Mmeshikwa pabaya kwa uongo wenu. Hamna cha ufisadi, hamna cha serikali kugharimia shughuli za makanisa. Kajipange upya.Serikali itoe ufafanuzi juu ya hili,maji yameshafika shingoni,wenye kulipa kodi wameshang'amua.Ndio matokea ya kufanya mambo kwa sirisiri,sasa mmeona siri hazarani.Siku zote uwongo hauteteeki.Tutazunguka weeeee but tunabaki palepale huu mkata ni wa kifisadi.
Sideeq,HESHIMA KWAKO!Wakristo wana mkataba na serikali kuwa taasisi zao hazitataifishwa.
Una uhakika gani wewe Muislamu baada ya kukusanya sadaka za wavuja jasho wenzako wa ndani na nje ya nchi na kujenga shule au Hospitali kuwa baadaye hamtaambiwa kuwa ni magaidi na kutaifishwa hayo majengo yenu?...think great!
kutokana na maelezo yako, huoni kuwa kuna utata katika tamko la Maaskofu (hapo nilipoweka red)?Kuna kampeni ya kwaresima kila mwaka: MISEREOR - Lenten Campaign na kuna fedha toka serikalini.
Nisahihishe hapo: Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani, inatoa sehemu ya fedha zake za miradi ya maendeleo nchi zinazoendelea na kulipa shirika hili. Shirika hili la Misereor nalo linatoa misaada hiyo kupitia makanisa.
kiruu!! kaka Mizambwa umemshusha mkuu wa meza, mbuzi katoliki live?! hii kitu wengine huwa tunakifaudu vizur wakt wa mfungo wa ramadhani, mfungo ukishaisha huwa hii kitu inakuwa adimu sana na bei inapanda sana bikozi ovo ze elastisite of demand...
Mbona serikali imenyamaza ili hali kwenye tamko la maaskofu wakitaka serikali itoe ufafanuzi juu ya hili?Ukimya wa serikali juu ya hili inamaanisha wasemacho waislam wako sahihi,kwani mkataba uko wazi.Kila mwenye akili anaelewa,Mmeshikwa pabaya kwa uongo wenu. Hamna cha ufisadi, hamna cha serikali kugharimia shughuli za makanisa. Kajipange upya.
sasa hujaelewa nini? shirika(mashirika) linawezeshwa na vyanzo mbalimbali vya fedha zikiwamo zile kutoka serikalini...lakini ni shirika hili ndilo linasaidia kwenye shughuli za kijamii...point yako ingekuwa na maana kama serikali ya ujerumani ingetoa misaada moja kwa moja kuendesha hii miradi inayosimamiwa na kanisa...ndugu zetu jamani badilikeni, mnapenda sana malumbano yasiyo na tija...kutokana na maelezo yako, huoni kuwa kuna utata katika tamko la Maaskofu (hapo nilipoweka red)?
111. Memorandum of Understanding (M.o.U) ya mwaka 1992, kwa ajili ya huduma za kijamii zitolewazo na Makanisa kwa Watanzania wote, ikiwa ni pamoja na huduma za hospitali, vituo vya afya na zahanati na shule mbalimbali zinazoendeshwa na Makanisa nchini kote.Ni vema ikaeleweka wazi kwamba makubaliano hayo (M.o.U) yalikuwa ni kati ya Makanisa ya Tanzania na Makanisa ya nchini Ujerumani ambapo Serikali ya Tanzania ilihusishwa tu , kwa vile raia wake ndio wangenufaika na misaada hiyo ambayo nchi ya Ujerumani ingeitoa kupitia Makanisa hayo. Kanisa limeendelea kujishughulisha na huduma hizi kwa jamii hata kabla ya uhuru na baada ya uhuru pasipo ubaguzi. Ikibidi ni vema kuondoa hali hii, ya Kanisa kuendelea kutukanwa, chuki na kukashifiwa viongozi wake kutokana na huduma hizi kwa jamii yote.Jukwaa la Wakristo Tanzania tunaitaka Serikali itoe tamko la ufafanuzi juu ya M.o.U hiyo, maana yake, makusudi yake na manufaa yake kwa Watanzania wote.
Mjumbe aliyeandika mada yenye "MAJIBU KWA DR SLAA" ingefaa atueleze yafuatyo:
a) Amebainisha utafiti wake unaoonesha asilimia ngapi ya fedha inatolewa na serikali kwenda kwenye hospitali za kanisa na zile za serikali. Mbona anaongozwa na taasubi (biasness): ni kwa nini hajadadavua hospitali zinazomilikiwa na kanisa zinapata asilimia ngapi? Hapo ametaja Waislamu. Je kuna hospitali yenye jina hilo Waislam? Iko wapi? Nami niende nikatibiwe?
B)Ainishe hizo hospitali zilijengwa kwa hela za kanisa au serikali? Ukisoma kwenye hiyo MOU huoni kwamba wewe ni mzushi na mnafiki - unasema uongo?
C) Hospitali hizo haziajiri madaktari na manesi waislamu?
d) Je hospitali hizo za kanisa haziajiri wafanyakazi wengine ambao ni Waislamu?
e) Kama kweli utafiti wake hauna walakini - ni kwa nini hajatuorodheshea hospitali zinazomilikiwa na msikiti ili tuzijue?
f) Mbona anatafiti ofisi ndogondogo tu na kuainisha kuna Wakristo wangapi katika sekta hiyo ya ukaguzi (elimu). Mbona hafanyi utafiti na kutuorodheshea ngazi za juu za nchi hii zimeshikwa na nani? Kwa nini hajatuambia mkuu wa majeshi, mkuu wa kila kitu (kama kweli wewe ni mtafiti na sio mzushi) kwa nini hubainisha idadi ya waislamu walioshika nyadhifa za juu serikalini bali una hangaika na vitu vidogodogo?
