Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

mwite dr slaa aje afafanue kama sio kutueleza kwanini bakwata walijitoa??

Yeye si alikuwa katibu mkuu kipindi hicho,bila shaka atakuwa anaufaham ukweli,,

1.je,ni kweli bakwata walijitoa kwa kuwa walikuwa hawana kitu na njaa kali??

2.au bakwata walionekana kama ni tishio kwa mipango mingine iliyofichikana wakatengw??

Kikubwa nilichokiona alichokisema dr slaa hapo ni yeye kutotaka kuisemea bakwata na kutotaka kujiingiza kwenye mjadala kama bakwata ni wasemaji wa uislam na waislam nchini hapa,hili bado lina ukakasi na dr slaa lazima atuweke wazi,,

siku zote kweli humfanya mtu kuwa huru zaid.

Mhhh

Kwa mtazamo wangu finyu inatakiwa viongozi wa BAKWATA ndio waitwe ili wathibitishe kama kweli walijitoa na katika mazungumzo hayo na kutueleza sababu za kujitoa. Tukimuuliza mtu mwingine kama Dr. Slaa sidhani kama anaweza kuwa na jibu lililonyooka la kutueleza kuhusu upande wa pili kujitoa.

WAITENI BAKWATA WAJIBU TUHUMA kwa nini walijitoa na kusababisha na sisi Waislamu tusisaini MOU kama walivyofanya Wakatoliki!!!!!!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
mwite dr slaa aje afafanue kama sio kutueleza kwanini bakwata walijitoa??

Yeye si alikuwa katibu mkuu kipindi hicho,bila shaka atakuwa anaufaham ukweli,,

1.je,ni kweli bakwata walijitoa kwa kuwa walikuwa hawana kitu na njaa kali??

2.au bakwata walionekana kama ni tishio kwa mipango mingine iliyofichikana wakatengw??


Kikubwa nilichokiona alichokisema dr slaa hapo ni yeye kutotaka kuisemea bakwata na kutotaka kujiingiza kwenye mjadala kama bakwata ni wasemaji wa uislam na waislam nchini hapa,hili bado lina ukakasi na dr slaa lazima atuweke wazi,,

siku zote kweli humfanya mtu kuwa huru zaid.

Dr. Slaa alikuwa katibu wa TEC. Bakwata iliwakilishwa na nani? Kwanini msianzie kuuliza hilo kwa Bakwata wenyewe maana Dr.Slaa hakuwa mwakilishi wao.
Mipango mingine iliyojificha ni ipi ndugu yangu? Mbona mnakuwa watu wa kuhisihisi tu vitu wakati hata mkataba wenyewe upo hadharani?
Kikwete aliwaambia hamjanyimwa hiyo kitu, kama mnakidhi vigezo ombeni na nyinyi mtapewa. Tatizo ninaloliona hapa ni kwamba mambo hayo nyiyi waislam hamuyawezi. Nikiangalia vipaumbele vya viongozi wenu na uwezo wao wa kuhimili changamoto za kidunia napata mashaka sana juu ya uwezo wao wa kuendesha miradi kama hii. AshaDii na Mohamed Mtoi walizungumzia suala la elimu. Hilo siyo suala la kupuuzia zama hizi .
Usione vyaelea, vimeundwa...
 
cover.jpg


quote_icon.png
By Dr.W.Slaa


Wana JF,

Nashukuru mwana JF aliyeweka hadharani MOU husika
. Ningependa tu kuongezea machache na hasa historia ya jinsi na kwanini MOU hiyo ilizaliwa:-

1)
Wote mtakumbuka kuwa huko nyuma Serikali ilitaifisha Shule na nyingi za madhehebu ya Dini. Utaifishaji huo uliendana pia na Ardhi, hasa ikizingatiwa kuwa wakati shule zinajengwa zilijengwa kwenye maeneo ya madhehebu ya dini na papo hapo kukukiwa na kanisa, nyumba za mapadre na kadhalika. Hii ilikuwa hivyo kwa shule nyingi za Middle School (Model Schools, Upper Primary kama mnavyojua majina yalibadilika sana kati ya 1962 hadi 1965 hivi na ndipo pia mtihani au darasa la nane lilipofutwa rasmi).

2)
Kwenye miaka ya 1980 madhehebu yakataka warudishiwe ardhi yao, hasa ardhi ambayo ina majengo mengine yasiyohusiana na shule hizo. Mchakato wa mjadala ulishika kasi, mwaka 1986 Baraza la Maaskofu Katoliki TEC, lilipopitisha azimio rasmi,na kumtaka Katibu Mkuu, awasiliane na Serikali, kuanzisha mchakato wa kufanya survey na kutenga ardhi ya shule rasmi kutoka kwenye ardhi inayotumika kwa huduma nyinginezo za madhehebu ya dini. Wakati huo mimi Dr. Slaa, ndiye nilikuwa Katibu Mkuu wa TEC baada ya kupokea rasmi kazi hiyo December, 1985. Wakati huo madhehebu yaliisha kudai yarudishiwe Shule zao kwa kuwa zimegeuka kuwa aibu kwa kukosa ukarabati, na ziko kwenye hali mbaya sana. Serikali ilikuwa imekataa ombi hilo kwa lengo la kuwa Shule hizo zinawahudumia watanzania wote bila ubaguzi, jambo ambalo ndilo lilikuwa lengo kuu la utaifishaji, na sababu ya utaifishaji ilikuwa bado inaendelelea.

3) Wakati mawasiliano yalipoanza na Serikali wakati huo kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara ya Elimu, Serikali iliomba TEC na madhehebu ya Dini kwa ujumla, kama yanaweza kusaidia ukarabati wa shule hizo kwa kuwa ziko kwenye hali mbaya na hali ya uchumi wa nchi haikuwa nzuri na hivyo mapato ya Serikali.

4) Wakati mchakato huo kwa upande wa Elimu umeanza kulikuwa pia na mgogoro kati ya Serikali na TEC baada ya Serikali kuichukua Hospitali ya Bugando almost kwa utaratibu huo huo wa kuitaifisha. Hospitali hiyo ilikuwa kwenye awamu ya Pili ya ujenzi kwa msaada mkubwa wa Shirika la Misereor( Shirika la Maendeleo la Baraza la Maaskofu Katoliki la Ujerumani) toka Ujerumani.

5) Katibu Mkuu wa TEC alipowasiliana na Wahisani walikataa kata kata kujihusisha tena na ujenzi au ukarabati wa Shule au Hospitali ( Hospitali, vituo vya Afya na zahanati) kwa kuhofia kuwa Serikali ya Tanzania imekuwa ikitaifisha huduma hizo bila majadiliano ya aina yeyte, na hawawezi kuwekeza fedha za walipa kodi wao ( ujerumani Madhehebu ya dini yanapata fedha rasmi kutoka kodi ya wananchi) kwa ratio waliyokubaliana kuendana na idadi ya madhehebu ya dini. Lakini walikuwa tayari kuendelea na huduma mbalimbali za kusaidia madawa na elimu kwa shule zilizoko bado chini ya madhehebu kwa kuwa hawawezi kuwaadhibu wananchi na watoto.

6) Kwa kuwa shughuli zote za Bugando zilikuwa zinaelekea kusimama na kulikuwa na mgomo kila siku, kwa madaktari na manesi na watumishi, Serikali ikaomba tujadiliane upya juu ya mambo makubwa mawili :
a) Utoaji huduma katika sekta za huduma za Jamii,
b) Kuwa na chombo cha mawasiliano na majadiliano kati ya Ikulu na madhehebu ya dini, na kwa kuwa madhehebu ni mengi wakaomba chombo hicho kiundwe na viongozi wakuu wa madhehebu yaliyokuwa yanajulikana kwa mujibu wa Sheria.

Hivyo Bakwata ( Waislamu- sitaki kuingia kwenye mjadala wa kama Bakwata ni chombo kinachowasilisha waislamu au la), Tanzania Episcopal Conference TEC na CCT ( kwa madhehebu zaidi ya 60 yaliyoko chini ya Christian Council of Tanzania) . Baada ya Mashauriano tuliunda chombo hicho kikiwakilishwa na Mwenyekiti na Katibu wa vyomb o nilivyovitaja hapo juu. Uratibu ulikuwa unabadilika kila mwaka katika ya madhehebu hayo, vivyo hivyo kwa Sekretariat. Kutokana na utaratibu huo tuliweza kupatia ufumbuzi matatizo yaliyokuwa yakijitokeza mara kwa mara na ikawa rahisi kwa Serikali kuwasiliana na chombo hicho badala ya kila dhehebu peke yake, na kwa upande wetu pia chombo hicho kikatupa nguvu ya kujadiliana na serikali (power of negotiation).

7) Kutokana na hali mbaya ya Shule Serikali, ikaomba madhehebu ya dini kusaidia ukarabati wa shule zilizoonekana zitafungwa kutokana na hali mbaya , nasi kwa upande wetu kwa nia njema ya kuisaidia Serikali lakini pia kuwahudumia watanzania tuliwasiliana na Wahisani ambao walikazia msimamo wao kuwa hawako tayari kuingia kwenye shughuli za ujenzi wala ukarabati kwa kukosa msimamo wa wazi na au wa kisheria wa Serikali ya Tanzania kuhusiana na utaifishaji wa huduma hizo. Serikali ilipojulishwa, ilichukua hatua ya kuanzisha mchakato mzima wa kupata suluhu ya jambo hilo. Ndipo akapewa jukumu hilo, Mhe. Anne Makinda wakati huo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, na mkutano wa kwanza ulifanyika Kurasini Conference Centre (TEC) Mikutano ya baadaye ilikuwa ina alternate kati ya TEC na CCT. Hii ni kwa sababu huduma zilizokuwa zinajadiliwa ni za TEC na CCT ( ambao walikuwa wameathirika na utaifishaji huo). Hatimaye, Serikali ilikubali kuwa haitataifisha tena, na kwa kuthibitisha hivyo, ikawa tayari kuwekeana MOU na madhehebu ya Dini.
Ndipo tukaanzisha mchakato wa majadiliano na Wahisani, na wahisani, nao katika umoja wao kati ya dhehebu la kikatoliki Ujerumani na Kilutheri pia la Ujerumani tukaanzisha mchakato wa namna bora ya kutoa huduama za jamii. Daima Serikali ilishirikishwa kama Observer katika michakato hiyo, na kwa upande wa Ujerumani Serikali yao nayo ilishirikishwa katika timu za majadiliano. Hatimaye, makubaliano yalifikiwa, na ndipo ikazaliwa chombo kipya Christian Social Services Commission (CSSC), chenye Secretariat yake ( Katibu Mtendaji wa kwanza akawa Dr. F.Kigadye aliyekuwa Mkurugenzi wa Bugando).

Huduma za kilichokuwa Christian Medical Board (ya TEC na CCT ikavunjwa na kuwekwa chini ya CSSC) na idara za Elimu zilizokuwa chini ya TEC na CCT huduma zake zikaunganishwa na kuwekwa chini ya CSSC. Ndiyo MOU iliyosainiwa na Askofu Stanford Shauri wa Diocese ya Ruvuma, Mwenyekiti/Katibu Mkuu wa CCT wakati huo, na Askofu Josephat Lebulu, wakati huo Askofu wa Jimbo Katoliki la Same, na Mwenyekiti wa TEC. Kwa upande wa Serikali kama sikosei aliweka saini Mhe. Edward Lowassa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (au Waziri sikumbuki).

8) TEC na CCT nazo zikawekeana na Wahisani Mkataba MOU yao ya ndani ili kupata misaada ya ujenzi, ukarabati na uendelezaji wa huduma zote za jamii . Huduma hizo zinaendelea hata sasa japo sasa kwa kiwango kidogo baada ya mkataba wa awali kwisha.

