Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Unazungumza kitu ambacho hukijui.
Germany


About 70% of church revenues come from church tax. This is about €9.2 billion (in 2010).
Article 137 of the Weimar Constitution of 1919 and article 140 of the German Basic Law of 1949 are the legal basis for this practice.

In Germany, on the basis of tax regulations passed by the communities and within the limits set by state laws, communities may either

  • require the taxation authorities of the state to collect the fees from the members on the basis of income tax assessment (then, the authorities withhold a collection fee), or
  • choose to collect the church tax themselves.
In the first case, membership in the community is entered onto a tax document (Lohnsteuerkarte) which employees must surrender to their employers for the purpose of withholding tax on paid income. If membership in a tax-collecting religious community is entered on the document, the employer must withhold church tax prepayments from the income of the employee in addition to other tax prepayments. In connection with the final annual income tax assessment, the state revenue authorities also finally assess the church tax owed. In the case of self-employed persons or of unemployed taxpayers, state revenue authorities collect prepayments on the church tax together with prepayments on the income tax.
If, however, religious communities choose to collect church tax themselves, they may demand that the tax authorities reveal taxation data of their members to calculate the contributions and prepayments owed. In particular, some smaller communities (e.g. the Jewish Community of Berlin) choose to collect taxes themselves to save collection fees the government would charge otherwise.
Collection of church tax may be used to cover any church-related expenses such as founding institutions and foundations or paying ministers.
The church tax is only paid by members of the respective church. People who are not members of a church tax-collecting denomination do not have to pay it. Members of a religious community under public law may formally declare their wish to leave the community to state (not religious) authorities. With such a declaration, the obligation to pay church taxes ends. Some communities refuse to administer marriages and burials of (former) members who had declared to leave it.
The money flow of state and churches is distinct at all levels of the procedures. The church tax is not meant to be a way for the state to directly support churches, but since expenses for church tax are fully deductible (as are voluntary expenses for the Church, for charity or a bundle of other privileged aims) in fact such support occurs on a somewhat large scale. The effort of collecting itself, done by the State, is entirely paid for by the Churches with a part of the tax income.
The church tax is historically rooted in the pre-Christian Germanic custom where the chief of the tribe was directly responsible for the maintenance of priests and religious cults. During the Christianization of Western Europe, this custom was adopted by the Christian churches (Arian and Catholic) in the concept of "Eigenkirchen" (churches owned by the landlord) which stood in strong contrast to the central church organization of the Roman Catholic Church. Despite the resulting medieval conflict between emperor and pope, the concept of church maintenance by the ruler remained the accepted custom in most Western European countries. In Reformation times, the local princes in Germany became officially heads of the church in Protestant areas and were legally responsible for the maintenance of churches. Not until the 19th century were the finances of churches and state regulated to a point where the churches became financially independent. At this point the church tax was introduced to replace the state benefits the churches had obtained previously.
Taxpayers, whether Roman Catholic, Protestant or members of other tax-collecting communities, pay between 8% (in Bavaria and Baden-Württemberg) and 9% (in the rest of the country) of their income tax to the church or other community to which they belong.[SUP][1][/SUP]
For example, a single person earning 50,000 euros may pay an average income-tax of 20%, thus 10,000 euros. The church tax is then 8% (or 9%) of that 10,000 euros: 800 (or 900) euros.
Kitu gani nilichozungumza na ku contradict uliyopost?!

Summer iliyopita nilikuwepo Frankfurt nilichokiona ni kuwa hata Waislamu katika baadhi ya Misikiti wanalipa kiasi fulani cha pesa kila mwezi misikitini mwao ili likitokea jambo la dharura kama vile mmoja wao amefariki hana haja ya kuzikwa katika nchi ya Kikafiri bali wanausafirisha mwili wake kwao (hasa hasa Waturuki).

Kama hawa Waislamu wakitaka, ada yao hii inakusanywa na serikali kupitia mishahara yao lakini serikali nayo inakata kodi, hii ni sawasawa na wanavyotendewa Wakristo.

