Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Hii picha iwekewe lamination, Mwamba katuheshimisha sanaView attachment 2587406
Tupate picha ya Pamoja ya Shujaa na mmiliki wake wa mali🙏👍🤙🤝
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii picha iwekewe lamination, Mwamba katuheshimisha sanaView attachment 2587406
Tupate picha ya Pamoja ya Shujaa na mmiliki wake wa mali🙏👍🤙🤝
Hapo ndiyo huwa mnarudi na kuanza kudanganya Babe nilikuwa nataka kukujaribu nione kama unanipendaHahaha,imekula kwake.
Kwamba binti alipe na madeni[emoji1787]Mahakama ingewagawanya madeni kama jamaa anayo
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mke wa Ashraf Hakimi amempeleka mahakamani ili kupata talaka na alitaka Mahakama iwagawanyishe mali.
Baada ya Talaka kufanikiwa na kukubaliana kugawana mali, ikagundulika kuwa Ashraf Hakimi hakuwa na mali yoyote na hata akaunti zake benki hazikuwa na pesa yoyote.
Inaelezwa kuwa mahakama imebaini Ashraf Hakimi alishaweka mali zake zote kwa jina la mama yake muda mrefu uliopita.
Hawa wadada wa kizungu hawanaga huruma kabisaa. Lol.Sio yule Emmanuel Eboue aliekuwa akipata mshahara wote anatuma kwa mkewe ndo aweke uwekezaji.Mwisho wa siku Emmanuel akapigwa talaka na kuambulia zero.Ashraf kweli Mungu alimuongoza,hawa warembo wengi wanakimbilia wacheza mpira sababu ya pesa. Ndo maana C.Ronaldo hataki kufunga ndoa na Georgina.
ndiyo si anataka kugawana, agawiwe hata madeniKwamba binti alipe na madeni[emoji1787]