Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Ukiwasema wana wivu, na chuki ....watatukana hapa na kuondoa thread zako...wako humu wengi kweli utapata kila aina ya matusi subiri waje kutoka wanakotoka ??....nafikiri tuigawe nchi into two parts north (christians) and south muslims, ili kusiwe na blablah na unyonyaji na upendeleo wa kijinga hivi!!!
 
sasa hii memorandum naona imejikita zaidi katika provision of elimu na afya, sasa maafa yake kwa uislamu ni nini?

Ndg utapoteza muda wako kuwahabarisha watu ambao tayari wapo biased..It has been stated vey clearly kuwa MoU ni kwa ajili ya kutoa huduma hizo za afya na elimu kwa waTz..sio wakristu peke yao..Hili ndilo la muhimu, lakini watu wengine kwa masilahi yao watai-spin hii ishu, ikionekana ndivyo sivyo wao ndo wanafurahia.
 
Ukiwasema wana wivu, na chuki ....watatukana hapa na kuondoa thread zako...wako humu wengi kweli utapata kila aina ya matusi subiri waje kutoka wanakotoka ??....nafikiri tuigawe nchi into two parts north (christians) and south muslims, ili kusiwe na blablah na unyonyaji na upendeleo wa kijinga hivi!!!

Unaweza kuthibitisha thread yako gani iliofutwa? Hapa sio ngomani mazee waingia tu wacheza tu bila utaratibu..JF kila kitu kinaendeshwa kwa taratibu tulizokubaliana wakati tunakubali uanachama..usidhanie tupo kwenye kilabu cha komoni.

Ukileta thread ya komedi kwenye siasa inamuvusishwa kunapohusika..ukianzisha thread ambayo haina maudhui inawekwa kwenye trash, ukianzisha thread mpya wakati ipo tayari wanai-merge na iliopo tayari..

Hatuendi hobelahobela mazee.
 
Game Theory,

..safi sana mkuu.

..sasa usiishie kulalamika tu.

..andika MOU kati ya serikali na Bakwata au Shura ya Maimamu ili Waislamu nao wafaidike.



.
OIC na mahakama ya kadhi inawatoa roho itakuwa na MOU?mtasema kuwa wino wa serikali kwanini uwanufaishe waislamu? na mambo mengi.anyway tutafika
 
OIC na mahakama ya kadhi inawatoa roho itakuwa na MOU?mtasema kuwa wino wa serikali kwanini uwanufaishe waislamu? na mambo mengi.anyway tutafika

Mkuu inategemea MoU unaitafsiri vipi. Inaweza kuwa kuandikiana au kupewa kitu. Mimi kwangu naona serikali siku zote ina MoU nyingi tu na taasisi za kidini. Kwa mfano kule waislamu kukabidhiwa chuo cha serikali cha Tanesco kuwa Chuo Kikuu cha Kiislamu ni mfano mmojawapo wa hizo MoU.
 
Ndg utapoteza muda wako kuwahabarisha watu ambao tayari wapo biased..It has been stated vey clearly kuwa MoU ni kwa ajili ya kutoa huduma hizo za afya na elimu kwa waTz..sio wakristu peke yao..Hili ndilo la muhimu, lakini watu wengine kwa masilahi yao watai-spin hii ishu, ikionekana ndivyo sivyo wao ndo wanafurahia.

Na nani aliwaambia watu kuwa kwa serikali ya Tanzania kujiunga na OIC watanufaika waislamu peke yao???... Talk of double standards!
 
MoU hii haisemi wakristo ama waumini wa Kikristo bali huduma.Charter ya OIC iwekeni hapa mtaona maajabu yalivyo humo .Kwanza Uislam na Muislam then mengine yanatumika kama cover up.

Mnataka mahakama ya kadhi ya kodi zetu na misaada kwa serikali nyie si waislam kabisa .Kwa mfano inasemekana pesa nyingi toka Ulaya Holland inaongoza kwa misaa kwa tanzania na misada yenyewe sehemu kubwa pesa inachukuliwa toka redligh district kwa wauza miili yao .Wewe muisla unakomaa na pesa kuendesha ofisi ya Kadhi nk kweli uislam unaruhusu haya ?
 
