Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Hapa ni serikali ya Ccm ambayo waislam wengi wameichagua ndio inawanyanyasa, mkiambiwa chagueni serikali mpya hamtaki.MNAPIGA KURA KAMA VIPOFU HALAFU MNALALAMA HAPA KAMA VICHAA,endeleeni kulalamia serikali ya ccm mliyoiweka madarakani au haijatimiza malengo ya bakwata kama mlivyotazamia .
 
Hapa ni serikali ya Ccm ambayo waislam wengi wameichagua ndio inawanyanyasa, mkiambiwa chagueni serikali mpya hamtaki.MNAPIGA KURA KAMA VIPOFU HALAFU MNALALAMA HAPA KAMA VICHAA,endeleeni kulalamia serikali ya ccm mliyoiweka madarakani au haijatimiza malengo ya bakwata kama mlivyotazamia .

Wewe unapendelea watu wachague Chadema ili waletewe sera za Ushoga nchini. Kwani wafadhili wakuu wa Chadema ndio hao wanaotetea ushoga.
 
mkataba huu ulisainiwa wakati wa Rais Mwinyi kwani aliona umuhimu wa kanisa katika maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla. I thnk by wakat huo kanisa it waz the only Institution iliyokuwa na mashule,hospital nyingi so cjaona ubaya wowote wala upendeleo uliofanyika kwa wakristu as ndungu zetu muslims wanavoclaim. M sure that mkataba huu unasimamiwa vizuri kuhakikisha hauwanufaishi wa2 binafsi bali ni jamii kwa ujumla.
 
Kwa hiyo ukibadilisha act umebadilisha katiba? Dude are u serious?

Ok twende taratibu, unayakumbuka haya maandishi yako hapa chini?



Mkuu kumbuka ukisoma act yeyote waziri amepewa madaraka ya kuammend vipengele au kuvitafsiri. Yes utaratibu ni kwamba inabidi aziangalie hizo ammendments au tafsiri kuwa hazivunji sheria mama ambayo ni katiba lakini hiyo haiipi "act" kuwa katiba hata siku moja. An "act" is not a "constitution"

Naomba nikuulize swali, toka tumepata uhuru katiba ya Tanzania imebadilishwa mara ngapi?
Hivyo basi ni upotoshaji kuita mabadiliko ya "act", ni mabadiliko ya "katiba".
Ntakusaidia kwa 2 ili upate big picture ya ninachouliza

1. Tulipofanya muungano 1964.

2 .Tuliporudi mfumo wa vyama vingi in 1992.

Nilikuwa sijataka kukujibu ila nimeona ni vema nikujibu ili uzidi kufahamu vizuri. Kwa mujibu wa rekodi ninazozifahamu. Kulikuwa na mabadiliko ya baadhi ya vipengele vya katiba mwaka 1984 (Fifth Amendment of the Constitution). Mabadiliko hayo yalizalisha kipengele hichi cha katiba ya mwaka 1995. Nanukuu:-

11. (1) The state authority shall make appropriate
provisions for the realisation of a person's right to work, to self
education and social welfare at times of old age, sickness or
disability and in other cases of incapacity, without prejudice to
those rights, the state authority shall make provisions to ensure
that every person earns his
livelihood.
(2) Every person has the right to self education, and every
citizen shall be free to pursue education in a field of his choice
up to the highest level according to his merits and ability.
(3) The Government shall endeavor to ensure that there are
equal and adequate opportunities to all persons to enable them



Mapendekezo ya tume ya kurekebisha sheria na katiba iliyoundwa na serikali baada ya mapendekezo ya tume ya Nyalali mwaka 1992. Tume hiyo iliyoundwa na magwiji wa sheria kutoka sehemu mbali mbali ilifanya utafiti na kukabidhi mapendekezo ya awali ambayo yalikuwa yanasema hivi kuhusu elimu:-

The Government in collaboration with other players e.g. NGOs carry out programmes of continued education in use of available resources and opportunities

Vile vile Law Reform Commission ilipendekeza kuwa sheria ya Human Resource Deployment Act ya 1983 iwe retained ambayo ndani yake ilikuwa inasema hivi katika elimu:-

The Government in collaboration with other players. E.g. NGOs should carry out programmes of continued education in the use of available resources and opportunities.


