Watu wenye pesa ndefu yaaani wafanyabiashara wengi ni waislamu utasema Wakristo wanapigwa vita na waislamu wasiwe wafanyabiashara?.
Mfumo wa namba upo Duniani nzima hata huko nchi za kiislam na hii ni baada ya maendeleo ya technology kwa maana ya tally binary system.
Na sio umeanzishwa na Malima ili waislamu wasifelishwe.
Hata Sasa mbona wanatumia mfumo wa namba na still shule za kiislam plus ukanda wa pwani bado wapo nyuma,hapo utasemaje
Moja.
Suala la waislamu individual kuwa na pesa halihusiani na TAASISI YA KIISLAMU YYT.
KANISA KAMA KANISA lina pesa kupita maelezo na vyanzo vyake vyote ni BOGUS.
Mbili.
soma historia uangalie nani aliyebadili System hapa TZ ya kuondoa majina na kuweka na Namba.
Na kwanini aliamua kufanya hivyo.
Tatu. Kuhusu suala la shule za kiislam kutokufanya vizuri.
Kuna kesi majuzi tu ya binti wa kiislam kupewa namba feki ya mitihani na marks zote za namba yake ya halali kupewa MKRISTO.
Hilo suala bado lipo kila kona ktk taifa hili lenye laana.
Wakristo wanakaa vikao chungu nzima kuhakikisha waislamu hawapati nafasi yyt ya maana popote pale.
Iwe mashuleni, mitaani mpk serikalini.
Zikija scholarship Tz mfano 200. Basi KANISA litapewa 150.
Waislamu 20 na 30 zitatangazwa kwa wengine.
Na hizo 20 zitawekewa vikwazo chungu nzima.
Mtu anadhani vikwazo vinatoka nje ya nchi kumbe vimepikwa humu humu na Mfumo kristo.
hio ni chuki isio na faida.
watoto hawa wote ni watanzania. Chuki husababisha vifo vibaya sana.
Ogopeni Mungu