Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Wewe unanirudisha nyuma sana, kuwa composed maana yake nini? Kuna kitu gani ambacho hakieleweki?

Waislamu kama wanadamu wa kawaida wana mapungufu yao na ni jukumu lako wewe na mimi kuondoa mapungufu hayo kuanzia ngazi ya familia zetu. Issue ya msingi ni MoU ambayo vipengele vyake vinaonesha dhulma ya wazi kwa raia wasio kuwa na dini na wenye dini nyingine zaidi ya ukristo.

Serikali ni mlezi wa raia wote na penye kosa ni lazima lisemwe. Kulalamika si sifa ya waislamu lakini kuona dhulma na kuinyamazia si katika sifa za uslamu pia.
serikali haiwezi kufuta MOU,wakifuta wakristo watadai hospitali zao na shule zao..serikali wanahitaji zaidi MOU kuliko wakristo,.get that to your head
 
hao wote wana-fall kwenye ukristo,mkuu you talking like you have seen a ghost
Acha uongo wewe mbona wanaosali bikira maria hawaruhusiwi kusali na wenzao wakatoliki wakati wote ni dhehebu moja.Au unataka kuniambia mafundisho ya kibwetele nao ni ukristo?
 
Mudi follower wana akili hawana porojo kama wewe. Hivo hiyo ni aibu kubwa kuliko kiongozi kama DR Slaa kuthubutu kuja kutetea ufisadi huu wa MoU?

Ufisadi wa MoU uko hapa ambapo DR Slaa nasikitika hakuweza kutuelezea kwa undani:

The government shall provide vacancies in its Teachers training colleges for training qualified persons as teachers earmarked for church owned schools. Article xi

The government shall endeavour to include financial assistance for church run social services in its bilateral negotiations particularly with the Federal Government of Germany. Consideration shall be made during its bilateral negotiations with other donors. Article xiii.

Tatizo lako hapa ni lugha iliyotumika kwasababu sio tu ni ya kiengereza bali ni ya kisheria ambayo kama wewe si mwanasheria na ukijifanya unaelewa basi utakuwa mbishi tu maana nijuavyo mimi wanasheria hufundushwa tafsiri ya sheria.


Usitake kutupiga changa la macho kwa kizungu chako cha sheria! Kwani DR W. Slaa alisoma sheria wapi mbona ametoa ufafanuzi na ukampigia like? Kwanini usingeanza kumwambia yeye aache kutoa ufafanuzi wa jambo ambalo hana taaluma nalo? Hayo maneno kwenye hivyo vipengele viwili yako wazi hata mwanasheria atafafanua hivyo hivyo.
 
Acha uongo wewe mbona wanaosali bikira maria hawaruhusiwi kusali na wenzao wakatoliki wakati wote ni dhehebu moja.Au unataka kuniambia mafundisho ya kibwetele nao ni ukristo?
tunaongelea mou au aina za madhehebu?lini uliwasikia hao wanalalamikia mou?
 
serikali haiwezi kufuta MOU,wakifuta wakristo watadai hospitali zao na shule zao..serikali wanahitaji zaidi MOU kuliko wakristo,.get that to your head
Na je serikali ikianza kudai misamaha ya kodi zao wana cha kulipa?

 
serikali haiwezi kufuta MOU,wakifuta wakristo watadai hospitali zao na shule zao..serikali wanahitaji zaidi MOU kuliko wakristo,.get that to your head


Msitupeleke huku hatukutaki:

images
 
Na je serikali ikianza kudai misamaha ya kodi zao wana cha kulipa?


na huduma waliyotoa kwa wananchi serikali watailipaje?wakiwashitaki kwenye mahakama za kimataifa kwa kupora mali zao serikali watalipa damages?misamaha ya kodi hata bakwata na ngo wanapata,watumishi wa umma wanapata misamaha ya kodi waki-import magari..etc etc etc
 
tunaongelea mou au aina za madhehebu?lini uliwasikia hao wanalalamikia mou?
Kumbuka hizo shule na majengo ambayo wakristo wanaita ni mali zao ni zile zilizojengwa na wakoloni kwa kutumia rasilimali za nchi ya watanganyika.Na tukubaliana kuwa kama wanavyotaka kurithi mali hizo warithi pia na athari zilitokana ukoloni .
 
