Mfwalamanyambi
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 433
- 102
Hakuna ubaya kuingia makubaliano ili Serikali isaidie uendeshaji wa taasisi zinazotoa huduma kwa jamii nzima ya watanzania bila kujali dini na madhehebu yao. Hebu fikiria hospitali kama KCMC pale Moshi isingekuwa inasaidiwa na Serikali, je watu wa hali ya chini kwa kipato tungeweza kumudu gharama za matibabu?. Binafsi naunga sana mkono makubaliano hayo ili uwepo uwajibikaji wa serikali katika kuchangia gharama hizo kwa watu wake.