Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

This is a real problem!

Kisa ni MoU au hawa wenzetu wana lao jambo? Nadhani ishu hapa ni Mahakama ya kadhi tu itambuliwe na katiba na ifadhaliwe/iendeshwe na serikali kwa maana ya kodi zetu wote!.

Kama ni kesi hii, haiwezi kuwa hata na chembe ndogo tu ya usawa kati ya makubaliano (MoU ) ya usimamizi na uendeshaji wa miundombinu ya elimu (mashule) na afya (hospitali, vituo vya afya na zahanati) kwa ajili ya kutolea huduma za kijamii kwa kila mtanzania kati ya serikali na madhehebu ya kikristo.

Narudia tena hii ni tofauti sana kwa sababu mahakama ya kadhi ni 100% jambo la kidini moja kwa moja na ni ngumu sana kulifanya kuwa la kikatiba au kisheria na kusimamiwa na serikali.

Laiti kama wenzetu nao wana miundombinu kama hii waliyonayo/waliyokuwa nayo wakristo, waikabidhi serikali ishirikiane nao katika kuisimamia na kuindesha kwa mtindo huuhuu kwa kuingia nayo MoU.

Na nashauri kwamba, kama waislamu wanaona kwamba serikali kwa sababu ya MoU hiyo imejiingiza kuisaidia dini ya kikristo, badala yake wafanye kitu kimoja;

Kwamba, waanzishe movement ya kuitaka serikali iwarejeshee wakristo na watu wengine mali zao zote ilizotaifisha kupitia Azimio la Arusha ili ngoma iwe droo.

Nadhani kwa hili nitawaona wana busara na kuwa wamechukua right move kuliko kulalamika lalamika huku kusiko na hoja na kuanza kuiitaka serikali kujiingiza kwenye dini yao kwa mlango wa nyuma JAPO NAAMINI KABISA HILI HALIWEZEKANI labda mpaka ACT TANZANIA/WAZALENDO ya ZZK itakapochukua dola ya nchi hii japo nao wana itikadi ileile ya Nyerere ya UJAMAA na KUJITEGEMEA kwa kulifufua AZIMIO LA ARUSHA!!
 
Kumbe MoU yenyewe inayolalamikiwa ndio hii isiyokuwa na issue! Yaani mkataba kati ya Serikali na madhehebu za dini kwamba Serikali haitotaifisha tena mali za madhehebu ndio watu wanapiga mayowe! Kwani mlitakaje? Serikali iendelee kutaifaisha mali za wengine ndio muone raha? Acheni ujinga bana.
 
This is a real problem!

Kisa ni MoU au hawa wenzetu wana lao jambo? Nadhani ishu hapa ni Mahakama ya kadhi tu itambuliwe na katiba na ifadhaliwe/iendeshwe na serikali kwa maana ya kodi zetu wote!.

Kama ni kesi hii, haiwezi kuwa hata na chembe ndogo tu ya usawa kati ya makubaliano (MoU ) ya usimamizi na uendeshaji wa miundombinu ya elimu (mashule) na afya (hospitali, vituo vya afya na zahanati) kwa ajili ya kutolea huduma za kijamii kwa kila mtanzania kati ya serikali na madhehebu ya kikristo.

Narudia tena hii ni tofauti sana kwa sababu mahakama ya kadhi ni 100% jambo la kidini moja kwa moja na ni ngumu sana kulifanya kuwa la kikatiba au kisheria na kusimamiwa na serikali.

Laiti kama wenzetu nao wana miundombinu kama hii waliyonayo/waliyokuwa nayo wakristo, waikabidhi serikali ishirikiane nao katika kuisimamia na kuindesha kwa mtindo huuhuu kwa kuingia nayo MoU.

Na nashauri kwamba, kama waislamu wanaona kwamba serikali kwa sababu ya MoU hiyo imejiingiza kuisaidia dini ya kikristo, badala yake wafanye kitu kimoja;

Kwamba, waanzishe movement ya kuitaka serikali iwarejeshee wakristo na watu wengine mali zao zote ilizotaifisha kupitia Azimio la Arusha ili ngoma iwe droo.

Nadhani kwa hili nitawaona wana busara na kuwa wamechukua right move kuliko kulalamika lalamika huku kusiko na hoja na kuanza kuiitaka serikali kujiingiza kwenye dini yao kwa mlango wa nyuma JAPO NAAMINI KABISA HILI HALIWEZEKANI labda mpaka ACT TANZANIA/WAZALENDO ya ZZK itakapochukua dola ya nchi hii japo nao wana itikadi ileile ya Nyerere ya UJAMAA na KUJITEGEMEA kwa kulifufua AZIMIO LA ARUSHA!!
Hawa jamaa zetu wamepewa chuo cha Tanesco pale morogoro bure na serikali hawajalipa hata senti hatupigi kelele, mimi ningewaelewa kama wangesema vyuo, shule na hospitali zote za makanisa zilizotaifishwa na serikali zirudishwe kwa wenyewe na baada ya hapo wakipiga kelele nitawaelewa
 
Huu mjadala ni mjadala fungwa lakini haukuwahi kuwa na hitimisho.
Je ni wakati muafaka kwa bunge la JMT kupewa fursa kujadili?