Narudia tena, namshukuru sana aliyeweka kwenye JF MOU hiyo.
Ninarudia kuwaomba wenzangu, tumetumia muda mrefu sana kujadiliana kwa hisia ya aina mbalimbali. Watanzania hatukuzoea huko nyuma kuulizana dini zetu, wala kabila wala ukanda. Haya mambo tukiyaendekeza Taifa letu litakuwa hatarini. Tukumbuke kubomoa ni kazi nyepesi sana, sekunde lakini kujenga tena inachukua muda mrefu na ni kaz ngumu, na wakati mwingine hata ukifanikiwa huwezi kujenga kama ilivyokuwa. Nashauri ili JF ibaki na heshima yake ya Home of Great Thinkers tupende kufanya Research zaidi kabla ya kulaumiana au kuhisiana, kama mtu hana taarifa za kina awaombe wenye taarifa. Kama mnavyoona mimi nilikuwa nafahamu historia yote, nafahamu MOU, lakini sikuwa nayo. Mtu huwezi kujua kila kitu na au kuwa na kila kitu, we need to complement each other. Tunaweza tukidhamiria, na JF itabaki na hadhi na heshima yake daima.

Asante sana mkuu kutujuza!
 
Kama kuna mtu hajaelewa hapa kwenye ufafanuzi huu atakuwa kilaza mkubwa.
Itabidi tuanze kumshawishi ajiandikishe MEMKWA kwa kuanzia.
 
Mhhh

Kwa mtazamo wangu finyu inatakiwa viongozi wa BAKWATA ndio waitwe ili wathibitishe kama kweli walijitoa na katika mazungumzo hayo na kutueleza sababu za kujitoa. Tukimuuliza mtu mwingine kama Dr. Slaa sidhani kama anaweza kuwa na jibu lililonyooka la kutueleza kuhusu upande wa pili kujitoa.

WAITENI BAKWATA WAJIBU TUHUMA kwa nini walijitoa na kusababisha na sisi Waislamu tusisaini MOU kama walivyofanya Wakatoliki!!!!!!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Mkuu, walioathirika na utaifishaji husika ndiyo waliosaini MOU!
 
Maelezo ya ufafanuzi aliyoyatoa Dokta Slaa yanaeleweka. Yeye amefafanua jinsi mambo yalivyokuwa kwakuwa alikuwa ni katibu wakti huo. Tunafahamu wadhifa wa katibu. Ninashangaa ninapoona baadhi ya watu wakiendelea kukebehi maelezo yake. Kuna watu wanaajenda ya siri - Mungu atawaumbua tu! Tuzidi kuomba na kumlilia mUngu - yeyote mwenye lake jambo la kutaka kuvuruga amani ya Tanzania amwanika hadharani - tumwone na kumzomea! Narudia kusisitiza tena (kama wengine waliotangulia walivyosema) serikali inaujua ukweli wote. Hiyo MOI kama alivyoelezea Dk Slaa wanayo nakala yake - kwa nini wanayamaza kimya maneno ya uzushi yanapojitokeza? Na kwa nini hayakemewi na kuanika ukweli kuwa, 'hakuna mfumo Kristo'. Mimi hainiingia akilini kabisa, kwa kuwa, kila nafasi ya juu kabisa hapa nchini kwetu walioshika ni waumini wa dini yao - sasa huoni wanajitukana wenyewe?
 
Mimi labda sijaelewa Slaa anatolea ufafanuzi kama msemaji wa kanisa au kiongozi wa chadema.Babu mbona unatuchanganya uko upande upi

Mkuu, ukimfafanulia mwanao au mdogo wako suala aliloshindwa kulielewa vizuri darasani, wewe unabadilika na kuwa msemaji wa wanafunzi au wizara ya elimu sababu ya ufafanuzi tu?

Hili ni jukwaa. Mwenye kujua jambo lililoletwa kujadiliwa huchangia kulingana na ujuvi wake.
 
si kweli,yapo mengi sana umeyaacha kwenye mission & visions za oic,na zipo nchi nyingi za kiafrika kama tanzania ambazo sio islamic states au arabic states zilizojiunga na oic kwa manufaa ya kiuchumi pia,kama unaibana hoja hiyo,vip waislam wakija na hoja ya kuwepo kwa uwakilishi wa vatican hapa nchini??uwakilishi huo ni kwa manufaa ya upande upi baina ya pande hizi mbili??

oic ina takriban nchi wanachama 57 zinazoshirikiana kiuchumi na mambo mengine,nitakupa baadhi ya nchi za africa ambazo sio islamic states na zimejiunga na jumuiya hiyo kwa manufaa makubwa kabisa,
ZIPO NCHI KAMA UGANDA,NIGERIA,SUDAN,IVORY COAST,GABON,MSUMBIJI,TOGO N.K
HIZO NI NCHI WANACHAMA WANAONUFAIKA MOJA KWA NA JUMUIYA HIYO HALI YA KUWA KWENYE MATAIFA YAO KUNA MCHANGANYIKO WA DINI MBALI MBALI,VIP NYERERE ALIZUIA HOJA HIYO ILIPOTOKEZA HAPA NCHINI,VIP VATICAN IKAPATA URAHIS WAKATI HILI LINAPINGWA,NI WAZI YA KWAMBA ALISHAJENGA MATABAKA NA TENSION ZA KIIMANI,KAMA VATICAN IPO HAPA NA INASAIDIA NDUGU ZETU WA IMANI ZINGNE AMA IMANI ZOTE KWA UJUMLA ALIKUWA ANA SABABU ZIPI ZA KUTILIA SHAKA JUMUIYA HIYO YA MAENDELEO YA KIUCHUMI??NAOMBA UNIPE MAJIBU MKUU.

kwanza inabidi ujue tofauti ya oic na vatican...hapo kuna jumuiya na nchi...vatican ni nchi kamili yenye kufuata imani ya kikatoliki na uhusiano wa vatican na tanzania ni sawa na tanzania na iran kwa maana hakuna masharti 2nayopewa na vatican tofauti na oic ambayo kila nchi mwanachama kuna misingi ya kuifuata ikiwemo kueneza dini ya kiislamu...sasa unataka tanzania ijunge alafu isambaze uislamu kwa faida ya nani?jadili ukiwa fair na siyo ukiwa na lengo la kuibeba imani yako.
 
Maswali ya kujiuliza sasa;-

1. kwanini MoU ilifanywa kwa siri kubwa na hakukuwa na transparency huku serikali ya watu wote ikihusishwa?
2. Kwanini waislam na wao wakitaka kujiunga na OIC ili waboreshe shule na vituo vyao vya afya huwa wanapingwa vikali?

NB: Kikubwa zaidi nilikuwa sijui kama Dr. slaa nae alishiriki kufanikisha MoU, safi sana katibu!

Umeshawahi kujiuliza mangapi yanayofanyika serikalini bado ni "siri" kwa wananchi wengi? Anza na katiba ya JMT yenyewe; wangapi walikuwa wakiifahamu kabla ya enzi hizi zilipoanzishwa harakati za kuiandika upya? Haya, hata Hati ya Muungano tu wangapi waliijua? Unaweza kuendelea kuuliza ni wangapi wanajua sheria ya kuanzisha vyama vya hiyari Tanzania? Utaumwa kichwa bure! Hakukuwa na siri yoyote; kama kawaida, watendaji na wahusika wengine walikuwa na kila kitu. Kwa aliyetaka kujua angetafuta na kupata; kama ilivyokuwa kwa katiba na nyaraka za kisheria. Hatujawahi kuwa na utaratibu wa kutangaza hadharani nyaraka za makubaliano ya vyama, serikali na taasisi. Labda tudai hilo liwekwe kwenye Katiba mpya.
 
huu ufafanuzi unatosha hata kipofu na kiziwi sembuse mwenye mwenye macho na masikio kamili kuelewa utofauti wa oic na Vatican
kwanza inabidi ujue tofauti ya oic na vatican...hapo kuna jumuiya na nchi...vatican ni nchi kamili yenye kufuata imani ya kikatoliki na uhusiano wa vatican na tanzania ni sawa na tanzania na iran kwa maana hakuna masharti 2nayopewa na vatican tofauti na oic ambayo kila nchi mwanachama kuna misingi ya kuifuata ikiwemo kueneza dini ya kiislamu...sasa unataka tanzania ijunge alafu isambaze uislamu kwa faida ya nani?jadili ukiwa fair na siyo ukiwa na lengo la kuibeba imani yako.
 
Ndugu zangu wanaforum kwanza namshukuru Dr. Slaa kwa kutolea ufafanuzi suala la MOU maana limeibua mjadala na manungúniko mkubwa sana ktk makundi mbalimbali ya jamii wengine bila hata kulielewa vema. Mimi binafsi nimeshalieleza sana kwenye facebook mara nyingi sana. Lakini nachokiona kwa wengi pamoja na ufafanuzi wa Dr. Slaa bado wengi hawaelewi. Napenda kuongezea maelezo yafuatayo:-

(1) Watu wanasema hajaeleza juu ya pesa zinazotolewa na serikali kwenda kwenye uendeshaji wa hospitali. Ni kweli Dr. Slaa hajaeleza juu ya masuala ya pesa. Yeye ameeleza tu mazingira yaliyopelekea kuwepo kwa makubaliano yaani MOU kati ya serikali na Makanisa na si taratibu au kanuni zilizowekwa na serikali ili kutekeleza makubaliano hayo.


(2) Ikumbukwe kuwa ni jukumu la serikali kikatiba kutoa huduma za jamii kama afya kwa wananchi wake. Lakini baada ya hali ya kiuchumi kuwa ngumu hasa ktk miaka 80's baada ya vita ya Uganda na Tanzania 1979, serikali ilikosa uwezo wa kutoa huduma za kijamii kwa watu wake waliokuwa wameongezeka na kuzidi idadi ya hospitali na shule zilizokuwepo ikiwa ni pamoja na zile zilizokuwa zimetaifishwa hapo kabla. Ilishindwa kabisa kuendesha hata shule na hospitali walizokuwa wamezitaifisha na pia ikashindwa kujenga nyingine kwa hiyo huduma za elimu na afya zilizidi kuwa duni. Kama njia ya kutatua tatizo la wananchi kukosa huduma za afya serikali ikataka kuendelea kutaifisha hospitali za madhehebu ya dini zilizokuwa zimejengwa tena baada ya utaifishaji wa kwanza ili izitumie kuwahudumia wananchi. Lakini baada ya mvutano mkali na makanisa ilishindwa kuzitaifisha hizo hospitali ikabidi serikali ikubaliane na makanisa iwahudumie wananchi wake kupitia hospitali hizo za makanisa.


(3) Kuhusu Pesa: Kwanza napenda ieleweke kuwa si hospitali zote za makanisa zilizoko kwenye makubaliano ya serikali kuwahudumia wananchi wake kupitia hizo hospitali kwa kuzipatia ruzuku. Zinazopata ruzuku ni zile za wilaya na mikoa yaani Hospitali teule (District Disignated Hospitals –DDH) na zile za rufaa kama Bugando, KCMC na nyinginezo kama CCBRT. Ilibidi serikali iwe inatoa ruzuku ya 0%-50% ya gharama za uendeshaji ili gharama za huduma ktk hospitali hizo ziwe nafuu ukilinganisha na hospitali ambazo ni za binafsi kwa 100% huku makanisa yakitoa 50%-100% ya gharama za uendeshaji. Kwa maneno mengine makanisa hutoa pesa zake kugharimia huduma kwa watanzania wote bila kujali dini zao. Na mara nyingi serikali inapochelewa kupeleka hata hizo ruzuku makanisa hutoa gharama zote. Kwa maneno mengine makanisa huikopesha serikali bila hata riba yoyote kwa ajili ya kuwahudumia watanzania wote!

