Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Tukumbuke:

MOU si mkataba wa makanisa yote nchini( madhehebu yote ya kikristo) kwani mengine hayana shule na hospitali kama kanisa la kakobe na Lusekelo ( mzee wa upako). Baadhi ya makanisa ambayo mimi nitaita ya kibabaishaji hayajihusishi na huduma kwa jamii kwa sababu muundo wake ni kama makanisa ya mtu binafsi. Misikiti mingi pia ni ya watu binafsi ( miliki binafsi) haiko kama taasisi ni ngumu sana kujiendesha kitaasisi katika mazingira haya. Mtu aliyejenga msikiti kwa nguvu yake binafsi huwezi kumshurutisha ajenge shule na hospitali au kumwingilia katika mipango yake ya awali kuwa penye msikiti lazima pawe na shule na hospitali.

Kama pesa ya MOU ingekuwa inakwenda makanisani badala ya kuhudumia jamii hata baadhi ya makanisa yangepiga kelele lakini wanaangushwa na kigezo kwamba ni lazima uwe na miundombinu ya shule na hospitali.

Rais Kikwete amesema wanaotaka MOU bado nafasi ipo lakini bila miundombinu..... tutabishana hapa mpaka kesho.
 
Tatizo humu JF kila mtu anatumia kigezo cha dini yake kama kete ya ushindi wakati mambo mengine yanahusu misingi na kanuni za uchumi na sayansi. Mambo ya miundombinu huwezi kuyakuta katika Vitabu vya dini havina uchumi wala sayansi.
 
hofu yangu:

kuna hoja kwamba hata kama kanisa litavunja MOU kanisa lirudishe fedha zote serikalini yafutayo ni maswali ya kujiuliza.

1. Je kanisa lidai fidia ya kupata hasara tangu mwalimu Nyerere alipotaifisha shule na mahospitali yake
2. Je, malipo hayo hayatakuwa magumu wakati mashule na hospitali hizo zilikuwa zinapokewa watu wa dini tofauti?
3. Kama malalamiko ya kodi ya wananchi kurudishwa baada ya kutumika katika taasisi za huduma za kanisa, je haitatupeleka mbele kwenye ubaguzi wa juu na kuulizana ni dini ipi inalipa kodi zaidi serikali (hazina)?

MOU ikivunjwa ivunjwe moja kwa moja bila kuibua mambo ambayo yatazidisha mfarakano wa kiimani nchini.

Naamini katika dini ya kuvunja MOU ili kurejesha umoja wa kitaifa.
 
Nchi hii haijawahi kutoa Rais wa kabila langu...... imekaaje hii??? Kuna makabila zaidi ya 120 makabila yaliyopata Marais ni manne tu na yanatakiwa yasitoe Rais mpaka mzunguko uishe. jamani si tumekubaliana zamu bwanaaaaaaaaaaa

Hujasikia wazanzibari wanadai Urais kwa zamu??? hofu yangu kuna makabila hayapo Zanzibar inakuwaje wanataka rais kwa zamu???? kabila langu haliwezi kupata rais kupitia Zanzibar.

kigezo cha kabila kirefu ( makabila 120 x 10) ni miaka 1,200 mpaka kumaliza mzunguko wa kwanza ( Rais mmoja anakaa madarakani miaka 10).

mambo ya zamu ni machungu na sumu ya kujenga umoja wa kitaifa.
 
Kweli bwana Mwita nakubaliana na ww waislam wanatakiwa kujitathimini ni wapi wamekosea. Ila napingana na ww kusema kuwa waislam wanawalaum wakristo hilo si kweli. Waislam wanailam serikali kutokana na upendeleo. Waislam washajitathimini na kupata jibu kwamba mambo yao mengi yanakwamishwa na serikali. Na kwa taarifa yko kama kiwa na MOU waislam ndio wangekua wa kwanza kupata MOU miaka ya themanini pindi taasisi ya kiislamu toka Saudia ilipokuja nchini na kijenga mashule lakini baadae ikafukuzwa na serikali.