Hivyo mkuu utaona kipengele number 11 ya katiba kimekuwa amended mwaka 1984 kuweza kuwezesha serikali kwa kushirikiana na NGO kutoa huduma ya elimu kwa jamii. Kwa hiyo Nyambala narudi tena siamini kama Akina Professor Mahalu walikosa umakini wa kuandika MoU wakapitisha na vile vile Lowassa akubali kusign bila ya kuangalia sheria zinasemaje? Na hakuna sheria katika nchi yeyote inaweza kubadilishwa bila ya kwanza kuangaliwa katiba inasemaje? Kwasababu wakitokea watu na kuchallenge hiyo sheria mahakama kuu basi serikali inaweza kuishia kulipa fidia kubwa.
 
Sasa huku ni kujishushia hadhi!

Kwani weye ulijui hilo kuwa wale wafadhili na marafiki wakuu wa Chadema pale Uk ni huyo Cameroun na chama chake? Na wao ndio vinara wa kuendeleza sera za ushoga duniani?
 
mkataba huu ulisainiwa wakati wa Rais Mwinyi kwani aliona umuhimu wa kanisa katika maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla. I thnk by wakat huo kanisa it waz the only Institution iliyokuwa na mashule,hospital nyingi so cjaona ubaya wowote wala upendeleo uliofanyika kwa wakristu as ndungu zetu muslims wanavoclaim. M sure that mkataba huu unasimamiwa vizuri kuhakikisha hauwanufaishi wa2 binafsi bali ni jamii kwa ujumla.

Tatizo lilopo hapa ni kwanini Serikali ya Tanganyika inatoa ruzuku kwa mali za kanisa. Kumbuka kuwa kama Kanisa limeweza kujenga hayyo mashule/mahospital na vyuo hivyo kwanini ishindwe kuviendesha mpaka itake pesa za walipa kodi wa Tanganyika.

Serikali ilikuwa na wajibu wa kujenga vyake kwa pesa hizo.

Na kwa kukujuza kidogo kuwa Tokea mwaka 1992 makanisa yanapata ruzuku ya Bilioni 60. Na sasa hivi bilioni 91.

Total pesa wanazochukua kanisa kutoka serikalini tokea mwanzo wa MoU ni Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000= Trilioni 1.17 or Trilioni 1.2. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.

Sasa hii si zaidi ya EPA?
 
Tatizo lilopo hapa ni kwanini Serikali ya Tanganyika inatoa ruzuku kwa mali za kanisa. Kumbuka kuwa kama Kanisa limeweza kujenga hayyo mashule/mahospital na vyuo hivyo kwanini ishindwe kuviendesha mpaka itake pesa za walipa kodi wa Tanganyika.

Serikali ilikuwa na wajibu wa kujenga vyake kwa pesa hizo.

Na kwa kukujuza kidogo kuwa Tokea mwaka 1992 makanisa yanapata ruzuku ya Bilioni 60. Na sasa hivi bilioni 91.

Total pesa wanazochukua kanisa kutoka serikalini tokea mwanzo wa MoU ni Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000= Trilioni 1.17 or Trilioni 1.2. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.

Sasa hii si zaidi ya EPA?
Waliosema bora kufuga nguruwe kuliko kufuga ndevu hawakukosea. Eti wewe ndiyo PhD holder..! Mimi nadhani bila hata ya hii MoU mngekuwa mna lag behind. Haya bana ...labda hizi kelele zenu zitazaa matunda.......time will tell....tick tock tick tock....!
 