>>Ruzuku hizo za hadi 50% hutolewa kama fedha, madawa, misamaha ya kodi, mishahara, kuendeleza watumishi wa hospitali, vifaa tiba na vifaa vya maabala. Kumbuka gharama za uendeshaji ktk vipengere vyote hivyo nilivyotaja hutolewa kwa ubia yaani 0%-50% serikali na 50%-100% makanisa. Kwa maneno mengine tunaweza kusema uendeshaji wa hospitali hizo nusu ni wa umma na nusu wa binafsi. Makubaliano haya yamewekwa kwa lugha ya kisheria ktk MOU. Taratibu za utekelezaji wake hazipo kwenye makubaliano hayo (MOU) ndo maana watu hawaelewi wanadhani serikali hutoa tu hela na kupeleka makanisani. Bajeti za serikali ziko wazi zinaonyesha ruzuku zinazovyotolew. Na mtu akisoma kwenye MOU kwamba serikali itatoa support anadhani Pesa zinapelekwa tu na uendeshaji wote unatumia pesa ya serikali; HAPANA! Support hiyo ambayo ni ruzuku inatolewa ili gharama za matibabu ziwe nafuu na za chini zenye ulinganifu na hospitali za umma. Mfano ukiangalia gharama ktk hospitali za rufaa za Bugando na KCMC zina ulinganifu na zile za hospitali za rufaa za Mbeya na Muhimbili; za wilaya na mikoa hivyo hivyo. Na huduma nyinginezo kama za mama na mtoto hutolea bure tofauti na hospitali za binafsi mfano za Aga Khan. Magonjwa mengine kama Fistula na mengineyo kwa akina mama na wazee wagonjwa hutibiwa BURE (mfano CCBRT).

>>Sasa watu wanahoji kama serikali inatoa ruzuku za uendeshaji ktk hospitali za makanisa kwa nini huduma hazitolewi bure. Jamani ebu jaribuni kuelewa mfumo wa utoaji wa huduma za jamii hapa nchini. SERA YA SERIKALI NI KUCHANGIA HUDUMA ZA JAMII kama AFYA, ELIMU n.k. Hata kwenye hospitali za umma kama Muhimbili na nyinginezo ambako serikali hupeleka ruzuku ya kuziendesha kwa 100% kuna gharama za kulipia. Mfano mimi huwa naenda MOI na kumuona daktari bingwa (Specialist) au daktari wa mazoezi huwa natoa 30,000/= (Consultation fee) hapo bado madawa ambayo nayo inabidi uchangie na wakati mwingine unaambiwa hayapo kwa hiyo inabidi ukanunue kwenye maduka ya dawa binafsi. Na hata kama sio first track kumuona daktari bingwa (specialist) kwa kawaida inaenda hadi 20,000/=. Sasa swali la kujiuliza ni hili: Kama kuna uchangiaji kule ambako serikali imejenga kwa pesa ya wananchi na ambako inatoa pesa ya wananchi kama ruzuku ya uendeshaji kwa 100%, iweje gharama za huduma ziwe bure kule ambako serikali haikujenga na ambako hutoa ruzuku ya 0%-50% (si 100%) kwa ajili ya gharama za uendeshaji tu? Ebu wanaforum tuache jazba tufikirie na kuchunguza ukweli sahihi ili tupate uhalisia badala ya kuendelea kukaririshwa taarifa za uongo.

(4) Wengine wamehoji na kusema kuwa serikali inayaombea makanisa misaada toka nje. Ni upotoshaji mkubwa. Serikali haiombi misaada kwa ajili ya makanisa hata kidogo! Ikumbukwe kuwa Mashirika ya dini ya kikristo ya nje hata kabla ya uhuru yalikuwa yakitoa misaada na kutoa huduma za kijamii hapa nchini. Hata baada ya uhuru mashirika hayo yameendelea kutoa misaada kwa makanisa hapa nchini kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali na shule. Lakini kutokana na serikali ya Tz kubinafsisha shule na hospitali za makanisa ambazo zilijengwa kwa misaada ya Mashirika ya Kikristo ya nje yalijiondoa ktk kutoa misaada hiyo. Kwa hiyo makanisa ya TZ yakawa tena hayapati misaada toka kwa mashirika ya makisa yao huko nje, matokeo yake ujenzi wa shule na hospitali ukazorota. Baada ya hali hiyo ilibidi makanisa yajadiliane na serikali juu ya hali hii na serikali ya TZ ilibidi ikubali kuhusika ili kurejesha uhusiano na mashirika hayo ya Kikristo ya nje ili yaendelee kutoa misaada kwa makanisa ktk ujenzi wa shule na hospitali ili kuendelea kutoa huduma kwa jamii. Kwa hiyo kusema kwamba serikali inayaombea makanisa misaada toka nje ni kuelewa vibaya maelezo yaliyoko kwenye MOU au kuamua kupotosha ukweli halisi. Na kama kuna mtu ana ushahidi wa serikali kuomba misaada kwa ajili ya makanisa alete huo ushahidi. Misaada inayoombwa na serikali kusaidia bajeti yake inapokuwa ya wizara ya afya na kuipeleka kwenye hospitali zinazomilikiwa na makanisa ni katika mpango ule ule wa serikali kutoa hadi 50% ya gharama za uendeshaji wa hospitali hizo ili kuwahudumia wananchi wake. Isichukuliwe kwamba serikali inomba misaada kwa ajili ya kuendesha ibada au mambo ya kiimani ya makanisa! Bali ni misaada ya kusaidia bajeti yake ikiwemo wizara ya afya na hivyo kupelekwa kwenye hospitali. Na hii haina itikadi za kidini watu wote hutibiwa na kupata ajira ktk hospitali hizo kwa usawa.

(5) Kuhusu support ktk shule za mashirika ya dini naomba kuwaelewesha hivi: Support hiyo ktk shule haitolewi kama FEDHA! HAKUNA fedha inayotolewa na serikali kwenda kuendesha shule za makanisa. Support inayoongelewa hapo kwenye MOU ktk shule ni kupitia walimu waliosoma ktk shule na vyuo vya umma. Waalimu na watumishi wote waliosomea shule za serikali na vyuo vya serikali wamesomeshwa kwa pesa za wananchi aidha bila wao kuchangia (yaani waliosoma bure) au kwa huchangia karo na michango. Mfano karo ya shule za boding (sekondari) ni 70,000/= au day ni 20,000/=. Sasa hii si gharama halisi ambayo mwanafunzi alitakiwa kutoa bali ni gharama ambayo mwanafunzi huchangia tu, gharama kubwa kwa ajili ya kumsomesha hutolewa na serikali. Kwa hiyo wanafunzi hao wanapomaliza mafunzo yao mfano waalimu HAWAZUIWI kwenda kuajiriwa na shule za makanisa au za watu au mashirika binafsi kwa kuwalazimisha waajiriwe serikalini tu ili warudishe gharama. Bali serikali inawaruhusu waajiriwe hata kwenye shule hizo za makanisa au za watu na mashirika binafsi mengine kama huduma kwa jamii. Na wanapoajiriwa huko wanalipwa na makanisa. Hii ndiyo support inayoongelewa kwa upande wa shule za kawaida za makanisa. Hakuna hata senti moja inayopelekwa kuendesha shule binafsi. Makanisa huendesha shule zake kwa karo na pesa za sadaka na misaada toka mashirika ya kidini ya nje. Bajeti za serikali ziko wazi kama kuna mtu ana ushahidi huo anikosoe na asipotoshe!

>> Kwa hiyo suala la support watu walielewe vizuri iwe ni kwa Hospitali au shule. Liko kama nilivyolieleza. Pia ieleweke kuwa makanisa ni wamiliki tu wa hospitali na shule hizo. Hakuna ibada yoyote ktk hospitali hizo. Hospitali hizo hazihitaji mchungaji, padre au askofu wala kutumia msitari wowote wa biblia au kitabu chochote cha dini ili kutoa huduma. Lakini pia huhudumia na kuajiri watu wote bila kujali itikadi za kidini, kabila, kanda au hata uzanzibar na ubara. Vigezo vya ajira ni taaluma ya mtu na huduma kwa wagonjwa ni kwa watu wote. Tofauti na mahakama za kadhi ambazo huduma zake ni ibada kwa waislamu na huhitaji viongozi wa dini yaani Makadhi na kutumia mistari ya Quran na vitabu vingine vya kiislamu ktk kufanya kazi zake.
 
Ndugu zangu wanaforum kwanza namshukuru Dr. Slaa kwa kutolea ufafanuzi suala la MOU maana limeibua mjadala na manungúniko mkubwa sana ktk makundi mbalimbali ya jamii wengine bila hata kulielewa vema. Mimi binafsi nimeshalieleza sana kwenye facebook mara nyingi sana. Lakini nachokiona kwa wengi pamoja na ufafanuzi wa Dr. Slaa bado wengi hawaelewi. Napenda kuongezea maelezo yafuatayo:-

(1) Watu wanasema hajaeleza juu ya pesa zinazotolewa na serikali kwenda kwenye uendeshaji wa hospitali. Ni kweli Dr. Slaa hajaeleza juu ya masuala ya pesa. Yeye ameeleza tu mazingira yaliyopelekea kuwepo kwa makubaliano yaani MOU kati ya serikali na Makanisa na si taratibu au kanuni zilizowekwa na serikali ili kutekeleza makubaliano hayo.


(2) Ikumbukwe kuwa ni jukumu la serikali kikatiba kutoa huduma za jamii kama afya kwa wananchi wake. Lakini baada ya hali ya kiuchumi kuwa ngumu hasa ktk miaka 80's baada ya vita ya Uganda na Tanzania 1979, serikali ilikosa uwezo wa kutoa huduma za kijamii kwa watu wake waliokuwa wameongezeka na kuzidi idadi ya hospitali na shule zilizokuwepo ikiwa ni pamoja na zile zilizokuwa zimetaifishwa hapo kabla. Ilishindwa kabisa kuendesha hata shule na hospitali walizokuwa wamezitaifisha na pia ikashindwa kujenga nyingine kwa hiyo huduma za elimu na afya zilizidi kuwa duni. Kama njia ya kutatua tatizo la wananchi kukosa huduma za afya serikali ikataka kuendelea kutaifisha hospitali za madhehebu ya dini zilizokuwa zimejengwa tena baada ya utaifishaji wa kwanza ili izitumie kuwahudumia wananchi. Lakini baada ya mvutano mkali na makanisa ilishindwa kuzitaifisha hizo hospitali ikabidi serikali ikubaliane na makanisa iwahudumie wananchi wake kupitia hospitali hizo za makanisa.


(3) Kuhusu Pesa: Kwanza napenda ieleweke kuwa si hospitali zote za makanisa zilizoko kwenye makubaliano ya serikali kuwahudumia wananchi wake kupitia hizo hospitali kwa kuzipatia ruzuku. Zinazopata ruzuku ni zile za wilaya na mikoa yaani Hospitali teule (District Disignated Hospitals –DDH) na zile za rufaa kama Bugando, KCMC na nyinginezo kama CCBRT. Ilibidi serikali iwe inatoa ruzuku ya 0%-50% ya gharama za uendeshaji ili gharama za huduma ktk hospitali hizo ziwe nafuu ukilinganisha na hospitali ambazo ni za binafsi kwa 100% huku makanisa yakitoa 50%-100% ya gharama za uendeshaji. Kwa maneno mengine makanisa hutoa pesa zake kugharimia huduma kwa watanzania wote bila kujali dini zao. Na mara nyingi serikali inapochelewa kupeleka hata hizo ruzuku makanisa hutoa gharama zote. Kwa maneno mengine makanisa huikopesha serikali bila hata riba yoyote kwa ajili ya kuwahudumia watanzania wote!

