Geeque,
..ingekuwa vizuri kama ungesoma maelezo ya Dr.Slaa. yeye alihusika na suala hili wakati akiwa katibu wa TEC.
..kwa kifupi mazungumzo kati ya Kanisa na serikali yalianza 1986, halafu hii MOU ilisainiwa miaka ya 90 wakati Lowassa ni waziri ktk Ofisi ya waziri mkuu.
..sasa tangu wakati huo mpaka leo kama Bakwata wangekuwa na nia ya kusaini MOU ya aina yoyote na serikali binafsi naamini wangepewa nafasi hiyo.
..vilevile serikali ya Mkapa walitoa majengo ya Tanesco kuwa Chuo Kikuu cha Waislamu. sasa mali kama zile, na ukizingatia kwamba zilikuwa za Tanesco, hazihamishwi bila mkataba unaotambulika kisheria.
..sidhani kama serikali ikiamua kufanya jambo fulani na Waislamu basi lazima ifanye jambo hilohilo kwa Wakristo. tukiwa na mawazo kama hayo ndiyo mwanzo wa frustration zisizokwisha.
Serikali ilikataa kusaini MOU ya waislam,ndio maana MUFTI kwenye mkutano wake wa MYK alisema kuwa nchi hii inamilikiwa na wakristu kila kitu wanapata akiwa na maana ya huu mkataba mchafu wenye ubaguzi,ilipositishwa misamaha ya kodi ambako ndio wakristu wanatanua na misamaha hiyo.walipoambiwa serikali warudishe misamaha walirudisha haraka sana.hivi sasa kila MKRISTU ANASAJILI KANISA LAKE ILI WAKWEPE KODI.
waislam walipeleka MOU wakati wa MKAPA lakini hadi leo hawajjibiwa.
Joka kuu kuna shule nyingi za waislam zimetaifishwa kama Tambaza,ZANAKI,AZANIA,JANGWANI,shule ya msingi mnazi mmoja na lumumba bila kusahau AMANA primary school,MWEMBETOGWA KULE IRINGA.
kwenye kutaifisha waislam ndio wameathirika sana majumba yote ya posta,mnazi mmoja,kisutu,upanga yalikuwa mali ya waislam kila mji majumba mazuri yalikuwa mali za waislam Nyerere akataifisha kwa chuki za udini.
mkapa hakutoa chuo cha Morogoro kwa moyo mweupe,alitoa ili kujisafisha na mauaji ya bila hatia ya mwembechai na Pemba kwa chuki zake kwa waislam,
baada ya kuwaua waislam bila hatia,huku akiwa kajilimbikizia mali nyingi kwa dili zake chafu kuanzia EPA,KIWIRA,KAGERA SUGAR akaona atakuwa hana cha kusema mbele ya watanzania na waislam, kote ananuka akaona atoe chuo kama njia ya kujisafisha.
Slaa kama alikuwa mpenda haki angesema jamani wakati tunaanda hii MOU walikuwepo waislam mbona leo kwenye kusaini hawapo?
walitumiwa waislam mwanzoni ili kumdanganya mzee Mwinyi kuwa dini zote ziko huko mbeleni LOWASSA AKASAINI na jamaa zake wa kanisa.
watu hawa hawa mnalalamika kuwa waislam wasiwe na mahakama ya Kadhi KWA PESA ZA taifa, tukisema tujiunge na OIC ili tutumie pesa za waislam hamtaki.
kwa kweli ndugu zetu hambebeki na mnazidi kutujengea chuki kwa kutuwekea mamikataba kama hii inayowanufaisha nyinyi tu. mnafiki mbunge LAZARO tunaomba kauli yako juu ya MOU ya kanisa na serikali?