ReLIGION IS AN (a notorious) opium of the people...tizama. mtu wa kiwango cha usomi wa Mzee Mohammed Said, potelea mbali hata kama usomi wenyewe ni ule wa juu ya nadharia juu ya uwepo wa kitu kiitwacho mungu, sadeeq, rits na wengineo....usomi wao wooooooooooooooooooooooooooote makhali ulipoishia ni hapa kuja kuchochoe chuki, fitna na magomvi kati ya wana wa afrika ili siye watukuze, wajukuze na wanawe mzee huyu Mohammed tuyainue majambia yetu huko yalikolala tuyatumie majambia hayo kuchinja tumbo za mama zetu ambao ni wakeze huyo mzee mOHAMED, tena tufanye hivyo KWA JINA LA mUNGU MWEMA MUNGU WA UPENDO. Hii ndiyo elimu/ilmu aitafutayo mwafrika, haimsaidii kuchambua na kutakari juu ya changamoto za ulimwengu huu kabla hajauacha siku chache zijazo, bali kukenua meno, kufurahia na kujiona mshindi maadamu tu ameitwa na wazungu(soma wakoloni) oxford university kuzungumza chuki na fitna dhidi ya waafrika wenzake, tena watanzania wenzake. muulize ametumiaje hiyo ilmu yake kubadilsha kizazi chake duni kutoka uduni kwenda ubora? jibu hana...ni mavyeti tu atakuchomolea kutoka kabatini lakini mchango kwa jamii ziro. utaskia mimi ni profesa bana, mimi nina masterz bana, mimi nina degree bana, muulize umeitumiaje hiyo degree kuiballi dunia for the better? utakuta hamna kitu sana sana wizi na ufisadi na uchochezi ili ndugu tuuane.
ningekuwa nimekuwa brainwashed kama huyu mzee Mohammed Said, kias cha kuaminishwa kuna kitu kinaitwa mungu, basi ningesema "Mungu amlaani sana huyu mzee". lakini kwa kuwa sijawa brainwashed basi nasema "ulaaniwe sana mzee Mohammed Said( na wenzako woooooooote wenye ubazaz kama wako, no matter of what religion) na chochote kile kiwezacho kukulaani.
halafu watu mnashangaa kwa nini wazungu wanatutupia maganda ya ndizi tule kama manyani kwa sababu hiyo ndo hasa stahiki yetu!! wenzetu wameshatua mars, sasa wanalitafuta jua, sisi tumekalia ----- wa uchochezi, kugombana kati yetu, kufitiniana, kuchukiana na hata kuuana kwa sababu ya tofauti ya fikra za kikoloni tulizopandikiziwa na mkoloni ambaye ni mkolon huyo huyo ambaye, baada ya mwezini, sasa keshatua mars akitafuta uwezekano wa kwenda kuwekeza huko ikiwa ni pamoja na kupeleka tena hizi hizi fikra za ki-atheist. sisi tumebaki tunachinjana tukigombea kiwanja cha chang'ombe alichogawa nyerere (wote someni baba wa Taifa la Tanzania, Mwana wa Afrika, Mwanamapinduzi, mwanazouni, kisima cha fikra sahihi na endelevu na Nabii wa Karne ya Ishirini, Mzee Muheshimiwa sana Julius Kambarage Nyeere-RIP Mzee Wetu) miaka ya sitini...
uuuuuuuuuuuuwi, apaa mmawomi, miafirika kweli ndivyo tulivyo chambeche nguGu yangu mmoja humo JF.