Kwa hiyo kama ungeniambia kuwa pesa za wanachama wa Kanisa mojawapo au baadhi ya Makanisa ya Kikristo ujerumani wameona kuwa kulipishana ada wenyewe kwa wenyewe kila mwezi ni taabu au kuna uzito fulani hivyo wameona ni bora kuichia serikali iwakusanyie in return serikali nayo inazikata kodi hapo nitakuelewa.

Nitakuelewa pia ukiniambia kuwa hizi hela za Wakristo walioziachia serikali iwakusanyie ndio ambazo Wakristo (Si Serikali ya Ujerumani) ndio wanazoyapa Makanisa ya Tanzania nitakuelewa, lakini haiwezi kufikia idadi ya mamilioni sembuse mabilioni ya pesa za Kitanzania kwa mwaka.
 
Unazungumza kitu ambacho hukijui.
Germany


About 70% of church revenues come from church tax. This is about €9.2 billion (in 2010).
Article 137 of the Weimar Constitution of 1919 and article 140 of the German Basic Law of 1949 are the legal basis for this practice.

In Germany, on the basis of tax regulations passed by the communities and within the limits set by state laws, communities may either

  • require the taxation authorities of the state to collect the fees from the members on the basis of income tax assessment (then, the authorities withhold a collection fee), or
  • choose to collect the church tax themselves.
In the first case, membership in the community is entered onto a tax document (Lohnsteuerkarte) which employees must surrender to their employers for the purpose of withholding tax on paid income. If membership in a tax-collecting religious community is entered on the document, the employer must withhold church tax prepayments from the income of the employee in addition to other tax prepayments. In connection with the final annual income tax assessment, the state revenue authorities also finally assess the church tax owed. In the case of self-employed persons or of unemployed taxpayers, state revenue authorities collect prepayments on the church tax together with prepayments on the income tax.
If, however, religious communities choose to collect church tax themselves, they may demand that the tax authorities reveal taxation data of their members to calculate the contributions and prepayments owed. In particular, some smaller communities (e.g. the Jewish Community of Berlin) choose to collect taxes themselves to save collection fees the government would charge otherwise.
Collection of church tax may be used to cover any church-related expenses such as founding institutions and foundations or paying ministers.
The church tax is only paid by members of the respective church. People who are not members of a church tax-collecting denomination do not have to pay it. Members of a religious community under public law may formally declare their wish to leave the community to state (not religious) authorities. With such a declaration, the obligation to pay church taxes ends. Some communities refuse to administer marriages and burials of (former) members who had declared to leave it.
The money flow of state and churches is distinct at all levels of the procedures. The church tax is not meant to be a way for the state to directly support churches, but since expenses for church tax are fully deductible (as are voluntary expenses for the Church, for charity or a bundle of other privileged aims) in fact such support occurs on a somewhat large scale. The effort of collecting itself, done by the State, is entirely paid for by the Churches with a part of the tax income.
The church tax is historically rooted in the pre-Christian Germanic custom where the chief of the tribe was directly responsible for the maintenance of priests and religious cults. During the Christianization of Western Europe, this custom was adopted by the Christian churches (Arian and Catholic) in the concept of "Eigenkirchen" (churches owned by the landlord) which stood in strong contrast to the central church organization of the Roman Catholic Church. Despite the resulting medieval conflict between emperor and pope, the concept of church maintenance by the ruler remained the accepted custom in most Western European countries. In Reformation times, the local princes in Germany became officially heads of the church in Protestant areas and were legally responsible for the maintenance of churches. Not until the 19th century were the finances of churches and state regulated to a point where the churches became financially independent. At this point the church tax was introduced to replace the state benefits the churches had obtained previously.
Taxpayers, whether Roman Catholic, Protestant or members of other tax-collecting communities, pay between 8% (in Bavaria and Baden-Württemberg) and 9% (in the rest of the country) of their income tax to the church or other community to which they belong.[SUP][1][/SUP]
For example, a single person earning 50,000 euros may pay an average income-tax of 20%, thus 10,000 euros. The church tax is then 8% (or 9%) of that 10,000 euros: 800 (or 900) euros.
Kitu gani nilichozungumza na ku contradict uliyopost?!