Imebaki kupigana tuu, lets wait where weak MINDS SHALL SURELY DIE!
 
Naona hii MoU ina umri unaozidi miaka 15, hivi bado inatumika, au hapo katikati ilishafutwa?
 
Na nani aliwaambia watu kuwa kwa serikali ya Tanzania kujiunga na OIC watanufaika waislamu peke yao???... Talk of double standards!

Na OIC inaingiaje kwenye huu mjadala? au unasukumwa tu na udiniudini..
 
cover.jpg

Ndio maana Mahalu alikuwa akijiamini sana kwamba hatafanywa lolote? Ndio maana hadi leo Lowassa anajiamini atakuwa Rais wa nchi hii tena hata 2010? hebu tuelimisheni.

Lakini je, hawa wote walisaini kwa kibali cha nani? Je, kama alivyohoji Mpita Njia, huu waraka bado unafanya kazi? Je, umesababisha madhara gani kwa jamii? Je, kama Taifa sasa tunakwenda wapi? na mwisho kwanini yote haya (Ilani ya Katoliki, Kadhi, etc) yanaibuka sasa kuelekea 2010?
 
Imagine ingekuwa waislam wamesign huu mkataba wa siri...

Naona nchi ingegeuka juu chini


kwa sababu serikali ilikuwa inawapa wakiristo pesa,muhimu ni serikali iwafidie waislam pesa ilizowapa hawa wakrsito na kodi yao

maana huu ni usanii wa hali ya juu tena toka kwa kiongozi mkuu kama lowasa na sioni kwa nini waislam wasilipwe fidia.

Pamoja na yote hata hawa waksristo wakiongozwa na pengo wanapinga nchi kujiunga na oic kwa hoja eti watafaidika waislam wakati wao wanaikamua system wanavyotaka

ama kweli waislam wa tanzania wavumilivu

duh!
 
Imagine ingekuwa waislam wamesign huu mkataba wa siri...

Naona nchi ingegeuka juu chini


kwa sababu serikali ilikuwa inawapa wakiristo pesa,muhimu ni serikali iwafidie waislam pesa ilizowapa hawa wakrsito na kodi yao

maana huu ni usanii wa hali ya juu tena toka kwa kiongozi mkuu kama lowasa na sioni kwa nini waislam wasilipwe fidia.

Pamoja na yote hata hawa waksristo wakiongozwa na pengo wanapinga nchi kujiunga na oic kwa hoja eti watafaidika waislam wakati wao wanaikamua system wanavyotaka

ama kweli waislam wa tanzania wavumilivu

duh!

Ukistaajabu ya Dr Watson, ya Game theory sijui itakuwa vipi.
 
Dhuluma hii imefanywa kuwabagua na kuwatenga kimaslaha ya nchi watu wa dini nyengine na kwa kuwa Mw'Mungu humlipia aliyedhulumiwa hapahapa duniani, walioiandaa, (Lowasa na Mahalu) yanayo na yaliyowakuta ni "radda"(malipo) ya dhuluma hii na bado kuna kipigo zaidi kinakuja kwa kila aliyetia mkono wake.
Mungu hapigi kwa Fimbo ati!
Watakao fuatia pamoja na wengine ni Mzee Mwinyi(kaonjwa kofi la uso tu), Mkapa(mpaka afe kwa wahaka wa roho), O. Mahita(yameshamkuta na bado yatamkuta), P. Mangula(ata hajasahauliwa bado),O. R.Mapuri (atakula mbwa na paka mpaka achoke,akirudi lipo lake), P. Pengo(huyu atakawiya kidogo lakini hana muda), Sumaye(chupuchupu lakini haja save bado lake lipo nayy) n.k
 
Ndg utapoteza muda wako kuwahabarisha watu ambao tayari wapo biased..It has been stated vey clearly kuwa MoU ni kwa ajili ya kutoa huduma hizo za afya na elimu kwa waTz..sio wakristu peke yao..Hili ndilo la muhimu, lakini watu wengine kwa masilahi yao watai-spin hii ishu, ikionekana ndivyo sivyo wao ndo wanafurahia.

