Mkataba wa Yanga na Sport Pesa waingia mdudu baada ya Yanga kutambulisha mdhamini mpya

Mkataba wa Yanga na Sport Pesa waingia mdudu baada ya Yanga kutambulisha mdhamini mpya

Makolo kaeni kwa kutulia, Sport Pesa ya Tarimba ndiyo Yanga ile ile, mnamaliza MB zenu bure
 
Hilo unalolisema limeelezewa vizuri na SportPesa kwenye hilo bandiko lao

Means wanatambua sheria za ufadhili wa CAF na ndio maana wao wameweka wazi kuwa Yanga walipeleka ombi kwa SportPesa
kwa ajili ya kupewa ruhusa ya kupata mfadhili mwingine

Ombi ambalo lilikataliwa

Yanga ni kama waliamua kumzunguka kwa nyuma SportPesa na kumleta mfadhili mpya

Katika hili naona Yanga wana hatia
Wanataka sportpesa ajitoe mwenyewe
Ila hili swala naona wakipelekana mahakamani
 
1. Kuna kutumika kwa watu fulani kulazimisha neno fulani likae kwenye jezi za Yanga.

2. Ubinafsi wa sportpesa ( kama walipelekewa ombi la kuwepo kwa mdhamini mpya kwa michuano ya CAF, kwann walikataa hali ya kuwa biashara zao hazifanani, hivyo isinge muathiri)

3. Kujihami kwa sportpesa na kuleta taarifa kwa umma haraka mno, (anaogopa nini na anamuogopa nani)

4. Ulazima wa Yanga kuweka mdhamini mpya lengo ni kuitangaza timu zaidi, je hili sportpesa halitaki.? ( Hataki Yanga ijitangaze zaidi, ili ije kuwa faida kwake pia baadae.?

5. Soka ni biashara, biashara ni matangazo, "visit Tanzania" sio Tangazo la kibiashara kwa Yanga

6. Ikifika mahali mnaleta taarifa kwa umma, basi leteni na mikataba ili tuweze kuwatetea vizuri, (tujue ni nani yupo sahihi na nani ana kosa)
sportspesa hakuna kilichovunjwa ni uwezo mdogo wa kutafsiri mkataba
 
Hilo unalolisema limeelezewa vizuri na SportPesa kwenye hilo bandiko lao

Means wanatambua sheria za ufadhili wa CAF na ndio maana wao wameweka wazi kuwa Yanga walipeleka ombi kwa SportPesa
kwa ajili ya kupewa ruhusa ya kupata mfadhili mwingine

Ombi ambalo lilikataliwa

Yanga ni kama waliamua kumzunguka kwa nyuma SportPesa na kumleta mfadhili mpya

Katika hili naona Yanga wana hatia
Naomba niambie sportpesa kaahidi kutoa bonus ya sh ngapi endapo Yanga watafanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa? Maana kwenye NBC na Azam Federation cup limewekwa wazi kiasi cha bonus watakachopata Yanga kutoka kwa sportpesa. Kama hakuna sehemu yoyote ambayo sportpesa katamka kuhusu michuano ya kimataifa. maanake hao sportpesa walijua ukomo wao wa udhamini
 
1. Kuna kutumika kwa watu fulani kulazimisha neno fulani likae kwenye jezi za Yanga.

2. Ubinafsi wa sportpesa ( kama walipelekewa ombi la kuwepo kwa mdhamini mpya kwa michuano ya CAF, kwann walikataa hali ya kuwa biashara zao hazifanani, hivyo isinge muathiri)

3. Kujihami kwa sportpesa na kuleta taarifa kwa umma haraka mno, (anaogopa nini na anamuogopa nani)

4. Ulazima wa Yanga kuweka mdhamini mpya lengo ni kuitangaza timu zaidi, je hili sportpesa halitaki.? ( Hataki Yanga ijitangaze zaidi, ili ije kuwa faida kwake pia baadae.?

