SPANERBOY UDZUNGWA
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 622
- 124
Hakuna kitu kama hicho. kama Serikali itajitoa Bugando hospital hiyo itajiendesha kibishara kama ilivyo Aga Khan au Hindu mandal tu. Kwani karibu 85 kama sio 90% wote ni waajiriwa wa Serikali, karibu 90% ya vifaa vya maabara na watalaamu wake ni mali ya Serikali. Ukijumlisha na kuwatoza kodi ya vifaa na tax nyingine lazima itakuwa na kulipia. Na kama watu wanaweza kwenda kutibiwa AAga khn kwanini wasiweze kwenda Bugando kama watalipia pia?
1. Soma polepole ufafanuzi wa Dr Slaa utaona kuwa unayouliza ameyatolea ufafanuzi ni kwa nini ilikuwa kama ilivyo kuhusu huduma za jamii kati ya serikali na makanisa au taasisi za kidini. Pengine kama Nyerere asingetaifisha shule za misheni na hospitali tusingekuwa na haya tunayoyasikia leo.
2. Hoja mpya uliyoiongelea labda ni kupanua wigo wa hiyo MoU. Lakini kwa harufu ya udini ambayo imeshaingia sidhani kama makanisa yatakubali tena. Sijui. Ila mimi ningependa MoU ufutwe kabisa na makanisa au taasisi zingine za dini zisijihusishe tena na huduma za jumla za jamii bali iwe serikali yenyewe na kama zitafanya hivyo zifanye kwa waumini wao tu. Mfano, kama Bugando na KCMC zitabaki chini ya makanisa ziwahudumie Wakristo tu au waumini wale wataokubaliana na masharti ya taasisi hizo.
3. Vilevile iwe hivyo kwa shule na vyuo. Vyuo kama Tumaini, SAUT na sekondari zilizo chini ya taasisi za dini nk zitoe huduma kwa waumini wao tu na si kwa wote na kama waumini wa dini nyingine wakienda huko walipe ada zaidi ili kila mtu awe kivyake.
4. Nadhani kwa kufanya hivi tunaweza kupunguza manung'uniko haya maana inakera hasa kwa watoa huduma kuona kwamba pamoja na jitihada zote wanazozifanya bado kuna kundi fulani la watu wanaona wanabaguliwa na huduma hizo na haziwanufaishi kwa lolote.
Mkuu tunajua issue ni dini ndiyo maaana nilisema huko nyuma kwamba viongozi wao wanajua ukweli halisi ila wanawadanganya wafuasi wao kwa sababu wana agenda fulani.mKUU, sina tatizo na hilo kaka, tatizo ni kuwa hamtakaa muache kuchukiana na hata kuuana kama hamtajibu hiyo concern hapo kwenye red. hii concern ya oooh MoU oooh ivunjwe ni scapegoat tu. wenzako wanachohoji hasa si MoU bali ni hicho hapo kwenye red. hivi kama ingekuwa tatizo ni MoU, haya MAELEZO YOOOOOOOOOOOTE TENA YA KITAALAMU mliyotoa huku bado tu hayajajibu hizo cocerns zao? mbona kila mkifafanua na kila ufafanuzi wenu unavyozidi kuwa correct ndivyo nao wanavozidi ku-grow militancy?! hapa kaka MoU SIYO ishu, ishu hapa ni DINI, ishu ni kuwa ni NI MUNGU yupi wa ukwel, ndo ishu hiyo, wala usiJIKOMAZE misuli bure kufafanua MoU. wee hawa huwajui vizuri wewe!
qwi qwi qwi qwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, teh teh teh, qwi qwi qwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, yheuuuuwi! ukolon wa dini ni mbaya sana, afadhali hata ukoloni wa kiuchumi. eti mtu anakataa kwenda kusoma shule flan kisa eti kuna mti wenye umbo la alama ya jumlisha(+) umewekwa hapo kwenye hiyo shule!!!! jamani waafrika tuna nini vichwani mwetu??!!
Ulishuhudia kwa kuona kwenye TV live?
Au ulikuwa karibu na tukio?
Umesema minara ilibomolewa? kwa ndege au mabomu?