Nakama hiyo haitoshi miaka ya hivi karibuni serikali iliwatolea nje waislamu walipotaka kujiunga na OIS ambayo yenyewe ni zaidi ya MOU coz OIS na taasisi zake hazingoji ruzuku toka serikalini bali yenyewe ndio hutoa msaada kwa serikali tena bila masharti, ukibisha hilo fuatilia pesa zinazojenga chuo kiuu cha dodoma zimetoka wapi.

Kwa hiyo ndugu yng MWITA kaa ukijua kuwa waislam wagomvi wao c wakristo bali ni serikali na hilo lilisemwa na mtafiti wa kimarekani aliyeandika kitabu cha religious confrict in east africa. Katika kitabu chake mtafiti huyu alisema. Waislam tanzania hawana ugomvi na wakristo bali hugombana na serikali wakipinga upendeleo wa mgao wa fursa zinazopatikana serikalini kama vile elimu. Na hiyo ndo matokeo ya mauaji ya mwembe chai. Hata wewe ukichunguza mauaji yale waislam hawakupambana na wakristo bali serikali ndo iliwashambulia waislam. HUO NDO UKWELI WENYEWE MWENYE MWACHO AMBIWI TIZAMA.
 
Kweli bwana Mwita nakubaliana na ww waislam wanatakiwa kujitathimini ni wapi wamekosea. Ila napingana na ww kusema kuwa waislam wanawalaum wakristo hilo si kweli. Waislam wanailam serikali kutokana na upendeleo. Waislam washajitathimini na kupata jibu kwamba mambo yao mengi yanakwamishwa na serikali. Na kwa taarifa yko kama kiwa na MOU waislam ndio wangekua wa kwanza kupata MOU miaka ya themanini pindi taasisi ya kiislamu toka Saudia ilipokuja nchini na kijenga mashule lakini baadae ikafukuzwa na serikali.

Nakama hiyo haitoshi miaka ya hivi karibuni serikali iliwatolea nje waislamu walipotaka kujiunga na OIS ambayo yenyewe ni zaidi ya MOU coz OIS na taasisi zake hazingoji ruzuku toka serikalini bali yenyewe ndio hutoa msaada kwa serikali tena bila masharti, ukibisha hilo fuatilia pesa zinazojenga chuo kiuu cha dodoma zimetoka wapi.

Kwa hiyo ndugu yng MWITA kaa ukijua kuwa waislam wagomvi wao c wakristo bali ni serikali na hilo lilisemwa na mtafiti wa kimarekani aliyeandika kitabu cha religious confrict in east africa. Katika kitabu chake mtafiti huyu alisema. Waislam tanzania hawana ugomvi na wakristo bali hugombana na serikali wakipinga upendeleo wa mgao wa fursa zinazopatikana serikalini kama vile elimu. Na hiyo ndo matokeo ya mauaji ya mwembe chai. Hata wewe ukichunguza mauaji yale waislam hawakupambana na wakristo bali serikali ndo iliwashambulia waislam. HUO NDO UKWELI WENYEWE MWENYE MWACHO AMBIWI TIZAMA.

We are not stupid my friend!
 
Hata wewe ukichunguza mauaji yale waislam hawakupambana na wakristo bali serikali ndo iliwashambulia waislam. HUO NDO UKWELI WENYEWE MWENYE MWACHO AMBIWI TIZAMA.

Kalagabao: huu upotoshaji hautawafikisha popote believe me. Chanzo cha mauaji ya Mwembechai ni WAISLAMU, pale walipotoka MSIKITINI na kwenda KUVUNJA MADUKA YA NYAMA YA NGURUWE. Maduka hayo obvoius yalikuwa ni ya WAKIRISTO. Serikali ilikuwa haina duka la Nguruwe Manzese.