>>Ruzuku hizo za hadi 50% hutolewa kama fedha, madawa, misamaha ya kodi, mishahara, kuendeleza watumishi wa hospitali, vifaa tiba na vifaa vya maabala. Kumbuka gharama za uendeshaji ktk vipengere vyote hivyo nilivyotaja hutolewa kwa ubia yaani 0%-50% serikali na 50%-100% makanisa. Kwa maneno mengine tunaweza kusema uendeshaji wa hospitali hizo nusu ni wa umma na nusu wa binafsi. Makubaliano haya yamewekwa kwa lugha ya kisheria ktk MOU. Taratibu za utekelezaji wake hazipo kwenye makubaliano hayo (MOU) ndo maana watu hawaelewi wanadhani serikali hutoa tu hela na kupeleka makanisani. Bajeti za serikali ziko wazi zinaonyesha ruzuku zinazovyotolew. Na mtu akisoma kwenye MOU kwamba serikali itatoa support anadhani Pesa zinapelekwa tu na uendeshaji wote unatumia pesa ya serikali; HAPANA! Support hiyo ambayo ni ruzuku inatolewa ili gharama za matibabu ziwe nafuu na za chini zenye ulinganifu na hospitali za umma. Mfano ukiangalia gharama ktk hospitali za rufaa za Bugando na KCMC zina ulinganifu na zile za hospitali za rufaa za Mbeya na Muhimbili; za wilaya na mikoa hivyo hivyo. Na huduma nyinginezo kama za mama na mtoto hutolea bure tofauti na hospitali za binafsi mfano za Aga Khan. Magonjwa mengine kama Fistula na mengineyo kwa akina mama na wazee wagonjwa hutibiwa BURE (mfano CCBRT).

>>Sasa watu wanahoji kama serikali inatoa ruzuku za uendeshaji ktk hospitali za makanisa kwa nini huduma hazitolewi bure. Jamani ebu jaribuni kuelewa mfumo wa utoaji wa huduma za jamii hapa nchini. SERA YA SERIKALI NI KUCHANGIA HUDUMA ZA JAMII kama AFYA, ELIMU n.k. Hata kwenye hospitali za umma kama Muhimbili na nyinginezo ambako serikali hupeleka ruzuku ya kuziendesha kwa 100% kuna gharama za kulipia. Mfano mimi huwa naenda MOI na kumuona daktari bingwa (Specialist) au daktari wa mazoezi huwa natoa 30,000/= (Consultation fee) hapo bado madawa ambayo nayo inabidi uchangie na wakati mwingine unaambiwa hayapo kwa hiyo inabidi ukanunue kwenye maduka ya dawa binafsi. Na hata kama sio first track kumuona daktari bingwa (specialist) kwa kawaida inaenda hadi 20,000/=. Sasa swali la kujiuliza ni hili: Kama kuna uchangiaji kule ambako serikali imejenga kwa pesa ya wananchi na ambako inatoa pesa ya wananchi kama ruzuku ya uendeshaji kwa 100%, iweje gharama za huduma ziwe bure kule ambako serikali haikujenga na ambako hutoa ruzuku ya 0%-50% (si 100%) kwa ajili ya gharama za uendeshaji tu? Ebu wanaforum tuache jazba tufikirie na kuchunguza ukweli sahihi ili tupate uhalisia badala ya kuendelea kukaririshwa taarifa za uongo.

(4) Wengine wamehoji na kusema kuwa serikali inayaombea makanisa misaada toka nje. Ni upotoshaji mkubwa. Serikali haiombi misaada kwa ajili ya makanisa hata kidogo! Ikumbukwe kuwa Mashirika ya dini ya kikristo ya nje hata kabla ya uhuru yalikuwa yakitoa misaada na kutoa huduma za kijamii hapa nchini. Hata baada ya uhuru mashirika hayo yameendelea kutoa misaada kwa makanisa hapa nchini kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali na shule. Lakini kutokana na serikali ya Tz kubinafsisha shule na hospitali za makanisa ambazo zilijengwa kwa misaada ya Mashirika ya Kikristo ya nje yalijiondoa ktk kutoa misaada hiyo. Kwa hiyo makanisa ya TZ yakawa tena hayapati misaada toka kwa mashirika ya makisa yao huko nje, matokeo yake ujenzi wa shule na hospitali ukazorota. Baada ya hali hiyo ilibidi makanisa yajadiliane na serikali juu ya hali hii na serikali ya TZ ilibidi ikubali kuhusika ili kurejesha uhusiano na mashirika hayo ya Kikristo ya nje ili yaendelee kutoa misaada kwa makanisa ktk ujenzi wa shule na hospitali ili kuendelea kutoa huduma kwa jamii. Kwa hiyo kusema kwamba serikali inayaombea makanisa misaada toka nje ni kuelewa vibaya maelezo yaliyoko kwenye MOU au kuamua kupotosha ukweli halisi. Na kama kuna mtu ana ushahidi wa serikali kuomba misaada kwa ajili ya makanisa alete huo ushahidi. Misaada inayoombwa na serikali kusaidia bajeti yake inapokuwa ya wizara ya afya na kuipeleka kwenye hospitali zinazomilikiwa na makanisa ni katika mpango ule ule wa serikali kutoa hadi 50% ya gharama za uendeshaji wa hospitali hizo ili kuwahudumia wananchi wake. Isichukuliwe kwamba serikali inomba misaada kwa ajili ya kuendesha ibada au mambo ya kiimani ya makanisa! Bali ni misaada ya kusaidia bajeti yake ikiwemo wizara ya afya na hivyo kupelekwa kwenye hospitali. Na hii haina itikadi za kidini watu wote hutibiwa na kupata ajira ktk hospitali hizo kwa usawa.

(5) Kuhusu support ktk shule za mashirika ya dini naomba kuwaelewesha hivi: Support hiyo ktk shule haitolewi kama FEDHA! HAKUNA fedha inayotolewa na serikali kwenda kuendesha shule za makanisa. Support inayoongelewa hapo kwenye MOU ktk shule ni kupitia walimu waliosoma ktk shule na vyuo vya umma. Waalimu na watumishi wote waliosomea shule za serikali na vyuo vya serikali wamesomeshwa kwa pesa za wananchi aidha bila wao kuchangia (yaani waliosoma bure) au kwa huchangia karo na michango. Mfano karo ya shule za boding (sekondari) ni 70,000/= au day ni 20,000/=. Sasa hii si gharama halisi ambayo mwanafunzi alitakiwa kutoa bali ni gharama ambayo mwanafunzi huchangia tu, gharama kubwa kwa ajili ya kumsomesha hutolewa na serikali. Kwa hiyo wanafunzi hao wanapomaliza mafunzo yao mfano waalimu HAWAZUIWI kwenda kuajiriwa na shule za makanisa au za watu au mashirika binafsi kwa kuwalazimisha waajiriwe serikalini tu ili warudishe gharama. Bali serikali inawaruhusu waajiriwe hata kwenye shule hizo za makanisa au za watu na mashirika binafsi mengine kama huduma kwa jamii. Na wanapoajiriwa huko wanalipwa na makanisa. Hii ndiyo support inayoongelewa kwa upande wa shule za kawaida za makanisa. Hakuna hata senti moja inayopelekwa kuendesha shule binafsi. Makanisa huendesha shule zake kwa karo na pesa za sadaka na misaada toka mashirika ya kidini ya nje. Bajeti za serikali ziko wazi kama kuna mtu ana ushahidi huo anikosoe na asipotoshe!

>> Kwa hiyo suala la support watu walielewe vizuri iwe ni kwa Hospitali au shule. Liko kama nilivyolieleza. Pia ieleweke kuwa makanisa ni wamiliki tu wa hospitali na shule hizo. Hakuna ibada yoyote ktk hospitali hizo. Hospitali hizo hazihitaji mchungaji, padre au askofu wala kutumia msitari wowote wa biblia au kitabu chochote cha dini ili kutoa huduma. Lakini pia huhudumia na kuajiri watu wote bila kujali itikadi za kidini, kabila, kanda au hata uzanzibar na ubara. Vigezo vya ajira ni taaluma ya mtu na huduma kwa wagonjwa ni kwa watu wote. Tofauti na mahakama za kadhi ambazo huduma zake ni ibada kwa waislamu na huhitaji viongozi wa dini yaani Makadhi na kutumia mistari ya Quran na vitabu vingine vya kiislamu ktk kufanya kazi zake. [/QUOTE]
 
Awali ya yote nimshukuru Dr Slaa kwa ufafanuzi wake wa kina juu ya historia ya uingiaji wa MOU katika ya Serikali na taasisi za dini ya kikristo. Kwa upande mwingine niwahusie watanzania wenzagu kujiepusha na ushabiki wa kidini wakati tunajadili suala hili. Tukumbuke kwamba kila mtanzania bila kujali imani yake ana haki ya kupata huduma ya afya. Naamini mpaka sasa watanzania tunapata huduma hizo bila kujali tofauti zetu za kidini. Wahudumu wetu wa afya kwa kuzingatia maadili na miiko yao ya kitaalamu wanawahudumia watanzania wote bila kujali wanatoka sehemu gani ya nchi na waumini wa dini gani.

Masuala mengi yanayojitokeza hivi sasa ni matatizo ya kihistoria ambayo yanapaswa kujadiliwa na kutafutiwa muafaka kwa utulivu na hekima. Hamna asiyejua ubia uliokuwepo kati ya wamisionari na wakoloni katika kuingiza na kueneza ukoloni Afrika na hamna asiejuwa kwamba mahospitali na mashule mengi yalijengwa na mashirika mbalimbali ya kimisionari kwa malengo mbalimbali ikiwemo kutoa huduma za kijamii na kueneza ukoloni.


Ukoloni ulipokufa ulizikwa na mabaya yake. Mazuri yake yakarithiwa na serikali huru ya Tanganyika pamoja na watu wake. Kwakuwa dini kwa asili yake ni jambo jema, baada ya uhuru makanisa yaliingia mikononi mwa wamisionari wa kitanzania japo yaliendelea kuwa na ushirikiano wa karibu na mashirika ya kimisionari ya kimataifa. Katika jitihada zake za kupunguza makali ya sera ya ubaguzi ya kikoloni, serikali ya Tanganyika ilibinafsisha mashule na mahospitali ya misionari pamoja na mambo mengine. Mambo hayo yaliendana na mfumo wa kisiasa na kiuchumi wa ujamaa na kujitegemea. Katika mfumo huo serikali ililazimika kuzimiliki na kuzihudumia hospitali na shule hizo kwa kutumia kodi za wananchi.

Katika kipindi cha kuanzia miaka ya 80 Tanzania ilianza safari ya kwenda katika mfumo wa soko huria na kujitoa katika mfumo wa ujamaa na kujitegemea. Serikali ilianza kujitoa kidogo kidogo katika kumiliki uchumi na kuanza kubinafsisha huduma za umma. Ni kipindi hiki ndipo mawazo ya wamisionari kurudishiwa mashule yao na mahospitali yao yalipoanza. Pamoja na yote hayo, hali ya uchumi wa nchi ilikuwa hoi. Ukichanganya yote haya na ukweli kwamba serikali ilikuwa inaendeshwa kwa fadhila zaidi kutoka nchi za ugaibuni, haikuwa ajabu sana kwa serikali kulazimika kufuata matakwa ya wamisionari wa kimataifa na kuingia katika MOU ili hospitali ziendelee kuwa na uwezo wa kutoa huduma.