Uongozi wa kanisa katoliki kama kweli umeomba turejee mjadala wa katiba mpya je na sisi wananchi tuna haki ya kuomba mjadala na mchakato wa MoU uendelee kujadiliwa?

N.B
Nimetokea kwenye ukoo wenye familia ambazo hazina dini,familia inazoabudu ukatoliki na familia zenye kuabudu uislamu.na ninaamini wengi wa watanzania wako hivyo!!

MoU kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Umefika wakati sasa mabadiliko yanahitajika kwa lazima, wazungu wanaita (point of no return)

Wachache watabisha ila hali iliyopo nchini ni tete na ndio maana kanisa pendwa limekuwa la kwanza ku react na kuthubutu kuongea haja na matakwa ya wananchi.
mabadiliko ya kweli yenye kugusa kila jambo la nchi ni muhimu ...wala sio mabadiliko nusunusu kwa maslahi ya mafisadi wachache.
 
why poor?
Inaonyesha mlivyokuwa opportunists! Mko tayari kudidimiza haki za kimsingi za wananchi kwa njia yoyote ile! Na nikiangalia kwa undani, mnatetea ugali na wala hamjali lolote kuhusu maslahi ya Taifa letu na watu wake! Hilo litawacost sana tu! Msicheze na kitu kinaitwa Taifa.

Hii topic, inaonyesha jinsi mnatumia mbinu kama zile za wakoloni na makaburu ili tu mtawale! Hamjali costs zake!”

Issue hii ilipoletwa na waislam, pengine ulipingana nao ukisema ni wadini nk! Sasa unaileta, na pengine uko radhi waislam na wakristo watibuane tu! Almradi ccm inapona? Fcvk
 
Inaonyesha mlivyokuwa opportunists! Mko tayari kudidimiza haki za kimsingi za wananchi kwa njia yoyote ile! Na nikiangalia kwa undani, mnatetea ugali na wala hamjali lolote kuhusu maslahi ya Taifa letu na watu wake! Hilo litawacost sana tu! Msicheze na kitu kinaitwa Taifa.

Hii topic, inaonyesha jinsi mnatumia mbinu kama zile za wakoloni na makaburu ili tu mtawale! Hamjali costs zake!”

Issue hii ilipoletwa na waislam, pengine ulipingana nao ukisema ni wakabila nk! Sasa unaileta, na pengine uko radhi waislam na wakristo watibuane tu! Almradi ccm inapona? Fcvk
Acha kupanick broo...kwani kanisa linapotoa tamko linataka kuachieve nini?kumbuka Tanzania ni nchi isiyo na dini kwa maana ya Serikali japo watanzania wana dini zao mbalimbali.
Kumbuka Serikali inasimama kwa ajili ya wananchi wote bila kuangalia imani zao.
Ifike mahali Kanisa au msikiti ubaki na kazi yake ya kutoa huduma za kiimani na sio kutoa misimamo ya kisiasa.

MoU kati ya Serikali na Kanisa ni jambo zuri ila kama kuna wananchi wanaolilalamikia ni vyema likajadiliwa kwa kina kama vile maaskofu wanavyohitaji mjadala wa katiba.
NO DOUBLE STANDARDS!!

SOMO:Unapoomba chai ujue itakuja na viungo vyake kama tangawizi,sukari,karafuu na vitafunwa...kama maaskofu wameomba marejeo ya mchakato wa katiba basi wajue wapo waumini wao kama kina jingalao watahitaji marejeo ya MoU....This should be a clear statement to them.
 
Kwani Kanisa lina shida. Nyerere aliwahi kutaifisha shule za Kanisa zikamshinda akazirudisha. Maaskofu wanapoonya kwa umoja wao ni vizuri kuwaheshimu badala ya kutafuta vikwazo. Kwa umoja wao wakisema ujue si wao wamesema .....mjadala wa MoU labda uwe in favour of the church otherwise serikali ndio itayoumia.
 
Inaonyesha mlivyokuwa opportunists! Mko tayari kudidimiza haki za kimsingi za wananchi kwa njia yoyote ile! Na nikiangalia kwa undani, mnatetea ugali na wala hamjali lolote kuhusu maslahi ya Taifa letu na watu wake! Hilo litawacost sana tu! Msicheze na kitu kinaitwa Taifa.

Hii topic, inaonyesha jinsi mnatumia mbinu kama zile za wakoloni na makaburu ili tu mtawale! Hamjali costs zake!”

Issue hii ilipoletwa na waislam, pengine ulipingana nao ukisema ni wakabila nk! Sasa unaileta, na pengine uko radhi waislam na wakristo watibuane tu! Almradi ccm inapona? Fcvk
mada imejibiwa hapa na mjadala umefungwa
 
Back
Top Bottom