Waliosema bora kufuga nguruwe kuliko kufuga ndevu hawakukosea. Eti wewe ndiyo PhD holder..! Mimi nadhani bila hata ya hii MoU mngekuwa mna lag behind. Haya bana ...labda hizi kelele zenu zitazaa matunda.......time will tell....tick tock tick tock....!

Umeulizwa swali unajibu kejeli kama umeshindwa si ukae kimya? Huhitaji kuwa Nuclear scientist kuona something is wrong over here sasa suala la ubora wa kufuga ndevu na nguruwe limetokea wapi. Kuwa na heshima saa zengine heshima ni kitu cha bure. Hata hivyo kwaniaba ya Barubaru nakujibu asante sana!! Tunaendelea na mjadala
 
Waliosema bora kufuga nguruwe kuliko kufuga ndevu hawakukosea. Eti wewe ndiyo PhD holder..! Mimi nadhani bila hata ya hii MoU mngekuwa mna lag behind. Haya bana ...labda hizi kelele zenu zitazaa matunda.......time will tell....tick tock tick tock....!

Naona PhD yangu inakuuma sana. Pole sana.

Lakini kwa mtu au serikali makini ingeamua kujenga vyake. Fikiria kidogo kwa hizo trilioni wanazokwapua kanisa zingejenga shule/ hospital/ vyuo vikuu vingapi kwa wanajamii wote.

Naona unaona raha kanisa linavyozikwapua pasi na kujua kuwa kuna jasho la waislam humo ambao wanalipa kutokana na kodi zao.

Pole sana.
 
Mkuu nashukuru umekuwa muungwana kuhusiana kumquote vibaya mdondoaji. Anyways tuendelee na Mjadala. Hoja yangu kuhusu numbers si ile numbers jumla jumla bali ni mchanganuo. Tanzania ni nchi ya kifisadi unaweza kukuta fedha hizo nusu wanajilipa watu wa wizara husika kwa kisingizio cha usimamizi na hata hao viongozi wa hizo institutions husika wanaweza kuwa na mabao yao. Sasa we need to go deeper than what we are doing ili kufahamu nini hasa kinaendelea.

Ndani ya siku mbili hizi kumekuwa na taarifa kwamba Bilioni 2.2 zimetumika TCRA kusomesha watu watatu short course. Huko Mtwara 1.4 bilioni zimetumika kukarabati nyumba ya mkuu wa mkoa. Sasa ukiangalia trends kama hizi it's really disturbing.

Tukija kwenye uhalali wa hiyo MoU inakuwa debatable kwa sababu haijawahi kuwa challenged kama inavyofanywa sasa na pia kama ulivyosema hii kitu ilifanyioka in the eyes of Mwinyi ambaye siamini kama hii MoU ingekuwa ni ya kukandamiza dini zingine ingepita. Nadhani tunafahamu ukubwa wa madaraka ya Raisi Tanzania.

Kuhusu foreign forces, hiyo inanijia kwa sababu ya kuwa na corrupt society, kila kitu is for sale Tanzania na watu wasio waadilifu ni wengi mno siku hizi. Hivyo lolote linaweza kuitokea ili mradi kuna fedha imetangulizwa.
Hapa mkuu wangu tuko pamoja sana kwa sababu swali hili linatakiwa kuchunguzwa kwma tulivyofanya Richmond na ilipelekea kujiuzulu kwa Lowassa na ikiwa na maana pande zote mbili zilizoshiriki zinahusika na mpango huu.


Kuhusu Mwinyi hakika naelewa vizuri sana kwamba anafahamu alichokifanya na hakujali kama Nyerere ambaye alikuwa mkristu na bado alitaifisha shule za kikristu tofauti zao ni for whose interest!..Tofauti na waislaam wengine mimi Mwinyi simpendi na simpendi na sintampenda kwa lolote la uongozi zaidi ya kumpa heshima zake kama rais wangu wa pili..

