Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
WAZEEE WAKATAAA NDOAAAAAA OYEEEEEEEEE..

NASEMAJEE ...

KATAAA NDOA INANUFAISHA UPANDE MMOJA..

Hapo huyo hakimu adai nae wagawanee Mali za mwanamkeee.

Mpaka boksa anayovaa hakimu mama ndio mmilikii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji28][emoji28][emoji28]lazima maana hawa huwa wanakuwa na washauri wao pembeni. Wanasuka tuu kwa kuhesabu vilivyonunuliwa. Wakishahisi inatosha bibie analiamsha dude kisha kesi mgawano mali
Huyu demu na uhakika hata iyo kesi walio mpakazia mshkaji eti kambaka mtu nyumbani kwao alivokua Dubai wote huo ni mchongo Ili avute mkwanja mrefu jamaa ainekane kamsaliti lakini kajuta kumfahamu hachiraf [emoji23][emoji23]
 
Hapo tatizo ni mahakama. Kama mishahara ilikuwa inaenda kwa mama yake. Mahakama ilitakiwa kujirisha kuwa mishahara inaenda kwa mama yake. Ilikuwa ni sababu tosha kuwa mama yake alikuwa ni kipitishio na kifichio cha hela hizo. Kwa hiyo jamaa alifanya makusudi alijua anamficha mkewe. Huo ndio ungekuwa unayanyasaji mkubwa zaidi. Mahakama ingeamua fedha za mama ni za jamaa.
Mahakama ilitakiwa kuhoji. Hela za mama anazioata kwa kazi gani anayoifanya. Vinginevyo ni utakatishaji wa kumfucha mke.

Jamani siungi mkono tabia za wanawake kutolewa na kuachika ili kudai mali.
 
Hakimi kazaliwa France kachagua kuichezea Morocco pia sio Mshambuliaji ni Beki sawa?
Screenshot_20230414-233538.jpg

Tatizo mkishabugia na kufakamia viporo vya kande na kuvimbiwa mnabaki kuwa mazuzu na mapoyoyo yaliyokubuhu.
 
Hapo tatizo ni mahakama. Kama mishahara ilikuwa inaenda kwa mama yake. Mahakama ilitakiwa kujirisha kuwa mishahara inaenda kwa mama yake. Ilikuwa ni sababu tosha kuwa mama yake alikuwa ni kipitishio na kifichio cha hela hizo. Kwa hiyo jamaa alifanya makusudi alijua anamficha mkewe. Huo ndio ungekuwa unayanyasaji mkubwa zaidi. Mahakama ingeamua fedha za mama ni za jamaa.
Mahakama ilitakiwa kuhoji. Hela za mama anazioata kwa kazi gani anayoifanya. Vinginevyo ni utakatishaji wa kumfucha mke.

Jamani siungi mkono tabia za wanawake kutolewa na kuachika ili kudai mali.
Wabongo mna ujuaji wa kifala kwahiyo ww unaijua sheria kuliko majaji wa mahakama ya Ufaransa?
Haya tuambie una shahada ngapi za sheria mpaka unakuja kuwakosoa majaji wa kifaransa.
 
Wanaume tunaupiga mwingi sana akili zishaanza kufunguka
Hapa Kuna mwamba mwingine japo Alisha tangulia mbele za haki Mzee Mengi alimsoma slay queen akili akajua mchezo ulivo akamuandalia barua ya mirathi fake na sign fake demu hakushtukia mchezo, akajipanga akajua kauaga umasikini duu lilimkuta jambo mahakamani Hana hamu kaamua akale tu upepo wa dubenga.
 
Hapo tatizo ni mahakama. Kama mishahara ilikuwa inaenda kwa mama yake. Mahakama ilitakiwa kujirisha kuwa mishahara inaenda kwa mama yake. Ilikuwa ni sababu tosha kuwa mama yake alikuwa ni kipitishio na kifichio cha hela hizo. Kwa hiyo jamaa alifanya makusudi alijua anamficha mkewe. Huo ndio ungekuwa unayanyasaji mkubwa zaidi. Mahakama ingeamua fedha za mama ni za jamaa.
Mahakama ilitakiwa kuhoji. Hela za mama anazioata kwa kazi gani anayoifanya. Vinginevyo ni utakatishaji wa kumfucha mke.

Jamani siungi mkono tabia za wanawake kutolewa na kuachika ili kudai mali.
unaonekana unaweza kumsaidia emmanuel eboue kudai mali zake.
 
Back
Top Bottom