Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Jamaa amefanya kitu ambacho nimewahi kukiwaza pia.
Lakini nafikiri inaathari kwa upande mwingine pia wataalam wa sheria watueleze. Nafikiri mama akifariki kwa kua asset zinasoma majina yake si ndugu wengine watalilia mgao wa jasho lisilowahusu.
Nope haiwezekani nasikia next kin ni yeye hakimi so Maza aki vuta kabla yake jamaa anakua kama karithishwa.
 

Attachments

  • 1F75C2EC-8147-43BD-937E-0DE380A0CD99.jpeg
    1F75C2EC-8147-43BD-937E-0DE380A0CD99.jpeg
    31.8 KB · Views: 3
😅😅😅lazima maana hawa huwa wanakuwa na washauri wao pembeni. Wanasuka tuu kwa kuhesabu vilivyonunuliwa. Wakishahisi inatosha bibie analiamsha dude kisha kesi mgawano mali
Alishaipigia hesabu ile nyumba ya ghorofa mtaa wa makonde😀😀hawa viumbe ndo maana tuliambiwa tuishi nao kwa akili
 
Back
Top Bottom