Hizo hizo hata kama ni baiskeli ya phoenix,Sasa hivi tunasajili kwa majina ya mama zetu.Kwa Mali gani mnazomiliki sasa?!! Kuchoshana tu!
Naskia hakim anamilki kibiriti tuHuyu ndio mwamba..!!!!
Mamaeee malaya kala za mbavu....
Na ukute alikua anajituma balaa akijua kuna ma euro huko na majumba ya kutoshaAkili ya mwanamke ni sawa na maisha ya funza ani ukimtoa kwenye kinyesi tuu kafaa.........madam kwisha tayari na kuliwa keshaliwa saanaa🤣🤣🤣😅😅
Ngoja Ile baiskeli nikaiandike jina la mazaHaya jamani, nikija tena kuona mwanaume mwenzangu humu ndani analialia mke anataka wagawane mali nitamchapa viboko.
Yaan leo nacheka km chiziii, ila Ashraf jaman khaaahAibu nimeona mimi yani
Akili za kidangaji hizo. Wewe unakula na watoto wako mnashiba unataka umilikishwe mali ili uende wapi?Jamaa ana roho ya ubinafsi mtu kakuzalia watoto wawili kwa nini mali andike za Mama yake[emoji51][emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Demu alitaka kung'oka ma jackpot
Infinix tena [emoji16]Hakuna mama anaetimua wajukuu zake... Kwani wadogo zangu wakiclaim kuna ubaya gani na ni damu yangu pure.. Kwa hilo tunatembea na Achraf hakimi... Ndio model wetu kwenye mahusiano.. Hapa hata infinix yangu ntaandikisha
Na kale ka familia ka Kardashian Ipo siku wataotewa tu wamesha dhulumu sana Mali za wanaume juzijuzi tu Kanye alikua victim, Ipo siku watapata mjanja wao.Kuna jamaa mmoja ana YouTube chanel yake inaitwa HUKU YUESI jmaa anakaa states…anasema ndoa ni scum tu na wanaume wengi wamepata shida sana baada ya kuoa maana wake wanakua na kiburi maana wanajua ukizingua mshiko ni pasu kwa pasu na child support juu..50% ndoa US zinavunjia sababu ya sheria zinazowabana sana wanaume..ndo mana murder case zinazohusisha mme kuua mke au familia nzima ni nyingii ila mtu akwepe kupukitishwa…unaona yaliomtokea tiger woods mpk akapotea kwenye game maana alinyooshwa hasaa…ronaldo yeye mjanja sana ni kuzaa kwa mkataba tu ukizaa unanipa mtoto then over…midume mingi ulaya imefilisiwa sababu ya kugawana mali
Dogo jack huyo namuelewa sana vipindi vya channel yake.Kuna jamaa mmoja ana YouTube chanel yake inaitwa HUKU YUESI jmaa anakaa states…anasema ndoa ni scum tu na wanaume wengi wamepata shida sana baada ya kuoa maana wake wanakua na kiburi maana wanajua ukizingua mshiko ni pasu kwa pasu na child support juu..50% ndoa US zinavunjia sababu ya sheria zinazowabana sana wanaume..ndo mana murder case zinazohusisha mme kuua mke au familia nzima ni nyingii ila mtu akwepe kupukitishwa…unaona yaliomtokea tiger woods mpk akapotea kwenye game maana alinyooshwa hasaa…ronaldo yeye mjanja sana ni kuzaa kwa mkataba tu ukizaa unanipa mtoto then over…midume mingi ulaya imefilisiwa sababu ya kugawana mali
Ila hata mimi nimeanza kumuelewa Mama Dangote anaupiga mwingiNadhani sasa mtamuelewa mama's boy Diamond platnumz dogo aliusoma mchezo mapema sana Kila kitu kipo kwa Jina la bi Sandra alijua ma Gold diggers kina mobetto wange mmaliza Hawa ma slay queen Wana la kujifunza, hata sikumoja Maza hawezi kukugeuka mwanae ila Hawa viumbe wa kuitwa mke sijui mzazi mwenzangu dakika sifuri tu, mwamba hakimi amecheza kama pele.
Mama'sboy 5 - slay queens 0