Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu demu na uhakika hata iyo kesi walio mpakazia mshkaji eti kambaka mtu nyumbani kwao alivokua Dubai wote huo ni mchongo Ili avute mkwanja mrefu jamaa ainekane kamsaliti lakini kajuta kumfahamu hachiraf [emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]lazima maana hawa huwa wanakuwa na washauri wao pembeni. Wanasuka tuu kwa kuhesabu vilivyonunuliwa. Wakishahisi inatosha bibie analiamsha dude kisha kesi mgawano mali
Hakimi kazaliwa France kachagua kuichezea Morocco pia sio Mshambuliaji ni Beki sawa?
Maza amegoma kurudia umasikini wa tandale lazima akomae tu wamchukie shauri yao analinda haki za mwanae.Na Ndio maana hawa maslay queen hawampendi Mama yake kumbe ni kwasababu Mama kaziba miyanya
dronedrakeKataa Utumwa
Kataa Unyonyaji
Kataa Ujambazi
Tokomeza Ndoa
Pinga Ndoa
Kataa Ndoa
Utapiga nyeto hadi lini sasa?napiga nyeto
napiga nyeto
napiga nyeto
napiga nyeto
Acha wivu.. Watu na mama zaonimeliangalia sjalielewa ingekua paji la uso ningeona its okay au kwenye shavu lakini hivo hapana
Acha wivu.. Watu na mama zao
Wabongo mna ujuaji wa kifala kwahiyo ww unaijua sheria kuliko majaji wa mahakama ya Ufaransa?Hapo tatizo ni mahakama. Kama mishahara ilikuwa inaenda kwa mama yake. Mahakama ilitakiwa kujirisha kuwa mishahara inaenda kwa mama yake. Ilikuwa ni sababu tosha kuwa mama yake alikuwa ni kipitishio na kifichio cha hela hizo. Kwa hiyo jamaa alifanya makusudi alijua anamficha mkewe. Huo ndio ungekuwa unayanyasaji mkubwa zaidi. Mahakama ingeamua fedha za mama ni za jamaa.
Mahakama ilitakiwa kuhoji. Hela za mama anazioata kwa kazi gani anayoifanya. Vinginevyo ni utakatishaji wa kumfucha mke.
Jamani siungi mkono tabia za wanawake kutolewa na kuachika ili kudai mali.
Hapa Kuna mwamba mwingine japo Alisha tangulia mbele za haki Mzee Mengi alimsoma slay queen akili akajua mchezo ulivo akamuandalia barua ya mirathi fake na sign fake demu hakushtukia mchezo, akajipanga akajua kauaga umasikini duu lilimkuta jambo mahakamani Hana hamu kaamua akale tu upepo wa dubenga.Wanaume tunaupiga mwingi sana akili zishaanza kufunguka
Kwel akili za wanawake zinafanana, yn bado unaona jamaa amekosea sana ila mwanamke ameonewa kwamba ilitakiwa apewe mali.? Duh nyie wanawake hapana aiseeRoho mbaya tu wewe unadhani kulea watoto kazi ndogo pengine kachangia kwenye hizo Mali😬
Dicaprio hata mtoto hataki ni bata tu 😀UONGOZI WA JUU KABISA KATAA NDOA.
1. Ashraf Hakimi (Mwenyekiti)
2. Cristiano Ronaldo (Katibu)
3. Leonardo DiCaprio (Mweka Hazina)
4. Diamond Platnumz (Mjumbe Wa kamati Tendaji)
dr. mwaka anatamani hili tukio la hakimi lingetokea kabla la kasheshe lake na queen.ukiwa na pesa zama hizi usijiroge ukaoa, tembeza kirungu tu, wanawake wengi wa kizazi hiki ni majini wenye muonekano wa umbo la ki binaadamu
unaonekana unaweza kumsaidia emmanuel eboue kudai mali zake.Hapo tatizo ni mahakama. Kama mishahara ilikuwa inaenda kwa mama yake. Mahakama ilitakiwa kujirisha kuwa mishahara inaenda kwa mama yake. Ilikuwa ni sababu tosha kuwa mama yake alikuwa ni kipitishio na kifichio cha hela hizo. Kwa hiyo jamaa alifanya makusudi alijua anamficha mkewe. Huo ndio ungekuwa unayanyasaji mkubwa zaidi. Mahakama ingeamua fedha za mama ni za jamaa.
Mahakama ilitakiwa kuhoji. Hela za mama anazioata kwa kazi gani anayoifanya. Vinginevyo ni utakatishaji wa kumfucha mke.
Jamani siungi mkono tabia za wanawake kutolewa na kuachika ili kudai mali.