Kinachonishangaza sana ni mapenzi ya Wadanganyika. hHuko nyuma nimetoa mfano mdogo sana kwamba huwezi kumpenda Nyerere ukamchukia Ghadaff na wala huwezi kumpenda Ghadaff ukamchukia Nyerere kwa sababu hawa wote walikuwa na sifa moja kubwa ya uongozi na mapungufu yao yanafanana sana tu. Na kama mtu anataka kujua ana Udini ndani yake basi lazima atakuwa na mtazamo tofauti kwa watu hawa na nakuhakikishia dini yake lazima iwe sawa na yule alompenda akamchukia mwingine...

Mfumokristu umerudishwa na Mwinyi sio Nyerere, na tunaweza kesha hapa kubishana kwa sababu tutarudi ktk fikra zile zile za udini maanake hakuna Muislaam anayetaka kumlaumu Mwinyi ambaye alipiga Vita Balukta kwa nguvu zote akitetea Bakwata chombo wanachokitumia sana ktk kuwapoza waislaam kisiasa. Kayafanya mengi mabaya kwa Jumuiya ya wiaslaam na Watanzania kuliko kiongozi yeyote..Waislaam kwa Wakristu wote are into denial hawataki kuamini kwamba CCM ndiye mtunzi wa mfumo na uendeshaji wa siasa za Tanzania. Kama wanaweza ku ammend Katiba, sheria, kuweka mikataba na miafaka kwa matakwa yao. Tazama nguvu ya rais, bunge lao hawajawahi kuwa na chini ya 2/3 ya uwakilishi lakini bado utaona mapenzi ya watu yapo kwa CCM, chombo kinachoendelea kuwadhalilisha mwaka hadi mwaka..

Lakini tusipoteze matumaini mwaka 2015 inawezekana kuwa mwaka ambao utaleta mabadiliko kwa sababu wananchi wamechoka na Ufisadi wa chama hiki. Hayo matumizi ya TCRA na huko Mtwara ni sehemu ndogo sana ya ubadhilifu unaofanyika nchini, kifupi nikwambie la kunuka halina ubani - serikali, bunge, mahakama (mihimili yetu) inanuka! mashirika yote ya Umma ni Ufisadi kwa kwenda mbele na viongozi wote ni matajiri wa kutisha. Ubepari unakwenda sambamba na Ufisadi kama vile biashara na faida!

Hivyo, sisi maskini kukubali Ubepari ina maana tumekubali Ufisadi na sasa taratibu dawa inaanza kuingia ktk mishipa ya damu zetu. Hakika Nyerere akirudi leo, atacheka sana na kutwambia Yakowapi? niliwaambia hamkutaka kunisikia! na nadhani kujuzulu kwake kulitokana na kutokubali kubatizwa kama bepari maana aliwahi kusema hawezi kugeuka kutazama nyuma akageuka jiwe!..Na baada ya hapo - He did what he did just to prove us wrong ktk sisi kuchagua Ubepari, bahati mbaya hataweza kushuhudia haya..
 
Naona PhD yangu inakuuma sana. Pole sana.

Lakini kwa mtu au serikali makini ingeamua kujenga vyake. Fikiria kidogo kwa hizo trilioni wanazokwapua kanisa zingejenga shule/ hospital/ vyuo vikuu vingapi kwa wanajamii wote.

Naona unaona raha kanisa linavyozikwapua pasi na kujua kuwa kuna jasho la waislam humo ambao wanalipa kutokana na kodi zao.

Pole sana.

Mkuu wala usihofu kabisa na PhD yako. Mazingira niliyokulia kila nyumba mitaa yote kulikuwa PhD holder kama siyo PhD angalau masters ilikuwapo. Kwa hiyo wivu mbaya haupo kabisa..ninao ule wivu mtakatifu wa maendeleo .. Ningependa na hao viongozi wenu wa dini wawe na ilmu dunia kama yako. Siyo wanapewa hela ndogo ya ubwabwa na CCM na kukimbilia Igunga kutoa matamko ya kipuuzi halafu mwisho wa siku wanailalamikia serikali hiyohiyo ya CCM eti ina mfumo kristu. Bila kuwakazia na hawa viongozi wenu wa dini elimu dunia basi hata MoU ikiondolewa mtabaki hivyohivyo tu.
 