Nilikuwa ng'ambo ya pili ya mkondo wa mwunganiko wa bahari ya Atlantic na mto Hudson unaotenganisha NY State na NJ State.... Jamaa alinishtua kwa kuniambia ndege imegonga mnara mmoja wa World Trade Center, kwa vile tulizoea kutaniana sikumtilia maanani, na mara bosi akaja kuniambia, she is serious, get out and see whats going on, the bulding burning totally, oh my God, full of smoke all over NY city. Niliacha keyboard na kutoka nione just a minute nilishuhudia dege likipita kwa kasi na kuishia kwenye mnara mwingine.
Baada ya minara yote miwili kuanguka,
Unajua pia kuwa mnara wa tatu pia ulianguka siku hiyo hiyo.
Huu hapa Three Towers Fell on 9/11... How Did the Third Tower Fall?! : Free Download & Streaming : Internet Archive
Lakini pia kuna hii thread hapa, kuna mambo/vitu havikubaliani na masimulizi ya tukio hilo. https://www.jamiiforums.com/international-forum/125362-ugaidi-wa-serikali-ya-marekani.html
Katika hili sitaendeleza mjadala, sitaki kuchafua mada husika.
Asante kwa maelezo yako, mkuu
Kwa hiyo tamko la Dr.Slaa haliwahusishi Wakristo wengine hivyo inabidi wajisemee wenyewe ni mashirika gani yanayowasaidia?Nyie wagumu wa kuelewa. Dr. Slaa kataja shirika ya Dhehebu lake, HAKUTAJA ya Warutheri, Waanglikana, n.k wanaotoa misaada ktk madhehebu hayo hapa nchini; kwa nini yasiwe mashirika mengi? Nadhani mna utapiamlo wa kifikra na kiakili ndo maana mna uelewa finyu!
Kwa hiyo tamko la Dr.Slaa haliwahusishi Wakristo wengine hivyo inabidi wajisemee wenyewe ni mashirika gani yanayowasaidia?
Serikali itoe ufafanuzi juu ya hili,maji yameshafika shingoni,wenye kulipa kodi wameshang'amua.Ndio matokea ya kufanya mambo kwa sirisiri,sasa mmeona siri hazarani.Siku zote uwongo hauteteeki.Tutazunguka weeeee but tunabaki palepale huu mkata ni wa kifisadi.
Wakristo wana mkataba na serikali kuwa taasisi zao hazitataifishwa.
Una uhakika gani wewe Muislamu baada ya kukusanya sadaka za wavuja jasho wenzako wa ndani na nje ya nchi na kujenga shule au Hospitali kuwa baadaye hamtaambiwa kuwa ni magaidi na kutaifishwa hayo majengo yenu?...think great!
Kwa hiyo tamko la Dr.Slaa haliwahusishi Wakristo wengine hivyo inabidi wajisemee wenyewe ni mashirika gani yanayowasaidia?
Na wewe hata sijui umesomea kitu gani cha kujitapa Mr know it all?
Napenda kuwapongeza wanaharakati wa kiislam kwa kuibua madudu (njama) za serikali na kanisa ya kuwadhulumu na kuwabagua waliapa kodi wa kiislam wa taifa hili. Kwani wanaibua hoja zenye vielelezo ambazo zililifanywa kuwa siri. Hongereni na endeleeni kufanya upekuzi na bila shaka mtagundua mengine mengi.
nafikiri ufunguke zaidi na kuzidi kuliangalia suala hili kwa mapana yake. Jiulize kwanini Serikali imerudisha maskuli na mahospitali tu. Kwanini haijarejesha majumba na mashamba kama yale ya mkonge kwa wamiliki wake wa awali au majumba kwa wenyewe. (Kumbuka Serikali ilitaifisha mpaka majumba na kuyakabidhi kwa MSAJILI WA MAJUMBA ambayo sasa mnaita Shirika la nyumba. Anzia hapo kisha endelea na masuala yangu ya awali.
Tatizo kuna watu ndio wanaanza kupata elimu ya mambo ya ulimwengu hivi karibuni,,,wanasahau hapo awali wali delay kwenye kupigania udini wanazinduka wanaanza lawama,,someni kwa bidihi ili mpate kazi muwe wengi sio kila kukicha takwimu zinasemaje ,,shule wavivu,