Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Huu mjadala ni mjadala fungwa lakini haukuwahi kuwa na hitimisho.
Je ni wakati muafaka kwa bunge la JMT kupewa fursa kujadili?

Uongozi wa kanisa katoliki kama kweli umeomba turejee mjadala wa katiba mpya je na sisi wananchi tuna haki ya kuomba mjadala na mchakato wa MoU uendelee kujadiliwa?

N.B
Nimetokea kwenye ukoo wenye familia ambazo hazina dini,familia inazoabudu ukatoliki na familia zenye kuabudu uislamu.na ninaamini wengi wa watanzania wako hivyo!!

MoU kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Kumbuka Maskofu walizungumzia katika ambayo ndiyo inaipa Nchi mongozo na dira.

Hivyo vingine vinakuja baadaye na baada katiba kupatikana
 
Nimesoma mkuu kumbe wewe ni mtu wa jadi, basi ndio hivyo pale bungeni Bakwata tu hawaiwezi achilia mbali hiyo Vatican!
pale bungeni kuna misimamo mingi sana!
bakwata...vatican...appostles..wapagani n.k
Kwa hiyo mafisadi waelewe kuwa hawana pa kusomamia zaidi ya kuacha ufisadi!!
 
Kumbuka Maskofu walizungumzia katika ambayo ndiyo inaipa Nchi mongozo na dira.

Hivyo vingine vinakuja baadaye na baada katiba kupatikana
Kumbuka kuwa ndani ya baraza la maaskofu wapo maaskofu waliotuhumiwa kwa ufisadi pia!!
kama mwananchi mzalendo ninalifahamu hilo!!
 
Inasikitisha kuona watu wachache mliojaa chuki za kidini kujaribu kuliweka suala la MoU kisiasa. Mnataka kutengeneza taswira kana kwamba kanisa linapata mgao kwa kupitia hiyo MoU. Niwaulize kuna kati yenu aliyeisoma au kuiona? Kwa taarifa yenu, "MoU" au makubaliano yaliyopo ni kwa serikali kulipa mishahara ya madaktari, wafamasia, wauguzi, runners na watumishi wengine wa sekta ya afya katika hospitali hizo husika. Hii inatokana na ukweli usiopingika kuwa taasisi za kidini hasa za kikristo zina wigo mpana sana wa huduma wa afya na elimu hapa nchini. Hawa watumishi wanaolipwa mishahara na serikali hizi si wakristo peke yao. Kuna waislamu, wahindu na wasio na dini rasmi. Serikali haina sera ya ubaguzi. Nenda hospitali za kanisa na utakutana na madaktari na manesi waislamu wa kutosha tu. Zama za kuichafua serikali na dini ya kikristo kwa hoja nyepesi na za kipuuzi za MoU zimepitwa. Fanyeni kazi!
 
Inasikitisha kuona watu wachache mliojaa chuki za kidini kujaribu kuliweka suala la MoU kisiasa. Mnataka kutengeneza taswira kana kwamba kanisa linapata mgao kwa kupitia hiyo MoU. Niwaulize kuna kati yenu aliyeisoma au kuiona? Kwa taarifa yenu, "MoU" au makubaliano yaliyopo ni kwa serikali kulipa mishahara ya madaktari, wafamasia, wauguzi, runners na watumishi wengine wa sekta ya afya katika hospitali hizo husika. Hii inatokana na ukweli usiopingika kuwa taasisi za kidini hasa za kikristo zina wigo mpana sana wa huduma wa afya na elimu hapa nchini. Hawa watumishi wanaolipwa mishahara na serikali hizi si wakristo peke yao. Kuna waislamu, wahindu na wasio na dini rasmi. Serikali haina sera ya ubaguzi. Nenda hospitali za kanisa na utakutana na madaktari na manesi waislamu wa kutosha tu. Zama za kuichafua serikali na dini ya kikristo kwa hoja nyepesi na za kipuuzi za MoU zimepitwa. Fanyeni kazi!
mkuu!wewe unataka kuuanzisha mjadala wa MoU wakati mimi nataka jamii iridhie tuujadili as a reaction to azimio la maaskofu kutaka turejee kwenye mchakato wa katiba mpya huku Rais akiwa hajaahidi hilo.
 
Ifike mahali hawa maaskofu na mashehe watambue kuwa jukumu lao ni kwenye maswala ya imani tu na sio kuingilia kwa namna yoyote ile mambo ya kisiasa...
Uchafu wanaoufanya unajulikana na wasichukulie ukaaji kimya wa Serikali ndio kama vile wanaogopewa....
Ndugu yangu wameshasema tuelewesha yakuwa hakuna chama ambacho kina miaka mia na kama kanisa linamiaka 2000 ni nani anatakiwa kumwelewesha mwenzake. Kwa hiyo Imani zinaishi ila vyama vinajifunza kuishi
 
Ndugu yangu wameshasema tuelewesha yakuwa hakuna chama ambacho kina miaka mia na kama kanisa linamiaka 2000 ni nani anatakiwa kumwelewesha mwenzake. Kwa hiyo Imani zinaishi ila vyama vinajifunza kuishi
kanisa lilifikiaje miaka 2000?
 
ha ha ha...wachumia tumbo ni wale wanaotoa matamko kila kukicha!
Nchi haiendeshwi tena na MOU yalijifuta yenyewe baada ya serikali kutaifisha Hosp na kuzirejesha tena kwa kushindwa kuziendesha. Nchi inaendeshwa kwa kufuata Katiba. Sidhani kama makanisa yanatishika na hicho ulichoandika wewe!
 
pale bungeni kuna misimamo mingi sana!
bakwata...vatican...appostles..wapagani n.k
Kwa hiyo mafisadi waelewe kuwa hawana pa kusomamia zaidi ya kuacha ufisadi!!
Katoliki inamiliki kwenye kichwa siyo matawi mkuu. Uliwahi kusikia Rais wa Tec au hata Pengo tu anazungumza na Spika?!........si uliwaona hata wajumbe wao kwenye BMK.....kina Mahalu nk.....watu wa kawaida tu!
 