Summer iliyopita nilikuwepo Frankfurt nilichokiona ni kuwa hata Waislamu katika baadhi ya Misikiti wanalipa kiasi fulani cha pesa kila mwezi misikitini mwao ili likitokea jambo la dharura kama vile mmoja wao amefariki hana haja ya kuzikwa katika nchi ya Kikafiri bali wanausafirisha mwili wake kwao (hasa hasa Waturuki).

Kama hawa Waislamu wakitaka, ada yao hii inakusanywa na serikali kupitia mishahara yao lakini serikali nayo inakata kodi, hii ni sawasawa na wanavyotendewa Wakristo.

Kwa hiyo kama ungeniambia kuwa pesa za wanachama wa Kanisa mojawapo au baadhi ya Makanisa ya Kikristo ujerumani wameona kuwa kulipishana ada wenyewe kwa wenyewe kila mwezi ni taabu au kuna uzito fulani hivyo wameona ni bora kuichia serikali iwakusanyie in return serikali nayo inazikata kodi hapo nitakuelewa.

Nitakuelewa pia ukiniambia kuwa hizi hela za Wakristo walioziachia serikali iwakusanyie ndio ambazo Wakristo (Si Serikali ya Ujerumani) ndio wanazoyapa Makanisa ya Tanzania nitakuelewa, lakini haiwezi kufikia idadi ya mamilioni sembuse mabilioni ya pesa za Kitanzania kwa mwaka.

Sasa haya mabilioni wanayopewa Makanisa kila mwaka yanatoka wapi kama sio mfukoni mwa serikali ya Watanzania?
 
Kitu gani nilichozungumza na ku contradict uliyopost?!

Summer iliyopita nilikuwepo Frankfurt nilichokiona ni kuwa hata Waislamu katika baadhi ya Misikiti wanalipa kiasi fulani cha pesa kila mwezi misikitini mwao ili likitokea jambo la dharura kama vile mmoja wao amefariki hana haja ya kuzikwa katika nchi ya Kikafiri bali wanausafirisha mwili wake kwao (hasa hasa Waturuki).

Kama hawa Waislamu wakitaka, ada yao hii inakusanywa na serikali kupitia mishahara yao lakini serikali nayo inakata kodi, hii ni sawasawa na wanavyotendewa Wakristo.

Kwa hiyo kama ungeniambia kuwa pesa za wanachama wa Kanisa mojawapo au baadhi ya Makanisa ya Kikristo ujerumani wameona kuwa kulipishana ada wenyewe kwa wenyewe kila mwezi ni taabu au kuna uzito fulani hivyo wameona ni bora kuichia serikali iwakusanyie in return serikali nayo inazikata kodi hapo nitakuelewa.

Nitakuelewa pia ukiniambia kuwa hizi hela za Wakristo walioziachia serikali iwakusanyie ndio ambazo Wakristo (Si Serikali ya Ujerumani) ndio wanazoyapa Makanisa ya Tanzania nitakuelewa, lakini haiwezi kufikia idadi ya mamilioni sembuse mabilioni ya pesa za Kitanzania kwa mwaka.

Sasa haya mabilioni wanayopewa Makanisa kila mwaka yanatoka wapi kama sio mfukoni mwa serikali ya Watanzania?

Shule shule shule shule...shule muhimu bandugu. Naona haya mafundisho ya MoU uliyoyapokea, umeyapokea kama IMANI. Hata ukieleweshwa vipi hautaelewa.
Nimekubandikia kipande kutoka maelezo ya Dr. Slaa. Angali bold na link chini...halafu uniambie wajerumani wakisikia watakasirika...
4) Wakati mchakato huo kwa upande wa Elimu umeanza kulikuwa pia na mgogoro kati ya Serikali na TEC baada ya Serikali kuichukua Hospitali ya Bugando almost kwa utaratibu huo huo wa kuitaifisha. Hospitali hiyo ilikuwa kwenye awamu ya Pili ya ujenzi kwa msaada mkubwa wa Shirika la Misereor( Shirika la Maendeleo la Baraza la Maaskofu Katoliki la Ujerumani) toka Ujerumani.
MISEREOR - HOME
 
Sadeeq, kule kwa wenzetu ni sheria na lazima ulipe kodi ya kanisa kama wewe ni dhehebu husika. Hata kama kanisa likikusanya lenyewe hiyo kodi ni lazima ufanyike mchakato wa kuangalia kama umelipa kiasi kinachoendana na mapato yako. Hela hiyo ndiyo inakuja kubasua mabusha ya akina ustaadhi wetu. Badala ya kushukuru mnalalamika...