Tunachopaswa kujadiliana kwa sasa ni kuangalia namna gani tunaweza kufanya ili pawepo na usawa kamili miongoni mwa watanzania bila kujali tofauti zetu. Tuangalie katika katiba yetu mpya tuingize nini ili kuhakikisha kwamba tunaendelea kupata huduma za afya bila kubaguana. Taasisi za dini nyingine kwa kutumia wafadhili kutoka ndani na nje nazo zijitahidi kuanzia mahospitali na serikali iwaunge mkono kwa nguvu zote. Kama kuna tatizo lolote linalozuia taasisi zingine za kidini kuanzisha mahospitali zitafutiwe ufumbuzi wa kudumu.

Pia kuna haja ya kuitizama upya MOU na kuona kama inakidhi mazingira halisi ya sasa au inahitaji kurekebishwa ili kupunguza hisia miongoni mwa baadhi ya watanzania.


















Acha kutwist maneno ............... Dr. kasema aliwa hajui ulipo na kushukuru JF kwa kuleta halafu wewe unatwambia kasema alikuwa haujui?? Hivi wengine mnafanya maksudi hapa au...................... Tutaelewa kama mtu anachangia udhifu wa MOU lakini siyo propaganda!!

Hilo kosa la MOU liko wapi ............... tufafanulie na sisi ili tuelewe basi!!
 
MRADI mkubwa wa Waislamu ni YESU SIO MUNGU. Wakristo hawajawahi kufanya muhadhara kusema Moh'd nini sijui nini - they are busy building lives - raising leaders to change the world. Christians have always been solving problems both public and personal problems. Hamuwezi kuwa sawa.
Dr. Slaa alikuwa katibu wa TEC. Bakwata iliwakilishwa na nani? Kwanini msianzie kuuliza hilo kwa Bakwata wenyewe maana Dr.Slaa hakuwa mwakilishi wao.
Mipango mingine iliyojificha ni ipi ndugu yangu? Mbona mnakuwa watu wa kuhisihisi tu vitu wakati hata mkataba wenyewe upo hadharani?
Kikwete aliwaambia hamjanyimwa hiyo kitu, kama mnakidhi vigezo ombeni na nyinyi mtapewa. Tatizo ninaloliona hapa ni kwamba mambo hayo nyiyi waislam hamuyawezi. Nikiangalia vipaumbele vya viongozi wenu na uwezo wao wa kuhimili changamoto za kidunia napata mashaka sana juu ya uwezo wao wa kuendesha miradi kama hii. AshaDii na Mohamed Mtoi walizungumzia suala la elimu. Hilo siyo suala la kupuuzia zama hizi .
Usione vyaelea, vimeundwa...
 
Ndugu zangu wanaforum kwanza namshukuru Dr. Slaa kwa kutolea ufafanuzi suala la MOU maana limeibua mjadala na manungúniko mkubwa sana ktk makundi mbalimbali ya jamii wengine bila hata kulielewa vema. Mimi binafsi nimeshalieleza sana kwenye facebook mara nyingi sana. Lakini nachokiona kwa wengi pamoja na ufafanuzi wa Dr. Slaa bado wengi hawaelewi. Napenda kuongezea maelezo yafuatayo:-

(1) Watu wanasema hajaeleza juu ya pesa zinazotolewa na serikali kwenda kwenye uendeshaji wa hospitali. Ni kweli Dr. Slaa hajaeleza juu ya masuala ya pesa. Yeye ameeleza tu mazingira yaliyopelekea kuwepo kwa makubaliano yaani MOU kati ya serikali na Makanisa na si taratibu au kanuni zilizowekwa na serikali ili kutekeleza makubaliano hayo.


(2) Ikumbukwe kuwa ni jukumu la serikali kikatiba kutoa huduma za jamii kama afya kwa wananchi wake. Lakini baada ya hali ya kiuchumi kuwa ngumu hasa ktk miaka 80's baada ya vita ya Uganda na Tanzania 1979, serikali ilikosa uwezo wa kutoa huduma za kijamii kwa watu wake waliokuwa wameongezeka na kuzidi idadi ya hospitali na shule zilizokuwepo ikiwa ni pamoja na zile zilizokuwa zimetaifishwa hapo kabla. Ilishindwa kabisa kuendesha hata shule na hospitali walizokuwa wamezitaifisha na pia ikashindwa kujenga nyingine kwa hiyo huduma za elimu na afya zilizidi kuwa duni. Kama njia ya kutatua tatizo la wananchi kukosa huduma za afya serikali ikataka kuendelea kutaifisha hospitali za madhehebu ya dini zilizokuwa zimejengwa tena baada ya utaifishaji wa kwanza ili izitumie kuwahudumia wananchi. Lakini baada ya mvutano mkali na makanisa ilishindwa kuzitaifisha hizo hospitali ikabidi serikali ikubaliane na makanisa iwahudumie wananchi wake kupitia hospitali hizo za makanisa.


(3) Kuhusu Pesa: Kwanza napenda ieleweke kuwa sihospitali zote za makanisa zilizoko kwenye makubaliano ya serikali kuwahudumia wananchi wake kupitia hizo hospitali kwa kuzipatia ruzuku. Zinazopata ruzuku ni zile za wilaya na mikoa yaani Hospitali teule (District Disignated Hospitals –DDH) na zile za rufaa kama Bugando, KCMC na nyinginezo kama CCBRT. Ilibidi serikali iwe inatoa ruzuku ya 0%-50% ya gharama za uendeshaji ili gharama za huduma ktk hospitali hizo ziwe nafuu ukilinganisha na hospitali ambazo ni za binafsi kwa 100% huku makanisa yakitoa 50%-100% ya gharama za uendeshaji. Kwa maneno mengine makanisa hutoa pesa zake kugharimia huduma kwa watanzania wote bila kujali dini zao. Na mara nyingi serikali inapochelewa kupeleka hata hizo ruzuku makanisa hutoa gharama zote. Kwa maneno mengine makanisa huikopesha serikali bila hata riba yoyote kwa ajili ya kuwahudumia watanzania wote!

>>Ruzuku hizo za hadi 50% hutolewa kama fedha, madawa, misamaha ya kodi, mishahara, kuendeleza watumishi wa hospitali, vifaa tiba na vifaa vya maabala. Kumbuka gharama za uendeshaji ktk vipengere vyote hivyo nilivyotaja hutolewa kwa ubia yaani 0%-50% serikali na 50%-100% makanisa. Kwa maneno mengine tunaweza kusema uendeshaji wa hospitali hizo nusu ni wa umma na nusu wa binafsi. Makubaliano haya yamewekwa kwa lugha ya kisheria ktk MOU. Taratibu za utekelezaji wake hazipo kwenye makubaliano hayo (MOU) ndo maana watu hawaelewi wanadhani serikali hutoa tu hela na kupeleka makanisani. Bajeti za serikali ziko wazi zinaonyesha ruzuku zinazovyotolew. Na mtu akisoma kwenye MOU kwamba serikali itatoa support anadhani Pesa zinapelekwa tu na uendeshaji wote unatumia pesa ya serikali; HAPANA! Support hiyo ambayo ni ruzuku inatolewa ili gharama za matibabu ziwe nafuu na za chini zenye ulinganifu na hospitali za umma. Mfano ukiangalia gharama ktk hospitali za rufaa za Bugando na KCMC zina ulinganifu na zile za hospitali za rufaa za Mbeya na Muhimbili; za wilaya na mikoa hivyo hivyo. Na huduma nyinginezo kama za mama na mtoto hutolea bure tofauti na hospitali za binafsi mfano za Aga Khan. Magonjwa mengine kama Fistula na mengineyo kwa akina mama na wazee wagonjwa hutibiwa BURE (mfano CCBRT).

>>Sasa watu wanahoji kama serikali inatoa ruzuku za uendeshaji ktk hospitali za makanisa kwa nini huduma hazitolewi bure. Jamani ebu jaribuni kuelewa mfumo wa utoaji wa huduma za jamii hapa nchini. SERA YA SERIKALI NI KUCHANGIA HUDUMA ZA JAMII kama AFYA, ELIMU n.k. Hata kwenye hospitali za umma kama Muhimbili na nyinginezo ambako serikali hupeleka ruzuku ya kuziendesha kwa 100% kuna gharama za kulipia. Mfano mimi huwa naenda MOI na kumuona daktari bingwa (Specialist) au daktari wa mazoezi huwa natoa 30,000/= (Consultation fee) hapo bado madawa ambayo nayo inabidi uchangie na wakati mwingine unaambiwa hayapo kwa hiyo inabidi ukanunue kwenye maduka ya dawa binafsi. Na hata kama sio first track kumuona daktari bingwa (specialist) kwa kawaida inaenda hadi 20,000/=. Sasa swali la kujiuliza ni hili: Kama kuna uchangiaji kule ambako serikali imejenga kwa pesa ya wananchi na ambako inatoa pesa ya wananchi kama ruzuku ya uendeshaji kwa 100%, iweje gharama za huduma ziwe bure kule ambako serikali haikujenga na ambako hutoa ruzuku ya 0%-50% (si 100%) kwa ajili ya gharama za uendeshaji tu? Ebu wanaforum tuache jazba tufikirie na kuchunguza ukweli sahihi ili tupate uhalisia badala ya kuendelea kukaririshwa taarifa za uongo.

(4) Wengine wamehoji na kusema kuwa serikali inayaombea makanisa misaada toka nje. Ni upotoshaji mkubwa. Serikali haiombi misaada kwa ajili ya makanisa hata kidogo! Ikumbukwe kuwa Mashirika ya dini ya kikristo ya nje hata kabla ya uhuru yalikuwa yakitoa misaada na kutoa huduma za kijamii hapa nchini. Hata baada ya uhuru mashirika hayo yameendelea kutoa misaada kwa makanisa hapa nchini kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali na shule. Lakini kutokana na serikali ya Tz kubinafsisha shule na hospitali za makanisa ambazo zilijengwa kwa misaada ya Mashirika ya Kikristo ya nje yalijiondoa ktk kutoa misaada hiyo. Kwa hiyo makanisa ya TZ yakawa tena hayapati misaada toka kwa mashirika ya makisa yao huko nje, matokeo yake ujenzi wa shule na hospitali ukazorota. Baada ya hali hiyo ilibidi makanisa yajadiliane na serikali juu ya hali hii na serikali ya TZ ilibidi ikubali kuhusika ili kurejesha uhusiano na mashirika hayo ya Kikristo ya nje ili yaendelee kutoa misaada kwa makanisa ktk ujenzi wa shule na hospitali ili kuendelea kutoa huduma kwa jamii. Kwa hiyo kusema kwamba serikali inayaombea makanisa misaada toka nje ni kuelewa vibaya maelezo yaliyoko kwenye MOU au kuamua kupotosha ukweli halisi. Na kama kuna mtu ana ushahidi wa serikali kuomba misaada kwa ajili ya makanisa alete huo ushahidi. Misaada inayoombwa na serikali kusaidia bajeti yake inapokuwa ya wizara ya afya na kuipeleka kwenye hospitali zinazomilikiwa na makanisa ni katika mpango ule ule wa serikali kutoa hadi 50% ya gharama za uendeshaji wa hospitali hizo ili kuwahudumia wananchi wake. Isichukuliwe kwamba serikali inomba misaada kwa ajili ya kuendesha ibada au mambo ya kiimani ya makanisa! Bali ni misaada ya kusaidia bajeti yake ikiwemo wizara ya afya na hivyo kupelekwa kwenye hospitali. Na hii haina itikadi za kidini watu wote hutibiwa na kupata ajira ktk hospitali hizo kwa usawa.