Nchi haiendeshwi tena na MOU yalijifuta yenyewe baada ya serikali kutaifisha Hosp na kuzirejesha tena kwa kushindwa kuziendesha. Nchi inaendeshwa kwa kufuata Katiba. Sidhani kama makanisa yanatishika na hicho ulichoandika wewe!
kwa hiyo kuna uhitaji wa kuifuta hiyo MoU?
 
kanisa lilifikiaje miaka 2000?
Ukiumbwa kubisha utabisha tu kwani kama umesoma historia inakuelewesha kwa hiyo jipe muda wa kusoma.

Mku tabia za kuchosha akili swali fupi ambalo unatakiwa ujiulize ni hili tangu tupate uhuru ni miaka mingapi imepita.

Viongozi wengi wanaotuongoza wengi walisomeshwa hiyo dini unayoiulizia labda ukamuulize Mzee Mkapa ,Kikwete na wengine wengi
 
Huu mjadala ni mjadala fungwa lakini haukuwahi kuwa na hitimisho.
Je ni wakati muafaka kwa bunge la JMT kupewa fursa kujadili?

Uongozi wa kanisa katoliki kama kweli umeomba turejee mjadala wa katiba mpya je na sisi wananchi tuna haki ya kuomba mjadala na mchakato wa MoU uendelee kujadiliwa?

N.B
Nimetokea kwenye ukoo wenye familia ambazo hazina dini,familia inazoabudu ukatoliki na familia zenye kuabudu uislamu.na ninaamini wengi wa watanzania wako hivyo!!

MoU kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Wasisahau pia kujadili MoU kati ya Serikali na Waislam (Aga Khan)
 
Jinsi Magufuli anvyo busu pete ya Pengo na aliyotokea seminari kama rafiki yake mpya Slaa ni habari ya Kufikirika kudhani atathubutu kuligusa kanisa dola
 
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
e230b1f9882518836e64db033fda55e4.jpg
 
That is very right...kwamba kipindi cha nyerere alifanya yale kwa kuwa Serikali ilishindwa kutoa huduma kwa wananchi kwa ajili ya uchanga wake.Sasa hivi kuna afadhali kubwa je kuna umuhimu wa kuendelea na MoU?
By the way haya makanisa na taasisi za dini yaliwahi kuwa sehemu ya uhujumu wa jamii ya kitanzania haswa haswa enzi zile za ukoloni lakini wananchi na serikali kwa ujumla ilisamehe yote na kuamua kuingia kwenye makubaliano ...leo hii tuko kwenye zama mpya kabisa je hakuna haja ya kureview?
Kama kanisa limeamua kuisogelea na kuhandle mambo kisiasa basi hakuna budi turejee hiyo siasa.

Ninajua wewe ni mwepesi wa hoja na una mihemko ya ksiasa. Kwa taarifa yako serekali ndio inafaidika sana na MoU kuliko hata hilo kanisa linavyofaidika. Hiki kitisho ulichosema ni kweli kinaweza kutumika, kwani hata kwa Kakobe tumeona hiyo hali. Lakini kwa haraka haraka hata serekali ikifuata huu utashi wako wajiandae na matokeo yake. Nilichogundua serekali hii inafanya baadhi ya mambo bila kupima matokeo yake, na hili ndio linaitesa serekali hii ya awamu ya tano hadi dakika hii.

Nitakupa mifano michache. Wakati awamu hii imeingia madarakani ilikuwa kama Tanzania kashuka malaika, mbwembwe zilikuwa nyingi, kila siku ikawa taarifa mubashara kuhusu majipu na miradi ya maendeleo. Hata nyie wapiga debe mkawa mnashambulia ile mbaya. Saa hii ili mubashara zinazidi kukata pumzi, tukiwaambia mlete updates za ujenzi wa SGR tunapoteana, tukiwaambia mlete updates za viwanda mnaishia kuleta vihoja. Jaribu kuangalia mnaoitetea hii awamu toka mwezi uliopita ni lini mmeanzisha mada za viwanda, SGR, au mradi wowote mkubwa wa maendeleo. Nyuzi zenu sasa hivi zimegeuka ni hila dhidi ya watu walioamua kutetea demokrasia, vitisho, kejeli na kiburi cha madaraka. Kwa ufupi hamna jipya. Tulitarajia wangalau mngeleta mada hapa jukwaani kuhusu matokeo baada ya sheria mpya za madini
 
Wewe jingalao unajulikana humu kwamba ni mwanasisiemu kindakindaki na chama chenu kinaona kama kinanyweshwa sifongo linapozungumzwa suala la katiba mpya,sasa nyie si ndiyo wenye serikali?mark my words,hakuna siku mtaweza kulitisha Kanisa Katoliki,KKKT au Anglican hapa Tanzania mtaishia kwa hao hao ndondo cup kina Ngwajima na mwenzake Kakobe so ili muwakomoe hao Catholics upelekeni huo muswada bungeni ukajadiliwe na hivi mpo wengi lazima meza mtagonga sana na utasitishwa then tutaona nikinanani watakaoumia zaidi.well,na ukweli mtazidi kuambiwa mpaka vichwa viwakae sawa.Done!
 
Back
Top Bottom