Article 137 of the Weimar Constitution of 1919 and article 140 of the German Basic Law of 1949 are the legal basis for this practice.
 
Nimegundua wanaopinga MoU wala hawana hoja ya msingi pamoja na kwamba wanajitahidi kuja na data lakini wanashindwa hata kuelewa nini wanachokiandika. Serikali inatoa pesa kwa hospitali zinazomilikiwa na kanisa, serikali haitoi pesa ziende kanisani wakuu. Mahospitali haya yana uongozi wake na yako kwenye category ya Non-for-Profit Organizations. Zaidi ni kwamba mahospitali haya yote yanakuwa regulated na wizara ya afya. Kanisa halifanyi biashara, kanisa linatoa huduma. Kuna mantiki gani ya serikali kujenga hospitali ya rufaa Kilimanjaro wakati tayari ipo? Ingekuwa KCMC inafanya biashara ni haki serikali ijenge hospitali ya rufaa pale kuwapa wananchi unafuu, lakini sivyo. Badala ya kupoteza resources kujenga inasaidia kuimarisha kile kilichopo. Hela inayosave serikali inawekeza kwenye shughuli nyingine kama elimu, barabara etc.

Nimegundua kuna watu hawana ufahamu humu, wamekaza shingo zao hata wakielezwa hawawezi kuelewa. Ni sawa na mawe yaliyokaa mtoni, kila siku linapigwa maji, ukilipasua ndani ni kavu. Ndio watu hawa wanaopaza sauti humu. Nikifananishe na nini kizazi hiki? Ni nani aliyekilaani na kukinyanganya uwezo wa kufikiri? Watu wanapaza sauti kuhusu OIC lakini hata hawaijui OIC ni taasisi kwa ajili ya nini, poor Tanzanians! Lakini niwaeleze kwa uwazi hizi ni athari za umaskini, umaskini ulioshika mizizi ambao sasa umeanza kutafuna mpk uwezo wa watu wa kufikiri. Hamna lingine watu wanalopigania hapa, ni umaskini, umaskini, umaskini! Umaskini ndio unaofanya watu wajiingize kwenye ushirikina, vurugu za kugombea mali na mengine mengi yafananayo na hayo. Ole wa kizazi hiki, kimelaaniwa, kimekosa ufahamu na maarifa.

1. Hao unaowasema ufahamu wanao ila wana chuki dhini ya Ukristo na Wakristo. Mahubiri haya yanasikika kwenye mihadhara kadhaa jijini Dar es Salaam na baadhi yako recorded kwenye CDs.
2. Tatizo ni kwamba wakielewa wanadhani wataonekana wameshindwa hivyo wameamua kukomaa maana wanaona bila kufanya hivyo watachekwa kwamba wameshindwa hoja.
3. Ndiyo maana mara nyingi ikiletwa hoja moja ikionekana kama imeeleweka wanaibuka na nyingine, ikielekea kueleweka tu wanakuja na nyingine tena... Ni vigumu kumwelewesha mtu wa namna hii maana nia yake ni kuelewa bali kutafuta vipengele ambavyo anaweza kuvitumia kukushinda.
4. Kitu kibaya zaidi ni kutoona kwamba Mwalimu Nyerere aliwasaidia kwa kutaifisha shule na hospitali za mission otherwise wangekuwa nyuma sana.
5. Mimi bado najiuliza: hivi Waislamu wana shule na hospitali ngapi nchini au wananyimwa vibali vya umiliki?
 
Big Shaw huwa sipendi malumbano ya kidini, ila kwa uwelewa wangu nilijaribu kuangalia dhumuni ili kuona hoja yako kama inasimama. mimi ninashauri utengenezwe MUO ya Jumuiya za Kiislamu Tanzania kupata msaada OIC na serikali ya Tanzania ihusishwe na kwa manufaa ya watanzania wote.