Hapa mkuu wangu tuko pamoja sana kwa sababu swali hili linatakiwa kuchunguzwa kwma tulivyofanya Richmond na ilipelekea kujiuzulu kwa Lowassa na ikiwa na maana pande zote mbili zilizoshiriki zinahusika na mpango huu.


Kuhusu Mwinyi hakika naelewa vizuri sana kwamba anafahamu alichokifanya na hakujali kama Nyerere ambaye alikuwa mkristu na bado alitaifisha shule za kikristu tofauti zao ni for whose interest!..Tofauti na waislaam wengine mimi Mwinyi simpendi na simpendi na sintampenda kwa lolote la uongozi zaidi ya kumpa heshima zake kama rais wangu wa pili..

Kinachonishangaza sana ni mapenzi ya Wadanganyika. hHuko nyuma nimetoa mfano mdogo sana kwamba huwezi kumpenda Nyerere ukamchukia Ghadaff na wala huwezi kumpenda Ghadaff ukamchukia Nyerere kwa sababu hawa wote walikuwa na sifa moja kubwa ya uongozi na mapungufu yao yanafanana sana tu. Na kama mtu anataka kujua ana Udini ndani yake basi lazima atakuwa na mtazamo tofauti kwa watu hawa na nakuhakikishia dini yake lazima iwe sawa na yule alompenda akamchukia mwingine...

Mfumokristu umerudishwa na Mwinyi sio Nyerere, na tunaweza kesha hapa kubishana kwa sababu tutarudi ktk fikra zile zile za udini maanake hakuna Muislaam anayetaka kumlaumu Mwinyi ambaye alipiga Vita Balukta kwa nguvu zote akitetea Bakwata chombo wanachokitumia sana ktk kuwapoza waislaam kisiasa. Kayafanya mengi mabaya kwa Jumuiya ya wiaslaam na Watanzania kuliko kiongozi yeyote..Waislaam kwa Wakristu wote are into denial hawataki kuamini kwamba CCM ndiye mtunzi wa mfumo na uendeshaji wa siasa za Tanzania. Kama wanaweza ku ammend Katiba, sheria, kuweka mikataba na miafaka kwa matakwa yao. Tazama nguvu ya rais, bunge lao hawajawahi kuwa na chini ya 2/3 ya uwakilishi lakini bado utaona mapenzi ya watu yapo kwa CCM, chombo kinachoendelea kuwadhalilisha mwaka hadi mwaka..

Lakini tusipoteze matumaini mwaka 2015 inawezekana kuwa mwaka ambao utaleta mabadiliko kwa sababu wananchi wamechoka na Ufisadi wa chama hiki. Hayo matumizi ya TCRA na huko Mtwara ni sehemu ndogo sana ya ubadhilifu unaofanyika nchini, kifupi nikwambie la kunuka halina ubani - serikali, bunge, mahakama (mihimili yetu) inanuka! mashirika yote ya Umma ni Ufisadi kwa kwenda mbele na viongozi wote ni matajiri wa kutisha. Ubepari unakwenda sambamba na Ufisadi kama vile biashara na faida!

Hivyo, sisi maskini kukubali Ubepari ina maana tumekubali Ufisadi na sasa taratibu dawa inaanza kuingia ktk mishipa ya damu zetu. Hakika Nyerere akirudi leo, atacheka sana na kutwambia Yakowapi? niliwaambia hamkutaka kunisikia! na nadhani kujuzulu kwake kulitokana na kutokubali kubatizwa kama bepari maana aliwahi kusema hawezi kugeuka kutazama nyuma akageuka jiwe!..Na baada ya hapo - He did what he did just to prove us wrong ktk sisi kuchagua Ubepari, bahati mbaya hataweza kushuhudia haya..