(5) Kuhusu support ktk shule za mashirika ya dini naomba kuwaelewesha hivi: Support hiyo ktk shule haitolewi kama FEDHA! HAKUNA fedha inayotolewa na serikali kwenda kuendesha shule za makanisa. Support inayoongelewa hapo kwenye MOU ktk shule ni kupitia walimu waliosoma ktk shule na vyuo vya umma. Waalimu na watumishi wote waliosomea shule za serikali na vyuo vya serikali wamesomeshwa kwa pesa za wananchi aidha bila wao kuchangia (yaani waliosoma bure) au kwa huchangia karo na michango. Mfano karo ya shule za boding (sekondari) ni 70,000/= au day ni 20,000/=. Sasa hii si gharama halisi ambayo mwanafunzi alitakiwa kutoa bali ni gharama ambayo mwanafunzi huchangia tu, gharama kubwa kwa ajili ya kumsomesha hutolewa na serikali. Kwa hiyo wanafunzi hao wanapomaliza mafunzo yao mfano waalimu HAWAZUIWI kwenda kuajiriwa na shule za makanisa au za watu au mashirika binafsi kwa kuwalazimisha waajiriwe serikalini tu ili warudishe gharama. Bali serikali inawaruhusu waajiriwe hata kwenye shule hizo za makanisa au za watu na mashirika binafsi mengine kama huduma kwa jamii. Na wanapoajiriwa huko wanalipwa na makanisa. Hii ndiyo support inayoongelewa kwa upande wa shule za kawaida za makanisa. Hakuna hata senti moja inayopelekwa kuendesha shule binafsi. Makanisa huendesha shule zake kwa karo na pesa za sadaka na misaada toka mashirika ya kidini ya nje. Bajeti za serikali ziko wazi kama kuna mtu ana ushahidi huo anikosoe na asipotoshe!

>> Kwa hiyo suala la support watu walielewe vizuri iwe ni kwa Hospitali au shule. Liko kama nilivyolieleza. Pia ieleweke kuwa makanisa ni wamiliki tu wa hospitali na shule hizo. Hakuna ibada yoyote ktk hospitali hizo. Hospitali hizo hazihitaji mchungaji, padre au askofu wala kutumia msitari wowote wa biblia au kitabu chochote cha dini ili kutoa huduma. Lakini pia huhudumia na kuajiri watu wote bila kujali itikadi za kidini, kabila, kanda au hata uzanzibar na ubara. Vigezo vya ajira ni taaluma ya mtu na huduma kwa wagonjwa ni kwa watu wote. Tofauti na mahakama za kadhi ambazo huduma zake ni ibada kwa waislamu na huhitaji viongozi wa dini yaani Makadhi na kutumia mistari ya Quran na vitabu vingine vya kiislamu ktk kufanya kazi zake.
 
Ndugu zangu wanaforum kwanza namshukuru Dr. Slaa kwa kutolea ufafanuzi suala la MOU maana limeibua mjadala na manungúniko mkubwa sana ktk makundi mbalimbali ya jamii wengine bila hata kulielewa vema. Mimi binafsi nimeshalieleza sana kwenye facebook mara nyingi sana. Lakini nachokiona kwa wengi pamoja na ufafanuzi wa Dr. Slaa bado wengi hawaelewi. Napenda kuongezea maelezo yafuatayo:-

(1) Watu wanasema hajaeleza juu ya pesa zinazotolewa na serikali kwenda kwenye uendeshaji wa hospitali. Ni kweli Dr. Slaa hajaeleza juu ya masuala ya pesa. Yeye ameeleza tu mazingira yaliyopelekea kuwepo kwa makubaliano yaani MOU kati ya serikali na Makanisa na si taratibu au kanuni zilizowekwa na serikali ili kutekeleza makubaliano hayo.


(2) Ikumbukwe kuwa ni jukumu la serikali kikatiba kutoa huduma za jamii kama afya kwa wananchi wake. Lakini baada ya hali ya kiuchumi kuwa ngumu hasa ktk miaka 80's baada ya vita ya Uganda na Tanzania 1979, serikali ilikosa uwezo wa kutoa huduma za kijamii kwa watu wake waliokuwa wameongezeka na kuzidi idadi ya hospitali na shule zilizokuwepo ikiwa ni pamoja na zile zilizokuwa zimetaifishwa hapo kabla. Ilishindwa kabisa kuendesha hata shule na hospitali walizokuwa wamezitaifisha na pia ikashindwa kujenga nyingine kwa hiyo huduma za elimu na afya zilizidi kuwa duni. Kama njia ya kutatua tatizo la wananchi kukosa huduma za afya serikali ikataka kuendelea kutaifisha hospitali za madhehebu ya dini zilizokuwa zimejengwa tena baada ya utaifishaji wa kwanza ili izitumie kuwahudumia wananchi. Lakini baada ya mvutano mkali na makanisa ilishindwa kuzitaifisha hizo hospitali ikabidi serikali ikubaliane na makanisa iwahudumie wananchi wake kupitia hospitali hizo za makanisa.


(3) Kuhusu Pesa: Kwanza napenda ieleweke kuwa sihospitali zote za makanisa zilizoko kwenye makubaliano ya serikali kuwahudumia wananchi wake kupitia hizo hospitali kwa kuzipatia ruzuku. Zinazopata ruzuku ni zile za wilaya na mikoa yaani Hospitali teule (District Disignated Hospitals –DDH) na zile za rufaa kama Bugando, KCMC na nyinginezo kama CCBRT. Ilibidi serikali iwe inatoa ruzuku ya 0%-50% ya gharama za uendeshaji ili gharama za huduma ktk hospitali hizo ziwe nafuu ukilinganisha na hospitali ambazo ni za binafsi kwa 100% huku makanisa yakitoa 50%-100% ya gharama za uendeshaji. Kwa maneno mengine makanisa hutoa pesa zake kugharimia huduma kwa watanzania wote bila kujali dini zao. Na mara nyingi serikali inapochelewa kupeleka hata hizo ruzuku makanisa hutoa gharama zote. Kwa maneno mengine makanisa huikopesha serikali bila hata riba yoyote kwa ajili ya kuwahudumia watanzania wote!

>>Ruzuku hizo za hadi 50% hutolewa kama fedha, madawa, misamaha ya kodi, mishahara, kuendeleza watumishi wa hospitali, vifaa tiba na vifaa vya maabala. Kumbuka gharama za uendeshaji ktk vipengere vyote hivyo nilivyotaja hutolewa kwa ubia yaani 0%-50% serikali na 50%-100% makanisa. Kwa maneno mengine tunaweza kusema uendeshaji wa hospitali hizo nusu ni wa umma na nusu wa binafsi. Makubaliano haya yamewekwa kwa lugha ya kisheria ktk MOU. Taratibu za utekelezaji wake hazipo kwenye makubaliano hayo (MOU) ndo maana watu hawaelewi wanadhani serikali hutoa tu hela na kupeleka makanisani. Bajeti za serikali ziko wazi zinaonyesha ruzuku zinazovyotolew. Na mtu akisoma kwenye MOU kwamba serikali itatoa support anadhani Pesa zinapelekwa tu na uendeshaji wote unatumia pesa ya serikali; HAPANA! Support hiyo ambayo ni ruzuku inatolewa ili gharama za matibabu ziwe nafuu na za chini zenye ulinganifu na hospitali za umma. Mfano ukiangalia gharama ktk hospitali za rufaa za Bugando na KCMC zina ulinganifu na zile za hospitali za rufaa za Mbeya na Muhimbili; za wilaya na mikoa hivyo hivyo. Na huduma nyinginezo kama za mama na mtoto hutolea bure tofauti na hospitali za binafsi mfano za Aga Khan. Magonjwa mengine kama Fistula na mengineyo kwa akina mama na wazee wagonjwa hutibiwa BURE (mfano CCBRT).

>>Sasa watu wanahoji kama serikali inatoa ruzuku za uendeshaji ktk hospitali za makanisa kwa nini huduma hazitolewi bure. Jamani ebu jaribuni kuelewa mfumo wa utoaji wa huduma za jamii hapa nchini. SERA YA SERIKALI NI KUCHANGIA HUDUMA ZA JAMII kama AFYA, ELIMU n.k. Hata kwenye hospitali za umma kama Muhimbili na nyinginezo ambako serikali hupeleka ruzuku ya kuziendesha kwa 100% kuna gharama za kulipia. Mfano mimi huwa naenda MOI na kumuona daktari bingwa (Specialist) au daktari wa mazoezi huwa natoa 30,000/= (Consultation fee) hapo bado madawa ambayo nayo inabidi uchangie na wakati mwingine unaambiwa hayapo kwa hiyo inabidi ukanunue kwenye maduka ya dawa binafsi. Na hata kama sio first track kumuona daktari bingwa (specialist) kwa kawaida inaenda hadi 20,000/=. Sasa swali la kujiuliza ni hili: Kama kuna uchangiaji kule ambako serikali imejenga kwa pesa ya wananchi na ambako inatoa pesa ya wananchi kama ruzuku ya uendeshaji kwa 100%, iweje gharama za huduma ziwe bure kule ambako serikali haikujenga na ambako hutoa ruzuku ya 0%-50% (si 100%) kwa ajili ya gharama za uendeshaji tu? Ebu wanaforum tuache jazba tufikirie na kuchunguza ukweli sahihi ili tupate uhalisia badala ya kuendelea kukaririshwa taarifa za uongo.

(4) Wengine wamehoji na kusema kuwa serikali inayaombea makanisa misaada toka nje. Ni upotoshaji mkubwa. Serikali haiombi misaada kwa ajili ya makanisa hata kidogo! Ikumbukwe kuwa Mashirika ya dini ya kikristo ya nje hata kabla ya uhuru yalikuwa yakitoa misaada na kutoa huduma za kijamii hapa nchini. Hata baada ya uhuru mashirika hayo yameendelea kutoa misaada kwa makanisa hapa nchini kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali na shule. Lakini kutokana na serikali ya Tz kubinafsisha shule na hospitali za makanisa ambazo zilijengwa kwa misaada ya Mashirika ya Kikristo ya nje yalijiondoa ktk kutoa misaada hiyo. Kwa hiyo makanisa ya TZ yakawa tena hayapati misaada toka kwa mashirika ya makisa yao huko nje, matokeo yake ujenzi wa shule na hospitali ukazorota. Baada ya hali hiyo ilibidi makanisa yajadiliane na serikali juu ya hali hii na serikali ya TZ ilibidi ikubali kuhusika ili kurejesha uhusiano na mashirika hayo ya Kikristo ya nje ili yaendelee kutoa misaada kwa makanisa ktk ujenzi wa shule na hospitali ili kuendelea kutoa huduma kwa jamii. Kwa hiyo kusema kwamba serikali inayaombea makanisa misaada toka nje ni kuelewa vibaya maelezo yaliyoko kwenye MOU au kuamua kupotosha ukweli halisi. Na kama kuna mtu ana ushahidi wa serikali kuomba misaada kwa ajili ya makanisa alete huo ushahidi. Misaada inayoombwa na serikali kusaidia bajeti yake inapokuwa ya wizara ya afya na kuipeleka kwenye hospitali zinazomilikiwa na makanisa ni katika mpango ule ule wa serikali kutoa hadi 50% ya gharama za uendeshaji wa hospitali hizo ili kuwahudumia wananchi wake. Isichukuliwe kwamba serikali inomba misaada kwa ajili ya kuendesha ibada au mambo ya kiimani ya makanisa! Bali ni misaada ya kusaidia bajeti yake ikiwemo wizara ya afya na hivyo kupelekwa kwenye hospitali. Na hii haina itikadi za kidini watu wote hutibiwa na kupata ajira ktk hospitali hizo kwa usawa.