Toa takwimu katika sekta zote za nchi hii utuoneshe asilimia ngapi ya wasilamu na Wakristo wameshika nyadhifa hizo.
NAKUSIKITIKIA SANA KWA KUWA UNAJIITA MTAFITI LAKINI WEWE SI MTAFITI - BALI NI MJENGA FITINA!
pADRI PADRI. SASA NAAMINI KINACHOMPOZA ZITTO AKBWE CHADEMA. KAMA DK SLAA KATUMIKA KUPOTOSHA UMMA KUHUSU MOU NA KANISA. SIAMINI WAISLAM WATAKUWA NA NAFASI GANI WAKIJARIBU KUMPA DK SLAA KURA ZAO. BORA YA CCM WANAUMA NA KUPULIZA KULIKO DK SLAA ANAETAFUNA NA KUKATA
1. Ngoja nianze na hili la CAUSE and EFFECT - walioneza Uislamu walikazania zaidi kueneza dini ya Kiislamu kwa kuwafundisha watu wawe Waislamu na kujenga nyumba za ibada tu.
2. Wamisionari wao walieneza dini yao (Ukristo), kujenga makanisa, shule, hospitali na huduma zingine za jamii.
3. Baada ya sehemu zote mbili kupata wafuasi wazawa kila kundi liliendeleza kile lilichorithishwa.
4. Waislamu wazawa waliendelea kuhubiri dini ya Kiislamu, mafundisho na ujenzi wa nyumbaza ibada.
5. Wakrsto wazawa waliendelea kuhubiri dini, kueneza mafundisho yao, kujenga makanisa, hospitali, shule na kushiriki katika huduma zingine za jamii.
6. Watoto wao pia walirithi approach ya kila kundi hadi leo.
7. Waliojenga shule, hospitali na kushiriki huduma zingine za jamii walijikuta wanasoma kwa idadi kubwa na wanajiriwa sehemu mbalimbali.
8. Ambao hii haikuwa approach yao waliijikuta wanabaki nyuma katika kupata fursa za kusoma na kuajiriwa kama walivyo Wakristo.
9. Mwalimu Nyerere aliona hali hiyo itajenga matabaka katika jamii na hivyo akaamua kutaifisha shule na hospitali za misheni ili watoto wote wasome na hizo shule na hospitali zilizotaifishwa ziliwahudumia pia Waislamu na hata baada ya baadhi kurejeshwa waumini wa dini ya Kiislamu wameendelea kupat huduma sawa katika sehemu hizo.
10. Leo wamemgeuka Nyerere na kumwita mdini na aliyewakandamiza wao.
11. Ni bahati mbaya sana watu kunyea kambi!
sIFA YA MKIRISTO KUBWA KUDHULUMU KWAKE SIO TATIZO. HICHO ANACHODHULUMU KIKIWA KINAFAIDA NA YEYE NA SIO TAIFA HAPO NDIPO ANAPOTUMIA NGUVU KUBWA KUKITETEA.Sifa kubwa ya kuwa Muislam ni lazima uwe unajua kulalamika kila wakati bila kujitazama kwenye kioo!
sIFA YA MKIRISTO KUBWA KUDHULUMU KWAKE SIO TATIZO. HICHO ANACHODHULUMU KIKIWA KINAFAIDA NA YEYE NA SIO TAIFA HAPO NDIPO ANAPOTUMIA NGUVU KUBWA KUKITETEA.
sIFA YA MKIRISTO KUBWA KUDHULUMU KWAKE SIO TATIZO. HICHO ANACHODHULUMU KIKIWA KINAFAIDA NA YEYE NA SIO TAIFA HAPO NDIPO ANAPOTUMIA NGUVU KUBWA KUKITETEA.
blah blah tupu! tuhakikishiwe na sisi kuwa taasisi zetu hazitatifishwa au sisi Waislamu sio raia wa nchi hii?
nafikiri ufunguke zaidi na kuzidi kuliangalia suala hili kwa mapana yake. Jiulize kwanini Serikali imerudisha maskuli na mahospitali tu. Kwanini haijarejesha majumba na mashamba kama yale ya mkonge kwa wamiliki wake wa awali au majumba kwa wenyewe. (Kumbuka Serikali ilitaifisha mpaka majumba na kuyakabidhi kwa MSAJILI WA MAJUMBA ambayo sasa mnaita Shirika la nyumba. Anzia hapo kisha endelea na masuala yangu ya awali.Kwani Bakwata siwalikimbia kwenye ile MOU ya kwanza, najaribu kuhisi sababu za wao kukimbia, aidha, waliona viongozi wenzao wa Kikristo walikua wasomi watupu, karibu wote walikua na tu degree na au wao waliona hawana kitu cha kurudishiwa na wala hawana mpango wa kujenga kitu chochote so hii MOU haina maana kwao cause hawana cha kupoteza, leo si tu kwamba hamtanyang'wa mlichojenga bali pia serikali imeenda mbali zaidi, MAJENGO YALE YA TANESCO si mmeisha pewa na siri kali? Komaeni, acheni kulia lia na kulalamika.