Duh!

Mkuu tatizo ni kwamba ukiangalia kwenye vyama vyetu vilivyopo hakuna anayeonyesha kutetea haki na misingi ya usawa katika jamii wote ni madaraka bila kuangalia mambo ya msingi kama haya ambayo kweli jamii yetu inataka kugawanywa kabisa

Watetezi wa epa wapo, watetezi wa kanisa (wengi japo linafisadi mfuko wa umma) ..wakiwemo vyama vyenu hivyo..

Mimi kama muislam na mtanganyika nawashauri wenzangu waangalie hizi harakati kwa JICHO PANA..

Ukitazama Chadema na CCM vyama vikubwa kwa sasa VYOTE ni "EVILS"

Muislam anatakiwa kuangalia better evils ambaye ana adress issue za ustawi wa jamii katika usawa..

Huwezi ukiingia kwenye hizo harakati kichwa kichwa kama tulivyofanya kwa nyerere..(japo hapo tuta-differ)..
 
Mkuu wala usihofu kabisa na PhD yako. Mazingira niliyokulia kila nyumba mitaa yote kulikuwa PhD holder kama siyo PhD angalau masters ilikuwapo. Kwa hiyo wivu mbaya haupo kabisa..ninao ule wivu mtakatifu wa maendeleo .. Ningependa na hao viongozi wenu wa dini wawe na ilmu dunia kama yako. Siyo wanapewa hela ndogo ya ubwabwa na CCM na kukimbilia Igunga kutoa matamko ya kipuuzi halafu mwisho wa siku wanailalamikia serikali hiyohiyo ya CCM eti ina mfumo kristu. Bila kuwakazia na hawa viongozi wenu wa dini elimu dunia basi hata MoU ikiondolewa mtabaki hivyohivyo tu.

What makes you think masheikh wa kiislamu hawana elimu? Unamjua Sheikh Juma Mikidadi? (PhD in Islamic Sharia - Edinburgh University). Sheikh na Imam wa msikiti wa kisutu (PhD ya Sharia -Al-Azhar University). Usiwaone watu na kanzu zao na makobadhi na kofia za msikitini sweke waislamu wasomi ni wengi ila hawapendi kujionyesha kama nyie ndugu zetu mnaotaka lazima askofu aitwe Dr fulani. Wanaprefer waitwe Sheikh fulani zaidi ya huo udr. Jina la Dr wengi hawalipendi. MoU kwanza wajibuni akina Sheikh Ponda waislamu walishajua serikali haina msaada kwao ndio maana hawana hata muda nayo ila kusema tutasema kwamba hili sio sawa ni haki yetu ya kikatiba.
 
What makes you think masheikh wa kiislamu hawana elimu? Unamjua Sheikh Juma Mikidadi? (PhD in Islamic Sharia - Edinburgh University). Sheikh na Imam wa msikiti wa kisutu (PhD ya Sharia -Al-Azhar University). Usiwaone watu na kanzu zao na makobadhi na kofia za msikitini sweke waislamu wasomi ni wengi ila hawapendi kujionyesha kama nyie ndugu zetu mnaotaka lazima askofu aitwe Dr fulani. Wanaprefer waitwe Sheikh fulani zaidi ya huo udr. Jina la Dr wengi hawalipendi. MoU kwanza wajibuni akina Sheikh Ponda waislamu walishajua serikali haina msaada kwao ndio maana hawana hata muda nayo ila kusema tutasema kwamba hili sio sawa ni haki yetu ya kikatiba.

Wako programmed and conditioned kufikiri hivyo siyo kosa lao

Kuna imams siku hizi wana masters (misikiti midogo mtaani) lakini wenzetu wanaangalia nguo ndiyo wana judge ..
 
Wako programmed and conditioned kufikiri hivyo siyo kosa lao

Kuna imams siku hizi wana masters (misikiti midogo mtaani) lakini wenzetu wanaangalia nguo ndiyo wana judge ..