Nimeisoma MoU

Ninahitaji kuelewa zaidi maelezo ya neno "shall" yalivyotumika katika Part Four (Obligations) katika Article XI, XII, na hasa XIII.............
 
Nimeisoma MoU

Ninahitaji kuelewa zaidi maelezo ya neno "shall" yalivyotumika katika Part Four (Obligations) katika Article XI, XII, na hasa XIII.............

Subiri spin za akina abdulhalim sasa... Half truths zitakapogeuzwa kuwa the whole truth, and nothing but the truth!
 
Game Theory said:
Imagine ingekuwa waislam wamesign huu mkataba wa siri...

Naona nchi ingegeuka juu chini


kwa sababu serikali ilikuwa inawapa wakiristo pesa,muhimu ni serikali iwafidie waislam pesa ilizowapa hawa wakrsito na kodi yao

maana huu ni usanii wa hali ya juu tena toka kwa kiongozi mkuu kama lowasa na sioni kwa nini waislam wasilipwe fidia.

Pamoja na yote hata hawa waksristo wakiongozwa na pengo wanapinga nchi kujiunga na oic kwa hoja eti watafaidika waislam wakati wao wanaikamua system wanavyotaka

ama kweli waislam wa tanzania wavumilivu

duh!

Game Theory,

..unapotosha unapodai serikali imeingia mkataba wa siri na makanisa.

..ili mkataba wa namna hii usainiwe ni lazima ujadiliwe na upate ridhaa ya baraza la mawaziri.

..kipindi ambacho mkataba huu ulisainiwa Raisi wetu alikuwa Alhaji Ali Hassan Mwinyi. vilevile kulikuwa na mawaziri kadhaa Waislamu akiwemo Prof.Kighoma Malima ambaye anaheshimika sana na umma wa Waislamu wa Tanzania.

..pamoja na kwamba Jumuiya za Kiislamu hazijasaini mkataba wa aina hii na serikali, bado zimekuwa zikipata misaada mbalimbali toka serikalini.

..tangu mkataba huo usainiwe serikali imefadhili mkutano mkuu wa bakwata, pia imesaidia kuwakwamua mahujaji waliokwama kwenda hijja. viongozi wakuu wameshiriki ktk fund raising kwa miradi inayomilikiwa na taasisi za waislamu. zaidi serikali imechangia majengo kwa ajili ya chuo cha waislamu morogoro.

..ofisi ya waziri mkuu wanaripoti kwamba Kanisa la Kilutheri wana shule za msingi za walemavu 10, vyuo vya ufundi 35, sekondari 61, vyuo vikuu na vishirikishi 6. Kanisa la Kilutheri pia wana hospitali 20, na zahanati 138 zilizosambaa nchi nzima.

..binafsi sioni ubaya wowote ule kwa serikali kutambua mchango kama huo, na kutoa ahadi ya kusaidia kila inapowezekana.

NB:

..badala ya kuendelea kulalamika Waislamu nao waandae MOU kati yao na serikali.
 
Nimeisoma MoU

Ninahitaji kuelewa zaidi maelezo ya neno "shall" yalivyotumika katika Part Four (Obligations) katika Article XI, XII, na hasa XIII.............

Alwatan said:
Subiri spin za akina abdulhalim sasa... Half truths zitakapogeuzwa kuwa the whole truth, and nothing but the truth!

Ok, nitakufafanulia, sioni ugumu ulipo.

Obligation ya Article XI, inahusu serikali kukubali kutoa nafasi ya watumishi wa Kanisa (kama ilivokuwa defined ktk MoU) kupata mafunzo ktk vyuo vya umma. Una tatizo hapo? Binafsi silioni, kwa sababu serikali ingekuwa inatekeleza wajibu wake wa kutoa huduma bora nchi nzima yote haya yasingekuwepo, na lengo kuu lipo palepale kutoa huduma kwa waTZ na sio wafuasi wa 'Kanisa' pekee. Kunapokuwa na MoU kila upande lazima useme utatoa nini kufanikisha lengo husika, sasa sijui wandugu tatizo linakujaje hapa..?