We unaumwa kweli, tena unaumwa wazimu. Ni msaada gani OIC inatoa zaidi ya tende na nyama za kondoo wakati wa Eid-Alhaji?

Hebu kabla hujaongea utumbo zikague hizo nchi wanachama wa OIC halafu jiulize wana nini. Hivi Uganda na Mozambique wanasaidiwa nini na OIC? Kama una mipango ya kufanya ugaidi sawa, lkn kama ni Elimu, Afya na Maendeleo hiyo hamna. Idadi ya vyuo vikuu katika nchi zooote za OIC ukijumlisha pamoja ni sawa na vyuo vikuu vya India.

Yaani unataka kuniambia kuna sababu ya kuionea gere Somalia?! Poor you. Sisi wengine hatuli nyama za kondoo any way
 
umeielewa MoU au Dr. Slaa sehemu ya MoU imesema government shall provide financial assistance au macho yana matongotongo

1. Wewe ni bure kabisa hata ungeeleweshwa namna gani!
2. Hiyo MoU ni kwa ajili tu ya zile hospitali za misheni ambazo zinatoa huduma za afya kwa wananchi wote. Makubaliano ni kutaka huduma hizo ziwanufaishe wananchi wote na kwa gharama nafuu. Hivyo, serikali inachangia asilimia 50 na makanisha yaliyokwenye hiyo MoU asilimia 50. Hospitali kama hizi ni zile kubwa kama vile KCMC, Bugando nk na si zote.
3. Mfano, Mbagala Mission Hospital inahudumia wananchi wote na haiko kwenye huo utaratibu japo ni ya misheni.
4. Ndiyo maana wakati ule wa mgomo KCMC na Bugando walishiriki lakini si hospitali kama Mbagala Mission ambayo inamilikiwa na Kanisa kwa asilimia 100.
5. Hospitali ambazo ziko kwenye MoU - serikali na kanisa - vinachangia wataalamu na fedha.
6. Shule za Kanisa (seminari au vyuo vikuu vyake) haviko kwenye MoU - mfano, St Augustine (nisecular university) lakini haina ruzuku kutoka serikalini; Marian Secondary School ni secular lakini haipokei ruzuku kutoka serikalini.
7. Nashindwa hata nikueleweshe je maana hata pale kitu kinaeleweka unajifanya huelewi ili kutetea hoja yako.
 
Serikali itoe ufafanuzi juu ya hili,maji yameshafika shingoni,wenye kulipa kodi wameshang'amua.Ndio matokea ya kufanya mambo kwa sirisiri,sasa mmeona siri hazarani.Siku zote uwongo hauteteeki.Tutazunguka weeeee but tunabaki palepale huu mkata ni wa kifisadi.
 
Mimi labda sijaelewa Slaa anatolea ufafanuzi kama msemaji wa kanisa au kiongozi wa chadema.Babu mbona unatuchanganya uko upande upi

Kwani mtu kama anakijua kitu haruhusiwi kuelezea mpaka awepo kwenye chama au kanisa? Acha kuchanganya mambo bwana!
 
Shule shule shule shule...shule muhimu bandugu. Naona haya mafundisho ya MoU uliyoyapokea, umeyapokea kama IMANI. Hata ukieleweshwa vipi hautaelewa.
Nimekubandikia kipande kutoka maelezo ya Dr. Slaa. Angali bold na link chini...halafu uniambie wajerumani wakisikia watakasirika...

MISEREOR - HOME
Kwa hiyo ni taasisi inayosaidia makanisa tz na si Serikali ya Ujerumani?
sweke said:
Sadeeq, kule kwa wenzetu ni sheria na lazima ulipe kodi ya kanisa kama wewe ni dhehebu husika. Hata kama kanisa likikusanya lenyewe hiyo kodi ni lazima ufanyike mchakato wa kuangalia kama umelipa kiasi kinachoendana na mapato yako. Hela hiyo ndiyo inakuja kubasua mabusha ya akina ustaadhi wetu. Badala ya kushukuru mnalalamika...
Umechanganya haki na batili!