(5) Kuhusu support ktk shule za mashirika ya dini naomba kuwaelewesha hivi: Support hiyo ktk shule haitolewi kama FEDHA! HAKUNA fedha inayotolewa na serikali kwenda kuendesha shule za makanisa. Support inayoongelewa hapo kwenye MOU ktk shule ni kupitia walimu waliosoma ktk shule na vyuo vya umma. Waalimu na watumishi wote waliosomea shule za serikali na vyuo vya serikali wamesomeshwa kwa pesa za wananchi aidha bila wao kuchangia (yaani waliosoma bure) au kwa huchangia karo na michango. Mfano karo ya shule za boding (sekondari) ni 70,000/= au day ni 20,000/=. Sasa hii si gharama halisi ambayo mwanafunzi alitakiwa kutoa bali ni gharama ambayo mwanafunzi huchangia tu, gharama kubwa kwa ajili ya kumsomesha hutolewa na serikali. Kwa hiyo wanafunzi hao wanapomaliza mafunzo yao mfano waalimu HAWAZUIWI kwenda kuajiriwa na shule za makanisa au za watu au mashirika binafsi kwa kuwalazimisha waajiriwe serikalini tu ili warudishe gharama. Bali serikali inawaruhusu waajiriwe hata kwenye shule hizo za makanisa au za watu na mashirika binafsi mengine kama huduma kwa jamii. Na wanapoajiriwa huko wanalipwa na makanisa. Hii ndiyo support inayoongelewa kwa upande wa shule za kawaida za makanisa. Hakuna hata senti moja inayopelekwa kuendesha shule binafsi. Makanisa huendesha shule zake kwa karo na pesa za sadaka na misaada toka mashirika ya kidini ya nje. Bajeti za serikali ziko wazi kama kuna mtu ana ushahidi huo anikosoe na asipotoshe!

>> Kwa hiyo suala la support watu walielewe vizuri iwe ni kwa Hospitali au shule. Liko kama nilivyolieleza. Pia ieleweke kuwa makanisa ni wamiliki tu wa hospitali na shule hizo. Hakuna ibada yoyote ktk hospitali hizo. Hospitali hizo hazihitaji mchungaji, padre au askofu wala kutumia msitari wowote wa biblia au kitabu chochote cha dini ili kutoa huduma. Lakini pia huhudumia na kuajiri watu wote bila kujali itikadi za kidini, kabila, kanda au hata uzanzibar na ubara. Vigezo vya ajira ni taaluma ya mtu na huduma kwa wagonjwa ni kwa watu wote. Tofauti na mahakama za kadhi ambazo huduma zake ni ibada kwa waislamu na huhitaji viongozi wa dini yaani Makadhi na kutumia mistari ya Quran na vitabu vingine vya kiislamu ktk kufanya kazi zake.
 
Wengi wanajiuliza kwa nini serikali iliingia makubaliano na madhehebu ya dini ya Kikristo na si madhehebu ya dini nyingine kama Wahindu na Waislamu au hata mashirika mengine binafsi? Jibu lake ni kuwa makubaliano haya yana msingi wake kutoka kwenye utaifishaji uliofanyika miaka ya 70's ambapo waathirika wakubwa yalikuwa ni madhehebu ya dini ya Kikristo. Lakini pia baada ya serikali ya CCM kushindwa kutoa huduma za afya na elimu kulingana na uhitaji, miaka ya 90's madhehebu ya dini ya Kikristo yaliamua kuingilia kati ili kuokoa maisha ya watanzania na kuanza kujenga tena hospitali na shule. Lakini hofu na maumivu ya utaifishaji vilikuwa havijasahaulika. Hivyo madhehebu ya dini yalipoanza kujenga tena hospitali hizo na shule, Kwanza ilibidi yahakikishiwe na serikali kuwa haitataifisha tena hospitali na shule zao. Pili kulikuwa na suala la gharama. kumbukeni kuwa ni jukumu la serikali kutoa huduma za afya na elimu kwa wananchi wake. Sasa kwa hali halisi kutokana na gharama za uendeshaji kuwa kubwa, madhehebu ya dini yasingeweza kutoa huduma za afya bure au kwa gharama ya chini. Hivyo serikali ilibidi itoe ruzuku ili baadhi ya huduma kama kwa akina mama na watoto, wazee na kwa baadhi ya magonjwa kama kifua kikuu, fistula,n.k ziwe bure na kwa wengine huduma ziwe za bei nafuu kwa ulinganifu na hospitali nyingine za umma. Sasa ili haya yote yatekelezeke, yaani ya kutokutaifisha hizo hospitali na kutoa huduma kwa bei kama hospitali za umma ilibidi yawekwe kwenye makubaliano, yaani MOU. Sasa kwa bahati mbaya Mashirika mengine ya binafsi, NGOs na madhehebu ya dini nyingine kama Wahindu, Waislamu n.k miaka hiyo ya 90's hawakuweka kipaumbele ktk huduma za kijamii kama afya na elimu. Hawakujihusisha na utoaji sana wa huduma za kijamii kama kujenga hospitali au shule. Kwa hiyo hawakuwa na hospitali zenye hadhi ya wilaya, mikoa na za rufaa ambazo zingewafanya wawe sehemu ya MOU. Ndo maana kwa miaka ya 90's wao hawakuhusika ktk MOU. Ila kwa miaka ya hivi karibuni NGO na madhebu ya dini nyingine yameanza nayo kujihusisha na utoaji wa huduma za kijamii ila kwa kiasi kidogo ukilinganisha na madhehebu ya dini ya Kikristo. Kwa hiyo hoja si kuchukia MOU au kuwachukia wakristo kwa sababu ya MOU. Lazima tuangalie na sababu zilizopelekea kuwepo kwa MOU na wengine kutokuwemo kwenye MOU. Lakini pia kama hoja ni kupewa ruzuku za kuendesha hospitali, basi Waislamu, NGOs na dini nyingine nazo zijenge hospitali mahali ambapo kwanza serikali haina hospitali au zijenge hospitali kubwa ukilinganisha na hospitali za umma ktk maeneo husika ili ziingizwe kwenye mpango wa kupewa ruzuku ili zitoe huduma kwa bei nafuu kama hospitali za umma na za Makanisa. Lakini si kueneza chuku tu na uhasama wa kidini pasipo sababu. Au kama wanaoeneza chuki wana hoja wanipe hata hospitali kubwa yenye hadhi ya hospitali ya wilaya, mikoa na rufaa hata moja iliyojengwa na waislamu, NGOs au wahindu miaka ya 90's mahali ambapo serikali haikuwa na hospitali au ilikuwa na hospitali ndogo ukilinganisha na hospitali ya dini au NGO hizo ili waseme serikali iliwatenga kwenye MOU.
 
Ufisadi wa MoU uko hapa ambapo DR Slaa nasikitika hakuweza kutuelezea kwa undani:

‘The government shall provide vacancies in its Teachers training colleges for training qualified persons as teachers earmarked for church owned schools’. Article xi


‘The government shall endeavour to include financial assistance for church run social services in its bilateral negotiations particularly with the Federal Government of Germany. Consideration shall be made during its bilateral negotiations with other donors’. Article xiii.


Sasa wakristo tujadiliane kwa hoja:


1)
Hivi ni haki kwa serikali isiyokuwa na dini kutowa nafasi za upendeleo kwenye elimu kama artcle xi inavyosema, tena isitoshe kw manufaa ya kanisa?

2)
Ni haki kwa serikali isiyokuwa na dini kuombea kanisa misaada katika Nyanja za kimataifa.

Sasa hapa ni kipi mnahitaji kuoneshwa ili muamini kwamba serikali inawazunguka waislam?


Ndugu zangu wanaforum kwanza namshukuru Dr. Slaa kwa kutolea ufafanuzi suala la MOU maana limeibua mjadala na manungúniko mkubwa sana ktk makundi mbalimbali ya jamii wengine bila hata kulielewa vema. Mimi binafsi nimeshalieleza sana kwenye facebook mara nyingi sana. Lakini nachokiona kwa wengi pamoja na ufafanuzi wa Dr. Slaa bado wengi hawaelewi. Napenda kuongezea maelezo yafuatayo:-

(1) Watu wanasema hajaeleza juu ya pesa zinazotolewa na serikali kwenda kwenye uendeshaji wa hospitali. Ni kweli Dr. Slaa hajaeleza juu ya masuala ya pesa. Yeye ameeleza tu mazingira yaliyopelekea kuwepo kwa makubaliano yaani MOU kati ya serikali na Makanisa na si taratibu au kanuni zilizowekwa na serikali ili kutekeleza makubaliano hayo.


(2) Ikumbukwe kuwa ni jukumu la serikali kikatiba kutoa huduma za jamii kama afya kwa wananchi wake. Lakini baada ya hali ya kiuchumi kuwa ngumu hasa ktk miaka 80's baada ya vita ya Uganda na Tanzania 1979, serikali ilikosa uwezo wa kutoa huduma za kijamii kwa watu wake waliokuwa wameongezeka na kuzidi idadi ya hospitali na shule zilizokuwepo ikiwa ni pamoja na zile zilizokuwa zimetaifishwa hapo kabla. Ilishindwa kabisa kuendesha hata shule na hospitali walizokuwa wamezitaifisha na pia ikashindwa kujenga nyingine kwa hiyo huduma za elimu na afya zilizidi kuwa duni. Kama njia ya kutatua tatizo la wananchi kukosa huduma za afya serikali ikataka kuendelea kutaifisha hospitali za madhehebu ya dini zilizokuwa zimejengwa tena baada ya utaifishaji wa kwanza ili izitumie kuwahudumia wananchi. Lakini baada ya mvutano mkali na makanisa ilishindwa kuzitaifisha hizo hospitali ikabidi serikali ikubaliane na makanisa iwahudumie wananchi wake kupitia hospitali hizo za makanisa.


(3) Kuhusu Pesa: Kwanza napenda ieleweke kuwa sihospitali zote za makanisa zilizoko kwenye makubaliano ya serikali kuwahudumia wananchi wake kupitia hizo hospitali kwa kuzipatia ruzuku. Zinazopata ruzuku ni zile za wilaya na mikoa yaani Hospitali teule (District Disignated Hospitals –DDH) na zile za rufaa kama Bugando, KCMC na nyinginezo kama CCBRT. Ilibidi serikali iwe inatoa ruzuku ya 0%-50% ya gharama za uendeshaji ili gharama za huduma ktk hospitali hizo ziwe nafuu ukilinganisha na hospitali ambazo ni za binafsi kwa 100% huku makanisa yakitoa 50%-100% ya gharama za uendeshaji. Kwa maneno mengine makanisa hutoa pesa zake kugharimia huduma kwa watanzania wote bila kujali dini zao. Na mara nyingi serikali inapochelewa kupeleka hata hizo ruzuku makanisa hutoa gharama zote. Kwa maneno mengine makanisa huikopesha serikali bila hata riba yoyote kwa ajili ya kuwahudumia watanzania wote!

>>Ruzuku hizo za hadi 50% hutolewa kama fedha, madawa, misamaha ya kodi, mishahara, kuendeleza watumishi wa hospitali, vifaa tiba na vifaa vya maabala. Kumbuka gharama za uendeshaji ktk vipengere vyote hivyo nilivyotaja hutolewa kwa ubia yaani 0%-50% serikali na 50%-100% makanisa. Kwa maneno mengine tunaweza kusema uendeshaji wa hospitali hizo nusu ni wa umma na nusu wa binafsi. Makubaliano haya yamewekwa kwa lugha ya kisheria ktk MOU. Taratibu za utekelezaji wake hazipo kwenye makubaliano hayo (MOU) ndo maana watu hawaelewi wanadhani serikali hutoa tu hela na kupeleka makanisani. Bajeti za serikali ziko wazi zinaonyesha ruzuku zinazovyotolew. Na mtu akisoma kwenye MOU kwamba serikali itatoa support anadhani Pesa zinapelekwa tu na uendeshaji wote unatumia pesa ya serikali; HAPANA! Support hiyo ambayo ni ruzuku inatolewa ili gharama za matibabu ziwe nafuu na za chini zenye ulinganifu na hospitali za umma. Mfano ukiangalia gharama ktk hospitali za rufaa za Bugando na KCMC zina ulinganifu na zile za hospitali za rufaa za Mbeya na Muhimbili; za wilaya na mikoa hivyo hivyo. Na huduma nyinginezo kama za mama na mtoto hutolea bure tofauti na hospitali za binafsi mfano za Aga Khan. Magonjwa mengine kama Fistula na mengineyo kwa akina mama na wazee wagonjwa hutibiwa BURE (mfano CCBRT).