Si JK alituambia kuwa serikali ilitoa mabilioni kwa Kanisa, mbona hamkukanusha wakati ule? au tuna kosa gani kulihoji hili?!

Hiyo serikali ya Ulaya inayotoa hela za kodi za wananchi wake (ambao wamelikataa Kanisa na kulitenganisha na Serikali)na kuyapa Makanisa ya Tanzania inabidi utaratibu ufanyike ili tupate kauli yao nao wanasemaje kihusu hili.

*Wabunge wa chama tawala na upinzani hawaibui hoja za ufisadi mkubwa namna hii bungeni kutokana na kufungamana kwao na sera za vyama vyao hivyo huu ni wakati muafaka kuruhusu wagombea binafsi.
Mnatapatapa sana. Kama Kikwete alisema Kanisa linapokea mabilioni ni jukumu lenu kumhoji yeye mwenyewe binafsi atoe maelezo zaidi.
Hapo kwenye red unaelewa unachokizungumza? Wengine tumeishi huko na tunajua kinachoendelea. Ujerumani kuna kodi inaitwa Kirchensteur(Kodi ya Kanisa). Mimi kama mkatoliki nilikuwa nakatwa kodi hii. Sijui watu wa medhehebu mengine. Hii ni kodi ya kuendeshea shughuli za kanisa. Utasemaje wananchi wao wamelikataa kanisa na kulitenganisha na serikali wakati serikali hiyohiyo inakusanya kodi ili kuendesha shughuli za Kanisa? Hii hii kodi ndiyo tunaiona kwenye misaada inayosaidia huduma za jamii zinazotolewa bila ubaguzi wowote.
Mimi naona nyinyi mnapenda kulalama tu. Badilikeni
 
najua umemuuliza dr.slaa lakini nitajibu kwa niaba yake..wakristo hawailazimishi serikali kuendelea na MOU,wanachotaka wapewe shule zao na hospitali zao,serikali haitaki sababu haina uwezo wa kujenga huduma hizo,MOU inawasaidia zaidi serikali kuliko wakristo


Ahali yangu suala langu ni pana sana linahitaji ufikiri na sio kutoa majibu rahisi kama yako.

Jiulize sababu za MoU hiyo za miaka hiyo mpaka leo zipo valid?
Je kwanini Serikali isijenge zake?
Je unajua makanisa haya yanachukua Serikalini kiasi gani kama admin fee kwa kukodisha majengo?

Kumbuka kuwa wanasamehewa misamaha ya kodi mbalimbali na vile vile Serikali kuweka wataalamu na wafanyakazi wake kuendesha hizo facilities.

Think before answer
 
All what i can see,kuna vitu vimejificha sana katika hilo,ila kiukweli we as muslims we are not stupidy to the extent of failing to realize whats going on until now,tunajua sana, MARA NYINGI USIRI WA MAAMUZ FLANI MAZITO KWENYE JAMII YA IMAN MCHANGANYIKO KAMA HII UNALETA TAHARUKI SANA HASA KUNAPOTOKEA DUKU DUKU ZA KUTORIDHIKA KWA JAMII MOJAWAPO, MAY BE NI UKWELI WA KWAMBA SERIKALI INAPOTOSHA AU LA,ILA HOJA KUU YA WAISLAM SIYO KUICHUKIA MOU HIYO,LA HASHA,USIRI WA NINI KATIKA MAAMUZ NYETI KAMA HAYO KWA JAMII YOTE KWA UJUMLA?PIA KWANINI ILIPOKUJA HOJA YA OIC WATU WAKAANGALUWA KWA JICHO LA TAHADHARI TAKITKA OMBI LAO HILO!?TUSIMEZE MEZE MANENO..

