Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nope haiwezekani nasikia next kin ni yeye hakimi so Maza aki vuta kabla yake jamaa anakua kama karithishwa.Jamaa amefanya kitu ambacho nimewahi kukiwaza pia.
Lakini nafikiri inaathari kwa upande mwingine pia wataalam wa sheria watueleze. Nafikiri mama akifariki kwa kua asset zinasoma majina yake si ndugu wengine watalilia mgao wa jasho lisilowahusu.
Singo Mama unatesekaaa... [emoji1787]Roho mbaya tu wewe unadhani kulea watoto kazi ndogo pengine kachangia kwenye hizo Mali[emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au esma kisirani ila yule bimaza mjanja hawezi fanya huo upupu.Anakuta Mali zote kaandikishwa juma lokole[emoji1787][emoji1787]
Wanadai mama yake Hakimi alimuita huyo demu waongee naye chemba naskia akamtukana na kumuonesha madharau. Maza akasema tu poua.Hali ya huyo ibilisi wa kike aliyeingiwa na tamaa ya joka yule mkuu ipoje kwa sasa?
We familia ya kishetani ile mkuuuNa kale ka familia ka Kardashian Ipo siku wataotewa tu wamesha dhulumu sana Mali za wanaume juzijuzi tu Kanye alikua victim, Ipo siku watapata mjanja wao.
😅😅😅lazima maana hawa huwa wanakuwa na washauri wao pembeni. Wanasuka tuu kwa kuhesabu vilivyonunuliwa. Wakishahisi inatosha bibie analiamsha dude kisha kesi mgawano maliNa ukute alikua anajituma balaa akijua kuna ma euro huko na majumba ya kutosha
Singo Mama unatesekaaa... [emoji1787]
Dah bibie atumie hata njia za asili kurudisha Mali [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Alishaipigia hesabu ile nyumba ya ghorofa mtaa wa makonde😀😀hawa viumbe ndo maana tuliambiwa tuishi nao kwa akili😅😅😅lazima maana hawa huwa wanakuwa na washauri wao pembeni. Wanasuka tuu kwa kuhesabu vilivyonunuliwa. Wakishahisi inatosha bibie analiamsha dude kisha kesi mgawano mali
😀😀 nimeskia ameshapewa cheo kama mwenyekiti wa stingy men😀 dunianiAshraf hakimi kaupiga mwingi[emoji38]
Huko Venus unahijishe wakati nyuzi joto ni 5000 degrees Celsius usiku na mchana?“Kila mtu duniani”
Isije kuwa mimi nipo Venus na sijijui
TV yangu ya aboder na mimi naenda andikisha sitaki ujinga tena na makima 🤣🤣🤣
Usifikiri wanawake wote ni wadangaji kama huyo manzi ukielewa Hili huwezi kutoa comment kama hiyoHakuna mwanamke atamuelewa tena