>>Sasa watu wanahoji kama serikali inatoa ruzuku za uendeshaji ktk hospitali za makanisa kwa nini huduma hazitolewi bure. Jamani ebu jaribuni kuelewa mfumo wa utoaji wa huduma za jamii hapa nchini. SERA YA SERIKALI NI KUCHANGIA HUDUMA ZA JAMII kama AFYA, ELIMU n.k. Hata kwenye hospitali za umma kama Muhimbili na nyinginezo ambako serikali hupeleka ruzuku ya kuziendesha kwa 100% kuna gharama za kulipia. Mfano mimi huwa naenda MOI na kumuona daktari bingwa (Specialist) au daktari wa mazoezi huwa natoa 30,000/= (Consultation fee) hapo bado madawa ambayo nayo inabidi uchangie na wakati mwingine unaambiwa hayapo kwa hiyo inabidi ukanunue kwenye maduka ya dawa binafsi. Na hata kama sio first track kumuona daktari bingwa (specialist) kwa kawaida inaenda hadi 20,000/=. Sasa swali la kujiuliza ni hili: Kama kuna uchangiaji kule ambako serikali imejenga kwa pesa ya wananchi na ambako inatoa pesa ya wananchi kama ruzuku ya uendeshaji kwa 100%, iweje gharama za huduma ziwe bure kule ambako serikali haikujenga na ambako hutoa ruzuku ya 0%-50% (si 100%) kwa ajili ya gharama za uendeshaji tu? Ebu wanaforum tuache jazba tufikirie na kuchunguza ukweli sahihi ili tupate uhalisia badala ya kuendelea kukaririshwa taarifa za uongo.

(4) Wengine wamehoji na kusema kuwa serikali inayaombea makanisa misaada toka nje. Ni upotoshaji mkubwa. Serikali haiombi misaada kwa ajili ya makanisa hata kidogo! Ikumbukwe kuwa Mashirika ya dini ya kikristo ya nje hata kabla ya uhuru yalikuwa yakitoa misaada na kutoa huduma za kijamii hapa nchini. Hata baada ya uhuru mashirika hayo yameendelea kutoa misaada kwa makanisa hapa nchini kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali na shule. Lakini kutokana na serikali ya Tz kubinafsisha shule na hospitali za makanisa ambazo zilijengwa kwa misaada ya Mashirika ya Kikristo ya nje yalijiondoa ktk kutoa misaada hiyo. Kwa hiyo makanisa ya TZ yakawa tena hayapati misaada toka kwa mashirika ya makisa yao huko nje, matokeo yake ujenzi wa shule na hospitali ukazorota. Baada ya hali hiyo ilibidi makanisa yajadiliane na serikali juu ya hali hii na serikali ya TZ ilibidi ikubali kuhusika ili kurejesha uhusiano na mashirika hayo ya Kikristo ya nje ili yaendelee kutoa misaada kwa makanisa ktk ujenzi wa shule na hospitali ili kuendelea kutoa huduma kwa jamii. Kwa hiyo kusema kwamba serikali inayaombea makanisa misaada toka nje ni kuelewa vibaya maelezo yaliyoko kwenye MOU au kuamua kupotosha ukweli halisi. Na kama kuna mtu ana ushahidi wa serikali kuomba misaada kwa ajili ya makanisa alete huo ushahidi. Misaada inayoombwa na serikali kusaidia bajeti yake inapokuwa ya wizara ya afya na kuipeleka kwenye hospitali zinazomilikiwa na makanisa ni katika mpango ule ule wa serikali kutoa hadi 50% ya gharama za uendeshaji wa hospitali hizo ili kuwahudumia wananchi wake. Isichukuliwe kwamba serikali inomba misaada kwa ajili ya kuendesha ibada au mambo ya kiimani ya makanisa! Bali ni misaada ya kusaidia bajeti yake ikiwemo wizara ya afya na hivyo kupelekwa kwenye hospitali. Na hii haina itikadi za kidini watu wote hutibiwa na kupata ajira ktk hospitali hizo kwa usawa.

(5) Kuhusu support ktk shule za mashirika ya dini naomba kuwaelewesha hivi: Support hiyo ktk shule haitolewi kama FEDHA! HAKUNA fedha inayotolewa na serikali kwenda kuendesha shule za makanisa. Support inayoongelewa hapo kwenye MOU ktk shule ni kupitia walimu waliosoma ktk shule na vyuo vya umma. Waalimu na watumishi wote waliosomea shule za serikali na vyuo vya serikali wamesomeshwa kwa pesa za wananchi aidha bila wao kuchangia (yaani waliosoma bure) au kwa huchangia karo na michango. Mfano karo ya shule za boding (sekondari) ni 70,000/= au day ni 20,000/=. Sasa hii si gharama halisi ambayo mwanafunzi alitakiwa kutoa bali ni gharama ambayo mwanafunzi huchangia tu, gharama kubwa kwa ajili ya kumsomesha hutolewa na serikali. Kwa hiyo wanafunzi hao wanapomaliza mafunzo yao mfano waalimu HAWAZUIWI kwenda kuajiriwa na shule za makanisa au za watu au mashirika binafsi kwa kuwalazimisha waajiriwe serikalini tu ili warudishe gharama. Bali serikali inawaruhusu waajiriwe hata kwenye shule hizo za makanisa au za watu na mashirika binafsi mengine kama huduma kwa jamii. Na wanapoajiriwa huko wanalipwa na makanisa. Hii ndiyo support inayoongelewa kwa upande wa shule za kawaida za makanisa. Hakuna hata senti moja inayopelekwa kuendesha shule binafsi. Makanisa huendesha shule zake kwa karo na pesa za sadaka na misaada toka mashirika ya kidini ya nje. Bajeti za serikali ziko wazi kama kuna mtu ana ushahidi huo anikosoe na asipotoshe!

>> Kwa hiyo suala la support watu walielewe vizuri iwe ni kwa Hospitali au shule. Liko kama nilivyolieleza. Pia ieleweke kuwa makanisa ni wamiliki tu wa hospitali na shule hizo. Hakuna ibada yoyote ktk hospitali hizo. Hospitali hizo hazihitaji mchungaji, padre au askofu wala kutumia msitari wowote wa biblia au kitabu chochote cha dini ili kutoa huduma. Lakini pia huhudumia na kuajiri watu wote bila kujali itikadi za kidini, kabila, kanda au hata uzanzibar na ubara. Vigezo vya ajira ni taaluma ya mtu na huduma kwa wagonjwa ni kwa watu wote. Tofauti na mahakama za kadhi ambazo huduma zake ni ibada kwa waislamu na huhitaji viongozi wa dini yaani Makadhi na kutumia mistari ya Quran na vitabu vingine vya kiislamu ktk kufanya kazi zake.
 
hivi kabla hiyo MoU kusigniwa hali ilikuaje kwa taasisi za kiislam na kikristu. Waislam walikua na shule na hospitali ngap? na wakristo ngap? tatizo kubwa kuna watu wamekalia umbea majungu na fitna katka vijiwe vya kahawa, wakati wenzao wakiendelea jenga mashule na mahospitali. Amkeni sasa na mfahamu maendeleo yenu yatakuja kwa nguvu zenu wenyewe

Wengi wanajiuliza kwa nini serikali iliingia makubaliano na madhehebu ya dini ya Kikristo na si madhehebu ya dini nyingine kama Wahindu na Waislamu au hata mashirika mengine binafsi? Jibu lake ni kuwa makubaliano haya yana msingi wake kutoka kwenye utaifishaji uliofanyika miaka ya 70's ambapo waathirika wakubwa yalikuwa ni madhehebu ya dini ya Kikristo. Lakini pia baada ya serikali ya CCM kushindwa kutoa huduma za afya na elimu kulingana na uhitaji, miaka ya 90's madhehebu ya dini ya Kikristo yaliamua kuingilia kati ili kuokoa maisha ya watanzania na kuanza kujenga tena hospitali na shule. Lakini hofu na maumivu ya utaifishaji vilikuwa havijasahaulika. Hivyo madhehebu ya dini yalipoanza kujenga tena hospitali hizo na shule, Kwanza ilibidi yahakikishiwe na serikali kuwa haitataifisha tena hospitali na shule zao. Pili kulikuwa na suala la gharama. kumbukeni kuwa ni jukumu la serikali kutoa huduma za afya na elimu kwa wananchi wake. Sasa kwa hali halisi kutokana na gharama za uendeshaji kuwa kubwa, madhehebu ya dini yasingeweza kutoa huduma za afya bure au kwa gharama ya chini. Hivyo serikali ilibidi itoe ruzuku ili baadhi ya huduma kama kwa akina mama na watoto, wazee na kwa baadhi ya magonjwa kama kifua kikuu, fistula,n.k ziwe bure na kwa wengine huduma ziwe za bei nafuu kwa ulinganifu na hospitali nyingine za umma. Sasa ili haya yote yatekelezeke, yaani ya kutokutaifisha hizo hospitali na kutoa huduma kwa bei kama hospitali za umma ilibidi yawekwe kwenye makubaliano, yaani MOU. Sasa kwa bahati mbaya Mashirika mengine ya binafsi, NGOs na madhehebu ya dini nyingine kama Wahindu, Waislamu n.k miaka hiyo ya 90's hawakuweka kipaumbele ktk huduma za kijamii kama afya na elimu. Hawakujihusisha na utoaji sana wa huduma za kijamii kama kujenga hospitali au shule. Kwa hiyo hawakuwa na hospitali zenye hadhi ya wilaya, mikoa na za rufaa ambazo zingewafanya wawe sehemu ya MOU. Ndo maana kwa miaka ya 90's wao hawakuhusika ktk MOU. Ila kwa miaka ya hivi karibuni NGO na madhebu ya dini nyingine yameanza nayo kujihusisha na utoaji wa huduma za kijamii ila kwa kiasi kidogo ukilinganisha na madhehebu ya dini ya Kikristo. Kwa hiyo hoja si kuchukia MOU au kuwachukia wakristo kwa sababu ya MOU. Lazima tuangalie na sababu zilizopelekea kuwepo kwa MOU na wengine kutokuwemo kwenye MOU. Lakini pia kama hoja ni kupewa ruzuku za kuendesha hospitali, basi Waislamu, NGOs na dini nyingine nazo zijenge hospitali mahali ambapo kwanza serikali haina hospitali au zijenge hospitali kubwa ukilinganisha na hospitali za umma ktk maeneo husika ili ziingizwe kwenye mpango wa kupewa ruzuku ili zitoe huduma kwa bei nafuu kama hospitali za umma na za Makanisa. Lakini si kueneza chuku tu na uhasama wa kidini pasipo sababu. Au kama wanaoeneza chuki wana hoja wanipe hata hospitali kubwa yenye hadhi ya hospitali ya wilaya, mikoa na rufaa hata moja iliyojengwa na waislamu, NGOs au wahindu miaka ya 90's mahali ambapo serikali haikuwa na hospitali au ilikuwa na hospitali ndogo ukilinganisha na hospitali ya dini au NGO hizo ili waseme serikali iliwatenga kwenye MOU.
 
Back
Top Bottom