Article XII iko very clear na ipo in accordance na msimamo, mipango na sera za sasa ambapo mambo ya kutaifisha mali za 'kanisa' au jumuia yeyote ya kidini hayapo..Sioni tatizo hapa labda kama unataka kulitengeza.

Article XIII nayo ipo clear kuwa serikali inaridhia kushiriki kuchangia miradi ya kijamii ya pamoja..hususan kwa kushirikiana na serikali ya Ujerumani..Again, hapa ishu ni kusaidia miradi ya kijamii na wala sio kusaidia kanisa as kanisa..

Ninyi mnaoona tatizo ktk hizi article mtakuwa na matatizo ya kimsingi kabisa ya UDINI..na udini wenu utawapeleka puta mpaka mtakapoamua kuwa sober kupima hoja ktk dimension inayotakiwa.

Wakatabahu.
 
Hivi waislam wangetaka kuingia mikataba na nchi kama Iran au Saudi Rabia Pinda atakubali ku sign hiyo memorandum?

Saudia wametaka kuja kufanya kilimo hapa mmepiga makelel as if nchi imeuzwa..wakati srikali imesema itakuwa makini mkataba unufaishe pande zote mbili


Mlikuwa mmejificha lakini naona taratibu mmeanza kuondoa makovu yenu

kazi kweli kweli

the bottom line ile illusion kuwa tuko pamoja haipo ni uwongo na janja janja tuuu tuko pamoja nmapotaka yenu.

Yakisemwa ohhh lete ushahidi..huo sasa
 
sasa hii memorandum naona imejikita zaidi katika provision of elimu na afya, sasa maafa yake kwa uislamu ni nini? kwamba hizo shule na hospitali na za wakristo pekee yake au? maana kama kule peramiho ile hospitali ni ya wote na inatoa huduma kuliko hospitali za serikali, ukienda Njombe utakuta hospitali za walutheri etc, na sasa hivi Pengo alikuwa anajenga shule Rufiji je hizi zote ni juhudi za kuwaonea Waislamu? Bagamoyo kuna shule ya Marion Girl's na kuna watoto wa wakubwa wengi tu wanasomo huko na ni waislamu, je aliye iweka au kuwaruhusu waislamu kusoma huko kafanya kosa? Nakuomba ndugu yangu pale penye kitu kizuri tukiseme kibaya tukiseme, tusije panda hii mbegu ya ubaguzi haito tupeleka kokote.
Kwa Mfano kuna watu wazuri tu na ni waislamu mimi nina waheshimu na kuwapenda kwa matendo yao eg Marehemu Prof Harub, kuna Prof Shivji, na kuna wakristu wabaya wabaya kweli kweli na mimi ninawapinga kwa matendo yao kama Raisi Mstaaafu BWM na wengineyo wenye matendo kama yake.
Sio tatizo kubwa ila waislamu nao wana yao sasa haiwezekani ikawa upande mmoja tu ,au hulioni hilo ?
Na mara nyingi mambo ya aina hiyo mliyonayo hayaaminiki katika kutoa huduma sawa ,tuchukulie hapo kwenye kusoma unaweza kukuta wanaofaulu asilimia kubwa ni kutoka kwa kanisa na asilimi kiduchu inawezekana ikagaiwa kwa waislamu na wasiokuwa waislamu si unafahamu namna CCM inavyogawa viti vya ubunge kwa upinzani ndio maana yake.

Ikiwa mmeruhusiwa kufanya yote hayo maana si kalili,inakuwaje iwe mbinde kwa waislamu kuanzisha mambo yao.Na kila waislamu wanapokanyaga wakiristu mnakuwa mstari wa mbele kuweka guu ,IOC mahakama ya kadhi ,waislamu wakipokea misaada mikubwa mikubwa mnazuka na kupiga makelele ,kumbe tayari mnaelekea kuiteka serikali na mamlaka zake.
 
Back
Top Bottom