Kudai kwamba Serikali iliamuka tu asubuhi na kwenda kuwashambulia Waislamu msikitini mwembachai is a damn lies. Semeni tu UKWELI utawaweka huru. Kama hamna ugomvi na Wakiristo kwanini mnachoma makanisa moto na KUIBA mali zao?!.

Hata Boko Haram huko Nigeria nao wanasema hivyo hivyo kwamba hawana ugomvi na wakiristo wanatimiza sharia za Allah. wakati wanawa target na kuwapiga risasi tena makanisa Wakiristo wakisali mkesha Christimas.
 
Mh Slaa ameeleza mengi, lakini kwa upande wangu sehemu muhimu ni hapa walipofikia katiKA mazungumzo kati ya Serikali, TEC, CCT NA BAKWATA. Mh Slaa anaeleza kama ifuatavyo:

"b) Kuwa na chombo cha mawasiliano na majadiliano kati ya Ikulu na madhehebu ya dini, na kwa kuwa madhehebu ni mengi wakaomba chombo hicho kiundwe na viongozi wakuu wa madhehebu yaliyokuwa yanajulikana kwa mujibu wa Sheria.

Hivyo Bakwata ( Waislamu- sitaki kuingia kwenye mjadala wa kama Bakwata ni chombo kinachowasilisha waislamu au la), Tanzania Episcopal Conference TEC na CCT ( kwa madhehebu zaidi ya 60 yaliyoko chini ya Christian Council of Tanzania) . Baada ya Mashauriano tuliunda chombo hicho kikiwakilishwa na Mwenyekiti na Katibu wa vyomb o nilivyovitaja hapo juu."



Katika kipengele cha 7 Mh Slaa anaendelea kwa kueleza, nanukuu:

"Huduma za kilichokuwa Christian Medical Board (ya TEC na CCT ikavunjwa na kuwekwa chini ya CSSC) na idara za Elimu zilizokuwa chini ya TEC na CCT huduma zake zikaunganishwa na kuwekwa chini ya CSSC. Ndiyo MOU iliyosainiwa na Askofu Stanford Shauri wa Diocese ya Ruvuma, Mwenyekiti/Katibu Mkuu wa CCT wakati huo, na Askofu Josephat Lebulu, wakati huo Askofu wa Jimbo Katoliki la Same, na Mwenyekiti wa TEC. Kwa upande wa Serikali kama sikosei aliweka saini Mhe. Edward Lowassa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (au Waziri sikumbuki)
"

Lakini ukiangalia kwenye kusaini MOU utagundua saini mbili za CHURCHES na MOJA ya serikali. JE ILE YA BAKWATA IKO WAPI? AU ndio waliingizwa mkenge tu?
 
hofu yangu:

kuna hoja kwamba hata kama kanisa litavunja MOU kanisa lirudishe fedha zote serikalini yafutayo ni maswali ya kujiuliza.

1. Je kanisa lidai fidia ya kupata hasara tangu mwalimu Nyerere alipotaifisha shule na mahospitali yake
2. Je, malipo hayo hayatakuwa magumu wakati mashule na hospitali hizo zilikuwa zinapokewa watu wa dini tofauti?
3. Kama malalamiko ya kodi ya wananchi kurudishwa baada ya kutumika katika taasisi za huduma za kanisa, je haitatupeleka mbele kwenye ubaguzi wa juu na kuulizana ni dini ipi inalipa kodi zaidi serikali (hazina)?

MOU ikivunjwa ivunjwe moja kwa moja bila kuibua mambo ambayo yatazidisha mfarakano wa kiimani nchini.

Naamini katika dini ya kuvunja MOU ili kurejesha umoja wa kitaifa.

Wakati mwl Nyerere alipopitisha sera ya utaifishaji si makanisa tu ndio yaliyoathirika. Kuna shule za watu binafsi, mali, mashamba n.k.

