Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
kwa hali yeyote wewe ama huelewi kirahisi, au mpotoshaji wa makusudi, au mchonganishi alipwaye, au mchumia tumbo asiyeshiba.
Dr. Slaa kama Mtanzania mwenye kufahamu jambo hili kiundani na ambaye anaipenda nchi yake na mzalendo kwa Taifa lake hawezi kuacha jambo la hatari katika nchi lijisogeze kwenye fikra za watu huku yeye akikaa kimya tu kama walivyo majizi wengine, ameeleza yote anayoyajuwa na kuondoa fikra mgando ndani ya vichwa vya watu, na pia ameondoa kiwingu kilichokuwa kinaletwa na watu ama wasiotakia mema taifa letu au wenye malengo yao ya kutawala kwa kuwagawa watanzania.
Hata hivyo tupeni majibu juu ya nssf na orci mbona kuna minong'ono kuwa kama wewe si Ally, au Juma, au Amina , au Jasmine , au Khadija hupati kazi na kama uliwahi kupata huko nyuma basi hupandi cheo?
Labda yupo Dr. Slaa mwingine kwa upande huu tujalieni kujuwa hilo nalo.
Bismilah toufoq.
Weka data we gasho nini