HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Haier ni GSMHata mimi nimesikitishwa. Ila makampuni yawe yanatathmini credibility ya uongozi wa club kabla ya kuingia mikataba. Yanga haina uongozi ina wahuni na machawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haier ni GSMHata mimi nimesikitishwa. Ila makampuni yawe yanatathmini credibility ya uongozi wa club kabla ya kuingia mikataba. Yanga haina uongozi ina wahuni na machawa
Wanataka sportpesa ajitoe mwenyeweHilo unalolisema limeelezewa vizuri na SportPesa kwenye hilo bandiko lao
Means wanatambua sheria za ufadhili wa CAF na ndio maana wao wameweka wazi kuwa Yanga walipeleka ombi kwa SportPesa
kwa ajili ya kupewa ruhusa ya kupata mfadhili mwingine
Ombi ambalo lilikataliwa
Yanga ni kama waliamua kumzunguka kwa nyuma SportPesa na kumleta mfadhili mpya
Katika hili naona Yanga wana hatia
Ha ha haPole kwa kusikitishwa.
sportspesa hakuna kilichovunjwa ni uwezo mdogo wa kutafsiri mkataba1. Kuna kutumika kwa watu fulani kulazimisha neno fulani likae kwenye jezi za Yanga.
2. Ubinafsi wa sportpesa ( kama walipelekewa ombi la kuwepo kwa mdhamini mpya kwa michuano ya CAF, kwann walikataa hali ya kuwa biashara zao hazifanani, hivyo isinge muathiri)
3. Kujihami kwa sportpesa na kuleta taarifa kwa umma haraka mno, (anaogopa nini na anamuogopa nani)
4. Ulazima wa Yanga kuweka mdhamini mpya lengo ni kuitangaza timu zaidi, je hili sportpesa halitaki.? ( Hataki Yanga ijitangaze zaidi, ili ije kuwa faida kwake pia baadae.?
5. Soka ni biashara, biashara ni matangazo, "visit Tanzania" sio Tangazo la kibiashara kwa Yanga
6. Ikifika mahali mnaleta taarifa kwa umma, basi leteni na mikataba ili tuweze kuwatetea vizuri, (tujue ni nani yupo sahihi na nani ana kosa)
Naomba niambie sportpesa kaahidi kutoa bonus ya sh ngapi endapo Yanga watafanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa? Maana kwenye NBC na Azam Federation cup limewekwa wazi kiasi cha bonus watakachopata Yanga kutoka kwa sportpesa. Kama hakuna sehemu yoyote ambayo sportpesa katamka kuhusu michuano ya kimataifa. maanake hao sportpesa walijua ukomo wao wa udhaminiHilo unalolisema limeelezewa vizuri na SportPesa kwenye hilo bandiko lao
Means wanatambua sheria za ufadhili wa CAF na ndio maana wao wameweka wazi kuwa Yanga walipeleka ombi kwa SportPesa
kwa ajili ya kupewa ruhusa ya kupata mfadhili mwingine
Ombi ambalo lilikataliwa
Yanga ni kama waliamua kumzunguka kwa nyuma SportPesa na kumleta mfadhili mpya
Katika hili naona Yanga wana hatia
Siku hizi mmekua wanahakati wa kutetea haki, baada ya Feisal mmehamia SportpesaHata mimi nimesikitishwa. Ila makampuni yawe yanatathmini credibility ya uongozi wa club kabla ya kuingia mikataba. Yanga haina uongozi ina wahuni na machawa
[emoji23][emoji23]aunganishe ikiwa bado ana masikitiko ya Mangungu kapata sikitiko jinginePole kwa kusikitishwa.
Sijajua unauelewa gani kwenye masuala ya masoko ila kwa uchache, uuzwaji wa jezi mpya zenye udhamini wa kampuni mpya unaweza kuathiri uvaaji wa jezi zenye nembo ya sportpesa mtaani. Wanunuzi na wavaaji wa jezi ni wale wale. Hilo ni moja tu.1. Kuna kutumika kwa watu fulani kulazimisha neno fulani likae kwenye jezi za Yanga.
2. Ubinafsi wa sportpesa ( kama walipelekewa ombi la kuwepo kwa mdhamini mpya kwa michuano ya CAF, kwann walikataa hali ya kuwa biashara zao hazifanani, hivyo isinge muathiri)
3. Kujihami kwa sportpesa na kuleta taarifa kwa umma haraka mno, (anaogopa nini na anamuogopa nani)
4. Ulazima wa Yanga kuweka mdhamini mpya lengo ni kuitangaza timu zaidi, je hili sportpesa halitaki.? ( Hataki Yanga ijitangaze zaidi, ili ije kuwa faida kwake pia baadae.?
5. Soka ni biashara, biashara ni matangazo, "visit Tanzania" sio Tangazo la kibiashara kwa Yanga
6. Ikifika mahali mnaleta taarifa kwa umma, basi leteni na mikataba ili tuweze kuwatetea vizuri, (tujue ni nani yupo sahihi na nani ana kosa)
Yanga wametoa tamko, wamesema walimuomba Sportpesa ruhusa, sportpesa hakuwajibuJe mkataba walioingia Yanga na Sportpesa ulikuwa unahusu hadi michuano ya kimataifa?
Kama ulikuwa unawapa haki Sportpesa hadi kwenye mashindano ya kimataifa basi Yanga wamefanya kosa kukiuka mkataba.
Chelsea wana ile 3 na mazoezini wana TRIVAGO.Uko sahihi kabisa.
Ishu ni kupata maximum possible mpunga kutokana na udhamini.
Wenzetu hata jezi za mazoezi zina wadhamini tofauti.
Tukitoa tottenham ni timu gani umewahi shuhudia?Kimsingi mkataba wao uko too general. Nbc Azam na Caf ni mashindano tofauti. Mkataba wao haukuweka mipaka. Wangekuwa makini kila jez ya mashindano ( Azam, nbc na caf) ingepata mdhamini wake. Hata kama angekuwa huyo huyo ila dau lingekuwa tofauti na sasa maana ni platform tofauti.
1.5 B ikiingia inatosha. Tutawanunulia mpaka makolo basi.. Mengine makelele tuHaier ni GSM
Kwenye preliminary stage Yanga walivaa jezi za sportpesa, ile ilikuwa local?Kama sportpesa wangekuwa wanajitambua kuwa uwepo wao upo hadi kwenye michuano ya kimataifa kwa Yanga basi kungewwkwa vipengele vya bonus hadi kwenye michuano ya kimataifa.. lakini wamewekeana vipengele vya bonus endapo Yanga itafanya vizuri kwenye NBC na Azam Federation cup pekee.
GSM ni muuzaji wa HaierKwani Yanga si wamekuwa wanavaa jezi hizo hizo za Sportpesa kwenye hatua za awali? Hapa kuna matatu, tamaa imewaingia, kutaka kutrend na kushindana na Simba, na tatu kutotaka kuonekana kama wanaiiga Simba kwa kuweka "Visit Tanzania". Yanga wako tayari kurisk kuchukuliwa hatua za kisheria kuliko kuonekana wameiiga Simba ingawa kuna mambo hayaepukiki.
Kuweka nembo hii kwenye jezi ya Yanga/Simba inawaingizia sh ngapi?Visit Tanzania
Yanga kubwa kuiko SportpesaHatua gan wanachukua au wanasikitika tu baas