Kibaya na chakushangaza ni kwanini makanisa peke yao ndio yaendeshe mazungumzo ya kurudishiwa vile walivyotaifishiwa na isiwe kwa wote? Kama serikali wakati ule ilipitisha azimio la kutaifisha mali za kanisa peke yake hapo nitawaelewa lakini kwa suala lilivyokuwepo na u-ndume la kuwili kufanya hivyo.

Tena kuna baadhi ya shule zimerudishwa kinyemela kama ile ya Dodoma wakati wa Mkapa.

Vinginevyo kinachoendelea ni ujanja ujanja kwa vile wakubwa ndio wenye Dini hizo. Fikiria vizuri unapotoa maelezo yako.
 
memorandum kama hizo zingefaa kuigwa na madhehebu mengine ili nayo yasaidie kutoa huduma za kijamii(afya,elimu,maji) katika maeneo madhehebu hayo yalikobobea mfano waislamu wangefaa sana kusaidia ktk mikoaya kusini na pwani lakini cha ajabu wanalalamika hata pale ambapo hospitali za kanisa(Nyangao na ndanda) zinapotoa huduma bila ubaguzi kwa watanzania wote. may be mtoa mada hii ana agenda ya siri kutoka kwenye azimio la arusha la waislamu(tafuteni cd hii muisikilize)
 
SENDORO,
Naona hutaki kuisoma MoU ili uelewe inasema nini badala yake unaendelea kuuliza au kuandika pumba...
Hivi unajua hizo shule na hospitali zilikuwa mali za kanisa? Soma memorandum ili ufunguke, na ujue namna ya kuwashauri hao WANAOPIGA kelele kuwa serikali inandoa na kanisa (kwa kutumia kodi za Watanzania kusaidia shule na hospitali za kanisa)...
SERIKALI HAKIKUWA NA KITU....ikaona IKAOMBE KUSHIRIKIANA NA KANISA ILI HOSPITALI NA SHULE HIZO ZIHUDUMIE WATU WOTE.
Nashauri:
Misikiti ijenge shule na hospitali...halafu serilaki IINGIE NAO MoU ndipo hapo utaelewa hiyo MoU mnayoishambulia imetoka wapi.
Someni na kufanya utafiti. HIZO NI MALI ZA KANISA ILA SERIKALI HAIKUWA NA KITU IKAOMBA KUINGIA MKATABA ILI ZIWE ZA KUWAHUDUMIA WATANZANIA WOTE.
KINYUME CHAKE WAISLAMU MKIJENGA SHULE ZENU MNAZUIA WASIO WAISLAMU WASISOME....AMKENI USINGIZINI...ACHENI UBAGUZI....WENZENU WAMEENDELEA KWA KUSHIRIKIANA. SISHANGAI HATA SHULE ZA WAKRISTU WAISLAMU WANAFUNDISHA....HEBU NIELEZE SHULE GANI YA WAISLAMU MKRISTU ANAFUNDISHA?
WENZENU WANATAFUTA MTU MWENYE MAARIFA WANAMWAJIRI ...BILA KUJALI DINI YAKE...ILI AWAGAWIE MAARIFA WATU WAO. SIO NYIE MNAONGOZWA NA DINI....MTABAKIA HIVYOHIVYO....KUCHOMA MAKANISA....LAKINI WAKRISTO HAWATAICHOMA MISIKITI...BALI WATAMWOMBA MUNGU AONESHE NGUVU ZAKE......MUNGU WETU ANA NGUVU.....HATAKI KULIPIZA BAYA KWA BAYA.....WAKRISTU WANALIJUA HILO.....KWA HIYO HAWATALIPIZA BAYA ILA WATAMLILIA MUNGU.
ITAFIKA WAKATI DUNIA NZIMA ITAONA NA KUJUA "UPUMBAVU NI KIPAJI". HERI KUWA MJINGA UKAELIMISHWA NA KUACHA UJINGA ...KULIKO KUWA MPUMBAVU'
 
RINGO umeibua swali zuri sana
Hata mimi ninashauku ya kujua hilo...kabla ya hapo nilijua ni CHUO CHA WAISLAMU WAMEKIJENGA KWA NGUVU ZAO WENYEWE.....sasa unanifanya nifikirie vingine.