5. Soka ni biashara, biashara ni matangazo, "visit Tanzania" sio Tangazo la kibiashara kwa Yanga

6. Ikifika mahali mnaleta taarifa kwa umma, basi leteni na mikataba ili tuweze kuwatetea vizuri, (tujue ni nani yupo sahihi na nani ana kosa)
Sijajua unauelewa gani kwenye masuala ya masoko ila kwa uchache, uuzwaji wa jezi mpya zenye udhamini wa kampuni mpya unaweza kuathiri uvaaji wa jezi zenye nembo ya sportpesa mtaani. Wanunuzi na wavaaji wa jezi ni wale wale. Hilo ni moja tu.
 
YANGA NI KUBWA KULIKO SPORTPESA..

VISIT TANZANIA NI TANGAZO LA KIBIASHARA PIA, kama tu la VISIT RWANDA. Yes ni tangazo la kibiashara kuvutua watalii na wawekezaji. YANGA ANAFAIDIKA NINI??

Kama hawataki watupishe, hongera Uongozi kwa kuitafutia klabu pesa na mikataba minono
 
Je mkataba walioingia Yanga na Sportpesa ulikuwa unahusu hadi michuano ya kimataifa?
Kama ulikuwa unawapa haki Sportpesa hadi kwenye mashindano ya kimataifa basi Yanga wamefanya kosa kukiuka mkataba.
Yanga wametoa tamko, wamesema walimuomba Sportpesa ruhusa, sportpesa hakuwajibu
 
Uko sahihi kabisa.
Ishu ni kupata maximum possible mpunga kutokana na udhamini.

Wenzetu hata jezi za mazoezi zina wadhamini tofauti.
Chelsea wana ile 3 na mazoezini wana TRIVAGO.

Kama hawataki wavunje mkataba wasepe.

Hatueki Visit Tz . Yanga siyo Royal tour
 
Kimsingi mkataba wao uko too general. Nbc Azam na Caf ni mashindano tofauti. Mkataba wao haukuweka mipaka. Wangekuwa makini kila jez ya mashindano ( Azam, nbc na caf) ingepata mdhamini wake. Hata kama angekuwa huyo huyo ila dau lingekuwa tofauti na sasa maana ni platform tofauti.
Tukitoa tottenham ni timu gani umewahi shuhudia?
 
Kama sportpesa wangekuwa wanajitambua kuwa uwepo wao upo hadi kwenye michuano ya kimataifa kwa Yanga basi kungewwkwa vipengele vya bonus hadi kwenye michuano ya kimataifa.. lakini wamewekeana vipengele vya bonus endapo Yanga itafanya vizuri kwenye NBC na Azam Federation cup pekee.
Kwenye preliminary stage Yanga walivaa jezi za sportpesa, ile ilikuwa local?
 
Kwani Yanga si wamekuwa wanavaa jezi hizo hizo za Sportpesa kwenye hatua za awali? Hapa kuna matatu, tamaa imewaingia, kutaka kutrend na kushindana na Simba, na tatu kutotaka kuonekana kama wanaiiga Simba kwa kuweka "Visit Tanzania". Yanga wako tayari kurisk kuchukuliwa hatua za kisheria kuliko kuonekana wameiiga Simba ingawa kuna mambo hayaepukiki.
GSM ni muuzaji wa Haier
GSM ni mdhamini wa Yanga
GSM ni kit maker
 
Kwahiyo niulize endapo CUF wangesema kila timu ivae uzi wenye nembo ya 1*Bet, Sportpesa wangesema Yanga atulipe fidia? Na je kama mdhamini wako mkuu ni Sportpesa akija kesho akasema kwenye kifua andika Mo energy utakubali kisa yeye ndiye mdhamini mkuu?
Alafu ukisoma waraka huo unaodaiwa kuwa wa sportpesa inaonekana Yanga hajaenda kuomba ruhusa Sportpesa bali aliwataarifu/kuwafahamisha tu kwamba kwenye mashindano haya tutakuwa na fulani. Mwisho siamini kama kweli ni waraka wa Sportpesa maana una ushabiki ndani yake.
 
Back
Top Bottom