Inabidi Sweke awaombe radhi masheikh wa Tanzania kwa kudai kuwa hawajasoma. Kuna mwengine alikuwa Imam Msikiti wa Ngazija naye nasikia amemaliza Masters (Al-Azhar University). Nikiwakumbuka wengine nitawataja ili Sweke na wengineo waelewe waislamu wa karne 21 sio wale wazamani waliokuwa wanaambiwa kuwa ni masheikh ubwabwa. Wamesoma lakini wengi ni madaruweshi kama hulijui neno la udaruweshi niulize nitakupatia jibu lake.
 
Sweke,

Kuna mwengine anaitwa Sayyid Omar Abdallah bin Sheikh (Mwinyibaraka) alipata B Phil (Bachelors of Philosophy) - Oxford University mwaka 1963 . (B Phil hiyo sasa inaitwa Mphil or stage 2 PhD). Huyu hadi Nyerere alikuwa akimuogopa sana Sheikh Mohamed Said anamjua vizuri zaidi.

Mufti Harith bin Khelef - graduated (Al-Azhar University).

Sheikh Yahya bin Hussein - graduated (Al-Azhar University).

Sheikh Hassan bin Ameir - nominated as a distinguished professor (Al-Azhar University).


Na wengineo wengi tosheka na hao ukitaka zaidi nitakupa.
 
Mdondoaji said:
What makes you think masheikh wa kiislamu hawana elimu? Unamjua Sheikh Juma Mikidadi? (PhD in Islamic Sharia - Edinburgh University). Sheikh na Imam wa msikiti wa kisutu (PhD ya Sharia -Al-Azhar University). Usiwaone watu na kanzu zao na makobadhi na kofia za msikitini sweke waislamu wasomi ni wengi ila hawapendi kujionyesha kama nyie ndugu zetu mnaotaka lazima askofu aitwe Dr fulani. Wanaprefer waitwe Sheikh fulani zaidi ya huo udr. Jina la Dr wengi hawalipendi. MoU kwanza wajibuni akina Sheikh Ponda waislamu walishajua serikali haina msaada kwao ndio maana hawana hata muda nayo ila kusema tutasema kwamba hili sio sawa ni haki yetu ya kikatiba.

Mdondoaji,

..naungana mkono. hoja kwamba Waislamu hawajasoma ni mufilisi.

..hoja kwamba Waislamu hawawezi kusoma pia ni mufilisi.

..I am one of those who believe kwamba Waislamu wakipewa access to a quality education basi wanaweza ku-achieve mambo makubwa.

..Personally nimesoma na Waislamu, and looking back, manake wakati huo tulikuwa hatuulizani dini, kuna vijana wa Kiislamu who were very smart.

..miongoni mwa wa-Tanganyika watatu wa kwanza kupata shahada ya London University ni Abdulrahman Salim Msangi. Ilibidi DC wa wilaya ya Pare wakati huo apande milima ya Usangi kwenda kumpongeza Mzee Salim Msangi kwa achievement ya mwanawe. Later on Abdulrahman Msangi alikuwa dean wa kwanza mzalendo wa kitivo cha Science UDSM.

..now,Prof.Juma Mikidadi Mtupa anafahamika sana tangu akiwa mbunge toka mkoa wa Lindi.

..baada ya kuondoka bungeni akagombea nafasi ya Mufti wa Bakwata na kushindwa. lakini nadhani huyu angewafaa Waislamu.

NB:

..tatizo ninaloliona mimi ni kwamba Waislamu wenye elimu ya ki-secular hawashiriki/hawashirikishwi ktk uongozi wa Jumuiya za Kiislamu.

..nadhani kukosekana kwa waumini wenye elimu ya ki-secular ktk taasisi za Kiislamu ndiko kunakosababisha viongozi wa taasisi hizo kutumiwa kisiasa na CCM na kupelekea kuviaibisha vyombo hivyo.
 
Back
Top Bottom