Kweli jamani, naona waislamu wamezidi kutushambulia sana kuwa serikali ina ndoa na makanisa (wakati ni mali za kanisa na serikali haikuwa na kitu). sasa na wao watueleza mali zote zenye jina la msikiti watuletee memorandum ambayo inaonesha kweli ni mali zao ama la.

MKANGANYIKO HUU UNAENDELEA KWA SABABU MAMLAKA HUSIKA IMEFUMBA MASIKIO.....LAKINI YANAYOSEMWA HUMU JAMVINI YALIPASWA KUSHUGHULIKIWA NA KUTOLEWA UFAFANUZI ILI WATU WAELEWE NA WATAFAKARI MENGINE YA KUJENGA NCHI.....KIMYA KINGI KINA MSHINDO NA NDIO MAANA WATU WANAENDELEA KUZUNGUMZIA HILI
 
samahani...nimekosea kuandika jina SENDORO kwenye posti iliyotangulia. Sikukusudia kukujibu wewe...
 
Then kuna hiyo ya Kanisa na Foreign Governments

makubwa kweli kweli

Naomba uelewe kwamba hii nchi ina serikali yake na taasisi au NGO yeyote haiwezi kufanya chochote hapa nchini bila baraka ya serikali. Sasa taasisi yeyote ile ikiwa na mpango au mipango yake iwe ya ndani au nje ya nchi lazima ipate mwafaka kwa serikali. Sasa kama hao wakristo waliwahi wengine hawajachelewa waje na MOU zao serikali itazipitia na kuwapa staili husika lengo likiwa ni kuinua hali ya wananchi waTZ.
 
Tunayo nafasi ya kuzilinda na kuziheshimu dini zote kwa kuwa wapo mabinti wa kiislam wanaoishi na kuzaa na wakristo,na wapo wakristo pia.

Tunatatizo la kutumia mdomo vibaya kisa uongozi.tunapaswa kuwapa haki wote.

Katika suala mfano la Mahakama ya Kadhi,serikali ya ccm ilikuwa na nafasi ya kufanya tafiti za kutosha na kuja na jibu sahihi sio kama hili lililoletwa bungeni.

Shida kubwa ni ccm!
 
Mimi labda sijaelewa Slaa anatolea ufafanuzi kama msemaji wa kanisa au kiongozi wa chadema.Babu mbona unatuchanganya uko upande upi

kwa hali yeyote wewe ama huelewi kirahisi, au mpotoshaji wa makusudi, au mchonganishi alipwaye, au mchumia tumbo asiyeshiba.
Dr. Slaa kama Mtanzania mwenye kufahamu jambo hili kiundani na ambaye anaipenda nchi yake na mzalendo kwa Taifa lake hawezi kuacha jambo la hatari katika nchi lijisogeze kwenye fikra za watu huku yeye akikaa kimya tu kama walivyo majizi wengine, ameeleza yote anayoyajuwa na kuondoa fikra mgando ndani ya vichwa vya watu, na pia ameondoa kiwingu kilichokuwa kinaletwa na watu ama wasiotakia mema taifa letu au wenye malengo yao ya kutawala kwa kuwagawa watanzania.
Hata hivyo tupeni majibu juu ya nssf na orci mbona kuna minong'ono kuwa kama wewe si Ally, au Juma, au Amina , au Jasmine , au Khadija hupati kazi na kama uliwahi kupata huko nyuma basi hupandi cheo?
Labda yupo Dr. Slaa mwingine kwa upande huu tujalieni kujuwa hilo nalo.
Bismilah toufoq.
 
NGOLOMBWE hapo juu kuna majedwali yanayojieleza sasa tupe yako ya NSSF.Tuzungumzie facts sio minong'ono
 
Back
Top Bottom