Ile kodi ya Kanisa Mkristo anaweza kutoilipia na wakati akifariki ni serikali ndio itamhudumia mazishi yake (sehemu ya (kuzikiwa) kupitia kodi yake anayolipia serikalini.

Ukiangalia declaration ya mwaka ya ulipaji wa kodi za nchi nyingine za Ulaya utaona inakuonyesha kuna asilimia ndogo ya kodi yako imekwenda kwenye mambo ya mazishi kama wewe si mwanachama wa Kanisa lolote au hutaki kulilipia Kanisa.
 
Kwa hiyo ni taasisi inayosaidia makanisa tz na si Serikali ya Ujerumani?Umechanganya haki na batili!

Ile kodi ya Kanisa Mkristo anaweza kutoilipia na wakati akifariki ni serikali ndio itamhudumia mazishi yake (sehemu ya (kuzikiwa) kupitia kodi yake anayolipia serikalini.

Ukiangalia declaration ya mwaka ya ulipaji wa kodi za nchi nyingine za Ulaya utaona inakuonyesha kuna asilimia ndogo ya kodi yako imekwenda kwenye mambo ya mazishi kama wewe si mwanachama wa Kanisa lolote au hutaki kulilipia Kanisa.
Hili shirika linapokea pesa toka serikali ya ujerumani kwa ajili ya kusaidia miradi ya maendeleo kupitia makanisa.

attachment.php
 
Hili shirika linapokea pesa toka serikali ya ujerumani kwa ajili ya kusaidia miradi ya maendeleo kupitia makanisa.

attachment.php

Kuna wachangiaji wengine wanaolichangia hili shirika yaani si Makanisa ya Ujerumani kupitia serikali yao peke yake... sijakosea?
 
dr kumbe unajua kubomoa ni sekunde na kujenga inachukua muda.
Mbona kila kukicha unahamasisha migomo na maandamano na kuhatarisha amani ya nchi yetu?
JE, UNAIJUA THAMANI YAKE?
.
 
Dr acha kufumba fumba watu macho kwa maneno yako kichwa cha mkataba kinatosha kubashiri nini hicho?kinahusu nini? Kwa nani na nani? Na kipi kilichopo ndani?
Hembu rudia kukisoma na dictionary pembeni.
 

Data za WIZARA YA AFYA zinaonesha kuwa hospitali na taasisi nyingine za afya zaidi ya 80 zinazomilikiwa na Makanisa zinaendeshwa kwa kutumia fedha za serikali. Aidha utafiti wetu umeonesha kuwa serikali imekuwa ikitumia mabilioni ya fedha kila mwaka kuendesha hospitali na taasisi za afya zinazomilikiwa na Makanisa.

Kwa mfano Jedwali lifuatalo linaonesha fedha za serikali zilizotumiwa na hospitali na taasisi za afya zinazomilikiwa na Makanisa ikilinganishwa na matumizi katika hospitali za serikali mwaka 2009 na 2010.
attachment.php

attachment.php

Mkuu, ulipopokea takwimu hizo kwa upande wa taasisi za serikali hukujiuliza

1. Hospitali za serikali za mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Mara, Kagera, Tabora, Dodoma, Kigoma, Morogoro, Iringa, Lindi, Pwani, Mtwara, Ruvuma, Singida, Arusha, n.k. ziliendeshwaje, maana hamna hesabu ya fedha zake hapo kwenye majedwali.

2. Hospitali za wilaya zinazomilikiwa na serikali nazo ziliendeshwaje?

Mtoa data ama amekosea, au alitaka kupotosha makusudi.
 
Kuna wachangiaji wengine wanaolichangia hili shirika yaani si Makanisa ya Ujerumani kupitia serikali yao peke yake... sijakosea?
Kuna kampeni ya kwaresima kila mwaka: MISEREOR - Lenten Campaign na kuna fedha toka serikalini.

Nisahihishe hapo: Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani, inatoa sehemu ya fedha zake za miradi ya maendeleo nchi zinazoendelea na kulipa shirika hili. Shirika hili la Misereor nalo linatoa misaada hiyo kupitia makanisa.
 
Back
Top Bottom