Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Hakika hata sisi wanawake tumelifurahia hili. Ndo yaleyale ya akina jacky Mengi. Ndo muelewe. Its not about jelousy. Sisi wanawake tunajuana sana. Komesha wadangaji wote. Hivi vicky likwelile na doreen mrema wamefikia wapi nao?[emoji23][emoji23] wanaume nawashauri kuwa makini sana. Najua wengi mnalia sana kwenye ndoa zenu. Hawa wadangaji wamewatenga na ndugu na familia zenu kwa kutaka kudhibiti mali. Shwaini kbs
 
Huyu mwamba kaonyesha njia
so, vijana msikatae ndoa maana siku moja mlizaliwa na mama zenu waliokubali ndoa ndo maana mnaishi
biblia inasema ishini na wake zenu kwa akili,
Hakika huyu mchezaji alitumia akili kwamba hata mama yake akimdhurumu akifa atairithi mali
 
Sasa hivi kote kwenye mitandao ya kijamii ni Ashraf Hakimi.

Ashraf Hakimi ni kijana mdogo Morocco aliyezaliwa 1998 jijini Madrid Uhispania.

Ni beki mkabaji ni mshambuliaji wa timu ya PSG na Morocco.

Mshahara wa Hakimi ni Zaid ya Euros million moja kwa mwezi.

Masaa 24 iliyopita Ashraf Hakimi kawashanga ulimwengu. Hii ni baada ya mke Hiba Abouk nusu Mtunisia na mlibya raia wa Uhispania wake ambaye wamezaa naye watoto wawili kuomba talaka kwa kumsingiza eti alikuwa anamnyanyasa kijinsia.

Mke wake na mwanasheria wake wameshtuka baada walipotaka mali na hela zote za Hakimi zigawanywe nusu kwa nusu nakugundua Hakimi alishaandika mishahara yote na mali ziwe zinaenda kwenye account ya mama yake. Kwa iyo hatapa chochote

Unaambiwa huyo mwanamke hakuamini.

Hata CCN imemohoji Hakimi nakumuuliza licha ya umri wake mdogo aliwezaje kutumia akili kiasi hicho. Kwasababu huyo mwanamke umri wake 36yrs ni mkubwa Zaid ya miaka 12.

Yeye anasema anakumbuka sana mama yake alivyomlea kwa shida Madrid.

Sasa hivi huko kwenye TikTok ni Ashraf Hakimi tu. Watu wanamsifu na kumpongeza.

Wengine wanasema wamejifunza kutoka kwake.

FjUHUDrWAAo_wYQ.jpg_large.jpg
 
Kuna jamaa mmoja ana YouTube chanel yake inaitwa HUKU YUESI jmaa anakaa states…anasema ndoa ni scum tu na wanaume wengi wamepata shida sana baada ya kuoa maana wake wanakua na kiburi maana wanajua ukizingua mshiko ni pasu kwa pasu na child support juu..50% ndoa US zinavunjia sababu ya sheria zinazowabana sana wanaume..ndo mana murder case zinazohusisha mme kuua mke au familia nzima ni nyingii ila mtu akwepe kupukitishwa…unaona yaliomtokea tiger woods mpk akapotea kwenye game maana alinyooshwa hasaa…ronaldo yeye mjanja sana ni kuzaa kwa mkataba tu ukizaa unanipa mtoto then over…midume mingi ulaya imefilisiwa sababu ya kugawana mali
Na kale ka familia ka Kardashian Ipo siku wataotewa tu wamesha dhulumu sana Mali za wanaume juzijuzi tu Kanye alikua victim, Ipo siku watapata mjanja wao.
 
Kuna jamaa mmoja ana YouTube chanel yake inaitwa HUKU YUESI jmaa anakaa states…anasema ndoa ni scum tu na wanaume wengi wamepata shida sana baada ya kuoa maana wake wanakua na kiburi maana wanajua ukizingua mshiko ni pasu kwa pasu na child support juu..50% ndoa US zinavunjia sababu ya sheria zinazowabana sana wanaume..ndo mana murder case zinazohusisha mme kuua mke au familia nzima ni nyingii ila mtu akwepe kupukitishwa…unaona yaliomtokea tiger woods mpk akapotea kwenye game maana alinyooshwa hasaa…ronaldo yeye mjanja sana ni kuzaa kwa mkataba tu ukizaa unanipa mtoto then over…midume mingi ulaya imefilisiwa sababu ya kugawana mali
Dogo jack huyo namuelewa sana vipindi vya channel yake.
 
Nadhani sasa mtamuelewa mama's boy Diamond platnumz dogo aliusoma mchezo mapema sana Kila kitu kipo kwa Jina la bi Sandra alijua ma Gold diggers kina mobetto wange mmaliza Hawa ma slay queen Wana la kujifunza, hata sikumoja Maza hawezi kukugeuka mwanae ila Hawa viumbe wa kuitwa mke sijui mzazi mwenzangu dakika sifuri tu, mwamba hakimi amecheza kama pele.
Mama'sboy 5 - slay queens 0
Ila hata mimi nimeanza kumuelewa Mama Dangote anaupiga mwingi
 
Back
Top Bottom