leadermoe
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 1,392
- 4,588
[emoji38][emoji38][emoji38]Kuliko waliowaletea mchezaji wa Timu nyingine kwenye kampeni za uchaguzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]Kuliko waliowaletea mchezaji wa Timu nyingine kwenye kampeni za uchaguzi?
Na vilevile kawapa jezi ya blue watokane na ile adhma ya kuvaa nguo za njano au kijaniHuyo wa mechi sita anajua baada ya hizo mechi mtaendelea kuvaa jezi mtaani kwahiyo bado mtatangaza biashara yake tu, wale wenye dini zao wasiopenda kamari basi washapata mtoko wa jezi
Usichokijua ni kwamba GSM ni partner wa Haier hata kabla ya mkataba huu, kwa hiyo ni uhuni fulani umefanyika kuizunguka SportPesaWewe Ndio Huna Akili, MBUMBUMBU Kabisaa Kolo Waheed Wewe, Yani Mtu Anakudhamini Kwa Mechi Sita Tu Za Uhakika Endapo Timu Haitafanikiwa Kuendelea Hatua Inayofata Unaingiza 1.5B…Sasa Huyu Mtu Ukimpa Mkataba Mrefu Itakuwaje ?, Si Kuna Mpunga Wa Maana Hapo..
Sport pesa walijua Abbas Tarimba ni mshabiki lia lia wa utopolo,wakamwajiri,kwa hiyo wasitegemee kushinda hiyo kesi labda wamfukuze kazi kwanza.Hivi uyu Abbasi Tarimba sindo mwanachama kindakindaki wa Yanga, kulikoni anaingiza siasa kwenye Mpira, Yanga baadaye ya kuona kwamba mdhamini wao Sports pesa anaomba kubadilisha jina na kuweka Visit Tanzania badala ya Sports pesa, Jamaa wakaona apo apo ndo pakupitia maana mkataba unatambua Neno Sportspesa.
Kingine Abbasi tarimba Aachane na hizi Siasa kisa yeye ni mbunge, anataka attention ya kisiasa kwa Timu ya Yanga na Kampuni ya Sportspesa kupata maileg kisiasa.
Nathani tuanze kuwa serious na terms and conditions of business... Tunafeli sana na mwisho wa siku Makampuni makubwa yanaogopa kuja kufanya biashara na Watanzania kwa sababu hizo hizo za kutokuheshimu mikataba.
Ishu ni yanga kupiga pesa huku na huku kwa mabwana wawiliNimeona hayo maelezo nikabaki kujiuliza maswali. Yanga ikivaa visit Tanzania je sport pesa watafaidika na kipi hapo?
Kwa hiyo unapambana na timu yenye wanuni? Shauri wanuni siyo watuFeisal alikuwa sahihi sana hii club inaendeshwa kihuni.
Kiweke hapa hicho kipengere mkuu tukishuhudie kinasemajeKatika watu wanaokula mshahara wa bure ni mwanasheria wa yanga hakuna hata kesi moja aliyoshinda na kawaingiza yanga mkenge mara kibao kule Turkey walivunja mkataba kihini wakapigwa fine wakati walikuwa washafanya booking kesi ya Morrison chalii kesi ya feisal imemshinda yaani yule jamaa ni kilaza nahisi itakuwa kuna ndugu yake pale yanga anayemfanya abaki hadi leo jamaa ni kilaza pro max mpaka hiki kipengele cha sports pesa kimemshinda kukitafsiri kweli.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Asipokuelewa na hapa mchape kibao.Sijawahi kukukosoa rafiki yangu ila leo tu
Swala la fei sio kushindwa kumlipa. Tatizo ni utaratibu aliotumia Fei kuondoka. Makataba unasema anaruhusiwa kuvunja/ kununua mkataba wake kwa kushauriana na klab NA KUTOA SABABU zinazopelekea kuondoka kwake. Sababu za fei ni mshahara mdogo hiyo kisheria haikupi haki ya kuvunja mkataba.
Angepewa haki mapema kabisa kama angekuwa anadai mshahara halipwi, au hachezeshwi n. k. Kisheria mkataba hauamuliwi kimasirahi tu.
Nitakula mfano Kuna hilo jengo la sido hapo karibu na cbe. Sido walitoa notice wa wapangaji wote wahame ili livunjwe lakini ilifunguliwa kesi na sido walishindwa maana sababu zao zilikuwa ni kutaka kuliboresha jengo huku tayari wana mikataba hai na wapangaji.
Hope utanielewa raftiki. Kuna sheria na ushabiki.
