serikali inatoa kwa kanisa kila mwezi. Bugando, kcmc, peramio, ifakara, bwagala nk. Lakini bado tunalipia huduma. Mbona haitoi kwa bakwata? Ushaidi ni mimi na vitabu vya bajeti

Unashangaa hili;Mbona hujiulizi Hospitali za Serikali zinaendeshwa kwa kodi zetu lakini bado tunalipia huduma.
 
Natumia ubongo kufikiria situmii dini kufikiria. Taifa letu mbele. Nitapinga udini kwa nguvu zote na nitawapinga wote wanatumia dini kufikiri badala ya ubongo wao.

Sawa ila Propaganda za Ukanda dhidi ya CHADEMA hutumiagi Ubongo kufikiri? Au?
 
Last edited by a moderator:
You are missing the point. Huwezi kutuambia kwamba wakristo wana elimu sana kwa vile waliumbwa hivyo! Ni set up tu ambayo serikali kwa kushirikiana na makanisa waliamua kufanya makusudi kwa misingi ya kibaguzi. Hili lazima lijadiliwe katika national level kama ambavyo tuanjadili ufisadi mwingine.
Hebu waislamu tujitathmini kwanza badala ya kuhamishia makosa kwa wengine.
Kwanza tujiulize tulikuwa na shule ngapi na za viwango gani?Ukichunguza sana utaona shule zilikuwa za madhehebu ya Ismailia na zaidi kwa watoto wa kihindi.
Jambo la pili ni kuwa ni nani alikuwa msimamiziwa mali za East africam muslim welfare,huyu ndiye angeweza kuungana na wakiristo katika kudai shule na hospitali (kama ziliikuwepo).
Mapungufu makubwa ni yetu na tusilalamike tulishindwa na tunazidi kushindwa kutumia fursa,mfano mzuri ni kuwa serikali kupitia bodi ya mikopo inatoa mikopo kwa wanfunzi wa vyeo vya juu na ukianzisha chuo kikuu na ukaweka hata faculty moja tu ya education tayari pesa unayo lakini hata hicho tulichpewa cha morogoro bado/
 
Ritz hueleweki na unatuchanganya. Mara CDM ina maslahi na kanisa. Mara tena CCM ina maslahi na kanisa. Upo umuhimu wa kuwa na mtiririko kwenye dhana hii.

Dhambi ya Ubaguzi itawatafuna sana. Mmeanza kugawanyika wenyewe kwa wenyewa hata kabla ya dhamira yenu ya kuibomoa CHADEMA haijakamilika. Endelezeni tu Propaganda zenu za Udini, Ukanda na Ukabila muone mwisho wake.

TUMBIRI (PhD In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Overall Best Student in Form Six National Exams),
tumbiri@jamiiforums.com
 
Mkuu inawezekana unalolisema ni kweli, labda walitaka mashirika ya kikatoliki yawasidie maana huko kwenye mashirika yao wanasaidiana namna ya kujilipua au kuutokomeza ukristu. Wanasahua kuwa kumwondoa anayeshikilia njia kuu za uchumi au huduma za kijamii ni ngumu. Kwa mfano leo hii ukiwaambia wakristu wafunge hospitali zao zote nchini, patachimbika. Hadi hao wanaouchukia ukristu wataathirika. Kwenye mashule na vyuo hayohayo

Hawana lolote hawa;Mkatoliki Mkapa aliwapa Chuo Kikuu lakini hakuna hata mmoja anaemshukuru.Acha wapige kelele Usiku watalala.
 
ReLIGION IS AN (a notorious) opium of the people...tizama. mtu wa kiwango cha usomi wa Mzee Mohammed Said, potelea mbali hata kama usomi wenyewe ni ule wa juu ya nadharia juu ya uwepo wa kitu kiitwacho mungu, sadeeq, rits na wengineo....usomi wao wooooooooooooooooooooooooooote makhali ulipoishia ni hapa kuja kuchochoe chuki, fitna na magomvi kati ya wana wa afrika ili siye watukuze, wajukuze na wanawe mzee huyu Mohammed tuyainue majambia yetu huko yalikolala tuyatumie majambia hayo kuchinja tumbo za mama zetu ambao ni wakeze huyo mzee mOHAMED, tena tufanye hivyo KWA JINA LA mUNGU MWEMA MUNGU WA UPENDO. Hii ndiyo elimu/ilmu aitafutayo mwafrika, haimsaidii kuchambua na kutakari juu ya changamoto za ulimwengu huu kabla hajauacha siku chache zijazo, bali kukenua meno, kufurahia na kujiona mshindi maadamu tu ameitwa na wazungu(soma wakoloni) oxford university kuzungumza chuki na fitna dhidi ya waafrika wenzake, tena watanzania wenzake. muulize ametumiaje hiyo ilmu yake kubadilsha kizazi chake duni kutoka uduni kwenda ubora? jibu hana...ni mavyeti tu atakuchomolea kutoka kabatini lakini mchango kwa jamii ziro. utaskia mimi ni profesa bana, mimi nina masterz bana, mimi nina degree bana, muulize umeitumiaje hiyo degree kuiballi dunia for the better? utakuta hamna kitu sana sana wizi na ufisadi na uchochezi ili ndugu tuuane.

ningekuwa nimekuwa brainwashed kama huyu mzee Mohammed Said, kias cha kuaminishwa kuna kitu kinaitwa mungu, basi ningesema "Mungu amlaani sana huyu mzee". lakini kwa kuwa sijawa brainwashed basi nasema "ulaaniwe sana mzee Mohammed Said( na wenzako woooooooote wenye ubazaz kama wako, no matter of what religion) na chochote kile kiwezacho kukulaani.

halafu watu mnashangaa kwa nini wazungu wanatutupia maganda ya ndizi tule kama manyani kwa sababu hiyo ndo hasa stahiki yetu!! wenzetu wameshatua mars, sasa wanalitafuta jua, sisi tumekalia ----- wa uchochezi, kugombana kati yetu, kufitiniana, kuchukiana na hata kuuana kwa sababu ya tofauti ya fikra za kikoloni tulizopandikiziwa na mkoloni ambaye ni mkolon huyo huyo ambaye, baada ya mwezini, sasa keshatua mars akitafuta uwezekano wa kwenda kuwekeza huko ikiwa ni pamoja na kupeleka tena hizi hizi fikra za ki-atheist. sisi tumebaki tunachinjana tukigombea kiwanja cha chang'ombe alichogawa nyerere (wote someni baba wa Taifa la Tanzania, Mwana wa Afrika, Mwanamapinduzi, mwanazouni, kisima cha fikra sahihi na endelevu na Nabii wa Karne ya Ishirini, Mzee Muheshimiwa sana Julius Kambarage Nyeere-RIP Mzee Wetu) miaka ya sitini...

uuuuuuuuuuuuwi, apaa mmawomi, miafirika kweli ndivyo tulivyo chambeche nguGu yangu mmoja humo JF.
 
Back
Top Bottom