Kubalini tu, Yanga kwenye mambo ya mikataba nyinyi ni mambumbumbu first classSimba Na Mashabiki Wake Mnajionaga Mko Smart Wakati Ni MBUMBUMBU Na Mafala Wakubwa… Yani Sisi Tusiingize Pesa Kisa Kuvaa Visit Tanzania…Kama Mlivaa Na Mtaendelea Kuvaa Ni Nyie Na Haituhusu, Nyie Mabwege Nn!!
Wewe jamaa unamatumizi mabovu sana ya ubongo wako.Tangu Mvae Visit Tanzania Mmechukua Makombe Mangapi Huko CAF??
Pesa zote unazoona zinatumika yanga zimetokana na uhuni mwingi sana.Yanga inaendeshwa kihuni.
Kwani Yanga si wamekuwa wanavaa jezi hizo hizo za Sportpesa kwenye hatua za awali? Hapa kuna matatu, tamaa imewaingia, kutaka kutrend na kushindana na Simba, na tatu kutotaka kuonekana kama wanaiiga Simba kwa kuweka "Visit Tanzania". Yanga wako tayari kurisk kuchukuliwa hatua za kisheria kuliko kuonekana wameiiga Simba ingawa kuna mambo hayaepukiki.Je mkataba walioingia Yanga na Sportpesa ulikuwa unahusu hadi michuano ya kimataifa?
Kama ulikuwa unawapa haki Sportpesa hadi kwenye mashindano ya kimataifa basi Yanga wamefanya kosa kukiuka mkataba.
Sportpesa yupo sahihi. Alinunua nafasi ya kifuani kwenye jezi official ya yanga sports club kwa timu zote na mashindano yote hata match za kirafiki.
Tofauti na simba, mbet amenunua nafasi ya kifuani kwa senior timu tu ya wanaume ila kwa mashindano yote. Simba queens na under18 simba inaweza tafuta sponsor mungine.
Kwa hiyo SportPesa wakiamua waweke "SIMBA NGUVU MOJA" Yanga wakubali kwa wao ndio wenye haki kwenye hilo eneo? Ni kweli wao wana haki kimkataba ila ni kwa neno "SPORTPESA" wakitaka kuweka maneno mengine wafanye makubaliano mapya.Mdhamini mkuu wa young African ni sportpesa kwa miaka 5 na ndie mwenye haki yakukaa front kifuani kwenye jezi kwa miaka yote hiyo..Kama Kuna lolote yeye ndie atamua Nini kifanyike,,
Sasa sportpesa anakuambia uweke visit Tanzania kifuani wewe unasaini mkataba mwingine .
Hatutaki maneno mengi, tuwekee huo mkatabaMdhamini mkuu wa young African ni sportpesa kwa miaka 5 na ndie mwenye haki yakukaa front kifuani kwenye jezi kwa miaka yote hiyo..Kama Kuna lolote yeye ndie atamua Nini kifanyike,,
Sasa sportpesa anakuambia uweke visit Tanzania kifuani wewe unasaini mkataba mwingine .
EXACTLY! Ila hawakutaka kuonekana wanaiiga Simba na wakiacha jezi wazi wataonekana siyo wazalendo kwa kukataa kutangaza utalii, kwa hiyo wakaona liwalo na liwe.kwa maelezo hayo ya SportPesa, sio lazima iwepo Visit Tanzania, panaweza pakawa wazi, lakini sharti pasiwepo mdhamini mwingine kama wao hawapo
Kuliko waliowaletea mchezaji wa Timu nyingine kwenye kampeni za uchaguzi?Yanga inaendeshwa kihuni.
1. Kuna kutumika kwa watu fulani kulazimisha neno fulani likae kwenye jezi za Yanga.
2. Ubinafsi wa sportpesa ( kama walipelekewa ombi la kuwepo kwa mdhamini mpya kwa michuano ya CAF, kwann walikataa hali ya kuwa biashara zao hazifanani, hivyo isinge muathiri)
3. Kujihami kwa sportpesa na kuleta taarifa kwa umma haraka mno, (anaogopa nini na anamuogopa nani)
4. Ulazima wa Yanga kuweka mdhamini mpya lengo ni kuitangaza timu zaidi, je hili sportpesa halitaki.? ( Hataki Yanga ijitangaze zaidi, ili ije kuwa faida kwake pia baadae.?
5. Soka ni biashara, biashara ni matangazo, "visit Tanzania" sio Tangazo la kibiashara kwa Yanga
6. Ikifika mahali mnaleta taarifa kwa umma, basi leteni na mikataba ili tuweze kuwatetea vizuri, (tujue ni nani yupo sahihi na nani ana kosa)
Sportpesa hajalazmisha yawekwe maneno mengine ...lile eneo ni Mali ya sportpesa linatakiwa libaki plain..ikibidi wameshauri labda vitangazwe vivutio vya nchi sio kuweka biashara ya mtu mwingine ..Kwa hiyo SportPesa wakiamua waweke "SIMBA NGUVU MOJA" Yanga wakubali kwa wao ndio wenye haki kwenye hilo eneo? Ni kweli wao wana haki kimkataba ila ni kwa neno "SPORTPESA" wakitaka kuweka maneno mengine wafanye makubaliano mapya.
Yaani umepanga na kulipia chumba cha kulala halafu unafungua biashara eti kisa ulishalipia kodi?
Wewe ndio nimekuelewaMdhamini mkuu wa young African ni sportpesa kwa miaka 5 na ndie mwenye haki yakukaa front kifuani kwenye jezi kwa miaka yote hiyo..Kama Kuna lolote yeye ndie atamua Nini kifanyike,,
Sasa sportpesa anakuambia uweke visit Tanzania kifuani wewe unasaini mkataba mwingine .
Huyo wa mechi sita anajua baada ya hizo mechi mtaendelea kuvaa jezi mtaani kwahiyo bado mtatangaza biashara yake tu, wale wenye dini zao wasiopenda kamari basi washapata mtoko wa jeziWewe Ndio Huna Akili, MBUMBUMBU Kabisaa Kolo Waheed Wewe, Yani Mtu Anakudhamini Kwa Mechi Sita Tu Za Uhakika Endapo Timu Haitafanikiwa Kuendelea Hatua Inayofata Unaingiza 1.5B…Sasa Huyu Mtu Ukimpa Mkataba Mrefu Itakuwaje ?, Si Kuna Mpunga Wa Maana Hapo..
Na hapa ndipo penye shida, haijulikani kama mkataba ulikuwa unajumuisha mashindano ya kimataifa.Je mkataba walioingia Yanga na Sportpesa ulikuwa unahusu hadi michuano ya kimataifa?
Kama ulikuwa unawapa haki Sportpesa hadi kwenye mashindano ya kimataifa basi Yanga wamefanya kosa kukiuka mkataba.
Sportpesa ameona mbali Sana ..Hapo gsm Kama kit supplier alitaka kujifanya na akili ila jamaa wamestuka..wat wanadhani ni mechi sita tu ..Huyo wa mechi sita anajua baada ya hizo mechi mtaendelea kuvaa jezi mtaani kwahiyo bado mtatangaza biashara yake tu, wale wenye dini zao wasiopenda kamari basi washapata mtoko wa jezi