kaka Mpenda.Haki umeeleza vizuri na kitaalamu sana, lakini naomba nikumbushe kitu kimoja ambacho najua hata wewe unakielewa. watu wasifkiri kina sadeeq, kina mzee mohamed Said na wengineo hawaujui ukweli huu bali ni kwamba wanaujua vema sana ila kwa kujua waislamu wengi hawajasoma sasa wanatumia mbinu ya blanketi la dini za kikoloni kuwachochea vijana wa kiafrika, wa kitanzania, kwa kuwalisha uongo, brainwashing, ili vijana wa kitanzania tuwachinje mama zetu na baba zetu, na wakati tunatumbua hayo matumbo ya mama zetu wao watapanda ndege kwenda saudia kula bata. kwa hiyo wanajua ila wameamua tu kutunyea uchafu wao kwa makusudi yao maalumu. ndo maana wengine humu tumeamua kuwa hawa hamna haja ya kupoteza mda kuwapa maelezo ya kitaalamu ila ni kuwangojea tu watunyee. wakitunyea mavi sahani moja sisi tunawanyea debe nzima, daadake..jino kwa jino tu. tumeshawageuzia shavu zote na makofi wametutwanga sana, sasa ni kuwapasukia tu waabudi fikra za kikoloni hawa...no cavity, enough is enough!