Nyie siyo wahuni bali ni matejaKwa hiyo unapambana na timu yenye wanuni? Shauri wanuni siyo watu
Kama sportpesa wangekuwa wanajitambua kuwa uwepo wao upo hadi kwenye michuano ya kimataifa kwa Yanga basi kungewwkwa vipengele vya bonus hadi kwenye michuano ya kimataifa.. lakini wamewekeana vipengele vya bonus endapo Yanga itafanya vizuri kwenye NBC na Azam Federation cup pekee.kwa maelezo hayo ya SportPesa, sio lazima iwepo Visit Tanzania, panaweza pakawa wazi, lakini sharti pasiwepo mdhamini mwingine kama wao hawapo
Bro huwa naheshimu sana michango yako kule kwenye jukwaa la jamii intelligence ila huku kwenye jukwaa la sports huwa unashindwa kabisa kuwa neutral. Kama kanuni inasema wazi kuanzia hatua ya makundi haitakiwi kuwekwa kifuani kampuni yoyote zaidi ya 1xbet basi moja kwa moja yanga anayo haki ya kuweka mdhamini mwingine bila kusubiri go ahead ya sportpesa maana kwa mujibu wa utaratibu uliopo sportpesa hausuki uko na ilo alitakiwa kulifahamu tangu mwanzo kipindi wanaandikishiana mkataba.Hilo unalolisema limeelezewa vizuri na SportPesa kwenye hilo bandiko lao
Means wanatambua sheria za ufadhili wa CAF na ndio maana wao wameweka wazi kuwa Yanga walipeleka ombi kwa SportPesa
kwa ajili ya kupewa ruhusa ya kupata mfadhili mwingine
Ombi ambalo lilikataliwa
Yanga ni kama waliamua kumzunguka kwa nyuma SportPesa na kumleta mfadhili mpya
Katika hili naona Yanga wana hatia
Dah! Yaani unasikitishwa na mkataba wa Yanga, badala ya ile mibovu ya timu yako ya simba na Bosi wako Moo!! Haya sasa ni maajabu! 🤔Hata mimi nimesikitishwa. Ila makampuni yawe yanatathmini credibility ya uongozi wa club kabla ya kuingia mikataba. Yanga haina uongozi ina wahuni na machawa
Mwananchi kunywa pepsi hapo nitalipa1. Kuna kutumika kwa watu fulani kulazimisha neno fulani likae kwenye jezi za Yanga.
2. Ubinafsi wa sportpesa ( kama walipelekewa ombi la kuwepo kwa mdhamini mpya kwa michuano ya CAF, kwann walikataa hali ya kuwa biashara zao hazifanani, hivyo isinge muathiri)
3. Kujihami kwa sportpesa na kuleta taarifa kwa umma haraka mno, (anaogopa nini na anamuogopa nani)
4. Ulazima wa Yanga kuweka mdhamini mpya lengo ni kuitangaza timu zaidi, je hili sportpesa halitaki.? ( Hataki Yanga ijitangaze zaidi, ili ije kuwa faida kwake pia baadae.?
5. Soka ni biashara, biashara ni matangazo, "visit Tanzania" sio Tangazo la kibiashara kwa Yanga
6. Ikifika mahali mnaleta taarifa kwa umma, basi leteni na mikataba ili tuweze kuwatetea vizuri, (tujue ni nani yupo sahihi na nani ana kosa)
Mimi mwenyewe nimeshangaa eti!!Waliosikitika zaidi ni Makolo. Na bado, mtasikitika sana mwaka huu!
dawa imekuingia, time will tell mzee dingi1. Kuna kutumika kwa watu fulani kulazimisha neno fulani likae kwenye jezi za Yanga.
2. Ubinafsi wa sportpesa ( kama walipelekewa ombi la kuwepo kwa mdhamini mpya kwa michuano ya CAF, kwann walikataa hali ya kuwa biashara zao hazifanani, hivyo isinge muathiri)
3. Kujihami kwa sportpesa na kuleta taarifa kwa umma haraka mno, (anaogopa nini na anamuogopa nani)
4. Ulazima wa Yanga kuweka mdhamini mpya lengo ni kuitangaza timu zaidi, je hili sportpesa halitaki.? ( Hataki Yanga ijitangaze zaidi, ili ije kuwa faida kwake pia baadae.?
5. Soka ni biashara, biashara ni matangazo, "visit Tanzania" sio Tangazo la kibiashara kwa Yanga
6. Ikifika mahali mnaleta taarifa kwa umma, basi leteni na mikataba ili tuweze kuwatetea vizuri, (tujue ni nani yupo sahihi na nani ana kosa)
Heeee!!! Uliskia wap?pole sana Abbasi tarimba ndio ujue kufanya kazi kishikaji matokeo yake ndio haya.
View attachment 2502284
View attachment 2502285
View attachment 2502295
Wanatamani wasikie tumeondolewa kwenye kombe la shirikisho.Waliosikitika zaidi ni Makolo. Na bado, mtasikitika sana mwaka huu!