2-1.jpg







According to its charter, the OIC aims to preserve Islamic social and economic values; promote solidarity amongst member states; increase cooperation in social, economic, cultural, scientific, and political areas; uphold international peace and security; and advance education, particularly in the fields of science and technology.[SUP][2][/SUP]
The flag of the OIC (shown above) has an overall green background (symbolic of Islam). In the centre, there is an upward-facing red crescent enveloped in a white disc. On the disc the words "Allahu Akbar" (Arabic for "God is Great") are written in Arabic calligraphy.


tofauti naona kwenye madhumuni: MUO inadhumuni la kusaidia watanzania("Tanzania People") wakati OIC inadhumuni la kudumisha Uislamu
 
Kama iliwachukua zaidi ya miaka kumi wamarekani kumkamata mtu mmoja, itachukua miaka mingapi kwa Tanzania?

Vita visikie na kuviona kwenye TV tu usiombe vipiganiwe nchini kwako.

Yaani mtuletee vita kwa sababu mmejaa wivu wa kike? Badilikeni jamani. Kikwete aliwaambia fursa ipo ni kuichangamkia tu. Kinachowashinda ni nini?
 
na huduma waliyotoa kwa wananchi serikali watailipaje?wakiwashitaki kwenye mahakama za kimataifa kwa kupora mali zao serikali watalipa damages?misamaha ya kodi hata bakwata na ngo wanapata,watumishi wa umma wanapata misamaha ya kodi waki-import magari..etc etc etc
Mali zipi wewe mkoloni mweusi? ebu tuonyeshe shule iliyojengwa kwa nguvu za wakristo serikali ikapora.
 
Ahali yangu suala langu ni pana sana linahitaji ufikiri na sio kutoa majibu rahisi kama yako.

Jiulize sababu za MoU hiyo za miaka hiyo mpaka leo zipo valid?
Je kwanini Serikali isijenge zake?
Je unajua makanisa haya yanachukua Serikalini kiasi gani kama admin fee kwa kukodisha majengo?

Kumbuka kuwa wanasamehewa misamaha ya kodi mbalimbali na vile vile Serikali kuweka wataalamu na wafanyakazi wake kuendesha hizo facilities.

Think before answer

Mkuu hiyo misamaha ya kodi kwa mashirika na taasisi za kidini ipo kila nchi na serikali za nchi hizo hazitaifishi mali za mashirika/taasisi hizo. That argument is irrelevant.
 
Ahali yangu suala langu ni pana sana linahitaji ufikiri na sio kutoa majibu rahisi kama yako.

Jiulize sababu za MoU hiyo za miaka hiyo mpaka leo zipo valid?
Je kwanini Serikali isijenge zake?
Je unajua makanisa haya yanachukua Serikalini kiasi gani kama admin fee kwa kukodisha majengo?


Kumbuka kuwa wanasamehewa misamaha ya kodi mbalimbali na vile vile Serikali kuweka wataalamu na wafanyakazi wake kuendesha hizo facilities.

Think before answer

huoni hapo kwenye bold and red hilo swali kaiulize serikali ya ccm ya tanzania?misamaha ya kodi hata bakwata wanapata..
 
Kumbuka hizo shule na majengo ambayo wakristo wanaita ni mali zao ni zile zilizojengwa na wakoloni kwa kutumia rasilimali za nchi ya watanganyika.Na tukubaliana kuwa kama wanavyotaka kurithi mali hizo warithi pia na athari zilitokana ukoloni .
tofautisha ukoloni(serikali)na wamisionari..usitake kupotosha,lini wakoloni walijenga makanisa?
 
Kama iliwachukua zaidi ya miaka kumi wamarekani kumkamata mtu mmoja, itachukua miaka mingapi kwa Tanzania?

Vita visikie na kuviona kwenye TV tu usiombe vipiganiwe nchini kwako.
nani anataka vita?wewe ndio umeanza na vitisho kwa kunionyesha picha ya magaidi
 
Tatizo la hawa wenzetu wanapenda kulalamika bila kuwa na reasons,embu wajiulize waislam wangapi wanaenda pale pasada, hosp ya kanisa katoliki pele temeke usalama kupata huduma tena bure?
 
Back
Top Bottom