Mkataba wa Yanga na Sport Pesa waingia mdudu baada ya Yanga kutambulisha mdhamini mpya

Huyo wa mechi sita anajua baada ya hizo mechi mtaendelea kuvaa jezi mtaani kwahiyo bado mtatangaza biashara yake tu, wale wenye dini zao wasiopenda kamari basi washapata mtoko wa jezi
Na vilevile kawapa jezi ya blue watokane na ile adhma ya kuvaa nguo za njano au kijani
 
Usichokijua ni kwamba GSM ni partner wa Haier hata kabla ya mkataba huu, kwa hiyo ni uhuni fulani umefanyika kuizunguka SportPesa
 
Sport pesa walijua Abbas Tarimba ni mshabiki lia lia wa utopolo,wakamwajiri,kwa hiyo wasitegemee kushinda hiyo kesi labda wamfukuze kazi kwanza.

Sport pesa ni wapuuzi tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Nimeona hayo maelezo nikabaki kujiuliza maswali. Yanga ikivaa visit Tanzania je sport pesa watafaidika na kipi hapo?
Ishu ni yanga kupiga pesa huku na huku kwa mabwana wawili
 
Katika watu wanaokula mshahara wa bure ni mwanasheria wa yanga hakuna hata kesi moja aliyoshinda na kawaingiza yanga mkenge mara kibao kule Turkey walivunja mkataba kihini wakapigwa fine wakati walikuwa washafanya booking kesi ya Morrison chalii kesi ya feisal imemshinda yaani yule jamaa ni kilaza nahisi itakuwa kuna ndugu yake pale yanga anayemfanya abaki hadi leo jamaa ni kilaza pro max mpaka hiki kipengele cha sports pesa kimemshinda kukitafsiri kweli.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Kiweke hapa hicho kipengere mkuu tukishuhudie kinasemaje
 
Asipokuelewa na hapa mchape kibao.
 
Aibu kubwa Sana na tamaa iliyopitiliza, timu Ina wanasheria halafu inafanya kosa la kininga kiasi hicho? Sasa hapo wameingia Cha kike ,imesha nyesha tayari soon panapovuja pataonekana. Nilishtuka Mzee mshindo msola kujitoa kwenye kugombea dakika za mwisho, nilishangaa mgombea wa uraisi akimnanga mgombea mmoja wa makamu na kumpigia kampeni wazo wazi mgombea mwingine.

PACTA SUNT SERVANDA
 
kwa maelezo hayo ya SportPesa, sio lazima iwepo Visit Tanzania, panaweza pakawa wazi, lakini sharti pasiwepo mdhamini mwingine kama wao hawapo
Kama sportpesa wangekuwa wanajitambua kuwa uwepo wao upo hadi kwenye michuano ya kimataifa kwa Yanga basi kungewwkwa vipengele vya bonus hadi kwenye michuano ya kimataifa.. lakini wamewekeana vipengele vya bonus endapo Yanga itafanya vizuri kwenye NBC na Azam Federation cup pekee.
 
Bro huwa naheshimu sana michango yako kule kwenye jukwaa la jamii intelligence ila huku kwenye jukwaa la sports huwa unashindwa kabisa kuwa neutral. Kama kanuni inasema wazi kuanzia hatua ya makundi haitakiwi kuwekwa kifuani kampuni yoyote zaidi ya 1xbet basi moja kwa moja yanga anayo haki ya kuweka mdhamini mwingine bila kusubiri go ahead ya sportpesa maana kwa mujibu wa utaratibu uliopo sportpesa hausuki uko na ilo alitakiwa kulifahamu tangu mwanzo kipindi wanaandikishiana mkataba.
 
Mwananchi kunywa pepsi hapo nitalipa
 
dawa imekuingia, time will tell mzee dingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…